Exclusive: Dogo Janja hatosahau haya ya shule, muziki na maisha

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Dogo Janja ni msanii wa bongofleva ambaye alikaa kwa ukimya wa miaka zaidi ya mitatu bila kufanya muziki lakini sasa amerudi, alikaa kwenye OnAIR with Millard Ayo na kuongelea ishu mbalimbali ikiwem kurudi kwake, maisha ya shule na mengine

Комментарии • 165

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад +6

    Dogo uko vizuri kwenye interview, toka kitambo

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 5 лет назад +3

    Kutoka 2016 mpak 2019 tujuwane Dogo jinga kubwa jingaaa 😂😂😃😃👆

  • @amalelmi9956
    @amalelmi9956 8 лет назад +2

    aki ww dogo duh nmecheka jmn bt uko vzr umba cn kaza buti utafika mbali Inshaaallah....

  • @babubabz4507
    @babubabz4507 8 лет назад +10

    sijaona kama hini tena interview yani unaskia raha dogo Hana masifa kabisa hajioni kma ni star uko sawa kujibu

  • @sweetbartcloud2787
    @sweetbartcloud2787 8 лет назад +4

    interview nzur uko juu kaka mkubwa.......nazitamani sana nyayo zako kaka

  • @hassandormkeyo4867
    @hassandormkeyo4867 2 года назад +2

    sijawai ku enjoy interview kama hii

  • @officalyzizou7337
    @officalyzizou7337 8 лет назад +19

    janjaro nouma xana nakukubali xana mwenetu wa chuga

  • @amedeuslyimo2315
    @amedeuslyimo2315 Год назад

    getooooo la mjombaaaa..... nani yupo kwenye hii interview 2023

  • @jamesjulius9826
    @jamesjulius9826 8 лет назад +3

    safi dogo janja, sema umri bado unaruhusu, ukirudi shule itakusaidia maishani, mziki hauaminiki sana.

  • @carolineingati880
    @carolineingati880 8 лет назад +2

    NYC interview.... big up... yaitwa maisha kuna kupanda na kushuka...

  • @enockkitomarys4909
    @enockkitomarys4909 6 лет назад +44

    kama umerudia tn kuichek interview hii like yako tupia hapa

    • @rayboy9372
      @rayboy9372 4 года назад

      Vp

    • @abduliabubakar3823
      @abduliabubakar3823 4 года назад

      @@rayboy9372 aaaAaaAaaaaaaaa the aaaaaaaAaaaaaaaaaaadaaaaaaaaaaaaaaaa\aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAda's aaaaaaaAaaaaaaaaaaaaaaaaaaAaaaa add a add aaaaaaaaaaaaaadaaaaadaaaaaaaaaaaadaaAaaDaaaaaaaaaaAddaaaaaaaaaa add aaa add aaaaAaaaAAAaaAaAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaadaaaaaaaAAaaaaaDaaaaaaaaaa at aaaaaaaaaadaaaaaaaaAaaaaAdaaaaaaaaaaadaaaaaaaaaAa\aaaaaFYI AaaaaaaaAaaaaDaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaadadaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Add aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa\aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAaAaAaaaAC aAaaaaaaaaaaaaVaaa as amaaaaaaaaaAaAaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

