PART 3 - "ALIKIBA Ana NYUMBA Nyingi, Watu Hawajui" - OMMY DIMPOZ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • PART 3 - "ALIKIBA Ana NYUMBA Nyingi, Watu Hawajui" - OMMY DIMPOZ
    HIT MAKER wa ngoma namba moja kwenye mtandao wa RUclips kwa sasa, Ommy Dimpoz, ambaye kwa sasa anatamba na ngoma yake ya 'Your The Best' ametembelea ofisi za Global Group na kufanya mahojiano maalum na kituo cha radio cha +255 Global Radio...
    Ommy amezungumzia afya yake mara baada ya kufanyiwa operesheni kadhaa alipokuwa akisumbuliwa na tatizo la Koo...Lakini pia amezungumzia mikakati yake ya Sasa kimuziki..
    #OMMYDIMPOZ #GLOBALRADIO #YOURTHEBEST
    Tembelea pia Website ya Global Radio (globalradio.co...) Kwa Habari na Matukio Mbalimbali ya Burudani kutoka kila kona ya Dunia
    Tufuatilie pia kwenye Mitandao ya Kijamii, Facebook, Instagram na Twitter Ili Kupata Updates za Matukio yote
    Facebook : / 255-global-radio-21627...
    Instagram : / 255globalradio
    Twitter : / 255globalradio
    Ili kupata LIVE matangazo ya #255GLOBALRADIO Kirahisi Zaidi, Pakua App : rebrand.ly/255G...
    #TUMESHTUKA , #NAWESHTUKA

Комментарии • 117

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 5 лет назад +60

    Interview za Ommy lazima ziwe kali,cous anajielewa katulia kwenye interview zake pamoja na majibu yake,pia na usheshi mwingi juu yake,hata wewe unaemfanyia interview unajisikia raha na kucheka,kwa hakika jamaa yuko sawa na lazima utaangalia na kusikiliza interview zake,big up Ommy na big up Global media,mtabaki kuwa jjjuuuu..cchhiii!!!

  • @fadhilisaidy2444
    @fadhilisaidy2444 5 лет назад +31

    Tunaojua thaman ya rock star & kng gonga like

  • @idayakei8349
    @idayakei8349 5 лет назад +50

    Yeebaba rockista mutabaki kua juu alikiba utabaki kua juu ommydimpaozy utabaki kua juu

  • @husseinmorgan6264
    @husseinmorgan6264 5 лет назад +37

    Napendaga sn kuckiliza interviews zako Ommy coz unajua kujibu maswali sawia na huwa najifunza vitu vingi sn.

  • @wemakalam9415
    @wemakalam9415 5 лет назад +15

    Duuh ommy dimpoz kuongea point kabisa from zero to hero keep it up 👍 👍 👍

  • @husseinomary4466
    @husseinomary4466 5 лет назад +3

    Ubongo wahuyu mtu umetulia sana

  • @halimaraju4064
    @halimaraju4064 5 лет назад +23

    MashaaAllah omi dipozi napenda unavyo jibu maswali uwo ndo uwisilamu mwamini mungu kwa kila kila kitu

  • @farajinassoro2742
    @farajinassoro2742 5 лет назад +44

    Teem kiba na omy

  • @betrue33
    @betrue33 5 лет назад +16

    watangazaji very noisy.....they make Ommy interview look cheap....
    wasichana wana makelele sana alafu maswali ovyo...
    good studio but the gals (host) are not well trained

  • @elijahpartz729
    @elijahpartz729 5 лет назад +6

    Ommy ametuliya kama mavazi yake

  • @harunadefatality5519
    @harunadefatality5519 5 лет назад +26

    Akili kubwa Ommy

  • @amidumahoro2783
    @amidumahoro2783 5 лет назад +2

    Ommy anajielewa sana ndomaana tunamkubali sana 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @naimabruno1351
    @naimabruno1351 5 лет назад +27

    Ommy yuko very smart 👌

    • @سبحانالله-ح7د
      @سبحانالله-ح7د 5 лет назад

      Naima Bruno sanaa. Kizazi sanaa. Sio hospital kileleni chiiiiiiiiiii mungu atakujalia utapona broo. Pole sanaa.

