MISSION IMPOSSIBLE [46]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 456

  • @BrendaAmbehi
    @BrendaAmbehi 2 часа назад +124

    Tuliofurahia chado kufika100k subscribers gongeni like ❤️❤️🥰

    • @dehfirstlady12
      @dehfirstlady12 Час назад +3

      Let's share for moree

    • @Official_fellabobo
      @Official_fellabobo Час назад +3

      Mwez wa 10 ukiisha chado master kitengo afikishe 150k subscriber's

    • @leladege1500
      @leladege1500 56 минут назад +1

      ​@@Official_fellaboboinshallah

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q 2 часа назад +45

    Sijawahi pata like naomba like hata kumi nienjoy kidogo 😂😢😢

  • @Aroinia
    @Aroinia Час назад +39

    Tulioumizwa na kipande chaleo tujuane😢😢😢

    • @ButoyiRukiya
      @ButoyiRukiya 55 минут назад

      Hakika Ngwengwe amenitiya uruma 😢😢😢

    • @NasmaJuma-g8w
      @NasmaJuma-g8w Минуту назад

      ❤ mama ngwengwe anatuharibia mchezo❤me nimeanza kuboreka

  • @Silentraven04
    @Silentraven04 2 часа назад +21

    Episode ya leo, ma star wa4 wamelia, chado, najma, ngwengwe na mama ngwengwe🎉kazi nzuri sana 🥳

    • @JayvanMashaka
      @JayvanMashaka Минуту назад

      wanaotak chado awe na najma tujuane kwa emoji 🎉🎉🎉

  • @JeniEmmah
    @JeniEmmah 2 часа назад +37

    Team Cheusi na bonge tujuane Kwa like🎉❤

  • @AzizakhamisGori
    @AzizakhamisGori 2 часа назад +40

    Tuliokua tunachungulia yutub kila saa ngonga hap tujuane😂😂😂

    • @KhadijaOsmanOsman-g8o
      @KhadijaOsmanOsman-g8o Час назад

      Me nilikua staki ata kwenda dukani 😂😂😂

    • @WardaRamadan-s4l
      @WardaRamadan-s4l Час назад +1

      Yani Acha kabisa

    • @simplyphiney
      @simplyphiney 28 минут назад

      Tangu saa tatu😂😂

    • @Maymuna-wc8lz
      @Maymuna-wc8lz 7 минут назад

      Tulikuwa tunachungulia Kama Tunachemsha Maziwa

    • @Maymuna-wc8lz
      @Maymuna-wc8lz 5 минут назад

      ​@@simplyphineyUlikunywa Chai kweli Au ni bora unywe Chai na kitunguu Usikose bando😂

  • @Official_fellabobo
    @Official_fellabobo 2 часа назад +36

    Pole sana najma tunaomuonea huruma najma tujuane jaman🥺

  • @mussayusuph8661
    @mussayusuph8661 2 часа назад +26

    Wanao mkubali Ngwengwe gonga like.
    "Siwezi kukaa mbali wa wewe kichau wangu"

  • @JackxonJonte-xq8vv
    @JackxonJonte-xq8vv 2 часа назад +21

    Chado Leo tuna kumiss TikTok live bana

  • @UmmyZakiah
    @UmmyZakiah 2 часа назад +22

    🎉🎉🎉 mungu ni mwema chado karudi kwa najma ❤❤maua yako chado

  • @Ecee92
    @Ecee92 2 часа назад +20

    Leeo nimejaribu nipeeni izo likes❤❤

  • @Steverrobert
    @Steverrobert 2 часа назад +11

    Kazi nzuri ila sema wadau nataka jina la hako mawimbo,, kwamba ulisema me nikupe moyo😂😂😂😂😂

  • @AzizaMleli
    @AzizaMleli 2 часа назад +17

    Daah nmeisubiri hii hadi nahisi mda hauendi😅😅❤❤❤

  • @willyobiike5500
    @willyobiike5500 Час назад +6

    MUNGU ni mwema team CHADO MASTA TUMEFIKISHA 100K SUBSCRIBERS.... TUANZE SAFARI VYEMA YA KUTAFUTA 200K...

  • @ChumaCheche-x3n
    @ChumaCheche-x3n Час назад +12

    Chado master unajua,naomba tufanye kazi pamoja broh

  • @MussaMatata-d7v
    @MussaMatata-d7v 2 часа назад +21

    Tunaotaka chado aludiane na mama ngwengwe gonga like tujuane..