    • @abduliabubakar3823
      @abduliabubakar3823 4 года назад

      @@rayboy9372 aaaaaaaaaadaaadaaaaaaaa

    • @abduliabubakar3823
      @abduliabubakar3823 4 года назад

      @@rayboy9372 AaA

    • @abduliabubakar3823
      @abduliabubakar3823 4 года назад

      @@rayboy9372 aaaaaaad

  • @aizoohboy3833
    @aizoohboy3833 4 года назад +2

    Usijali dogo pambana

  • @emmasinepaesau1024
    @emmasinepaesau1024 3 года назад +1

    Dogo Janja anashindwa kufunguka tu,alikua mwizi

  • @chugagirl4094
    @chugagirl4094 3 года назад +1

    November 2020 still watching 😍❤️❤️❤️😊😊😊

  • @erickkabwogi9891
    @erickkabwogi9891 8 лет назад +3

    My best MIllardAyo interview

  • @khadijakidamu4309
    @khadijakidamu4309 8 лет назад +7

    I love his interviews

  • @binlilah3760
    @binlilah3760 6 лет назад +2

    siku ya kwanza mgeni ana dhamni ya 2 hana dhamani noma saana

  • @philohkioko3327
    @philohkioko3327 8 лет назад +2

    dogo ni sungura.... mjanja sanaaaaa

  • @tanzaniaentertainmenttv9154
    @tanzaniaentertainmenttv9154 7 лет назад +3

    sijawahi Cheka hiv dah nice interview

  • @alikassim5544
    @alikassim5544 7 лет назад +4

    Haha uyu dogo uwaga nampenda sana na hivi vituko vyake

  • @oscartvonline2382
    @oscartvonline2382 7 лет назад +5

    This is the best interview I've ever watched and listened to. Big up #millardayo #dogojanja

  • @hamisjingu90
    @hamisjingu90 6 лет назад +1

    Duuuuh.....njanjaroo pole sana..

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 года назад

    Dogo uko vizuri uwe juu kama tai

  • @esthernyokabikimiti5128
    @esthernyokabikimiti5128 8 лет назад +6

    😂😂😂😂😂 l can listen to him 24/7 mjanja sana.

  • @samueltomas6554
    @samueltomas6554 Год назад +1

    Big up Milard Ayo✊

  • @jamomade3839
    @jamomade3839 7 лет назад +2

    flesh,yuko poa sana dogo janjaro

  • @adamhq8924
    @adamhq8924 8 лет назад +1

    Millard Ayo Leo kaenjoy sana interview ya janja maana vituko mwanzo mwisho

  • @jukaythedream7813
    @jukaythedream7813 8 лет назад +5

    Hahahaa....Dogo Janja chizi sana. Nice interview by the way

    • @danfrenk4457
      @danfrenk4457 6 лет назад

      jukay The Tanzanian Dream huu ndio dunia

  • @aminaismael4201
    @aminaismael4201 8 лет назад +6

    pole kijana komaa hayo ndio maisha

  • @allysonmawazo695
    @allysonmawazo695 8 лет назад +11

    hakuna interview ambayo nmetokea kuipenda km ya Dogo janja

  • @hedayaals250
    @hedayaals250 7 лет назад +3

    Millay wew mia mia nakukubali thanaa

  • @marciakassimkassim9275
    @marciakassimkassim9275 8 лет назад +2

    Mbavu zangu...jaman...uyu dogo atarehe..duuuuu....uko fun....

  • @rizzoone4587
    @rizzoone4587 3 года назад +1

    Nakumbuka compassion AICT majengo ni kwere

  • @doneebahatimallya2040
    @doneebahatimallya2040 8 лет назад +3

    safiii kazaaa msulii chaliii ya chugaaa life liko ngeuuu sanaa

  • @jumamohamed8975
    @jumamohamed8975 8 лет назад +3

    Hahaaaaaa jume she's my friend daaah
    interview kali sana #milad ayo big up bro

  • @nasibuhinduka8612
    @nasibuhinduka8612 6 лет назад +2

    Hongera sana dogo janja

  • @amirymbagwi297
    @amirymbagwi297 3 года назад +1

    Nakubali nakubali janjaro

  • @hizwarbinaslan7036
    @hizwarbinaslan7036 4 года назад +1

    Aysee kubali san dogo chali..

  • @lucyleopold3324
    @lucyleopold3324 7 лет назад +8

    Kanikumbusha sana home arusha na lafudhiii yake.....musaa,abdalaaa,

  • @hassanmalamla3052
    @hassanmalamla3052 8 лет назад +1

    gud dogoo janjarooo yani niwali chaiii

  • @abuuissa1642
    @abuuissa1642 8 лет назад +6

    Machalii kina Mussaa Babuu,.........,Ngarenaro ukipita unakimbia utakiona cha mtema kuni

  • @jacklinezighe254
    @jacklinezighe254 8 лет назад +2

    Dogo hatarrrrr.....big up to him

  • @mokekangobela4713
    @mokekangobela4713 7 лет назад +7

    janjarooooooo nakubali mziki wako

  • @erickchaula4890
    @erickchaula4890 6 лет назад +2

    Watu wanatoka mbali sana

  • @patricksilva3722
    @patricksilva3722 5 лет назад +1

    toka mdogo mi na kukubali wew.