  • @aclejohnlee2968
    @aclejohnlee2968 5 лет назад +28

    wasanii wa rockstar mna brain kubwa sana

  • @chugahome2591
    @chugahome2591 5 лет назад +7

    Ommy hao wadada wanajikombakomba kwako jigongee😁😁

  • @acrestv8636
    @acrestv8636 5 лет назад +14

    Huyu jamaaa atabaki kuwa juu sanaaaaaaa! Naona alama kubwa ya akiri kubwa kichwani

  • @rodgersgingila9367
    @rodgersgingila9367 5 лет назад +11

    wadada. utangazaji bado sana.
    hamjui kuuliza maswali.. fanyeni zoez.. b specific

  • @GUARDCLEVERTV
    @GUARDCLEVERTV 5 лет назад +32

    Kama umekuw wa 1 kutazam gong like

  • @rashidmohamedi1495
    @rashidmohamedi1495 5 лет назад +13

    Hii interview km maongez tuu yakawaida km kaumbea fulan au mnaonaje

  • @konyakirs5289
    @konyakirs5289 5 лет назад +5

    Rock Star wanajielewa Sana

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 5 лет назад +15

    Mwijaku😂Shikamoo Ommy big up

  • @thomaspaulo1312
    @thomaspaulo1312 5 лет назад +7

    Presenters wa online TVs u are the bottlenecks to the growth of Music industry, mnafanya mtu atrend kwa sababu ya personel life na sio music, Jaribuni kuwa creative.Interview msanii basing on his artistic works, mna base sana kwenye issue zisizo na maana .Namkubali sana Sky walker na Lil Ommy the way wanavyofanya interviews na artists!

  • @loyceackim4296
    @loyceackim4296 5 лет назад +6

    On my Safi sana,MUNGU kwanza ndio mpango Mzima.Ubarikiwe umenigusa

  • @salimmohd8279
    @salimmohd8279 5 лет назад +4

    Ommy ww ni mkali huna afadhali

  • @hassanmaganga1544
    @hassanmaganga1544 5 лет назад +7

    Ommy uko vzr yaan imekua wewe kama ndio unawahoji wao sasa hao madem kelele za nn

  • @abdulomary7495
    @abdulomary7495 5 лет назад +4

    Catherine you so stupid maswali yako absentsenseless😶🤐🤐😏👿😈

  • @ericksabatho6593
    @ericksabatho6593 5 лет назад +3

    Huyo demu kamstopisha ommy kuelezea muziki halafu anamuuliza kuhusu ku-date 🤮🤮🤮🤮🤮

  • @deograsiashawa9815
    @deograsiashawa9815 5 лет назад +2

    omr alingi ajigambi

  • @rashidmohamedi1495
    @rashidmohamedi1495 5 лет назад +8

    Hawa watangazaj hakuna kitu studio nzuri kweli mwanzo mgum ngoja tuwavumilie

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman9807 5 лет назад +2

    Eeh mungu weeeh..khaaa..kwem mwanzo mgumu yan naona makelele tu by the way i lvyu Ommy

  • @mariamnamale9366
    @mariamnamale9366 5 лет назад +2

    Kweli yaan

  • @hamiduibrahim868
    @hamiduibrahim868 5 лет назад +3

    Kaanza kurudisha mwili

  • @parispresdor3598
    @parispresdor3598 5 лет назад +1

    Kwanin mnapenda kutumia nyimbo katika umoja? Nyimbo ni wingi wa wimbo. Watanzania tofautixheni ivi vitu

  • @faridbenyam1023
    @faridbenyam1023 5 лет назад +1

    Ommy wewe nikiboko yao aise mungu akupe maisha malefu .