    • @AbedSada-s5h
      @AbedSada-s5h Час назад +2

      Atutaki si alijiona keki acha abaki n'a najma wake

    • @sleimanlord98
      @sleimanlord98 Час назад

      Tupo hapa

    • @FatimaOman-wb8tn
      @FatimaOman-wb8tn Час назад +1

      We koma wee kwn ulikua hujui km chado n bwanke kidem jau ww😂😂

    • @shakiraauni1031
      @shakiraauni1031 Час назад

      Hii hpn

    • @simplyphiney
      @simplyphiney 26 минут назад

      Unataka vita na ss mashabiki wa kidem jau😂😂

  • @kibahacomedy2866
    @kibahacomedy2866 Час назад +12

    Mamae leo mara ya kwanza movie ya kibongo imenitoa machozi😢

  • @Shamma-c1d
    @Shamma-c1d 2 часа назад +9

    Dah nimejikuta nalia 😢😢😢dam nzito kuliko maji jaman gwengwe🥲😭😭

  • @Mussasospeter-b3d
    @Mussasospeter-b3d 2 часа назад +12

    Tunao ona mr manyonga anazingua like hapa😂

  • @BenardMaridadi
    @BenardMaridadi 2 часа назад +11

    Nakubali sana chado mastar .........

  • @JackxonJonte-xq8vv
    @JackxonJonte-xq8vv 2 часа назад +13

    Wakwaza bro like zangu

  • @Hawa-x1u
    @Hawa-x1u Час назад +8

    Ngwengwe jmn anatisha kl wanaomkubali ngwengwe gonga like hapa

  • @ZainabuHussein-w5i
    @ZainabuHussein-w5i 2 часа назад +6

    Mm ata sijui nalia nini chado na gwengwe sijui sababu inayomfanya mama chado kuweka ngwengwe mbali na chado ila sio sawa kumnyima kuwa karibu na mwanae

  • @FetrishaFatuma
    @FetrishaFatuma Час назад +5

    Hayawi hayaw yamekua leo najma kajua kua ngwengwe ni mtoto wa chado ww nafkiriaje hapo je najma atamuelewa chado au ndio wataachana na vp kuhusu ngwengwe akija kujua ukweli kama chado ni baba ake spat picha yan itakuaje hongera zako chado kwa film nzur nakukubali kinoma kichau wangu😂😂😂

  • @GloryWillium
    @GloryWillium Час назад +7

    Jamani kila nikijitahidi kuwa wa kwanza watu washa wah 😅😅😅 na mm Leo naomba like hata 1 tu

  • @mwamakuladijei3743
    @mwamakuladijei3743 2 часа назад +5

    Oya kitengo 😅😂 umepigwa na mama mtoto unamalizia hasira kwa kichwa njicho

  • @AzizaMleli
    @AzizaMleli Час назад +6

    Daaaah Maisha ya Ngwengwe na Chado kwa sasa yamenitoa machozi😢😢😢

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Час назад +4

    Maskin ngwengwe, wateseka kwa historia usoijua😢...chado depression yako wataka kumvunja mwanao mkono,sio kwa kumskuma uko 😭

  • @YusraSiyaleo-yk2fz
    @YusraSiyaleo-yk2fz Час назад +4

    Tulousoma mchezo kwamba ngwengwe ni mtoto wa chado tujuane hapa kwa like 😂😂😂😂

  • @AllySadal
    @AllySadal 2 часа назад +19

    Wakwanza Leo naomben like Zang jmn 🎉

  • @Jaykiller30-ne8kb
    @Jaykiller30-ne8kb 2 часа назад +13

    Mungu NI mwema kila siku kama unaamini Ivo gonga likeee hapa mungu akubaliki akupe maisha malefu🙏🙏🙏🙏

  • @princeliy1175
    @princeliy1175 Час назад +6

    ILA KIDEM JAU UNA BAHATI WEWE USHAPATA TAJIRI ILO PITA NALO😂❤❤

  • @AmaniEvarist-w4x
    @AmaniEvarist-w4x 2 часа назад +8

    Kila mtu yy ni wakwanza ivi na shule mlikuwa wakaanza iv😂😂

  • @BazzilDebwoy
    @BazzilDebwoy 2 часа назад +10

    Wakwanz naomb like 30 zang

  • @AbdallahSelemani-tr1ph
    @AbdallahSelemani-tr1ph 2 часа назад +5

    A K A U*S*A GANGSTAR NAKUBALY BRO keep going

  • @MagrethNhanos
    @MagrethNhanos Час назад +4

    Jamn nimechelewa kidogo tu nimekuwa wa 500 du haya ban

  • @aakramjfox8029
    @aakramjfox8029 Час назад +4

    Amtakiwi kuwa wanyonge mahana akuna kinacho badilisha hatima

  • @JackxonJonte-xq8vv
    @JackxonJonte-xq8vv 2 часа назад +6

    Nipeni like zangu jamani

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x Час назад +4

    Chado punguza hasira utakuja kumuua gwegwe wetu

  • @Jaymoboy
    @Jaymoboy 2 часа назад +5

    Wakwanza Mimi like naomben

  • @FATUMAPASKAL
    @FATUMAPASKAL 2 часа назад +3

    Hong era sana bro unajua sana mungu akulinde na pia endelea kuwa unatoa move za watu wako ku aa nguo za heshima sio. Wavae. Mavazi ya uchi

