TOA (Official Video)- Mt. Secilia Makuburi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 ноя 2021
  • #KMSM#studioirisPro
    Thamani ya Upendo ipo katika kuTOA, na unapoTOA ndipo unabarikiwa zaidi.
    WIMBO: TOA
    MTUNZI: BERNARD MUKASA
    WAIMBAJI: Mt. Secilia Makuburi
    AUDIO: HOLY TRINITY STUDIOS
    VIDEO: STUDIO IRIS PRO.
    KINANDA: A. J. MYONGA
    MAWASILIANO:
    Email: @seciliamakuburi@gmail.com
    Simu: +255 717 001 122
    Instagram @mt.seciliamakuburi
    Twitter @mt.seciliamakuburi
    Facebook @mt.seciliamakuburi
    SUBSCRIBE, LIKE AND SHARE.
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 103

  • @KwayaYaMtSeciliaMakuburi
    @KwayaYaMtSeciliaMakuburi  2 года назад +9

    Asanteni sana kwa upendo wenu. Tuendelee kuitazama kazi yetu na kusambaza kwa watu wote. ❤❤❤❤

  • @devotamiango6265
    @devotamiango6265 2 года назад +5

    Mmmmm mmeua kwaya ya taifa nawapenda Mungu azidi kuinua vipaji vyenu kuzidi kumtumikia 😍😍😍😍😍

  • @c.a.sindanotano3242
    @c.a.sindanotano3242 2 года назад +3

    Mmetishaaaaa

  • @josephatmsomi4917
    @josephatmsomi4917 2 года назад +4

    Thamani ya Upendo Ni Kutoa. TOA kila Kitu kwaajili ya Wenzako. Utabarikiwa

  • @Ntanguligwa
    @Ntanguligwa 2 года назад +4

    Safi sana

  • @andrewmushi281
    @andrewmushi281 2 года назад +3

    Hongeren mnoooo

  • @lucymgimba5463
    @lucymgimba5463 2 года назад +3

    Hongereni Sana video nzur sauti zimetulia mpangilio Safi ilove it

  • @barakadaniel8774
    @barakadaniel8774 2 года назад +5

    Ukisha toa, Toa tena, vikisha toa nafsi yako.

  • @deboramwadangalasoundoflov5953
    @deboramwadangalasoundoflov5953 2 года назад +3

    Nyie watu ni hatari sanaaa

  • @emilshayo4403
    @emilshayo4403 2 года назад +3

    I love you kijiji changu pendwa KMSM...... Hailafyuuuuuuu much

  • @mitaocamilliusthegreatest9068
    @mitaocamilliusthegreatest9068 2 года назад +2

    Hongereeni Sana mt. Secilia mbarikiwe Sana nawakubali Sana watu wangu wa nguvu! Salamu nyingi kwa kaka Myonga

  • @stephensanga
    @stephensanga 2 года назад +3

    Hakika upendo ni kila kitu katika maisha yetu haya, wapendwa tupendane. Hongereni wanakwaya ya Mt Secilia Makuburi

  • @frankalexmwacha6921
    @frankalexmwacha6921 2 года назад +3

    Nzr

  • @denismaunda3102
    @denismaunda3102 2 года назад +4

    Unyama Huu Hadi Impala Mkafanya Unyama Nyie ni Threats😀😀

  • @barakajoseph7175
    @barakajoseph7175 2 года назад +4

    Nimepata playlist mpya kabla ya x-mass😊😊😊🔥🔥🔥🔥🔥

  • @barakajoseph7175
    @barakajoseph7175 2 года назад +5

    Sema hii arrangement ni moto bhana tuache utani nyie🔥🔥🔥

  • @marynessmelchiory3433
    @marynessmelchiory3433 2 года назад +4

    Nyieeee😍😍Hongereni sana kwaya yangu KMSM na wazalishaji wote wa kazi hii. Pendo lisambaeee...#Upendonikutoa💌💝

  • @jonsiamarcus5863
    @jonsiamarcus5863 2 года назад +3

    God bless you 😍😍
    Wimbo mzuri sana keep it up
    Be blessed 🤗😘😍👏👏
    Livinus tulikuwa wote now umekuwa 😋😋
    Vizuri kijana wangu 👏👏👏👏

  • @hebronkiyeyeu4889
    @hebronkiyeyeu4889 2 года назад +3

    Paul maduhu hahahaha

  • @michaelkithembe
    @michaelkithembe 2 года назад +4

    Studio Iris Pro 😍😍😍

  • @francischief8188
    @francischief8188 2 года назад +1

    Mt.secilia makuburi Hongereni kazi nzuri

  • @elizabethmartin8846
    @elizabethmartin8846 2 года назад +1

    Hongereni sana kwa kazi nzuri,.hakika wimbo una ujumbe mzuri ...mzidi kubarikiwa 💪👏

