Mejja - Landlord | REACTION
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- 👕 Thank you for making these reaction videos possible by supporting my clothing brand, JUST GO 🌎: van-isikaka.cr... Mejja - Landlord (FULL HD) [Skiza 8540179 ] • Mejja - Landlord (FULL...
Copyright Disclaimer Under Section 107 of the copyright Act 1976, allowance is made for “fair use” for purposes such as criticism, commenting, news, reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statue that might otherwise be infringing. Non profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use* ALL RIGHTS BELONG TO THEIR RESPECTIVE OWNERS
Mejja weeeeeeeee love you so much 😂😂😂❤️❤️❤️
🔥🔥
Kila Thursday iwe tbt bro☑️💯
Nitajitahidi
YOU KNOW WHAAAAT!!!! LOVE LOVE LOVE FROM KENYA 😎💯💯💯
I love how this is so hyped in these reactions.
Bro una talent ya kuwa MC ama host wa Radio, na pia energy
Mejja ft Bro- Barua (niko poa) - tbt noma sana
Saaaana
That song ni fire
Naikubali sana pia
Land lord kachuwa demu wa Mejja
Noma saana...ingekuwa mimi hapati kodi yake
Ah umetukumbusha mbali, good one
React to this songs by MEJJA OKWONKO 1. Furahia maisha
2. Jana kuliendaje(mejja's first song)
Angalia nikopoa ya mejja vaniboy creativity iko juu sana
Mejja aliimba huo wimbo kwa niaba yetu sote wapangaji... landlords na caretakers hu-come saa zile hula pesa 🤣🤣unamkwepa hadi upate hizo pesa!
Nice reaction 💯🙌🔥
🙏🙏🙏
Love from Seattle, 👍🏿 .
Aisee! Punguza longolongo.
Reaction comes after the song
Nomaaaaaaaaa, you know whaaaaaaaat! Mejja bana, nimecheka sanaaaaa
Ha ha ha ni noma saana mejja
react to ochungulo family mpenzi mtazamaji kansoul and mejja
Poa poa
Dudu pia
Mejja babayao vituko noma kaka 🔥🔥🔥🔥🔥👊
Kama Kawa.. Kazi Safi Kaka.. 👍👍
Asante saaana
from 254 ankal mzito hapa TAFASH NI MAUTHI...
Tafash.... origin =kiarabu....(Taftish)... kutafuta... then kabadilika.... tu wa katsia... nuks... Shida ....
Other words I'm sure t.z hamjui...
Ketepa/mugoka=miraa
Mahamri... kaimati, mandazi nitofauti,(watu wa Mombasa hapo wanajua)
Vaite...=wameru wa kenya...(wana penda sana kuuza miraah)
Tafash...inatoka kwa jina tough
Bro I like what you do. Big ups
Much love from Kenya by mistake 🎉🎉🎉😊😊
Bro umeiva kuliko mahindi choma, fanya ingine ya kwani jana kuliendaje 😂
😀😀😀😀mahindi choma au sio
nomaaaa sana you know whaaaat
U kno waaaat
great reaction
please react to Tarimbo by Ethic a music group from Kenya
Tafash meaning swara, cold blanket, buzz kill, mtiaji
Good reaction i like realy
Asanteee
Wee ni Tafash tu,,, meaning problematic
Fanya reaction ya bongo la biashara by mejja na juacali...itakubamba sana I promise
Do the reaction please
Poaa saana
Fanya hii reaction ..noma sana
Landlord no tafash tu
Mandazis yepi Kenya yamefanana lkn andazi ni haki ya pesa yako ama mahamri ni normal 1/4 ya circle,,
Lkn andazi au mandazis ni 1/4 size ya biashara
fanya niko poa mejja.. mob love
Tafash - ngori/nima
Van fanya Réaction SIMBA Amekuja na Kitu kimpya Brother ni Fire KACHIRI Ameshikishwa KING 98 nasubiri kwa hamu réaction Mkali wangu wa Réaction
Yeah asante saaana kaka, zinakuaa leo reaction ni nyingi saaaan😀 such a longdayy marioo, mondi na mzimbabwe, rayvanny na rema, rapcha,fally ipupa na wengine kenya nadhan khaligraphy acha nikusanye energy
Diamond platinumz na Krizbeat, Tekno ni Audio inaitwa Prosper wewe ni moto nakuamini sana🔥🔥🔥
Nakuomba ufanye na ya Tunda man mpya na Spack Nakuomba mkali wangu
TbT 😅😅😅😅 naikubali Sana 🎉🎉🎉254🇰🇪🔥🔥🔥🔥
Kenya tunatumia majina yote.... tunatumia mandazi, kaimati au mahamri
tafash inamaanisha ni noma bro
Mejaaa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tafash ni shida
Asante saana
Wakati wa mr. Nice na dudu baya....sasa Kenya kulikuwa na Genge music na Tanzania ilikuwa Bongo music. Tz mliendelea hadi sasa lakini Kenya Genge ikapotea
@Lynn Ngina Nielezee nikuelewe kwa sababu sasa hivi nina miaka 30 na historia ya mziki wa Kenya ninayo, kwa hiyo naongea kutokana na uzoefu wa miaka
Buda genge aijapotea ikoo bado
@@chucknose iko wapi hiyo genge yenyewe
@@ahutamorris itafute iko tu lakini we jua. Aijai Isha
Niite tufanye reaction moja ya Kenya nikuambie Sheng zote kwa ngoma.
