"Mimba Yangu" | MAHABA (Season one) Episode 6

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 484

  • @yessecharles3155
    @yessecharles3155 5 лет назад +55

    Waliosikia nataka embe bichi na chmvi wapite hapa

  • @husseinyusuph4087
    @husseinyusuph4087 5 лет назад +2

    Mwijaku unajuaa Sanaa brother ukiaachaa comedy wewee juamaa ni jiniaazzzz kwakwwlo much love brother

  • @emmapettymmari3844
    @emmapettymmari3844 5 лет назад +10

    Daah, 🙌🙌🙌mzee unajua hadi unaboaaaa,,,umenifanya nipende vya nyumbanii, ur soo amaizing meeeen.. Keep shining and push bongomoviee to ze top💪💪💪

    • @binlahej7221
      @binlahej7221 5 лет назад

      Hawana talent ya kuigiza. Wamechaguana wanaojuana. Haisisimui. Nmeshindwa kuangalia kwa kweli. MANENO YA KUAMBIWA NDIO HABARI INAVUMA SEHEMU NYINGI DUNIANI KISWAHILI KINAPOZUNGUMZWA. HUKU EMARATI JUMAAMOSI NA JUMAAPILI HUWA TUNAZISUBIRI KWA HAMU KUBWA SANA. WAKENYA WAMESALUTE KWETU. LKN HII IMEPOOZA SANA. TENA MNO.

  • @felistaisaay320
    @felistaisaay320 4 года назад +1

    Achen ujinga ongeen kiswahili mbn wazungu hawaongei kiswahili mnazngua et nyooo nyooi mnakera

  • @restutamjuni4739
    @restutamjuni4739 5 лет назад +23

    Haaah usije ukawa umearibu kazini nakutegemea mkewangu

  • @makeituseit_2020
    @makeituseit_2020 2 года назад

    Been following ii Mahaba.. Mukasa is the luckiest, kila episode na mke
    mpya

  • @RSMEDIAONE
    @RSMEDIAONE 5 лет назад +2

    Braza mwijaku shkamoo kaka

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 5 лет назад +3

    Mwijaku wanichekesha kwel

  • @gracegilbert2882
    @gracegilbert2882 5 лет назад +7

    ila hili li mwijaku linajua kuigiza balaaa

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 5 лет назад +2

    imetulia sana. Kongole kwa timu nzima kwa kweli.

  • @fathima2ajm247
    @fathima2ajm247 5 лет назад +3

    Kaka mwinjaku msichelewe sana kutoa

  • @leylahmsosa8793
    @leylahmsosa8793 5 лет назад +52

    Wallahi mwijaku anamaneno, mkewe anaenjoy jamani
    ALLah naomba mume mwenye kauli nzuri na mimi🙏, Amina

    • @bintinasseb8527
      @bintinasseb8527 5 лет назад

      Aaamin na mm pia

    • @husseinhassan4241
      @husseinhassan4241 5 лет назад

      Leylah Msosa utampata tu zidi kumuomba allah

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 5 лет назад

      Leylah Msosa:Awe hana tofauti kama mm eeh,,Mana nami natafuta mke mwema mwenye cfa kama ulotaja hapo ila 2endane na dini 2uuuuu na kukosowana:,
      (FROM ZNZ).

    • @michealmchele1356
      @michealmchele1356 5 лет назад

      Njoo kwangu

    • @mwanakhatibu3722
      @mwanakhatibu3722 5 лет назад

      Aamin

  • @ibraiibrai6019
    @ibraiibrai6019 5 лет назад +2

    Nakubli sana bloo

  • @meshackmganga6948
    @meshackmganga6948 5 лет назад

    Eti kazini kwako walikuwa hawajui kama we ni mwanamke

  • @rosemsemwa1065
    @rosemsemwa1065 5 лет назад +1

    mukasa jamaniii atiii ni mpenziwangu mtandaonii c unajua😂😂

  • @suezzylove6495
    @suezzylove6495 5 лет назад +7

    lakn kwnn mnachelewexha inayofuata

  • @shivamyaakrammuhammad9906
    @shivamyaakrammuhammad9906 5 лет назад +2

    nataka embe bichi na chumvi hahaaaahaahahaaj

  • @bettybetty3518
    @bettybetty3518 4 года назад

    Mukasa mukasa, mukasa! Eti umemdanganya nini? 😎😁😂

  • @hamissatweetshamissatweets1310
    @hamissatweetshamissatweets1310 5 лет назад +2

