Hawana talent ya kuigiza. Wamechaguana wanaojuana. Haisisimui. Nmeshindwa kuangalia kwa kweli. MANENO YA KUAMBIWA NDIO HABARI INAVUMA SEHEMU NYINGI DUNIANI KISWAHILI KINAPOZUNGUMZWA. HUKU EMARATI JUMAAMOSI NA JUMAAPILI HUWA TUNAZISUBIRI KWA HAMU KUBWA SANA. WAKENYA WAMESALUTE KWETU. LKN HII IMEPOOZA SANA. TENA MNO.
Leylah Msosa:Awe hana tofauti kama mm eeh,,Mana nami natafuta mke mwema mwenye cfa kama ulotaja hapo ila 2endane na dini 2uuuuu na kukosowana:, (FROM ZNZ).
Nimecheka..eti ukipima Pima sana inaonekana unavitafuta virusi hahaaaaaaa....mwijaku kaka yangu laiti kama wanaume wangekua wanawabembeleza hivyo wanawake zao..abortion zisingekuwepo..mwanaume wwngi ni full kutelekeza then badae kuja kudai mtoto...eti ulinipenda na weusi wangu
Hakika maneno yako ya mwisho ya hekima na busara yamenifanya nitoe machozi na kuona siku mke wang kapata mimba na kunijuza, mwijaku uko vizuri sana sana sana sana hakika mapenzi sio pesa bali ni utu na hekima ya meneno mazuri kwa mwenzio ata mkiwa amna chakula ndani ila kwa maneno hayo mnashiba hii series imenivutia saaana.
Mwijaku kama nilivyosikia kwenye interview yako kwamba umekuja kufamya maangamizi ya kuigiza kiukweli una vitu vya kuelimisha ombi langu kwako kama mdogo ako naomba ongeza mda kidogo kaka
Shamimu Omary Asalam aleykum,,, can we chat on wsp 0659616685 sina nia mbaya kabisa ni mtu wa heshima Nina biashara flan nataka unisaidie kitu kuhusu huko Oman,,,, please nakuomba au ntumie naomba yako ya wsp tuwasiliane, narudia tena sina nia mbovu
Hii Episode ni nzuri sanaaa... maneno yake pia mazuri. Sio watu kuvaa ma night dress.. Noooooooooo...!!! Tumechoka kuona machuchu na vipaja na vitako vya wanawake. Tunataka Movie zenye kuonesha uhalisia kama hizi sio FASHION SHOWWWWW.... wakafanyie kwenye matamasha ya kina Diamond. Mana movie za Kitz sio kwa kuvaa uchi. Kuonesha shape badala ya story inayotakiwa kuvuma.
Wow episode nzuri sana.....mwijaku unaongea sana ila uwaga unaongea vitu vya maana kweli......NIMEJIFUNZA KITU.......Endelea kutupatia utamu wa uswahilini ....
Ningepata mume wakubembeleza na kujali kama huyu ningekuwa coni hata mbegu ya kiume nnjee..hongeren sn...japo munaigiza lkn mapenzi yatakiwa hivi jamani
interview Moja Mwijaku alisemaTamthilia ya Mahaba imeleta mapinduzi katika tasnia ya Movies Ahaha Nilidhan masihara Leo nimetazama episode zoote na nimechukia kwamba kwa nini ziko chache ????? Aiseee Mwijaku We ni Fundi sana.....💪 keep it up
Waliosikia nataka embe bichi na chmvi wapite hapa
Mwijaku unajuaa Sanaa brother ukiaachaa comedy wewee juamaa ni jiniaazzzz kwakwwlo much love brother
Daah, 🙌🙌🙌mzee unajua hadi unaboaaaa,,,umenifanya nipende vya nyumbanii, ur soo amaizing meeeen.. Keep shining and push bongomoviee to ze top💪💪💪
Hawana talent ya kuigiza. Wamechaguana wanaojuana. Haisisimui. Nmeshindwa kuangalia kwa kweli. MANENO YA KUAMBIWA NDIO HABARI INAVUMA SEHEMU NYINGI DUNIANI KISWAHILI KINAPOZUNGUMZWA. HUKU EMARATI JUMAAMOSI NA JUMAAPILI HUWA TUNAZISUBIRI KWA HAMU KUBWA SANA. WAKENYA WAMESALUTE KWETU. LKN HII IMEPOOZA SANA. TENA MNO.
