BETHLEHEM PANGONI (Official video)- Kwaya ya Mt.Secilia Makuburi DSM
HTML-код
- Опубликовано: 24 дек 2021
- Studio iRis Production #bethlehem #christmas
Tuungane na Mamajusi Tukamlaki, Tukamuone Mtoto, Twendeni hima Twendeni Tukamuone Mtoto, Kaja Kutukomboa.
WIMBO: BETHLEHEM PANGONI
MTUNZI: A. J. MYONGA
WAIMBAJI: MT. SECILIA MAKUBURI
AUDIO: HOLY TRINITY STUDIOS
VIDEO: STUDIO IRIS PRO
KINANDA: A.J. MYONGA.
Instagram: mt.seciliamakuburi
Twitter: mt.seciliamakuburi
Facebook: mt.seciliamakuburi Видеоклипы
KARIBUNI TUSHEHEREKEE KUZALIWA KWA MKOMBOZI WETU KULE BETHLEHEM PANGONI. SUBSCRIBE, LIKE AND SHARE
Hongereni kwa wimbo mzuri
Hongeren kw kaz nzur
Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki katika utume wenu..🙏🙏🙏
Amazing work, asante Mwalimu Myonga kwa utunzi bora👋👋👋👋👋👋👋👋
Kazi nzuri yenye uhalisia wa asilii.
Nawamis Sana kwaya yangu.
May God bless all of us.
Sarute kwa Kamanda angu Myonga.
Muzuri sana wimbo uyu wa kuzaliwa kwake Bwana wetu Kristu Mfalme. Hongeri na mubarikiwe na Baba Mungu. Ashanti sana. Alphonse Marie.
Nyimbo nzuri Sana... Hongereni kwa utume.
Asante sabuni
Kwaya ninayo ipenda mnoo mnazidi kukiwasha hakika namuona Mungu kupitia nyie
Ama kweli hii ni funga kazi ya mwaka, Mungu awazidishie baraka katika uinjilishaji
Myonga shikamoo..... I salute.... Be blessed St Cecilia
Hongereni sana
Kiukweli cesilia mko juu saaana mungu wabariki . nasali kupitia nyimbo zenu. 👏👏👏👏
Myonga unatisha🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hongereni Sana wanakwayamt.csecilia ....kwa uinjilishajii mzuriii.....
Barikiwa sana
SIFA NA UTUKUFU NI KWA MUNGU.
ONGERA NYINGI KWA KWAYA YANGU PENDWA SANA. PONGEZI ZIWANDEE WALIMU WOTE WA KWAYA KWA KAZI KUBWA SANA ILIYO FANYIKA MUNGU AWABARIKI MNOO
Asante sana
Hongereni wapendwa
TANGAZO TANGAZO.... NAWAPENDAAAA
Tunakupenda pia
Hongereni kaz nzuri sana
Hongera kwenu hakika mmeimba vyema
Amakweli cesilia mnanikosha saaaana big up kwa mtunzi wa wimbo huu nikiusikiliza huwa nabakiwa sana mungu aendelee kuwapa vipawa zaidi
Safi Sana Mt. secilia Makuburi huwa mnanipa Raha sana
Asante sana
Mungu azid kuwabariki
Hongereni saaana. Mwaka huu nasali makuburi kwa ajiri ya wimbo huu ❤❤❤❤
Wow kazi nzuri, Mungu awaongoze na awaeke sawa mbaki kuwa ktk mshikamano wenu pamoja na umoja
Woow😍Amina sana, Mungu akubariki sana 🙏
KaI nzury sanaaa
Hongereni sana kwa kazi nzuri. Keep it up
Kazi nzuri 🔥
Kazi nzuri Sana Mt secilia
Asante sana
Mbarikiwe Sana kwa uinjilishaji wenu mungu awatie ngumu mdumishe umoja wenu hakika mtafanya makubwa na ya ajabu
Hongereni sana my lovely kwaya; Mungu aendelee kuwainua na kuwakirimia Neema na Baraka tele ili muendelee kumtangaza Mungu ulimwenguni kote!!
