Mm ata sijui nalia nini chado na gwengwe sijui sababu inayomfanya mama chado kuweka ngwengwe mbali na chado ila sio sawa kumnyima kuwa karibu na mwanae
Hayawi hayaw yamekua leo najma kajua kua ngwengwe ni mtoto wa chado ww nafkiriaje hapo je najma atamuelewa chado au ndio wataachana na vp kuhusu ngwengwe akija kujua ukweli kama chado ni baba ake spat picha yan itakuaje hongera zako chado kwa film nzur nakukubali kinoma kichau wangu😂😂😂
Kila nikisema nimewai kumbe niko nyuma zaid kwan wenzangu mnaiwindajee chado mashallha unafaa mauwa yako kwa kutujali watu wako ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤grupu liko wap
Tuliofurahia chado kufika100k subscribers gongeni like ❤️❤️🥰
Let's share for moree
Mwez wa 10 ukiisha chado master kitengo afikishe 150k subscriber's
@@Official_fellaboboinshallah
Sijawahi pata like naomba like hata kumi nienjoy kidogo 😂😢😢
Tulioumizwa na kipande chaleo tujuane😢😢😢
Hakika Ngwengwe amenitiya uruma 😢😢😢
❤ mama ngwengwe anatuharibia mchezo❤me nimeanza kuboreka
Episode ya leo, ma star wa4 wamelia, chado, najma, ngwengwe na mama ngwengwe🎉kazi nzuri sana 🥳
wanaotak chado awe na najma tujuane kwa emoji 🎉🎉🎉
Team Cheusi na bonge tujuane Kwa like🎉❤
Tuliokua tunachungulia yutub kila saa ngonga hap tujuane😂😂😂
Me nilikua staki ata kwenda dukani 😂😂😂
Yani Acha kabisa
Tangu saa tatu😂😂
Tulikuwa tunachungulia Kama Tunachemsha Maziwa
@@simplyphineyUlikunywa Chai kweli Au ni bora unywe Chai na kitunguu Usikose bando😂
Pole sana najma tunaomuonea huruma najma tujuane jaman🥺
Wanao mkubali Ngwengwe gonga like.
"Siwezi kukaa mbali wa wewe kichau wangu"
Chado Leo tuna kumiss TikTok live bana
🎉🎉🎉 mungu ni mwema chado karudi kwa najma ❤❤maua yako chado
Leeo nimejaribu nipeeni izo likes❤❤
Kazi nzuri ila sema wadau nataka jina la hako mawimbo,, kwamba ulisema me nikupe moyo😂😂😂😂😂
Daah nmeisubiri hii hadi nahisi mda hauendi😅😅❤❤❤
MUNGU ni mwema team CHADO MASTA TUMEFIKISHA 100K SUBSCRIBERS.... TUANZE SAFARI VYEMA YA KUTAFUTA 200K...
Chado master unajua,naomba tufanye kazi pamoja broh
Tunaotaka chado aludiane na mama ngwengwe gonga like tujuane..
Atutaki si alijiona keki acha abaki n'a najma wake
Tupo hapa
We koma wee kwn ulikua hujui km chado n bwanke kidem jau ww😂😂
Hii hpn
Unataka vita na ss mashabiki wa kidem jau😂😂
Mamae leo mara ya kwanza movie ya kibongo imenitoa machozi😢
Dah nimejikuta nalia 😢😢😢dam nzito kuliko maji jaman gwengwe🥲😭😭
Tunao ona mr manyonga anazingua like hapa😂
Nakubali sana chado mastar .........
Wakwaza bro like zangu
Ngwengwe jmn anatisha kl wanaomkubali ngwengwe gonga like hapa
Mm ata sijui nalia nini chado na gwengwe sijui sababu inayomfanya mama chado kuweka ngwengwe mbali na chado ila sio sawa kumnyima kuwa karibu na mwanae
Hayawi hayaw yamekua leo najma kajua kua ngwengwe ni mtoto wa chado ww nafkiriaje hapo je najma atamuelewa chado au ndio wataachana na vp kuhusu ngwengwe akija kujua ukweli kama chado ni baba ake spat picha yan itakuaje hongera zako chado kwa film nzur nakukubali kinoma kichau wangu😂😂😂
Jamani kila nikijitahidi kuwa wa kwanza watu washa wah 😅😅😅 na mm Leo naomba like hata 1 tu
Oya kitengo 😅😂 umepigwa na mama mtoto unamalizia hasira kwa kichwa njicho
Daaaah Maisha ya Ngwengwe na Chado kwa sasa yamenitoa machozi😢😢😢
Maskin ngwengwe, wateseka kwa historia usoijua😢...chado depression yako wataka kumvunja mwanao mkono,sio kwa kumskuma uko 😭
Tulousoma mchezo kwamba ngwengwe ni mtoto wa chado tujuane hapa kwa like 😂😂😂😂
Wakwanza Leo naomben like Zang jmn 🎉
Mungu NI mwema kila siku kama unaamini Ivo gonga likeee hapa mungu akubaliki akupe maisha malefu🙏🙏🙏🙏
ILA KIDEM JAU UNA BAHATI WEWE USHAPATA TAJIRI ILO PITA NALO😂❤❤
Kila mtu yy ni wakwanza ivi na shule mlikuwa wakaanza iv😂😂
😂😂😂 swala la shule mh hapana
😂😂
Wakwanz naomb like 30 zang
A K A U*S*A GANGSTAR NAKUBALY BRO keep going
Jamn nimechelewa kidogo tu nimekuwa wa 500 du haya ban
Amtakiwi kuwa wanyonge mahana akuna kinacho badilisha hatima
Nipeni like zangu jamani