  • @hassanmaganga1544
    @hassanmaganga1544 5 лет назад +4

    Ommy uko vzr yaan imekua wewe kama ndio unawahoji wao sasa hao madem kelele za nn

  • @mussakeita8838
    @mussakeita8838 5 лет назад +4

    Sikuizi watangazi hata awavutii kuhoji wala kutangaza cheeeeeee

    • @kidudwetv4611
      @kidudwetv4611 5 лет назад

      Mussa Keita nikwel me naona watangzaji wengi chengaa

  • @hashimumtamike3607
    @hashimumtamike3607 5 лет назад +2

    We mwinjaku mnafki sana ss apo kilicho kupekeke nn ss apo una hongea utumbo tu. Duh ss ww una tofauti gani na mama Khadija kopa

  • @yusuphmkenya3470
    @yusuphmkenya3470 5 лет назад +1

    We need mwana fa

  • @jamilaathumani7950
    @jamilaathumani7950 4 года назад +1

    Mtangazaji wewe uliekaa kushoto kwa omi unaongea kama kiziwi

  • @manjalejuniorlg7024
    @manjalejuniorlg7024 5 лет назад +3

    Kweli bro upepo tu unazingua nyumba inaweza kuwa nziri ila isifike mbali

  • @Bongoeveryday
    @Bongoeveryday 5 лет назад +2

    Global mnafanya kitu kizuri ila jaribuni kuboresha Sauti iko chini haijajaa vilivyo, hiyo inapelekea tunaboeka kuangalia Interview nzima.

  • @eliyudbilala9414
    @eliyudbilala9414 5 лет назад +2

    ommy kigoma rini

  • @kibasaomary5574
    @kibasaomary5574 5 лет назад +8

    Ommy fundiiii

  • @shavanintakirutimana9807
    @shavanintakirutimana9807 5 лет назад +1

    Omy uko sawa mdogo wangu.mungu akupe maisha marefu nauzidi kujishusha ncini njoo mungu anapenda.mimi niwa burundi alakini niko shabiki wako

  • @hatbtalveson6581
    @hatbtalveson6581 5 лет назад +2

    Watangazi wafanye maswali yawe mafupi mafupi...

  • @noakaminyoge7804
    @noakaminyoge7804 5 лет назад +2

    Pamoja sana omy

  • @frankhaji1387
    @frankhaji1387 5 лет назад +12

    Kweli bro

  • @artemisneoy9596
    @artemisneoy9596 5 лет назад +2

    Rockstaaaaar

  • @ericksabatho6593
    @ericksabatho6593 5 лет назад +2

    Keleleeeeeeeeeeeee

  • @alirimanicholaijnr8985
    @alirimanicholaijnr8985 5 лет назад +3

    I love you Judith from Uganda! You are such an excellent presenter!

  • @mohdeddy123
    @mohdeddy123 5 лет назад +1

    I team kiba moco ommy smart but anaishi sana na king uyuuu ndomana toka nai nai mpaka kajiandae uprieshert omy fanya tuku sign king's music harakaaa

  • @sixbertkigomakwetu7416
    @sixbertkigomakwetu7416 5 лет назад +5

    Pozi kwa pozi yeeeebabaa

  • @scottstv2340
    @scottstv2340 5 лет назад +2

    baba ww fundi waskuumize kichwa ao

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 5 лет назад +8

    Ommy 🤗🤗🔥

  • @samrapergeregeza2874
    @samrapergeregeza2874 5 лет назад +5

    Safii sana huyu broo

  • @yusrahbakary8391
    @yusrahbakary8391 5 лет назад +1

    wadada mnazigua

  • @malewoemmanuel7236
    @malewoemmanuel7236 5 лет назад +3

    Mbona hamna utaratibu mzuri wa maswali... mnapiga kelele sana

  • @abdulmajidy5496
    @abdulmajidy5496 5 лет назад +3

    Watangazaji hakuna kitu..au ndo mwanzo

  • @teknoswalehsalum84
    @teknoswalehsalum84 5 лет назад +4

    shoo ya kizazi sana Respect kwen🔥🔥

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 5 лет назад +7

    Eeee mwijaku yupo hapo

  • @samsonallen5725
    @samsonallen5725 5 лет назад +2

    mmh muli mpania dimpoz presenters5

  • @mairusalexanselimo7400
    @mairusalexanselimo7400 5 лет назад +4

    Very great bro

  • @mohamedmande3958
    @mohamedmande3958 5 лет назад +3

    All those vedio ,, I saw ,even here Oman where I am . Rock star all time become first priority . zenith

    • @mwajuma74
      @mwajuma74 5 лет назад

      Yes they are and those one who are there to perfome today they say that they are best than Kiba in Oman

  • @slayingtee6044
    @slayingtee6044 5 лет назад +5

    Mwijaku linafanya nini hapo,,,kuvamia fani tu mxiieeeww!!