Achen ujinga ongeen kiswahili mbn wazungu hawaongei kiswahili mnazngua et nyooo nyooi mnakera
Haaah usije ukawa umearibu kazini nakutegemea mkewangu
Haaaaah
Been following ii Mahaba.. Mukasa is the luckiest, kila episode na mke
mpya
Braza mwijaku shkamoo kaka
Mwijaku wanichekesha kwel
ila hili li mwijaku linajua kuigiza balaaa
imetulia sana. Kongole kwa timu nzima kwa kweli.
Kaka mwinjaku msichelewe sana kutoa
Wallahi mwijaku anamaneno, mkewe anaenjoy jamani
ALLah naomba mume mwenye kauli nzuri na mimi🙏, Amina
Aaamin na mm pia
Leylah Msosa utampata tu zidi kumuomba allah
Leylah Msosa:Awe hana tofauti kama mm eeh,,Mana nami natafuta mke mwema mwenye cfa kama ulotaja hapo ila 2endane na dini 2uuuuu na kukosowana:,
(FROM ZNZ).
Njoo kwangu
Aamin
Nakubli sana bloo
Eti kazini kwako walikuwa hawajui kama we ni mwanamke
mukasa jamaniii atiii ni mpenziwangu mtandaonii c unajua😂😂
lakn kwnn mnachelewexha inayofuata
nataka embe bichi na chumvi hahaaaahaahahaaj
Mukasa mukasa, mukasa! Eti umemdanganya nini? 😎😁😂
Mwendelezo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mwijaku vituko
😂😂😁😁😁😁😁😆😆😆😆😆😆Acheni kunivunjia mbavuzangu jmn
Uko vizuri kwa kweli jamani
Good job
😍😘
kazi nzuri👍
Nataka embe mbichi na chumvi
Hii tamthilia inapatikana king'amuzi gani?
17:08 *mtoto kalainikaa*
Haaaaa ahaa
Alieskia kupima ukimwi Mara kwa Mara utakuwa kuna k2 unakitafuta agonge like 🤣
Nimecheka jaman
Muksin Ally ,
😆😃
Nimeipenda
Ujumbe mzur huo jaman
Mwijaku kwel mtanzania yaan anaongea kama hakuna camera inamchukua😍
Tausi Mussa kwa kweli anaweza sana
uhalisia
kabisa
Nimecheka..eti ukipima Pima sana inaonekana unavitafuta virusi hahaaaaaaa....mwijaku kaka yangu laiti kama wanaume wangekua wanawabembeleza hivyo wanawake zao..abortion zisingekuwepo..mwanaume wwngi ni full kutelekeza then badae kuja kudai mtoto...eti ulinipenda na weusi wangu
Nilichogundua sauti ya mwijaku nakanumba zinafanana sanaaaaa @mwijaku
EDWARD KABAMBA:Ktk kujipanga upya ktk bongo movie ndo aloteuliwa kiziba pengo la MAREHEM
STEVEN 2 K
(KANUMBA).
Kweli kabisa ana sauti km kanumba kabisa af hyu atahit san kwenye tasnia km kanumba
Sana
EDWARD KABAMBA ,,,,,
Hakika maneno yako ya mwisho ya hekima na busara yamenifanya nitoe machozi na kuona siku mke wang kapata mimba na kunijuza, mwijaku uko vizuri sana sana sana sana hakika mapenzi sio pesa bali ni utu na hekima ya meneno mazuri kwa mwenzio ata mkiwa amna chakula ndani ila kwa maneno hayo mnashiba hii series imenivutia saaana.
umeona ehe
Fact
Amini kaka ipo siku
bro mwijaku unaigiza vizuri sana, yaani utafikili aupo mbele ya camera. Jah bless mwijaku and meninah nyie ndo coz ya mimi kufatilia i series
Braza umenitoa machozi wewe ni fundi bongo hii watu hawajui tu hadi nataman kuwa muigizaji😭😭😭
hakika mwinjaku ndiye mume bor wa familia yake hongera sana
Well done
Mwijaku kingereza bado unayumba baba,lakini nakukubali kwa Ku cheza movie na unaongea na co confidence
Siangaliagi upuuzi ila hii unajielewa unajua unachokifanya sio hao wanaojiita wasanii kumbe mashetani kazi nzr
Mwijaku kama nilivyosikia kwenye interview yako kwamba umekuja kufamya maangamizi ya kuigiza kiukweli una vitu vya kuelimisha ombi langu kwako kama mdogo ako naomba ongeza mda kidogo kaka
Wanaume wakufurahi mimbia wamebaki wachache😀😀😀
Umeonae
Nzuri sana muendelezo plz mwijaku unajua sana tupe vitu.