It's mejja genge..... Ke present
✍️ najifunza swahil na Mshikaji Bab kubwa Van 🔥 Isikaka... 😁
React Barua mejja or Bongo la biashara jua Cali ft Mejja.
😁😁😁😁 hahahaha mejja genge
Much luv from Kenya... Mkali juu ya mic🎤
Hii ngoma hatari 😂😂
You know whaaat 😂😂😂
Ni kama huyo customer wa kitanda alikuwa ERICK OMONDI
Bro nakukubali sana
Asante saana
Tafash ni shida au sumbua
Kazi Safi..🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️🤞
yoh ingine ya mejja na juacali...bongo la biashara
Big up reaction hope , uta do kadhaa za nonini
Nimerudia hii reaction more than you 30
Tafash ni sheng ya kusema Noma sana
Tafashi mean mashinda
Furaha. Queen
Finallyyyyyyyyyyyy
😀😀
Tafash we Nuksi
Ooh yeah
Hi song yani kumbusha Tom and Jerry
Ha ha ha😀😀
🤣🤣goma langu
Kweri kweri van ....Apo sawa
Amesema tafash
Mejja😂🤣😂 tafash landlord manuks
Wah its a tbt joh😎
Nomaaaaa
Okwonkwo mtoto wa khadija tumetoka Naye town moja😊
Ooh yeah, anatokea town gani na wewe
@@Vanisikaka Nyeri ,Kenya 😊.
Kwa matajiri😂😂😂😂
@@thisisann9420 ha ha kumbe wewe tajiri ..itabid uniadd insta nikuombe mahela
Tafash
Tafash 😂😂
Dafashi ni kama "wewe ni shida"
Ata sis tunaita maandazi
we nitafash Jo we ni nuksi sumbufu
Tafash.......waezaitumia kama kusumbua usinitatize au msumbufu
Omosh amekumbusha meja kwamba ako na ela zake (za meja) halafu commedy hapo ni accent ya omondi
Fanya reaction ya Niko poa Van boy mtu m'bad
Dafash ni tafash lugha ya kiarabu yani shida tu
wee ni tafash tuu means wee msumbufu saana i say
Hi nifanyie usinikazie by Timmy t dat🙏
Tafash nikama msumbufu
Ooh yeah asante saana
Hahaaaa hio song ili hit Sana
Sanaaaa saaana
Vituko mejja alianza kitambo
Tafash means shida ama balaa
haha TAFASH ana maanisha shida tupu
Nipooo
Ha ha umeoteaaa
@@Vanisikaka ndo zangu iz kuotea😂
'tafash' ni noma
😂😂😂Landlord dio run road bro alafu ni tafash sio patash
That guy is too comic 😅😅
Tafash ni kama Nuksi
Vanny boy react ya otile brown na the ben tafadhali
🇰🇪
Mmi naomb nyimbo ya 2nda man na asala na spack
Poaa ni tbt
Tafash ni sheng yamaanisha shida.
VAN eeh, mwanangu fanya kama unamcheki BARAKA flani ivi, Baraka the prince ft Alikiba, mzee wa yooo! ngoma inaitwa NISAMEHE. yeah baraka kama baraka enzi hizo yuko Rockstar. ruclips.net/video/el6Z2qziRFA/видео.html
Ha ha poa saana nitaifanya bro
Tafasi yani ww n tabu tu
🤣🤣🤣
Nomaaa
Kaka plz naomba nyimbo ya Ethics tarimbo
Tafashi not tashat 😜
Ha ha ha😀😀
Mtu tafash ni mtu kisirani
Nimekubali nimesubscribuu wallahi noma sanaa rep 254 @b_tina_leslie
Nomaaaa
Tafash ni nuksi