  • @ayoubmbwambo9604
    @ayoubmbwambo9604 2 года назад

    Muuuuuuuuuuuuniiii janjarooooo

  • @rehemafredrick5508
    @rehemafredrick5508 8 лет назад +18

    😅😅uyo dogo mependa kiswahili chake

  • @oleminiss6335
    @oleminiss6335 6 лет назад +1

    AR!!!!!nomaaaaaaaaOlasity moja......!!!!!!!

  • @mazengojoseph6425
    @mazengojoseph6425 6 лет назад +1

    Namkubali an janjaro

  • @abduladhimually3542
    @abduladhimually3542 8 лет назад +2

    millard nmeipenda interviee em jarb kuktaftia nyngne

  • @martindondi9890
    @martindondi9890 8 лет назад +7

    Juma she's my friend kaah😂😂, nyc interview. Big up Millard Ayo

  • @abbakarsaidimsigwa871
    @abbakarsaidimsigwa871 3 года назад +3

    nituru juu ya ngeo kama umesikia hivyo twende sawa 😂😂😂

  • @hassanhussein9062
    @hassanhussein9062 8 лет назад +3

    dogo hatare sana 😂😂😂😂

  • @abilahhamis1847
    @abilahhamis1847 5 лет назад +2

    Katika wasanii ambo huwa nafurahi kuwasikiliza na kucheka sana ni huyu janjaro full comedy

  • @khamisdunia3350
    @khamisdunia3350 8 лет назад +1

    heheh!!..great interview I enjoyed every single second of it.

  • @peterkisasa6806
    @peterkisasa6806 7 лет назад +2

    the best interview

  • @ramadhanibaalii7143
    @ramadhanibaalii7143 8 лет назад +1

    Janja ametisha sana alafu anajiamini 👍👍

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 8 лет назад +9

    jamani huyo goodii mie namjua niliiish sana ngarenaroo Jina la janjaroo anaitwanani jina lake laukwel maana nawajua vitoto vyote ezi izo ..... @millardayoo muulize njaro kuwa anamjua mzee wa kaushi au mikono mirefu daaah ..... iyo ngarenaro aisee ukijulikana wee sio wee wangaronaro hahaha

  • @محمدالقايد-د6ب
    @محمدالقايد-د6ب 2 года назад

    Mtangazaji 💯💯

  • @pagusingili393
    @pagusingili393 8 лет назад +2

    haaaaaaaaaaaaaaaaaaa milard ayo shidaaaaaa;

  • @tonyjah2546
    @tonyjah2546 8 лет назад +3

    big up bro mirladayo

  • @davidgavana1815
    @davidgavana1815 8 лет назад +4

    janjaro keep it up!

    • @jamilamuhunzi1253
      @jamilamuhunzi1253 5 лет назад

      Safii sana mwanangu mama nimama mungu akulinde ungekuwa kalibi na mm ningekupa mkono mtoto unakili za kuzaliwa naomba siku nijekutana na ww nikupe ongela

  • @ishmaelkalale6615
    @ishmaelkalale6615 5 лет назад +1

    Juma she is my friend

  • @zuwenaomar3700
    @zuwenaomar3700 6 лет назад +1

    Safi dogo janjaro

  • @hizwarbinaslan7036
    @hizwarbinaslan7036 4 года назад +1

    Gd interview

  • @jumamohamed8975
    @jumamohamed8975 8 лет назад +2

    Millard ayo tunaomba na part 2 bro

  • @eliasimmwitammwita9785
    @eliasimmwitammwita9785 8 лет назад +2

    Inapendeza sana

  • @madamruks215
    @madamruks215 8 лет назад +1

    nice interview asante milard ayo nimecheka hadi basi hahah juma she's my friend lol

  • @ImDevin25
    @ImDevin25 5 лет назад +1

    Huyu dogo nilimpendaga.