  • @djfiremoto3429
    @djfiremoto3429 5 лет назад +2

    KAMAFA MAFA FOREVER FOR EVER🔥🙌

  • @deebrown7908
    @deebrown7908 5 лет назад +4

    100%

  • @njetiiempire5834
    @njetiiempire5834 5 лет назад

    Ommy interview zako nazikubari sana

  • @zureamajuto2949
    @zureamajuto2949 5 лет назад +2

    Kweli kabisaa

  • @sekelatunko20
    @sekelatunko20 5 лет назад +4

    Chiiiiiiiii

  • @uberdar7258
    @uberdar7258 5 лет назад +1

    nic

  • @chugahome2591
    @chugahome2591 5 лет назад +2

    Follower from Russia big up😁😁

  • @olivalupala5374
    @olivalupala5374 5 лет назад +3

    yaan uyo anahakili sana

  • @afhd7079
    @afhd7079 5 лет назад +4

    Apo saw Ommy

  • @saumuhamisisaumuhamisikumb9733
    @saumuhamisisaumuhamisikumb9733 2 года назад

    Yani ukovizuri sn nakupenda kwl kk ♥ ❤ 💖

  • @paulsantanatzee8301
    @paulsantanatzee8301 5 лет назад +1

    Nice

  • @lothimollel5335
    @lothimollel5335 5 лет назад +2

    Ommy your the best chiiiiiii

  • @snowwhite4670
    @snowwhite4670 5 лет назад +2

    Good man

  • @lashymreal6555
    @lashymreal6555 5 лет назад +3

    Ommy love

  • @karundetz2866
    @karundetz2866 5 лет назад +1

    mtk

  • @giftngailo5442
    @giftngailo5442 5 лет назад +2

    You're the Best bonge ngoma

  • @sponsalfaThedjalfani
    @sponsalfaThedjalfani 5 лет назад +2

    Ommy you are a good friend very humble Man✌

  • @michaellungwe6507
    @michaellungwe6507 5 лет назад +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @chugahome2591
    @chugahome2591 5 лет назад +1

    Ommy we n dunia saf sana

  • @goodboi9821
    @goodboi9821 5 лет назад +6

    Studio noma watangazaji ovyooooooooooooooooooooo

    • @nyash2542
      @nyash2542 5 лет назад +1

      GOODBOI REIS duh!huo ndio ubinadamu hakuna siku utapendezewa na vyote hongera kaka I like Judith cool lady but matata 💘

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 5 лет назад +1

    Following from Doha 🇶🇦 🇶🇦

  • @halimasulaimani9085
    @halimasulaimani9085 5 лет назад

    Wakwanza mumgu!!wapili mungu na watatu mungu !!nimekupenda bureeee ommy!!!😘

  • @allykivunja5511
    @allykivunja5511 5 лет назад +1

    Goodboy

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 5 лет назад

    Rock stars for ever

  • @giftngailo5442
    @giftngailo5442 5 лет назад +1

    Unajielewa sana

  • @evarisaernest8048
    @evarisaernest8048 5 лет назад +1

    Nice

  • @oseeosea9339
    @oseeosea9339 2 года назад

    Very nice

  • @miambayankeba1084
    @miambayankeba1084 5 лет назад +1

    Uyu jama anabusara saani ila
    Uchawi aache tu bwanah

    • @antoinettedjumapili2522
      @antoinettedjumapili2522 5 лет назад

      Romero Kibutufu Twite unaongea umechawika nae? ongea mambo unajuwa sio ku toroka tu

    • @naiyamjay464
      @naiyamjay464 5 лет назад

      Mungu anakuona ety uchawi una uhakika na unayosema. ...zanaaa mbaya. ...omba msamahaaa Kwa Mungu wako

  • @gogolamavi
    @gogolamavi 5 лет назад +7

    All sey thanks dog dimpo shavu limeanza kuludi

  • @giftngailo5442
    @giftngailo5442 5 лет назад +1

    Nice

  • @ongeshabani8324
    @ongeshabani8324 5 лет назад +4

    Nc maojiano