Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MOSHI | Kilimanjaro the best drone footage ever captured 2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 июн 2024
  • Reach out to me through my email (azizibrandtz@gmail.com)
    PAYPAL ME HERE👉 azizibrandtz@gmail.com
    #azizishotit #travel #arusha #daresalaam #mwanza #tanzania

Комментарии • 36

  • @tarantaaran
    @tarantaaran 21 день назад +2

    Thank you Azizi, brings back a lot of beautiful memories. Left Moshi in 1966 🙏

  • @ayoubshoo
    @ayoubshoo 6 дней назад +1

    Home town

  • @AziziMsuya
    @AziziMsuya  Месяц назад +3

    Thankyou guys for watching , don't forget to subscribe🙏

  • @KamugishaGideon-kh8zi
    @KamugishaGideon-kh8zi 5 дней назад +1

    Mji wa Moshi naupenda sanaaa❤❤❤

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  3 дня назад

      Hakika ni moja ya miji mizuri na misafi Tanzania

    • @KamugishaGideon-kh8zi
      @KamugishaGideon-kh8zi 3 дня назад

      @@AziziMsuya Ni kwel ni mji msafi na panachangamka

  • @Curiodol
    @Curiodol 24 дня назад

    This is nice 🥰

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Месяц назад +1

    Moshi pazuri sana

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  Месяц назад

      Kabisa, na ni moja ya miji misafi Afrika ya Mashariki pia.

  • @karimallymrisho1565
    @karimallymrisho1565 Месяц назад +2

    Nice

  • @theodorehategekimana4409
    @theodorehategekimana4409 24 дня назад

    I spent 2 weeks in Moshi,it was a beautiful venue to travel

  • @KamugishaGideon-kh8zi
    @KamugishaGideon-kh8zi Месяц назад +2

    Nami mwezi wa kumi na moja nitatembelea maeneo ya moshi

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  Месяц назад +1

      Karibu sana kwenye mji msafi Tanzania nzima. wenye watu wacheshi mno. Huku kama mawingu yakiwa vizuri utaweza kuona kilele cha mlima Kilimanajaro

    • @KamugishaGideon-kh8zi
      @KamugishaGideon-kh8zi Месяц назад +1

      @@AziziMsuya
      Thanx bro

  • @KaziDepartment
    @KaziDepartment Месяц назад

    Bora kuliko Mbeya

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  Месяц назад

      Mbeya ni jiji angali moshi bado ni mji😅

  • @StephenChama-nh2vr
    @StephenChama-nh2vr 4 дня назад +1

    Ivi kwanini moshi hawaitangazi kuitwa jiji mbona ni mji mkubwa sana kuliko mbeya city

    • @costamafie2588
      @costamafie2588 3 дня назад +1

      Siasa ndugu yangu.

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  3 дня назад

      Hata sielewi. Mbeya bado sijafika. Nitakwenda nikachukue madhari pia ili tujionee wenyewe

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  3 дня назад

      😅😅😅

  • @KamugishaGideon-kh8zi
    @KamugishaGideon-kh8zi Месяц назад +2

    Mji wa Moshi umebadilika jamn wa Tanzania sio Kam una astuck Bali ni mji mkubwa kwa wachaga OG

  • @magazijuto7991
    @magazijuto7991 Месяц назад +3

    huu mji mbona kama unastuck? Naona mabati yanakutu, maghorofa mengi yasioisha etc. Wachaga tufanye kitu

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  Месяц назад +1

      kwetu sijui kwanini hatushushi magorofa.. yewomi!!

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 Месяц назад

      kwahiyo moshi hapo kila mtu ni mchaga???

    • @AziziMsuya
      @AziziMsuya  Месяц назад

      @filamupictures9349 hapana WAPO mpaka wazungu wageni na makabila yote Tanzania😅

  • @clintonshangali6909
    @clintonshangali6909 Месяц назад +1

    Nice