    Mwendelezo ❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 5 лет назад +1

    Mwijaku vituko

  • @mugishaaudreille8085
    @mugishaaudreille8085 5 лет назад

    😂😂😁😁😁😁😁😆😆😆😆😆😆Acheni kunivunjia mbavuzangu jmn

  • @swaleheyusufu2515
    @swaleheyusufu2515 5 лет назад

    Uko vizuri kwa kweli jamani

  • @salmamohamed1769
    @salmamohamed1769 5 лет назад +1

    Good job

  • @akystr1777
    @akystr1777 5 лет назад +3

    😍😘

  • @tamlinahmuro3301
    @tamlinahmuro3301 5 лет назад

    kazi nzuri👍

  • @rayasleman1136
    @rayasleman1136 5 лет назад +1

    Nataka embe mbichi na chumvi

  • @adelinekakorozya1156
    @adelinekakorozya1156 3 года назад

    Hii tamthilia inapatikana king'amuzi gani?

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 5 лет назад +1

    17:08 *mtoto kalainikaa*

  • @slamaslama9613
    @slamaslama9613 5 лет назад +1

    Haaaaa ahaa

  • @muksinally2144
    @muksinally2144 5 лет назад +101

    Alieskia kupima ukimwi Mara kwa Mara utakuwa kuna k2 unakitafuta agonge like 🤣

  • @vinboy3816
    @vinboy3816 5 лет назад +69

    Mwijaku kwel mtanzania yaan anaongea kama hakuna camera inamchukua😍

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv 5 лет назад +7

    Nimecheka..eti ukipima Pima sana inaonekana unavitafuta virusi hahaaaaaaa....mwijaku kaka yangu laiti kama wanaume wangekua wanawabembeleza hivyo wanawake zao..abortion zisingekuwepo..mwanaume wwngi ni full kutelekeza then badae kuja kudai mtoto...eti ulinipenda na weusi wangu

  • @edwardkabamba9795
    @edwardkabamba9795 5 лет назад +27

    Nilichogundua sauti ya mwijaku nakanumba zinafanana sanaaaaa @mwijaku

    • @allyderossi9742
      @allyderossi9742 5 лет назад

      EDWARD KABAMBA:Ktk kujipanga upya ktk bongo movie ndo aloteuliwa kiziba pengo la MAREHEM
      STEVEN 2 K
      (KANUMBA).

    • @shaabanramadhan6770
      @shaabanramadhan6770 5 лет назад +1

      Kweli kabisa ana sauti km kanumba kabisa af hyu atahit san kwenye tasnia km kanumba

    • @munnababygal8460
      @munnababygal8460 5 лет назад

      Sana

    • @gilberthungu5487
      @gilberthungu5487 5 лет назад

      EDWARD KABAMBA ,,,,,

  • @phinny5378
    @phinny5378 5 лет назад +69

    Hakika maneno yako ya mwisho ya hekima na busara yamenifanya nitoe machozi na kuona siku mke wang kapata mimba na kunijuza, mwijaku uko vizuri sana sana sana sana hakika mapenzi sio pesa bali ni utu na hekima ya meneno mazuri kwa mwenzio ata mkiwa amna chakula ndani ila kwa maneno hayo mnashiba hii series imenivutia saaana.

