Mt. Kizito Makuburi - Mbinguni Furaha (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2023
- Hatima ya Maisha ya Mkristo hapa Duniani ni Maisha mengine ya Umilele na Watakatifu huko Mbinguni.
Huko Mbinguni kazi ni moja tu, kuimba pamoja na Malaika na watakatifu wote tukikizunguka kiti cha enzi cha Mwenyezi Mungu.
Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi inakukaribisha kuutazama wimbo mzuri unaohusu maisha hayo ya umilele huko Mbinguni.
WIMBO: MBINGUNI FURAHA
WAIMBAJI : KMK MAKUBURI
MTUNZI : BERNARD MUKASA
ORGANIST : FRIDOLINUS MUSHOBOZI
AUDIO BY : HOLY TRINITY STUDIOS
VIDEO BY : IRIS EMPIRE & KMK DIGITAL PRO
SCRIPT WRITER : HENDRY KIMARIO
DIRECTED BY : HENDRY KIMARIO & IRIS EMPIRE
SUBTITLES BY: DICKSON NYAMWIHULA
Usisahau kusubscribe, like na kucomment.
MUSIC SCORES : www.kmkmakuburi.co.tz/pdf/Mbi...
You can support evangelism through
Welcome to KMKMAKUBURI
You can support evangelism through
⭐MPESA TILL NUMBER🇰🇪: 9948385
NAME: EVELYN JEPKEMEI
⭐MPESA LIPA NAMBA 🇹🇿: 5425652
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐MPESA 🇹🇿: +255742000089
Name: KWAYA YA MTAKATIFU KIZITO
⭐Bank Name: Kenya Commercial Bank (KCB)
A/C No: 3390899162
Name: KWAYA MT. KIZITO - MAKUBURI
Branch: OYSTERBAY -Dar es Salaam, Tanzania
Swift code: KCBLTZTZ
#MbinguniFuraha
#kmkmakuburi
#35thKMKannivessary
#miminaneema Видеоклипы
Tukubaliane MAKUBURI wataongoza makundi ya Mziki tukifika mbinguni... tukubaliane mapema tu..
Makuburi wana utofauti wao tukubaliane na hilo kwanza ❤🎉
Hilo linaeleweka Dunia mpaka ROMA mbona wanajua kuwa kuna MAKUBURI hawa hata uwaweke Pale VATICAN misa itaenda tu, wako Extra mile sana tu they know
Kabisa 🎉
Halipingiki
Naunga mkono hoja
Mbinguni raha..jameni wanamakuburi mko kiwango kingine..hakuna choir inawafikia tuseme tu ukweli..Niko Nairobi Kenya lakini sioni wa kufafanishwa nanyi..mola aendelee kuwazidishia 🙏🙏🙏
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Mnajua anajua mnajua saaaaana, talanta hii ufunikwe kwa Damu ya Yesu adui asiwasogelee muhubiri mpaka viziwi wasikie, I like what you do as your my fist choice in catholic church oooooh! God bless you all #bernardmukasakongolekaka🎉
Leo ni wa kwanza kwenye comment, hatimaye official # mbinguni raha.
Toka DRC, mji mkuu wa Kinshasa. Hakika nimebarikiwa mno. Mungu awazidishiye nguvu na vipaji télé. Aksanti sana kwa mtu zi bora barani Africa, Bernard MUKASA
Mt.Kizito mpewe maua yenu. Hamjawahi kupoa. This song is on repeat. From Mimina,Apewe Sifa,Nusu kwa Nusu now this. You are blessed.
