NJOZI YA KUOTA GODORO: yaliyomo; kusalitiana. mapambo. mitala. kukimbiwa. nguvu za kiume. talaka.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Assalam alaykumwarahmatu llaah wabarakatuh.
    Ndugu zangu katika imani nipende kukujulisha kua jitahidi uwemwanafamilia yetu hii. kwakua wewe kwetu ni muhimu sana. ili kujiunga nasi jitjidi utakaomaliza kuitazama video hii usikubali kuondoka ukasahau ku
    SUBSCRIBE. SHARE. LIKE. NA COMMENT
    Pia waweza kuwasilina nami kwa namba hizi.
    ±255685496336
    ±255776969998
    WhatsApp.
    ±255758678552
    ±255765893020
    ±255713439891

Комментарии • 23

  • @florienneniyonsavye3113
    @florienneniyonsavye3113 3 месяца назад +1

    Me nimeota mme wangu amenunua kagodoro kadogo kale ka watoto

  • @ntubiibomo5730
    @ntubiibomo5730 Год назад +1

    Napenda sana kuwafatiliea na mnaelimisha sana Asante

  • @estamelejomah572
    @estamelejomah572 4 года назад +1

    Hatali sana shukuran

  • @shifamakame4622
    @shifamakame4622 4 года назад +1

    Shukran sn mm naota sn hizo ndoto za magodoro ela nimejifuza sn shukran

  • @MariamAyubu-r5m
    @MariamAyubu-r5m 2 месяца назад +1

    Me nimeota nimelibeba,, nasaidia mtu kuhama,,nnn iyo jamn

  • @fatmakanizyok9831
    @fatmakanizyok9831 4 года назад +1

    Manshaallah

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 2 года назад +2

    Je mwanamke akiota godoro.unazungumzia wanaume tu

  • @JovinaFuraha
    @JovinaFuraha Месяц назад +1

    Sijaelewa hapo ukiota godoro limehalibika muda waajali ya mwanamke umefika mana yake anakufa au mana mimi nimeota godoro langu limechanika vipande vipande namimi nimwamke

  • @tatuali1379
    @tatuali1379 4 года назад +1

    Asahnte

  • @naominapendwa141
    @naominapendwa141 Год назад +1

    Ukiota inapigwa nachupa nyingi lakin avikukati wanakutupia avikukat maana yke

  • @naominapendwa141
    @naominapendwa141 Год назад +1

    Shekhe nimeota ndege amekuja mgongon mwake kunakaratas imeandikwa kialabu maandishi ya kijan ikapepea ikaja kichwan kwangu inamaana gani

  • @salmasalum2137
    @salmasalum2137 2 года назад +1

    Shekhe Mimi nimeota nimejitwisha godoro jipya kichwani nikawa naenda nalo kwangu maanayake nini

  • @duamalikitu793
    @duamalikitu793 Год назад +1

    Hivi shekhe ndoto ya kuwaona tembo ina maana gani?..

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 2 года назад +1

    Je alieota kalalia godoro na anapewa magodoro 3 yamekunjwa.

  • @abdallahmangayamba1510
    @abdallahmangayamba1510 Год назад +1

    mm nimjamzito nimeota ndoto mtoto wajiran kaniletea kigodolo ananiambia nimemletea mtoto kagodoro nikapokea nikatandika

  • @idrisaadam4652
    @idrisaadam4652 Год назад +1

    Aslm alykum shekh mm nimeota nimepoteza godoro langu maana yake nn

  • @mariamwaweru6049
    @mariamwaweru6049 8 месяцев назад +2

    Nisaidie kuota umembeba ngondoro kichwani please

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад

    Mume wangu aliota anatembeza godoro lililochoka

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 11 дней назад

    Na kama mwanamke ndo ameota hizi ndoto?

  • @tatuaamuuinyi9633
    @tatuaamuuinyi9633 2 года назад +1

    Vipi alieota anapewa godoro lililokujwa pamoja na funguo

  • @shufaamakame5839
    @shufaamakame5839 2 года назад +1

    Shekh nn maana ya kuota nimegaiwa magodoro matatu nikaita watu wayabebe wanipelekee ninapo ishi ela wala nilowapa wakawa wameyaweka nje wanayatia rangi nyeupe
    Ni nn maana ya ndoto hii

  • @JasmineDuwe-j9e
    @JasmineDuwe-j9e Год назад

    Me nmeota nmenunua godoro jipya nkaiweka juu ya hili nililo nalo mara gafla nkaona imeibiwa godoro la zmani tena limechakaa,nlikua maeneo ya mjini barabarani natafuta usafiri wakubeba hayo magodoro ndyo nkaibiwa apo,sielew sasa