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg 2 часа назад +4

    Ila Ngwengwe unajua had unajua tena, hongera sana

  • @michaelmsouth45
    @michaelmsouth45 2 часа назад +3

    M sitaki kujua nimekuwa wa ngapi bora nimeiwahi ep 46🔥🔥 nisiadisiwe kabla sijaangalia maan watazamaji wengi

  • @barakatupatu
    @barakatupatu Час назад +4

    Wanae kubali hii muvi gonga like hapo 😊❤🎉

  • @ChingaKenboy-fz8yr
    @ChingaKenboy-fz8yr 2 часа назад +3

    Nafurahu kuenda nanyi sawa mana niliianzia juzi tu toka niiangalie na saii naenda nanyi sawa naomba like jamani plz🎉🎉🎉tuko pamoja

  • @AminaBonge-xb8pj
    @AminaBonge-xb8pj 2 часа назад +4

    Daa nimelia sana jamani chado kaniuzunisha

  • @JenniferRancho38
    @JenniferRancho38 Час назад +4

    Wa mwisho mm leo 😂😂🎉kaz nzurii

  • @DonaldBelenaldo
    @DonaldBelenaldo Час назад +4

    Naqbali sanaaaa ngwengwee unaweza dogo

  • @WardatSalum-g3y
    @WardatSalum-g3y 2 часа назад +4

    Tunao mkubali chado gonna like hapa

  • @LewisJames-hp4sp
    @LewisJames-hp4sp Час назад +4

    Jamani gongeni like 1 anae ikubali hii tim

  • @allymapunda7229
    @allymapunda7229 2 часа назад +4

    Mwaga makopa Kwa chado master weweeeee

  • @OmarShevo
    @OmarShevo Час назад +2

    Yan episode zote umeweza chado Yani Kuna mfulilizo Fulani Yana mara mfumo wa hasira ,raha majonzi na zingenezo 😢😢

  • @MisBarua
    @MisBarua 2 часа назад +3

    Ngadaya wangu jamani mbon simuonii😂😢walai tena

  • @IreneIsambi
    @IreneIsambi 2 часа назад +3

    Kama unawakubali kitengo na kidemu jau ngonga like 👊

  • @qingsaloz8467
    @qingsaloz8467 53 минуты назад +1

    Sema chado leo kanikosea,ukimuuzi kidem jau,haifrahishi🇰🇪🇶🇦🇰🇪🇶🇦🇰🇪🇶🇦🇰🇪🇶🇦🇰🇪

  • @RaïssaYannick
    @RaïssaYannick 2 часа назад +2

    Weee leo nimewa kudadeki😂😂😂 link basi hata moja from burundi 😢

  • @RauDogo
    @RauDogo 2 часа назад +3

    Weuweeee🎉🎉🎉🎉1 min ago naskia Raha balaa

  • @BethbinSangu-my7jy
    @BethbinSangu-my7jy Час назад +2

    Nimeumia sana kipande cha chado na ngwengwe kweli dam ni nzito kiliko maji 😢

  • @AliNassoro-r9d
    @AliNassoro-r9d Час назад +2

    Tulio furah najma au kidemjau kumsameh chado gong like ap ❤

  • @Kidofilm
    @Kidofilm 2 часа назад +3

    Daaaaaah hii kazi Kali sana

  • @SamiraMohd-h9y
    @SamiraMohd-h9y Час назад +3

    Mbona kitengo unatuliza sasa

  • @KhadijaKabua
    @KhadijaKabua Час назад +2

    😂😂😂Kila nikisema nitawah ila bado siwi wakwanz 😂😂😂

  • @EdgarKatwale
    @EdgarKatwale 2 часа назад +4

    Wakwanza leo

  • @ShadowvevoShadow
    @ShadowvevoShadow 2 часа назад +2

    Jaman nende mkaangalie puchuani tz leo kazalilisha aibu

  • @FettyRashidy
    @FettyRashidy 49 минут назад +1

    Chado umeniliza sana leo umefanya nimkumbuke baba yang kpnz😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @Aaqwe-yi6qn
    @Aaqwe-yi6qn 2 часа назад +2

