GHARAMA ZA MABADILIKO - JOEL NANAUKA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 48

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Год назад +2

    Kaka @Joel kiukweli mimi namtukuza Mungu kwaajili yako kubamuda najikuta sielewi nifanye ila nikiingia kuku sikiliza napata nguvu yakuinuka tena barikiwa zaidi wewe na familia yako

  • @BesthaMapundaNgatunga
    @BesthaMapundaNgatunga Год назад

    Kaka joeli acha unatugusa sana.

  • @felixrobert9734
    @felixrobert9734 Год назад

    Hii video nimeirudia zaidi ya mara 10 ill nipate kuielewa zaidi hongera san kaka joel

  • @moviesreview101
    @moviesreview101 Год назад +2

    Wa kwanza Leo kupata darasa.

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 Год назад +2

    Shukrani kaka, uko sahihi kabisa Kuna mda inabidi tubadilike kama tunahitaji mafanikio❤❤

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n 4 месяца назад

    Maarifa makubwa sana Asante sana Mwalimu MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki

  • @emanuelmanfred9856
    @emanuelmanfred9856 Год назад +3

    Shukrani kaka, kwa kweli nakuitaji zaidi kwa ushauri natamani nikuone.

  • @eyoboboytzeyobo1187
    @eyoboboytzeyobo1187 Год назад

    Nakubali bro nanauka

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n 5 месяцев назад

    Asante sana MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki Sana

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Год назад +1

    Kweli mwalimu nimwachana na marafiki wenghine nanikajikuta nikiwa mbali sana

  • @pudensianachristopher6239
    @pudensianachristopher6239 Год назад

    Barikiwaaa

  • @HappynessKinongo
    @HappynessKinongo 8 месяцев назад

    Ubarikiwe sana

  • @JoyceHaule-o8c
    @JoyceHaule-o8c 7 месяцев назад

    Kweli kabisa inabidi uache kitu ufanye kitu inabidi uhame sehemu moja kwenda kwengine duuuu nakukubali Joel

  • @user-bj4vy1wn4t
    @user-bj4vy1wn4t Год назад

    Bro am always following you, thank you so much I appreciate you najifunza mengi kutoka kwako

  • @HaniyaKisingo
    @HaniyaKisingo Год назад +1

    Darasa zuri sana kaka Joel barikiwa🎉❤

  • @AzaliaGeofrey
    @AzaliaGeofrey Год назад

    Nashuru unatusadia na kutujenga

  • @imanivalence6705
    @imanivalence6705 11 месяцев назад

    What a advice

  • @jacksonmollel9749
    @jacksonmollel9749 Год назад +1

    Amina mtumishi wa MUNGU,nimefurahishwa sana kwa ujumbe huo,Mimi ni mtanzania lakini nipo Kenya ni mchungaji hapa Kenya,nimetiwa nguvu na ujumbe huu wa kuachana na vitu vingine kwa ajili ya mabadiliko

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Год назад

      Ameen Mtumishi, nakutakia mafanikio katika huduma yako. Tuendelee kujifunza.

    • @jacksonmollel9749
      @jacksonmollel9749 Год назад

      @@joelnanauka Amina mtumishi wa MUNGU, nimeshukuru pia kwa reply Yako,naomba tukijaliwa mwakani kabla ya Mwenyezi wa nne uje Baba

    • @FrancisTossy-zy2tu
      @FrancisTossy-zy2tu Год назад

      Ameen Ameen

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Год назад

    Ahsante Brother

  • @abuhaydatOmar
    @abuhaydatOmar Год назад

    Really bro and you are the rock

  • @emanuelchanya5182
    @emanuelchanya5182 Год назад

    SAHIHI SANA INASAIDIA,INATIA HAMASA NA UJASIRI WA KUSONGA ZAIDI

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 Год назад

    ❤❤❤❤❤hongera pro

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Год назад

    Tatizo langu kubwa ni kutohama eneo

  • @hakizimanagerome9274
    @hakizimanagerome9274 Год назад

    Hiili somo naomba uyifanye iwe ndefu madakika aongezeke ama iwe saa imoja

  • @Edithliud-wc6vf
    @Edithliud-wc6vf Год назад

    ❤❤

  • @jacksonmollel9749
    @jacksonmollel9749 Год назад

    Karibu Kenya mtumishi wa MUNGU huku Kenya tunahitaji mafundisho sana

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Год назад +1

      Nashukuru sana. Naamini nitakuja. Tuwasiliane🙏🏼

  • @tumainselestine3398
    @tumainselestine3398 Год назад

    "Maneno yapendezayo ni kama sega la Asali;
    Ni tamu nafsini na Afya mifupani".

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Год назад

    Shukran

  • @malupex6299
    @malupex6299 Год назад

    Asante kaka@ very impressive..

  • @jadenisaacj169
    @jadenisaacj169 Год назад

    Shikrani sana coach wa biashara yangu

  • @piuskarega3476
    @piuskarega3476 Год назад

    Good job

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    Massage ✍️✍️✍️

  • @hakizimanagerome9274
    @hakizimanagerome9274 Год назад

    Yes yes yes

  • @michaelminja
    @michaelminja Год назад +1

    Sauti haipo vzr mziki wa underground upo juu sans

  • @DavidEmmanuel-kt9te
    @DavidEmmanuel-kt9te Год назад

    Kweli kaka joel wakati mwengine lazima kulipa gharama ya kujitoa na ata watu waliofanikiwa walilipa gharama ya kujitoa

  • @eliastanda9825
    @eliastanda9825 Год назад

    Kaka naomba utuandalie video inayohusu how to survive in the crises nimejalibu kutafuta nimeikosa may be hujawah iweka au ipo na kichwa kingine majanga nayozungumizia hapa Ni Kama Corona ilivyokua au Vita vya dunia Yan Yale majanga ya kinchi au dunia kabisa make kweny Corona uliibuka na kuuza Sana vitabu na pia ulipataje nguvu za kuandika vitabu ilihali wengine tunawaza kufa

  • @aikajaphet1108
    @aikajaphet1108 Год назад

    👌

  • @emmyngadada3521
    @emmyngadada3521 Год назад

    Sorry,hicho kinanda kinazid sauti ya mzungumzaji

  • @abuhaydatOmar
    @abuhaydatOmar Год назад

    Really bro and you are the rock

  • @abuhaydatOmar
    @abuhaydatOmar Год назад

    Really bro and you are the rock