Naupenda huu wimbo ngoja niendelee kuukariri ili niwe naimba na nyie Kanisani🙌😅Hongereni Sana Kwa kazi nzuri👏👏👏
Jomon ❤️🥰❤️ Hatimaye wimbo niupendaoo... congratulations 🎉🎉
First kenyan frm mks.wapi likes
MT.KIZITO
MKO VZR MNOOOO ,NATAMANI MJE KIGOMA KUTANGAZA INJILI
Tr Zack nakucheki....much support from St Bakhita choir st Peter Claver....kwa kweli kusifu raha
any catholic song i click its so nice may the composers of the song be blessed and may you never lack what asked from the lord its you who make the catholic church so lively and fully honoured by many
Mungu awe nanyi kwa nyakati zote hakika kizito mwatupa furaha maishani mwetu 👏
Mapenzi yangu kwenu niyakiwango cha juu zaidi. Mungu aendelee kuwadumisha...🙏🏾
Hakika mbinguni Raha Congratulations KMK, congratulations BM, Congratulations iris empire, Congratulations KMK digital kwa pamoja tuendelee kusunguka sunguka Na bwana Yesu🙏
Hongera kwa wimbo bora zaidi.Ninatamani kufika mbinguni.
Dah,nyie wanamakuburi,kill kujao ni kibao cha nguvu,Wimbo huu ni wa baraka kweli,mkabarikiwe sana Kwak kuwabariki kanisa la mungu!!!
Sauti kama kinanda. Penda nyinyi sana.
Hongeren sana Wana kmkm Mungu azid kuwaongoza katika utume wenu HAKIKA tunapata yaliyo mazuri kutoka kwenu
Kazi safii,,,,Thanks for the honor to launch the album in Holy Trinity millimani parish Nakuru diocese
Mbinguni furaha 🙏🙏🙏
Hongereni sana KMK kwa kazi nzuri ya Uimbaji, nimefurahi zaidi kwa creativity za Studio Iris Pro. Mungu awatunze nyote.
Tukutane Dodoma Mwezi wa 10 kwa Baraka zake Mungu ili tuendeleze kumuimbia kama tutakavyofanya huko Mbinguni kwenye Raha na Ngome ya Nguvu.
❤❤ napenda bure MUNGU azidi kuwalinda muendelee kumwimbia milele
Amina naitaka nyimbo ya pasaka mkiwa mmevaa sale zenu.
Wimbo safi nmefurah kila kona dairekta katsha sana piah heko na kongole kwa mushoboz so kwa mipedo hyo kaka ametsha organist mkubwa Africa mwamba hy mipedo imekoma
Nyimbo nzuri 💯💯
Amina wakatoliki tumeanza improve kwenye video. Video zetu zilikua poor sana. Bravo
Safi sana
You guys produce like the best catholic songs I have ever heard in my whole life God bless you guys Mungu awabarili❤❤❤
Ni kweli
Mtindo wa kipekee Dunia nzima, very talented people.Brain work gospels
Nyimbo zao zinawaka na zinachoma kama moto hapa kwetu kenya 🔥🔥🔥
MAKAUBURI kwenye UBORA wao Since day One... Appreciate You
Salamu kwa the talented Benard Mukasa, Mungu azidi kuwabariki KMK
Lovely song 💖🎉makuburi never disappoint 👏👏👏👏👏🌹🌹🌹🌹🔥🔥🔥
Amina
Nafurabishwa sana jinsi mnavyopanga miziki vipao ni baraka katika kila kiumbe .......Nakuru imezizimka kabisa
This man Mukasa!!!!!!! Ohhhh live long kaka. Wakristu wenzangu kuleni Chuma hichoooooo. Asanteni wanakwaya, Kwa kuutendea haki Huu wimbo. My heart is thrilling with joy!!¡!!!
Nyimbo zenu raha sana
Wimbo mzuri sana... Mungu awabariki
Best RC choir
Mbingun Raha kweli ,mungu awbariki viongoz
Haina kufeli Empire Boyz
UZOEFUU PIA UNASAIDIA....HALAFU WATO WA JIJI KUUUU
Tumtumikie MUNGU ili tufike maana raha na furaha tutazipata
Hongereni kwaya Ya Makuburi.. Kweli mbinguni Raha na Furaha.
Pongezi kwenu Wana makuburi kizito
Beats check, Voices check, dances check, cladding check ❤❤❤ my people doing it again. Kweli Kuna Raha ata kuskia tu Sauti zenu Wana KMK ❤❤❤ I love you guys Mungu awabarike ❤❤❤❤it never a boring day when I here your voicesss ❤❤❤❤🔥🔥🔥💯😘😘😘
This song is very touching more and more until my last breath my Catholic followers.
video producer +director salute kwako. video content is awesome.
