Shuhudia mwanzo mwisho wa mashindano ya Kwaya Vikaria Consolata Iringa|Mshindo waibuka wababe!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Kwaya ya Parokia ya Mshindo wameibuka washindi katika shindano la Kwaya za Vikaria ya Consolata ambapo hii leo ilikuwa ni hitimisho la Kongamano la Kwaya za Vikaria hiyo lililodumu kwa siku tatu. Mshindo kura 178, Kihesa 175, Ipogolo 165.5, Nyabula 154.5, Ilole 150, Mkwawa 98 na Myombwe 87.

Комментарии • 8