Mwijaku kaka kweli filam nzuri ziko kwako hilo ndo naamin leo kaka hujawah kukosea toka nianze kukufuatilia so nakupenda sn bro una maneno mazur sn
Hivi watu munalala nyie
Ila kusema ukweli mwijaku anajua Sana kuigiza #Bigup bro!
Kama umegunduwa mwijaku anaomba ushauri kupitiya uwongo. Dondosha like yako.
mjanja sana,eti ooh kuna rafk angu,,kumbe ni yeye.
Kungekua na wanaume wa ivyo kungekua akuna zambi ya kutoa mimba jamani
Ndan ya OMAN nafatilia mahaba hongera kaka mwijaku hii series nzur htr😘😘😘ila ombi musiwe munachelewesha kuweka hongern sana
Upooo Omani sehemu gani
@@suleimanhamadi597 niko barka
Shamimu Omary Asalam aleykum,,, can we chat on wsp 0659616685 sina nia mbaya kabisa ni mtu wa heshima Nina biashara flan nataka unisaidie kitu kuhusu huko Oman,,,, please nakuomba au ntumie naomba yako ya wsp tuwasiliane, narudia tena sina nia mbovu
Kaka unavitoagawapi ivyo vitu ayo kweli mahaba nakukubalisannaaa kaka mwijako napia namkubali sannaaa Dada menina ivi? nimkeo kweli au Maana munaendana. Saluti kwenu mungu awapeuhai muzidi kutuburudisha na kutuelimisha pamojasana kaka mwijako
Wanaoamin kama mwijaku n mrithi wa kanumba gonga like hapa
dah bongo movi sijawai kuwakubali ila hizi nahisi nitaanza kuwajua wasanii wa nyumbani
Hii Episode ni nzuri sanaaa... maneno yake pia mazuri. Sio watu kuvaa ma night dress.. Noooooooooo...!!! Tumechoka kuona machuchu na vipaja na vitako vya wanawake. Tunataka Movie zenye kuonesha uhalisia kama hizi sio FASHION SHOWWWWW.... wakafanyie kwenye matamasha ya kina Diamond. Mana movie za Kitz sio kwa kuvaa uchi. Kuonesha shape badala ya story inayotakiwa kuvuma.
Mwijaku naomba nami nije kuigiza ninaweza ujue nina kipaji!
Madam Rose leta namba yako hapa
Nzuri MashaAllah napata nkiwa Qatar much love+974 free WiFi pita na like
Nakuona tuu free wifi @fatmababy umetuhepa kwa wa nigery sio 😂😂😂
Al khor apa ww za wapi
Hi Thuma, From muaithar here hope y'all doing good
@@زينببنتسعيد-د9ح kweli sweetie😂😂😂😂
@@fatumaababy1281 urudi sasa twakumiss😂
Et almpenda na weus wake 🤣🤣🤣🤣🤣
Duu mbona hii episode imeisha chap chap sana daa itabidi viwe vinatoka hata vipande viwili kwa wiki basi vyenye dk 30 30 itapendeza au sio 🔥🔥🔥
Ndiyo maana yake
Daaah! Kaka Mwijaku heshima yako! Mahaba ni ya moto balaa, Mungu akuweke kaka uzidi kutupa burudani iliyotukuka! 🙌🔥🔥🔥
Avit Rujweka
Nc
Good job👏👏👏
nmeitafta kwa mbwa wa polic leo imejileta yenyewe...aya twende menina
Km. Kweli. Ni mkeo mumeendana. Kabisa. Mwijaku
Kigoma nzima itahamia hapa, nakuhudumia kaz unayo? si ww upo kazn😂😂😂
Mm piah nmependa hz sentence.... 😂😂😂😂😂
Nimeipenda mama kijacho mie hap jin mpk mwisho uwiii mmetisha😍😍
Hahahahahahaaaa
Biubwa Said 😃😃😃😃
😂😂😂
MWIJAKU IS BADDEST 🔥 This Guy Is So Talented..!! 👍🏽
Maneno mazur yenye busara uko vzr kaka Mwijaku ubarikiwe
Ety nakuhudumia kazi si unayo.
Wow episode nzuri sana.....mwijaku unaongea sana ila uwaga unaongea vitu vya maana kweli......NIMEJIFUNZA KITU.......Endelea kutupatia utamu wa uswahilini ....
Aisee! Nimeipenda sana hii episode, hongereni sana. Tunaitaji episodes zakuelimisha kama hizi.