Sauti zilizobarikiwa... Asanten xana kwa nyimbo nzur
Nmevutiwa sana na wimbo hongereni mungu awabariki sanaaa❤
Wimbo mtamu. Keep it up 💪❤
Asante sana mbarikiwe
❤❤❤❤❤Tutazunguka kote koteeeeee
Benard Mukasa at it once again central to the melody, lyrics and the composition, you have never disappointed me ever since O started following you, always unique!! Mbinguni kuna Raha🙏🙏👍
nafalijika sana na nyimbo zenu kazi zuli sana mungu awabaliki
Undisputed 🎉🎉! Mungu ni mwema sana! Sifa ma utukufu ziende kwa Mungu kwa kuifanya hii kwaya iwe sehem ya burudani na vibe hatari! Mbalikiwe sana
Smartness, vigorous Dance, smile's kwa kila mtu
You never disappoint me always brings best and good sound, I love you all the way from south africa
tuna endelea kuxunguka na bwana yessu❤❤❤
Naunga mkono mbinguni raha❤
Very happy to see you live on your new launch Mbinguni Kuna raha at Holy Trinity Mlimani ❤❤❤
Makuburi mpo vizuri sana
Mwenyezi Mungu awabariki
💃💃 kweli kabisa mbinguni raha
Mubarikiwe watumishi wa Bwana kwa kazi njema ya Utume
Mbinguni kuna Raha na Furaha ❤💯
Touching song wanapa ngongore wana St kizito
Mbinguni ni furaha🔥🔥🔥🔥🔥👌
Hongereni! Kwa kutuinjilisha
At laaast. Been loving this song but it was nowhere to be found❤❤❤ si mnajua kuna zingine mob bado tunazihitaji.. Zitendeeni haki basii
Woow! Bravo KMK, and kongole also to the composer himself, mwamba Ben (the son of Mukasa) 🔥🔥🔥 Hakika Mbinguni ni furaha,, Gonna get there soon 😊
Huyu jamaa kashindikana
Mbinguni ni raha 💯✅
Hakuna kupinga.
🔥🔥🔥🔥🔥
Great vocals 👏
Baba mukasa🙌🙌🙌🔥
❤❤❤❤❤❤❤❤Tutaenda kwa yesu kweli binguni ni Raha kweli
This is your best work yet! ❤❤❤❤ @kmk is the best yet
Am here after seeing you guys performing today in Nakuru Kenya at Holy Trinity Mlimani - Nakuru.
Beautiful voices and performance.... Mc Meso
Proud of you
this one is super amezzing,l have seen live performances but original is finally with us
Nzuri sanaaaa wapendwa 👏👏👏
Mnatisha na Mungu awabariki sana
Noma noma Sana ahsanteni Mungu azidi kuwapa sauti mfano wa sauti za amalaika wa Mbinguni!! Karibu Tabora nimewaandalia dumu la asali
Hongereni sana kwa utume mwema, wimbo mzuri ❤❤
Great job... keep it up 💪
KMK 🎉🔥🔥🔥🙌🙌🙌🇰🇪
Mungu awatie nguvu
♥️♥️♥️♥️🥰🥰🥰 nmechelewa wap leo tuuu
Asanten kwa kuutendea moyo wangu haki 🙏🙏🙏Barikiwen tuu kila wakati, Nawapenda daima
Hongera KMK
KMK mnajua sanaa❤😊, Mungu azidi kuwatumia daima😊
Wa kwanza kuangalia😅
That bass line😤🔥
Finally out😅❤. My all time best best song. Thank you so much KMK. Best voices.
Ukweri mkovixiri❤
hongereni Sana
Waoooh amazing sana🌹💐
Hongera Kwaya ya Mtakatifu Kizito ❤🙏
Role models wa kwaya za katoliki zote
From Kenya,best Catholic music is from Tanzania.