  • @abuusaidimsigwa9654
    @abuusaidimsigwa9654 5 лет назад +2

    Enz hiyo ulikuwaga na aibu kwel janjaroo

  • @Prince_materu25
    @Prince_materu25 8 лет назад +2

    Keep it up bra big up

  • @aggreyenock1221
    @aggreyenock1221 8 лет назад +2

    my best milard ayo interview ever!!!!!

    • @abdallahmohamed1036
      @abdallahmohamed1036 7 лет назад

      janjaro angalia sana mwana madee kakutoa mbali mwana nakukubali bab

  • @geofreyelphjr3710
    @geofreyelphjr3710 4 года назад +3

    2020😘

  • @leowolf3530
    @leowolf3530 6 лет назад

    m n fan ako namb 1 ndg ang

  • @abm4183
    @abm4183 8 лет назад +5

    hahahahaaha dogo janja nimekuoenda bureee hahahaha umeniua jamn daah

  • @athumanmgissa3093
    @athumanmgissa3093 8 лет назад +1

    Big up #dogo janja

  • @officalyzizou7337
    @officalyzizou7337 8 лет назад +3

    natamani irudiwe hii interview

  • @ttintinchidaniel7321
    @ttintinchidaniel7321 8 лет назад +1

    good one.

  • @ketonmsakwa7030
    @ketonmsakwa7030 8 лет назад +5

    vizri kaka

  • @michaelkisasa6238
    @michaelkisasa6238 7 лет назад +5

    hahaha Daah janja bhan

  • @amadiniyongabo9560
    @amadiniyongabo9560 5 лет назад +4

    25 / 2 / 2019

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 7 лет назад +2

    Dogo Anajielewa

  • @aisharamadhan5257
    @aisharamadhan5257 4 года назад +2

    Dogo kipindi hicho alikuaga na ayibu km yotee lkn alivokuja kufunua uchi wa rika la mama yake kageuka mnooo yn shikamoo mapenzi 😂😂😂

  • @brandysatoki2624
    @brandysatoki2624 7 лет назад +3

    jamani Millard mrudishe huyu m2 ananipa raha mie

  • @husnabby1801
    @husnabby1801 8 лет назад +2

    dogo janja wanivunja mbavu

  • @highlyfavoured4327
    @highlyfavoured4327 7 лет назад +2

    😂😂😂😂😂 I love this guy!

  • @joserichard4013
    @joserichard4013 7 лет назад +5

    hahaha namkubal sana dogo

  • @penuelgrayson3952
    @penuelgrayson3952 8 лет назад +2

    Dah nimempenda bure yuko waz Sana

  • @calamaraderiesgallant3640
    @calamaraderiesgallant3640 8 лет назад +1

    big up Millard

  • @gideonndagara1617
    @gideonndagara1617 8 лет назад +1

    Hahaaaa hii interview n nomaaa

  • @beddahboy7757
    @beddahboy7757 5 лет назад +1

    Dogo anakwambia ngarenalo ni kama Soweto South Africa 😁😁

  • @robert.joseph
    @robert.joseph 8 лет назад +2

    nyc

  • @moarusha8219
    @moarusha8219 6 лет назад +2

    hahahaa nooumaa sana Chalia-ara, hyuuuu HV mpaka Leo kuna janjaa atatokea kama janjaa tenaa kweliii mmhh hahahaaaa cdhan hata miaka bukuuu aaiseeeee machaaaliiiiiiii..

  • @calamaraderiesgallant3640
    @calamaraderiesgallant3640 8 лет назад +2

    love him

  • @herikaniugu
    @herikaniugu 8 лет назад +3

    Tisha Sana

  • @brandysatoki2624
    @brandysatoki2624 7 лет назад +1

    hiyo tungo tata ilivyotamkwa nimependa

  • @peternassari7634
    @peternassari7634 8 лет назад +1

    NYC..

  • @ernestjacksonjackson1719
    @ernestjacksonjackson1719 5 лет назад +1

    Poooooio dogo

  • @philljombs1151
    @philljombs1151 7 лет назад

    hahahaha Abdul )...'Dogo jinga' Kali hii

  • @joskprotas8959
    @joskprotas8959 8 лет назад +1

    Bonge la Interview