  • @luxtiller766
    @luxtiller766 5 лет назад +7

    bro mwijaku unaigiza vizuri sana, yaani utafikili aupo mbele ya camera. Jah bless mwijaku and meninah nyie ndo coz ya mimi kufatilia i series

  • @RSMEDIAONE
    @RSMEDIAONE 5 лет назад +16

    Braza umenitoa machozi wewe ni fundi bongo hii watu hawajui tu hadi nataman kuwa muigizaji😭😭😭

  • @andikimanasebadonavine9490
    @andikimanasebadonavine9490 5 лет назад +5

    Mwijaku kingereza bado unayumba baba,lakini nakukubali kwa Ku cheza movie na unaongea na co confidence

  • @deniskaijage1857
    @deniskaijage1857 5 лет назад +6

    Siangaliagi upuuzi ila hii unajielewa unajua unachokifanya sio hao wanaojiita wasanii kumbe mashetani kazi nzr

  • @japhetstanislaus7956
    @japhetstanislaus7956 5 лет назад +20

    Mwijaku kama nilivyosikia kwenye interview yako kwamba umekuja kufamya maangamizi ya kuigiza kiukweli una vitu vya kuelimisha ombi langu kwako kama mdogo ako naomba ongeza mda kidogo kaka

  • @merryn4891
    @merryn4891 5 лет назад +12

    Wanaume wakufurahi mimbia wamebaki wachache😀😀😀

  • @خسنموس
    @خسنموس 5 лет назад +17

    Nzuri sana muendelezo plz mwijaku unajua sana tupe vitu.

  • @musajafeti6364
    @musajafeti6364 5 лет назад +9

    Mwijaku kaka kweli filam nzuri ziko kwako hilo ndo naamin leo kaka hujawah kukosea toka nianze kukufuatilia so nakupenda sn bro una maneno mazur sn

  • @haithamrubeabuhet2637
    @haithamrubeabuhet2637 5 лет назад +14

    Hivi watu munalala nyie

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 5 лет назад +17

    Ila kusema ukweli mwijaku anajua Sana kuigiza #Bigup bro!

  • @shaibahkmwangoto8089
    @shaibahkmwangoto8089 5 лет назад +45

    Kama umegunduwa mwijaku anaomba ushauri kupitiya uwongo. Dondosha like yako.

    • @hunfrid3222
      @hunfrid3222 5 лет назад

      mjanja sana,eti ooh kuna rafk angu,,kumbe ni yeye.

  • @stellashirima676
    @stellashirima676 5 лет назад +19

    Kungekua na wanaume wa ivyo kungekua akuna zambi ya kutoa mimba jamani

  • @shamimuomary831
    @shamimuomary831 5 лет назад +6

    Ndan ya OMAN nafatilia mahaba hongera kaka mwijaku hii series nzur htr😘😘😘ila ombi musiwe munachelewesha kuweka hongern sana

    • @suleimanhamadi597
      @suleimanhamadi597 5 лет назад

      Upooo Omani sehemu gani

    • @shamimuomary831
      @shamimuomary831 5 лет назад

      @@suleimanhamadi597 niko barka

    • @shabanimustafa7993
      @shabanimustafa7993 5 лет назад

      Shamimu Omary Asalam aleykum,,, can we chat on wsp 0659616685 sina nia mbaya kabisa ni mtu wa heshima Nina biashara flan nataka unisaidie kitu kuhusu huko Oman,,,, please nakuomba au ntumie naomba yako ya wsp tuwasiliane, narudia tena sina nia mbovu

  • @ibrahimhery5613
    @ibrahimhery5613 5 лет назад +7

    Kaka unavitoagawapi ivyo vitu ayo kweli mahaba nakukubalisannaaa kaka mwijako napia namkubali sannaaa Dada menina ivi? nimkeo kweli au Maana munaendana. Saluti kwenu mungu awapeuhai muzidi kutuburudisha na kutuelimisha pamojasana kaka mwijako