Ningepata mume wakubembeleza na kujali kama huyu ningekuwa coni hata mbegu ya kiume nnjee..hongeren sn...japo munaigiza lkn mapenzi yatakiwa hivi jamani
Mwijaku unazingua hiyo mibusu tu aaakh yaani ya ukweli Kama hupo mbele ya camera
unauliza taarabuu pembaaa...hahahahaaaa mwijaku bwanaaaaaa
Hahahahhaha eti kwani kazini kwenu hawajui kama wewe mwanamke
aliysikia kigom zima itaamia apa naomb like😂😂😂😂
Oyoooh safi sana embe bichi na chumvi
Uyu ndo msanii alobakia kwa bongo movie siku zote kazi ndio inayokutangaza mwinjaku utabaki kuwa juu juu kileleni
Wanaume waong kwel ety ninamiak miwil sijakutan namwanamke kwel
Waongo hatari 🤣
Hapana watu wako tofauti sanaaa siyo kila mtu huwa natamaa but yategemeana katika kucontrol hisia zako
Hawa watu wa kuomba omba like what’s the point ?😏😏😏😏kwan ni sadaka 😳🤣🤣🤣
BERRY PERRY nimekupa like 🤣🤣
Rahma Nina nimetisha jmn🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mwijaku ,,mahaba iko vzr
Mhhh shanieeeeeeeeee
Big up! Sana kaka mwijaku ..ila NIHESHIMU HILO TUU NIHESHIMU SANA brother.. Hahahahah tehetehetehe hahahhha
Ila Mwinjaku una Sound kinyama aani😂😂😂eti alikupenda na Weusi wako...!?
😂😂😂
Dah, next level hii, quality + content + jinsi ya kudeliver mmetisha mno, Hii inaleta mapinduzi katika tasnia ya filamu Tanzania
sahihi sana, wanajua mno wanafunza wanaburudisha na wanatunza amali za jamii ya kitanzania, na wanakanya hii ndio FASIHI YA KITANZANIA
hahahhhhahah but mwijaku unajua sana m just being honest
Mwijaku wewe ndio umenifanya niachane na wakorea na niangalie vya nyumbani ila uwe unawafundisha na wenzio
Director... hizo English asee ungerekebisha kabla ya kuedit... Mahaba Series ipo poa sanaa... Ila Rekebisha hizo Broken English kiaina... kazi nzuri
From Director: The broken English was part of the Act.
We nae c uongee kiswahl
hahahaha MI NILIKUA NATAKA NIMTUKANE UNAJUA 🤣🤣🤣
Bro unajua kuandaa vitu vizuri , havichoshi. Ujumbe umefika kama ulivyokusidiwa. Be blessed bro na crue nzima.
Asanten kwa mafunzo mema kuptia mahaba maisha yangu yanaenda kubadilika
Big Up Washiriki Wote lini Inatoka hii Ngoma
Mwijaku uko vzr sana kabisa tuna kuitaji urudi apa Canada kutufunza kuigiza apa Toronto Yani ume nifurahisha sana
Ndan ya Qatar Doha nimeipenda Sana Mahaba. Hongeren wote Mlio shiriki
Likes za Kenya zipo wapi watanzania
Ntaka embe bich nachungwa hahababababababa belina mzur mashalllah
Nilikuwa nataka nimtukane unajuaa 😂😂😂
Mwijaku unajuw kumbebereza mke wako embe na chumvi😂😂😂
interview Moja Mwijaku alisemaTamthilia ya Mahaba imeleta mapinduzi katika tasnia ya Movies Ahaha Nilidhan masihara Leo nimetazama episode zoote na nimechukia kwamba kwa nini ziko chache ????? Aiseee Mwijaku We ni Fundi sana.....💪 keep it up
Umeanza ushirikina😂😂😂
Mwijaku nakupendaga yanii unajua kupangiliaa aseee big up bro
Nmekubamba Leo... Hadi huku upo
Huyu mdada anataka kupima ngoma siyule aliekua anatapika kuhusu mwijaku?bayaaaa domo limeshukaaa
Kiki za wabongo..cheza ww ila wambea wanakomeshwa😂😂😂😂😂
Mwijaku umetisha❤❤❤❤👌👏👏👏💯💯
Nimejifumza
Aaaah mbona fupi ss aaah fasi zurii unafika inakwishaaa muendelezo plzzz
Iko poa sanaa, mwijaku ni🔥🔥🔥🔥
Kaka Mwijaku ungemuoa Menina mumependezana wallhy 😂#watu wakigoma hamjakoseaga
Hahahahah mwinjakuuuuuuuuuu sio poa
Menina mzuri sijawai ona.
@Ali Ali kakunyimaanini
Nimeipenda.... Eti ulinipenda na weusi wangu
aaaaaawwww😍😍😍😍😍nzuri mpk raha
Eeeeeh bwana weee, when are you arriving in T.z 😂😂😂😂😂😂😂😂