Asante sana
Hongeren sana mungu awalinde muendelee kufanya vizuri
Ningekua Dar basi ningekua muimbaji wa hii kwaya love ya'll ❣❣❣❣❣merry Christmas Mt.cesilia
Itatimia one day
Karibu sana
Hongera 😘🎶🎶
Mt sesilia makubur hongeren kwa nyimb nzur
Merr , na wengine umependeza sana
Tunashukuru sana 🙏🙏🙏😃😃
Hongera kwenu kwaya ya Mt. Secillia nyimbo ni nzuri mnoo
Wowooooo mmetishaa saana🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Asante sana
Wow🥰
Hongereni Sana kwa wimbo mzuri na video nzuri pia. Mmecheza uhalisia Japo nimewakumbuka Sana ❤️
Wooow... Kazi njema sana😇🥰
Hongereni Sana, Mungu azidi kuwakweza ,🙏
Waooooo,asanteni kwakuzidi kutuinjirisha kupitia uwimbaji wenu. Samahani lkn dada zangu upande wa vazi la kanga kuacha mabega wazi hapana
Hongeren Sana Kwa wimbo Mzuri hakika Amezaliwa🔥🔥🔥
Hongereni sana wanakwaya wenzangu Nimeipenda sanaaaa
Hatariii❤❤❤ napenda sana hii kwaya
Hongereni kwa kazi nzurii
🙏
🔥🔥🔥🔥🔥
Hongereni sana👏👏👏👏👏 uyu Majige kama myahudi😂😂😂
🔥🔥🔥inabariki
Great songiii
Nice
Eeee bhn weeee mambow si ndo haupo yaa sesilia ,,mzidi kubarikiwaa jmn daaa I love you
We love you too
@@KwayaYaMtSeciliaMakuburi ❤️
Kmsm Ni nyumbani kwako. ukuje haraka. Majuku yapo na hayaishi maana nisehemu ya maisha
Kabisaaa an I wish siku Moja tuwe pamoja ❤️
Hongereni sana mt Cecilia kwa uimbaji mzuri, hongera kwa walim wa kwaya hii especially binam yangu A.J Myonga
Hongeren sana.
Hongera sana kwaya ya taifa mt. Cesilia kwa nyimbo nzuri zinazobarki 🙏🙏🙏
Asante sana
very nice
Ongereniii sanaa 👏👏👏🤝
Asante sana
Waoooo! Congre sana my choirs mmeupiga mwingi
Asante sana
Just beautiful. Ngoja tusambaze upendo huko duniani.
Asante sana
Weraweraaaaa💃💃💃💃hatupoi mzeeee
Aseeee mnanipa Raha Sana nyie watu😘😘
Mzidi kubarikiwa Sana my family
Zaidi ya yote sifa na utukufu Ni kwa Mungu Aliewapa vipawa hivi
Asante
Kwa kweli mungu anawabaki sana kwa kazi mnayoifanya .mubarikiwe saaaaana.
Kwa kweli mungu anawabaki sana kwa kazi mnayoifanya .mubarikiwe saaaaana.
Good Melody Good Vocalist Good Music am be happy to lisen This Song 💃💃💃💃
You never disappoint me guys ❤🌹🌹🌹
Ayeee!!! 🌲🌲
Asante sana
💥blessed xan.....
Karibu kaka
Wimbo mtamu hauchoshi kuusikiliza
woooh 💥💥💥 lovely family 😍😍
Asante sana
Barikiwa mwanakatwe karibu Makuburi mt.secilia
Wimbo mzuri Sana huu
AMAZING Track 📀
FIRE TRACK 🔥VIBE COOL!❤
Naupenda huu Wimbo 👍👍👍👍👏👏😁 very well done 👍 I love you guys. Really beautiful😍😍😍👍
We love you too
Secilia tunakupenda zaidi na tumekuletea ukipendacho. Hebu wape link jamaa zako nao waonye utamu wa muziki mtakatifu
Mungu awabariki wote waimbaji
🔥🔥🔥🔥🔥 waoooooooh
Merry Christmas 🎅 🎄
Wimbo mzuri, idea ya video nzuri sana, costumes, location, zinavutia sana na zinaendana .....
Ila ubora wa video sio HD...mjitaidi kupost video zenye quality ya picha Bora.
Shukrani sana kwa maoni yako..
Kuhusu quality ya picha nenda pale mkono wa kulia juu kabisa at the corner,bofya apo then chagua quality walau 720 au 1080 ile ya mwisho itakung'arishia picha yako..Heri ya Krismas na tunakutakia mema katika kuuaga na kuukaribisha mwaka
Mwamba ni Mwamba 🔥🔥🔥
Asante kwa comments