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri 2 года назад +3

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @franciskagunda3461
    @franciskagunda3461 2 года назад +1

    Naomba Nota jameni.
    Kaz mzuri mbarikiwe sana

  • @ephelbrandstudios1300
    @ephelbrandstudios1300 2 года назад +3

    hongereni sana kwa kazi nzuri, pia pongezi zimuendee director wa wimbo huu, yaan so creative

  • @elizabethsimion6956
    @elizabethsimion6956 2 года назад +1

    Wimbo mzr sana.... mbarikiwe kwa utume

  • @ericktemba192
    @ericktemba192 2 года назад +1

    Safi sana ujumbe mzito huu TOA

  • @julianagowele9163
    @julianagowele9163 2 года назад +3

    Kazi nzuri. Hongereni kwa uinjilishaji kwa njia ya nyimbo

  • @josephsabuni795
    @josephsabuni795 2 года назад +3

    Hongereni kwa utume, iko poa sana...

  • @sarafinafranci8481
    @sarafinafranci8481 2 года назад +1

    Asante sana, amina Mungu awabali sana mzidi tuinjirisha.

  • @petertonix
    @petertonix 2 года назад +3

    Hongereni kwa kazi nzuri

  • @mwamasagemaria8810
    @mwamasagemaria8810 2 года назад +4

    Hakika mungu ni mwema mzidi kubarikiwa kwa kalama mlizojaliwa ili tuzidi kubarikiwa sote 🙏🙏kuimba ni kusali mala mbili tumuimbie bwana.........

  • @anthoniamkula1079
    @anthoniamkula1079 2 года назад +4

    🙏🙏🙏

  • @niceforusmgaya8109
    @niceforusmgaya8109 2 года назад +4

    Hamjawahi kufeli familia ya KMSM huu mwaka yafaa tuuite "Mwaka wa Upendo" 🙏🙏

  • @chrisssalmon3175
    @chrisssalmon3175 2 года назад +3

    Gwaraaaa... nyimbo nzuri video nzuriiiiiii

  • @theresiajoseph1943
    @theresiajoseph1943 2 года назад +5

    Hongerenii sanaa kwaya ya mt Sesilia makuburi.... Hongera organist ,mtunzi wa wimbo huu mzurii studio iris nawote mliofanikishaa kazii hiii 📷🎶🎶♥️♥️

  • @elizabethmwanakatwe6033
    @elizabethmwanakatwe6033 2 года назад +4

    waooooh🔥❤❤

  • @happinessmwingira5722
    @happinessmwingira5722 2 года назад +2

    Hongereni sana kwa kazi nzur , hakiki upendo ni mwanga 🥰👏👏👏

  • @marychrisant2308
    @marychrisant2308 2 года назад +1

    Hongereni kwa kazi nzuri sana

  • @despinae.mdende
    @despinae.mdende 6 месяцев назад +1

    Hongeren Sana watu wa Mungu kazi nzuri sana

  • @mahangatv2255
    @mahangatv2255 2 года назад +1

    Mtakatif Cecilia hajawah kukosea

  • @scholasticakalimba2828
    @scholasticakalimba2828 2 года назад +3

    Hakika pendo lisambae, hongereni sana wapendwa

  • @NTM9320
    @NTM9320 2 года назад +3

    Kazi nzuriiiii

  • @veronicamende2702
    @veronicamende2702 2 года назад +2

    Hongeren sana Kwa wimbo mzuri hakika Upendo ndio kila kitu Katika Maisha yetu

  • @tedrinaevaristo2289
    @tedrinaevaristo2289 2 года назад +4

    Ujumbe mzuri sana huu nawapenda💕💕💕💕

  • @peterswai296
    @peterswai296 2 года назад +1

    Nzurii hongereni

  • @levinasoka1685
    @levinasoka1685 2 года назад +2

    Upendo Ni kila kitu....! Hongereni Sana Wana kwaya wote wa KMSM na wote walioshiriki kuandaa kazi hii.
    I love my Choir...! Nimewamiss Sana pia.

  • @elvanusndyamukama4122
    @elvanusndyamukama4122 2 года назад +5

    Hongeren Sana hakika mnainjilisha vyema basi hisiishie tu kurecordiwa mkakaa nayo ishambazwe ili kupitia nyinyi upendo usambae kwa watu wote👏👏👏

  • @emmanuelkiio592
    @emmanuelkiio592 2 года назад

    Studio Iris Pro, kazi nzuri, KMSC, tunawapenda sana na kazi zenu nzuri, tunaomba Nota za huu wimbo

  • @felicianmwileng4734
    @felicianmwileng4734 2 года назад +2

    Hongereni sana kwaya yangu, Mungu aendelee kubariki kazi hii ya uinjilishaji, 👌👌👏👏