  • @justinkibonge8426
    @justinkibonge8426 5 лет назад +20

    Wanaoamin kama mwijaku n mrithi wa kanumba gonga like hapa

  • @giftedpowerj790
    @giftedpowerj790 5 лет назад +5

    dah bongo movi sijawai kuwakubali ila hizi nahisi nitaanza kuwajua wasanii wa nyumbani

  • @goldensparrow1507
    @goldensparrow1507 5 лет назад +3

    Hii Episode ni nzuri sanaaa... maneno yake pia mazuri. Sio watu kuvaa ma night dress.. Noooooooooo...!!! Tumechoka kuona machuchu na vipaja na vitako vya wanawake. Tunataka Movie zenye kuonesha uhalisia kama hizi sio FASHION SHOWWWWW.... wakafanyie kwenye matamasha ya kina Diamond. Mana movie za Kitz sio kwa kuvaa uchi. Kuonesha shape badala ya story inayotakiwa kuvuma.

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 5 лет назад +12

    Mwijaku naomba nami nije kuigiza ninaweza ujue nina kipaji!

  • @fatumaababy1281
    @fatumaababy1281 5 лет назад +25

    Nzuri MashaAllah napata nkiwa Qatar much love+974 free WiFi pita na like

  • @lizzenock9123
    @lizzenock9123 5 лет назад +9

    Et almpenda na weus wake 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @cliffnyeusi
    @cliffnyeusi 5 лет назад +29

    Duu mbona hii episode imeisha chap chap sana daa itabidi viwe vinatoka hata vipande viwili kwa wiki basi vyenye dk 30 30 itapendeza au sio 🔥🔥🔥

  • @avitrujweka2113
    @avitrujweka2113 5 лет назад +15

    Daaah! Kaka Mwijaku heshima yako! Mahaba ni ya moto balaa, Mungu akuweke kaka uzidi kutupa burudani iliyotukuka! 🙌🔥🔥🔥

  • @dashuusaalim.1928
    @dashuusaalim.1928 5 лет назад +8

    nmeitafta kwa mbwa wa polic leo imejileta yenyewe...aya twende menina

  • @saadamohamed2351
    @saadamohamed2351 5 лет назад +6

    Km. Kweli. Ni mkeo mumeendana. Kabisa. Mwijaku

  • @biubwasaid7417
    @biubwasaid7417 5 лет назад +52

    Kigoma nzima itahamia hapa, nakuhudumia kaz unayo? si ww upo kazn😂😂😂

  • @karimhemed9261
    @karimhemed9261 5 лет назад +5

    MWIJAKU IS BADDEST 🔥 This Guy Is So Talented..!! 👍🏽

  • @belinafinias9611
    @belinafinias9611 5 лет назад +7

    Maneno mazur yenye busara uko vzr kaka Mwijaku ubarikiwe

  • @hamedmohammedjafari6114
    @hamedmohammedjafari6114 5 лет назад +3

    Wow episode nzuri sana.....mwijaku unaongea sana ila uwaga unaongea vitu vya maana kweli......NIMEJIFUNZA KITU.......Endelea kutupatia utamu wa uswahilini ....

  • @lumierembilizi966
    @lumierembilizi966 5 лет назад +6

    Aisee! Nimeipenda sana hii episode, hongereni sana. Tunaitaji episodes zakuelimisha kama hizi.