Chado punguza hasira utakuja kumuua gwegwe wetu
Wakwanza Mimi like naomben
Hong era sana bro unajua sana mungu akulinde na pia endelea kuwa unatoa move za watu wako ku aa nguo za heshima sio. Wavae. Mavazi ya uchi
Ila Ngwengwe unajua had unajua tena, hongera sana
M sitaki kujua nimekuwa wa ngapi bora nimeiwahi ep 46🔥🔥 nisiadisiwe kabla sijaangalia maan watazamaji wengi
Wanae kubali hii muvi gonga like hapo 😊❤🎉
Nafurahu kuenda nanyi sawa mana niliianzia juzi tu toka niiangalie na saii naenda nanyi sawa naomba like jamani plz🎉🎉🎉tuko pamoja
Daa nimelia sana jamani chado kaniuzunisha
Wa mwisho mm leo 😂😂🎉kaz nzurii
Naqbali sanaaaa ngwengwee unaweza dogo
Tunao mkubali chado gonna like hapa
Jamani gongeni like 1 anae ikubali hii tim
Mwaga makopa Kwa chado master weweeeee
Yan episode zote umeweza chado Yani Kuna mfulilizo Fulani Yana mara mfumo wa hasira ,raha majonzi na zingenezo 😢😢
Ngadaya wangu jamani mbon simuonii😂😢walai tena
Kama unawakubali kitengo na kidemu jau ngonga like 👊
Sema chado leo kanikosea,ukimuuzi kidem jau,haifrahishi🇰🇪🇶🇦🇰🇪🇶🇦🇰🇪🇶🇦🇰🇪🇶🇦🇰🇪
Weee leo nimewa kudadeki😂😂😂 link basi hata moja from burundi 😢
Weuweeee🎉🎉🎉🎉1 min ago naskia Raha balaa
Nimeumia sana kipande cha chado na ngwengwe kweli dam ni nzito kiliko maji 😢
Tulio furah najma au kidemjau kumsameh chado gong like ap ❤
Daaaaaah hii kazi Kali sana
Mbona kitengo unatuliza sasa
😂😂😂Kila nikisema nitawah ila bado siwi wakwanz 😂😂😂
Wakwanza leo
Jaman nende mkaangalie puchuani tz leo kazalilisha aibu
Chado umeniliza sana leo umefanya nimkumbuke baba yang kpnz😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Jaman leo nimewahi like zenu kabla cjalia 😂😂
Like zenu jamn mbn mm sipatagi au hamnioni
Nilikuwa najiuliza kwann iitwe mission impossible sasa nimepata jibu Leo hongera sana master
nimewah😢😢nilikua nachungulia Kila dakika ❤❤
Mnao amini mwambino kang,atwa na pdd laiki apa😅😅.bombo claaaaaaa 🏃 🏃 🏃
Daaah. 😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Kaliwa
@@TTOMANTTOMAN ila. Pdd. 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Nhh😅
Nhh😅
Mama ngwengwe na chado ambia ngwengwe ukweli wacha kumufanya Mtoto kwangaika nyie munanilisha Sana sina Amani hata kidogo siku ya leo🎉🎉❤
Jaman nendeni kwenye accounts ya puchuani tz video ya tatu muone alicho posti
Naombeni na mm like ata siku moja sijawai kiziomba leo ndo mara ya kwanza jaman😭😭
Chado ukovizyri sana hongera natamani niwe kwenyekundlak
Daaaa chado na gwegwe 😢😢mmenitoa machozi feeling ya mtoto na baba daaaaaaah😢😢😢
Nananananana,chado master ❤❤❤ napenda huu wimbo japo siujui 🥰
Oya brother chado big up Sana si uniite nije hata kushika nafasi Moja apo
This is my first time kuandika comment but inaumiza sana 🥺 iyi part
Nawuliza hapa mbona chado hajibu coment zetu hap ikoje
Msimfanyie hivo ngwengwe jaman karoho kameniuma😢
Wanawo umizwa na ep yaleo gonga like tujuwane😢😢😢
Mungu akujalie afya njema wewe unaesoma comment hii 🙏
Chado umekosea sana kusukuma mtoto hivyo.
Mtoto wako inauma bwana
Ningekuwa na mtoto wa mwaka mm0ja Kama mama ake asingekula nauli ya kuja geto😢
ngwengwe umeongea vyema sn dogo janja umeongea kama mtu mzima
Ilaa iki kipnde kinauzunish sana pole ngwengwe😢😢
Chado umenikera Leo kunilizia ngwengwe wangu sanaaa
Kwa kwer hii move imenishika yaan nilikua naiwaza mda wote
Ifike wakati hii series uimalize chado duh babu kama isidingo😂😂😂
😂😂😂😂 tuache mxwiiiii
@@TausRaj kwel tena iishe😁😁😁
Tuondeka sasa 🎉🎉🎉
Yeeeees
Daah uu ni wakati mgumu sana Kwa ngwengwe 😢😢😢
Mapema sanaaaa
Kila nikisema nimewai kumbe niko nyuma zaid kwan wenzangu mnaiwindajee chado mashallha unafaa mauwa yako kwa kutujali watu wako ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤grupu liko wap
Wanae kubali hii muvi gonga like hapo
❤❤ Like Moja tu
Jmn naomben hta like 5 wapenz
Jamn sijacherewa sna like pleas
Mbona na me nalia 😢dah ngwengwe
Najyma Una Moyo Hot pott Hujalibwaga Chini😂😂😂,,, Ila huo mlango wa Kina Najyma Wanaingia kama Vibaka