  • @jonaskweyamba9747
    @jonaskweyamba9747 Год назад +1

    Much congrats St Cecilia for good song

  • @irenekagoa5314
    @irenekagoa5314 2 года назад

    Amina nyimbo nzuri nimebarikiwa kukutia nyimbo hii leo

  • @vincentkemwa4190
    @vincentkemwa4190 Год назад

    Wimbo mzuri sana, naweza kupata nota zake kweli, mzidi kubarikiwa

  • @patrickmndeme7754
    @patrickmndeme7754 2 года назад +5

    Hongereni Kwa kazi Nzuri.
    Iris Pro📷 kazi Safi sana

  • @januarius-js2xl
    @januarius-js2xl 3 месяца назад

    Hongereni sana Wana Makuburi kwa utume mwema

  • @livinusgrenus2759
    @livinusgrenus2759 2 года назад +3

    🔥🔥🔥🔥

  • @paulonkunga271
    @paulonkunga271 2 года назад +1

    👏👏👏ongereni

  • @jacklineorestry806
    @jacklineorestry806 2 года назад

    Hongeren sana kwa kuinjilisha Mungu aendelee kuwabariki

  • @ditrammgimba2759
    @ditrammgimba2759 2 года назад +3

    Hongereni na leo mmefanya vizuri mno kwenye tamasha la Yesu ni mwema

  • @christinabony3969
    @christinabony3969 2 года назад +4

    Hongeren sana rafiki zetu mmetoa kitu bomba jaman TUPENDANE kama tunavyoambiwa na hao waimbaji 💔

  • @mt.cesiliampanda7062
    @mt.cesiliampanda7062 8 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤ wimbo umejaa tafakari ya kutosha

  • @kmsbkwayayamt.sebatianchab2781

    Hongerni kwa kaz nzuri

  • @gideonhenry5938
    @gideonhenry5938 2 года назад

    Nzuri sana hii

  • @mkapakalikene9042
    @mkapakalikene9042 2 года назад +1

    Hongereni sana nyimbo nzuri ♥️

  • @annakapugi618
    @annakapugi618 2 года назад +1

    It is heavenly

  • @praykileo2634
    @praykileo2634 2 года назад

    Nzur sana

  • @aloycesemkalami
    @aloycesemkalami Год назад

    Nawapenda buleee

  • @petergeorge7757
    @petergeorge7757 2 года назад +4

    Beautiful

  • @edwardmasembe5666
    @edwardmasembe5666 Год назад +1

    Thank you very much for this very beautiful , wonderful and very much UPENDOful Song / production.
    It actually generates UPENDO.

  • @paulyohanemaduhu9772
    @paulyohanemaduhu9772 2 года назад +3

    💥💥💥💥💥💥

  • @holyfamilymedia1325
    @holyfamilymedia1325 2 года назад +9

    Cogratulation St Cecilia Makuburi.On behalf of Sam Magima family and friends I would like to thanks God for giving us you guys to do search wonderful work. The COMPOSER is wow, audio super, SINGERS excellent Video hapo ndipo mliweza. Studio Iris pro are doing very best work around actually very creative guys .I have experience with them here in Kenya.
    always proud of you .
    May God give you More energy and good health to more.
    Watching it 5times

  • @ayubj.myonga4694
    @ayubj.myonga4694 2 года назад +3

    Kazi kubwa kutoka kwa kwaya kubwa

  • @genesshayo286
    @genesshayo286 2 года назад +1

    Kaz nzr

  • @jameschacha8790
    @jameschacha8790 Год назад

    Hongereni sana

  • @kmsbkwayayamt.sebatianchab2781

    Tumimbie bwana naombeni kopy ya wimboo huu wapendwa

  • @pascalinasarakikya7710
    @pascalinasarakikya7710 2 года назад +1

    🤗🤗❤💖

  • @patrickmndeme7754
    @patrickmndeme7754 2 года назад

    Maestro umetishaaaaaaaaaa

  • @patriciaburure2851
    @patriciaburure2851 2 года назад +2

    I just Love this song, the rilycs are very powerful, the voices so angelic and the video matches it all. Let Love lead, if it finishes please give out yourself for the Love. From Nairobi🥰🥰

    • @KwayaYaMtSeciliaMakuburi
      @KwayaYaMtSeciliaMakuburi  2 года назад

      Thank you Madame Burure.
      We thank God too for this; because it is God will. You support it's energize the choir to walk a step ahead.please stay with us because your part of Secilia choir. Thank you once again and God bless you

  • @shepherdhermas6763
    @shepherdhermas6763 2 года назад +1

    Sweet song🤩💝

  • @suzyjohnson-ku3pb
    @suzyjohnson-ku3pb 8 месяцев назад

    God

  • @benjaminmuisyo131
    @benjaminmuisyo131 2 года назад

    Good

  • @VicensiaEvarister-io8xk
    @VicensiaEvarister-io8xk Год назад

    Sorry Jaman nmetafta nota za wimbo huu sjapata nauliza naweza nkapataje