    • @silasncebere380
      @silasncebere380 3 года назад

      Ningepata mume wakubembeleza na kujali kama huyu ningekuwa coni hata mbegu ya kiume nnjee..hongeren sn...japo munaigiza lkn mapenzi yatakiwa hivi jamani

  • @viladhatv4473
    @viladhatv4473 5 лет назад +3

    Mwijaku unazingua hiyo mibusu tu aaakh yaani ya ukweli Kama hupo mbele ya camera

  • @elizabethidowa3022
    @elizabethidowa3022 5 лет назад +6

    unauliza taarabuu pembaaa...hahahahaaaa mwijaku bwanaaaaaa

  • @mikapmwalimu4555
    @mikapmwalimu4555 5 лет назад +3

    Hahahahhaha eti kwani kazini kwenu hawajui kama wewe mwanamke

  • @reymaambawala6354
    @reymaambawala6354 5 лет назад +25

    aliysikia kigom zima itaamia apa naomb like😂😂😂😂

    • @simosimoi1270
      @simosimoi1270 4 года назад

      Oyoooh safi sana embe bichi na chumvi

  • @farhathamad5911
    @farhathamad5911 5 лет назад +6

    Uyu ndo msanii alobakia kwa bongo movie siku zote kazi ndio inayokutangaza mwinjaku utabaki kuwa juu juu kileleni

  • @irenejoseph6684
    @irenejoseph6684 5 лет назад +5

    Wanaume waong kwel ety ninamiak miwil sijakutan namwanamke kwel

    • @razansalim532
      @razansalim532 5 лет назад

      Waongo hatari 🤣

    • @climaxmtaki630
      @climaxmtaki630 5 лет назад +1

      Hapana watu wako tofauti sanaaa siyo kila mtu huwa natamaa but yategemeana katika kucontrol hisia zako

  • @berryperry2930
    @berryperry2930 5 лет назад +4

    Hawa watu wa kuomba omba like what’s the point ?😏😏😏😏kwan ni sadaka 😳🤣🤣🤣

    • @dr.nina.2107
      @dr.nina.2107 5 лет назад +1

      BERRY PERRY nimekupa like 🤣🤣

    • @berryperry2930
      @berryperry2930 5 лет назад

      Rahma Nina nimetisha jmn🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 5 лет назад +11

    mwijaku ,,mahaba iko vzr

  • @mackandrew3823
    @mackandrew3823 5 лет назад +2

    Big up! Sana kaka mwijaku ..ila NIHESHIMU HILO TUU NIHESHIMU SANA brother.. Hahahahah tehetehetehe hahahhha

  • @gabbypflossy2088
    @gabbypflossy2088 5 лет назад +5

    Ila Mwinjaku una Sound kinyama aani😂😂😂eti alikupenda na Weusi wako...!?

  • @chacha-255
    @chacha-255 5 лет назад +8

    Dah, next level hii, quality + content + jinsi ya kudeliver mmetisha mno, Hii inaleta mapinduzi katika tasnia ya filamu Tanzania

  • @sofiakomba3641
    @sofiakomba3641 5 лет назад +2

    sahihi sana, wanajua mno wanafunza wanaburudisha na wanatunza amali za jamii ya kitanzania, na wanakanya hii ndio FASIHI YA KITANZANIA

  • @noenana3352
    @noenana3352 5 лет назад +3

    hahahhhhahah but mwijaku unajua sana m just being honest

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga8150 5 лет назад +2

    Mwijaku wewe ndio umenifanya niachane na wakorea na niangalie vya nyumbani ila uwe unawafundisha na wenzio

  • @gabbypflossy2088
    @gabbypflossy2088 5 лет назад +2

    Director... hizo English asee ungerekebisha kabla ya kuedit... Mahaba Series ipo poa sanaa... Ila Rekebisha hizo Broken English kiaina... kazi nzuri

    • @LokoMotions
      @LokoMotions  5 лет назад

      From Director: The broken English was part of the Act.

  • @agnessdaniel7469
    @agnessdaniel7469 5 лет назад +8

    We nae c uongee kiswahl

  • @YouTuuuuuuube
    @YouTuuuuuuube 5 лет назад +2

    hahahaha MI NILIKUA NATAKA NIMTUKANE UNAJUA 🤣🤣🤣

  • @g.gwemela5159
    @g.gwemela5159 5 лет назад +7

    Bro unajua kuandaa vitu vizuri , havichoshi. Ujumbe umefika kama ulivyokusidiwa. Be blessed bro na crue nzima.

