7:06 Konki Master ameweza sana kutoa ushauri nasaha salute kwa Dudu Baya he's not just an artist but he knows the Music itself. Wabongo wa leo wamepoteza asili ya Bongo Flava naunga hoja ya Konki East Africa tungebaki na mziki wa TAKEU. TUWACHE COPY CATS
Huyu dada snaeishhi na nyoka je? Kapata kibali cha serikali kutoka wizara husika? Mnajua kuna wanyama huwezi kufuga mpaka uwe na kibali cha mali asili?
Mimi katika watu naeshimu sanaaaaaa tena sana ni dudu baya.. Huwa anaongea point Siku zote. Ila tatizo ni Moja tu kwanini wa bongo tuna ushamba sanaaaa katika kitu kitu kinaitwa mavazi. Brother dudu baya kavaa nguo za kibaridi sana afu anajipangusha jasho kila wakati . Uwo ni ku copy wa marekani wanava ivyo vitu kipindi ca baridi sanaaa. Ila video zote za kibongo iwe uyo diamond, nani nani. Munavaa vitu vya baridi sana wakati jua Kali sanaaa la bongo noma. Sini ushamba uwo kweli. Siwaziyi kama Jay-Z, Kendrick,drake,lil Wayne rapper wowote. Kama wakiweza kuja bongo wa kaka sikuu tatu. Siwaziyi kama watavaa izo nguo kwenye joto la bongo😂 bongo tuko washamba sanaaa ki mavazi. Tunaiga sana. Mtangazaji kavaa powa sana nakuendana na hali ya hewa ya Daar.
BIG UP & BIG RESPECT KWA MANENO YAKO RIZK HALALI IS BETTER FOR BETTER OR WORSE
Salute kwa Dudu baya 🇲🇿 mozambique
7:06
Konki Master ameweza sana kutoa ushauri nasaha salute kwa Dudu Baya he's not just an artist but he knows the Music itself. Wabongo wa leo wamepoteza asili ya Bongo Flava naunga hoja ya Konki East Africa tungebaki na mziki wa TAKEU. TUWACHE COPY CATS
Nikweli Legend Dudu Baya, nakubali sana
Safi tunataka interview nying za dudubaya ana madini sana
Hakunaga mzee wa fact tanzania mzima zaidi ya Dudu Baya nakupendaga sana uncle endelea tu big up sana uncle
Tid voice dudu baya
WANGAPI MMESIKIA DUDU BAYA AKIMTAJA KAMETA NA MR NICE , NI KWELI ANACHOSEMA
Konki Master, You are the king of Interviews. Unatisha kwa fact
We live our life man mamba my brother you never disappointed me all time you real know the game
Dude Baya hiyo kofia haivaliwi ndani
Sema tu Mamba napenda the way he is truthfully
Upo makini sanaaaaaa mjomba dudu
Point sana dudu baya
Huyu ndo mzee wa fact sio mr mfupi dudu baya ni mtu na kl
Kweli kaka hapo kwenye ma Dj umeongea point broo
Truth teller , smart guy, big brain ever can't get tired of your interviews shout to you true legend
Dudu baya umenena hapo nimekukubali 😅
Godfrey umeongea point sana kaka angu
waandishi muache sasa😊,,,kila jambo mnapeleka kwa dudu akaliezee😊,,,huyo mwanamziki sio msemaji wa yanayoendelea,,,,na mwenyewe kabweteka tu,,intvw wakija wanaunga twende kazi.😊,,,bora ungetulia zako wcb uende na upepo..
Dudu baya huko vizuri Kwa maneno yako
Siyo tu kumix, hata Spotify kuna playlist za kurusha kama dj tu. Dudu wachane
Salamu dudu mbaya❤❤
dudu bayaa usichezenae utauwawaa dudubayaaaaaaaaaa wangapi mnalijua ilogoma
Mr konk ujawahi Niangusha kwenye Inta Veu
Kweli kabisa dudu
Point bro
Huyu jamaa dudu baya namkubari over is pafect man kijana mtangazaji kuwa makini sehemu unapofanya kazi Usitolewe sadaka 😂😂😂
😂😂😂
kwer mzee wangu
😅😅😅Et utaliwa😊😊
Dudu bay unaakil sana
Huyu dada snaeishhi na nyoka je? Kapata kibali cha serikali kutoka wizara husika? Mnajua kuna wanyama huwezi kufuga mpaka uwe na kibali cha mali asili?
Bongo frava imebwa na mapiano kkkkk dudu baya
Dudu Baya wewe una madini na unaeleweka sana
We jamaa ni mkweli sana hata IQ Yako ni kubwa
Mimi katika watu naeshimu sanaaaaaa tena sana ni dudu baya.. Huwa anaongea point Siku zote. Ila tatizo ni Moja tu kwanini wa bongo tuna ushamba sanaaaa katika kitu kitu kinaitwa mavazi. Brother dudu baya kavaa nguo za kibaridi sana afu anajipangusha jasho kila wakati . Uwo ni ku copy wa marekani wanava ivyo vitu kipindi ca baridi sanaaa. Ila video zote za kibongo iwe uyo diamond, nani nani. Munavaa vitu vya baridi sana wakati jua Kali sanaaa la bongo noma. Sini ushamba uwo kweli. Siwaziyi kama Jay-Z, Kendrick,drake,lil Wayne rapper wowote. Kama wakiweza kuja bongo wa kaka sikuu tatu. Siwaziyi kama watavaa izo nguo kwenye joto la bongo😂 bongo tuko washamba sanaaa ki mavazi. Tunaiga sana. Mtangazaji kavaa powa sana nakuendana na hali ya hewa ya Daar.
Kuna wa🇹🇿 wanamchukulia poa. Ila mm outta Nairobi 🇰🇪 narespect kinoma. Muziki wake freshi. ALAFU ana IQ kubwa sana.... UKISKIA BONGO. Bongo ni akili
Mzee wa madini
👋 🐊
Ishike kamanikav hatakwet wapo wanmahio wengine anamliki fotune af havaaaagi viatu
Kweli kaka hapo kwenye ma Dj umeongea point broo
Kweli kaka hapo kwenye ma Dj umeongea point broo
Kweli kaka hapo kwenye ma Dj umeongea point broo
Kweli kaka hapo kwenye ma Dj umeongea point broo
Kweli kaka hapo kwenye ma Dj umeongea point broo