USIKU WA RAHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 15

  • @MassoudAlly-c9e
    @MassoudAlly-c9e Год назад

    I miss my Zanzibar my Motherland 😭

  • @tatumakadara5793
    @tatumakadara5793 2 месяца назад

    Wimbo huu nilikuwa nairafuta. Hawa kama sikosei ni Jessica Zanzibar mghani ni Mohamed Sekaya cjui yuko wapi sasa. Ingawa picha iliyooneshwa sio wimbo huu..nimefurahi ahsante.
    Nataka mtoto kinda kindaki wa malindi au naad ikhwan safaa

  • @alikundi1159
    @alikundi1159 2 года назад

    Hiii nyimb ynikumbush mengi....

  • @ridhiwaniamour1469
    @ridhiwaniamour1469 6 лет назад

    Moja ktk nyimbo bora kuwah kuzisikia

  • @fahmy622
    @fahmy622 12 лет назад +2

    Zanzibar oyeee

    • @bashirhajji6246
      @bashirhajji6246 6 лет назад

      Watu wameimba zamani sio saiv .kweli vya kale dhahabu

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 7 лет назад +1

    Dah hizi nyimbo za kale Flani hivi mmmh

  • @gideonthumbi
    @gideonthumbi 10 лет назад +1

    Wimbo mtamu kwelikweli!

  • @khalfanmansour1991
    @khalfanmansour1991 6 лет назад +1

    Zanzibar is my heat

  • @aminaosmannoor1565
    @aminaosmannoor1565 9 лет назад +1

    kila nnapo sikiza hi nyimbo yanikumbasha kule kwetu mwabao Malindi kenya

  • @aminaosmannoor1565
    @aminaosmannoor1565 9 лет назад

    alhamdu lilaah na lala salam

  • @rashjovecarnal9962
    @rashjovecarnal9962 5 лет назад

    Dah! Siku hizo nilikuwa napendelea kusikiliza kipindi cha 'lala unono' kilichokuwa kikirushwa na Sauti ya Tanzania Zanzibar kwenye radio ya Bibi yangu aina ya National 277!

    • @kassimprince6188
      @kassimprince6188 4 года назад

      Zanzibar asili haipotei

    • @saheelameir4313
      @saheelameir4313 3 года назад +1

      Mwalim aliuliza darasa zima neno national linatamkwaje wote wanafunzi walikosa walitamka kiswahili mm nikatamka kwa kiingereza mwalim alinipa zawadi. Home kulikua naredio father alikua hunitamkia kiingereza ndio nikalijua. Allah amrehemu huko aliko yy na mama pia

  • @kombomaalim9666
    @kombomaalim9666 10 лет назад

    asili isipotee