  • @celinamgundoi5601
    @celinamgundoi5601 5 лет назад +3

    Asanten kwa mafunzo mema kuptia mahaba maisha yangu yanaenda kubadilika

  • @salamajalina7789
    @salamajalina7789 5 лет назад +4

    Big Up Washiriki Wote lini Inatoka hii Ngoma

  • @kbtv3621
    @kbtv3621 5 лет назад +1

    Mwijaku uko vzr sana kabisa tuna kuitaji urudi apa Canada kutufunza kuigiza apa Toronto Yani ume nifurahisha sana

  • @mwanalimateusi888
    @mwanalimateusi888 5 лет назад +6

    Ndan ya Qatar Doha nimeipenda Sana Mahaba. Hongeren wote Mlio shiriki

  • @bmkkanambo825
    @bmkkanambo825 5 лет назад +7

    Likes za Kenya zipo wapi watanzania

    • @sadaaboss19
      @sadaaboss19 5 лет назад

      Ntaka embe bich nachungwa hahababababababa belina mzur mashalllah

  • @alifarah9459
    @alifarah9459 5 лет назад +6

    Nilikuwa nataka nimtukane unajuaa 😂😂😂

  • @zabibunduwimana4612
    @zabibunduwimana4612 5 лет назад

    Mwijaku unajuw kumbebereza mke wako embe na chumvi😂😂😂

  • @joshuakaminyoge4954
    @joshuakaminyoge4954 5 лет назад +1

    interview Moja Mwijaku alisemaTamthilia ya Mahaba imeleta mapinduzi katika tasnia ya Movies Ahaha Nilidhan masihara Leo nimetazama episode zoote na nimechukia kwamba kwa nini ziko chache ????? Aiseee Mwijaku We ni Fundi sana.....💪 keep it up

  • @biubwasaid7417
    @biubwasaid7417 5 лет назад +6

    Umeanza ushirikina😂😂😂

  • @youngassaidy7845
    @youngassaidy7845 5 лет назад +6

    Mwijaku nakupendaga yanii unajua kupangiliaa aseee big up bro

    • @rukyissa4209
      @rukyissa4209 5 лет назад

      Nmekubamba Leo... Hadi huku upo

  • @aishamawalla1839
    @aishamawalla1839 5 лет назад +1

    Huyu mdada anataka kupima ngoma siyule aliekua anatapika kuhusu mwijaku?bayaaaa domo limeshukaaa

    • @saidahj2543
      @saidahj2543 5 лет назад

      Kiki za wabongo..cheza ww ila wambea wanakomeshwa😂😂😂😂😂

  • @asiaasia-pl4fl
    @asiaasia-pl4fl 5 лет назад +5

    Mwijaku umetisha❤❤❤❤👌👏👏👏💯💯

  • @ndayisengafrorence3991
    @ndayisengafrorence3991 5 лет назад +4

    Aaaah mbona fupi ss aaah fasi zurii unafika inakwishaaa muendelezo plzzz

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 5 лет назад +2

    Kaka Mwijaku ungemuoa Menina mumependezana wallhy 😂#watu wakigoma hamjakoseaga

  • @neemaneema5215
    @neemaneema5215 5 лет назад +4

    Hahahahah mwinjakuuuuuuuuuu sio poa

  • @gamechanger9646
    @gamechanger9646 5 лет назад +5

    Menina mzuri sijawai ona.

  • @salmathequeen6140
    @salmathequeen6140 5 лет назад +3

    Nimeipenda.... Eti ulinipenda na weusi wangu

  • @ummydaudi4940
    @ummydaudi4940 5 лет назад +4

    aaaaaawwww😍😍😍😍😍nzuri mpk raha

  • @rastaraj9577
    @rastaraj9577 5 лет назад +4

    Eeeeeh bwana weee, when are you arriving in T.z 😂😂😂😂😂😂😂😂