NJOZI YA KUOTA GODORO: yaliyomo; kusalitiana. mapambo. mitala. kukimbiwa. nguvu za kiume. talaka.
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- Assalam alaykumwarahmatu llaah wabarakatuh.
Ndugu zangu katika imani nipende kukujulisha kua jitahidi uwemwanafamilia yetu hii. kwakua wewe kwetu ni muhimu sana. ili kujiunga nasi jitjidi utakaomaliza kuitazama video hii usikubali kuondoka ukasahau ku
SUBSCRIBE. SHARE. LIKE. NA COMMENT
Pia waweza kuwasilina nami kwa namba hizi.
±255685496336
±255776969998
WhatsApp.
±255758678552
±255765893020
±255713439891
Me nimeota mme wangu amenunua kagodoro kadogo kale ka watoto
Napenda sana kuwafatiliea na mnaelimisha sana Asante
Hatali sana shukuran
Shukran sn mm naota sn hizo ndoto za magodoro ela nimejifuza sn shukran
Me nimeota nimelibeba,, nasaidia mtu kuhama,,nnn iyo jamn
Manshaallah
Je mwanamke akiota godoro.unazungumzia wanaume tu
Maana yake ndio hiyo
Sijaelewa hapo ukiota godoro limehalibika muda waajali ya mwanamke umefika mana yake anakufa au mana mimi nimeota godoro langu limechanika vipande vipande namimi nimwamke
Asahnte
Ukiota inapigwa nachupa nyingi lakin avikukati wanakutupia avikukat maana yke
Shekhe nimeota ndege amekuja mgongon mwake kunakaratas imeandikwa kialabu maandishi ya kijan ikapepea ikaja kichwan kwangu inamaana gani
Shekhe Mimi nimeota nimejitwisha godoro jipya kichwani nikawa naenda nalo kwangu maanayake nini
Hivi shekhe ndoto ya kuwaona tembo ina maana gani?..
Je alieota kalalia godoro na anapewa magodoro 3 yamekunjwa.
mm nimjamzito nimeota ndoto mtoto wajiran kaniletea kigodolo ananiambia nimemletea mtoto kagodoro nikapokea nikatandika
Aslm alykum shekh mm nimeota nimepoteza godoro langu maana yake nn
Nisaidie kuota umembeba ngondoro kichwani please
Mume wangu aliota anatembeza godoro lililochoka
Na kama mwanamke ndo ameota hizi ndoto?
Vipi alieota anapewa godoro lililokujwa pamoja na funguo
Shekh nn maana ya kuota nimegaiwa magodoro matatu nikaita watu wayabebe wanipelekee ninapo ishi ela wala nilowapa wakawa wameyaweka nje wanayatia rangi nyeupe
Ni nn maana ya ndoto hii
Me nmeota nmenunua godoro jipya nkaiweka juu ya hili nililo nalo mara gafla nkaona imeibiwa godoro la zmani tena limechakaa,nlikua maeneo ya mjini barabarani natafuta usafiri wakubeba hayo magodoro ndyo nkaibiwa apo,sielew sasa