    Jaman leo nimewahi like zenu kabla cjalia 😂😂

  • @NaahMzamilo
    @NaahMzamilo 2 часа назад +2

    Like zenu jamn mbn mm sipatagi au hamnioni

  • @barakajoackim-xu3hi
    @barakajoackim-xu3hi 42 минуты назад +1

    Nilikuwa najiuliza kwann iitwe mission impossible sasa nimepata jibu Leo hongera sana master

  • @HIDAYAKAMPAKASA
    @HIDAYAKAMPAKASA 2 часа назад +2

    nimewah😢😢nilikua nachungulia Kila dakika ❤❤

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 2 часа назад +5

    Mnao amini mwambino kang,atwa na pdd laiki apa😅😅.bombo claaaaaaa 🏃 🏃 🏃

  • @BothainaBothaina-k6c
    @BothainaBothaina-k6c Час назад +1

    Mama ngwengwe na chado ambia ngwengwe ukweli wacha kumufanya Mtoto kwangaika nyie munanilisha Sana sina Amani hata kidogo siku ya leo🎉🎉❤

  • @ShadowvevoShadow
    @ShadowvevoShadow 2 часа назад +1

    Jaman nendeni kwenye accounts ya puchuani tz video ya tatu muone alicho posti

  • @NajmaHamady-n4g
    @NajmaHamady-n4g 6 минут назад +1

    Naombeni na mm like ata siku moja sijawai kiziomba leo ndo mara ya kwanza jaman😭😭

  • @Feitpatrishia
    @Feitpatrishia 2 часа назад +1

    Chado ukovizyri sana hongera natamani niwe kwenyekundlak

  • @freddywizzyTz255
    @freddywizzyTz255 Час назад +1

    Daaaa chado na gwegwe 😢😢mmenitoa machozi feeling ya mtoto na baba daaaaaaah😢😢😢

  • @JoynessMshaija
    @JoynessMshaija Час назад +1

    Nananananana,chado master ❤❤❤ napenda huu wimbo japo siujui 🥰

  • @JumanneIdrissa
    @JumanneIdrissa 2 часа назад +1

    Oya brother chado big up Sana si uniite nije hata kushika nafasi Moja apo

  • @shabanirosette-lr8vr
    @shabanirosette-lr8vr Час назад +1

    This is my first time kuandika comment but inaumiza sana 🥺 iyi part

  • @KingNtiharirizwa
    @KingNtiharirizwa Час назад +1

    Nawuliza hapa mbona chado hajibu coment zetu hap ikoje

  • @giftyeliasy8112
    @giftyeliasy8112 Час назад +1

    Msimfanyie hivo ngwengwe jaman karoho kameniuma😢

  • @SafiMarieCarmella
    @SafiMarieCarmella Час назад +1

    Wanawo umizwa na ep yaleo gonga like tujuwane😢😢😢

  • @falelyaseries
    @falelyaseries Час назад +1

    Mungu akujalie afya njema wewe unaesoma comment hii 🙏

  • @simonmachuka
    @simonmachuka Час назад +1

    Chado umekosea sana kusukuma mtoto hivyo.
    Mtoto wako inauma bwana

  • @Platnumz99-b7z
    @Platnumz99-b7z Час назад +1

    Ningekuwa na mtoto wa mwaka mm0ja Kama mama ake asingekula nauli ya kuja geto😢

  • @ZaidiShabani-q6y
    @ZaidiShabani-q6y Час назад +1

    ngwengwe umeongea vyema sn dogo janja umeongea kama mtu mzima

  • @NasraAdam-y6u
    @NasraAdam-y6u Час назад +1

    Ilaa iki kipnde kinauzunish sana pole ngwengwe😢😢

  • @HalimaKharoub
    @HalimaKharoub Час назад +1

    Chado umenikera Leo kunilizia ngwengwe wangu sanaaa

  • @TumainGama
    @TumainGama Час назад +1

    Kwa kwer hii move imenishika yaan nilikua naiwaza mda wote

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa1346 2 часа назад +2

    Ifike wakati hii series uimalize chado duh babu kama isidingo😂😂😂

    • @TausRaj
      @TausRaj Час назад

      😂😂😂😂 tuache mxwiiiii

    • @robertkisasa1346
      @robertkisasa1346 Час назад

      @@TausRaj kwel tena iishe😁😁😁

  • @shaybu-nj2pe
    @shaybu-nj2pe 2 часа назад +2

    Tuondeka sasa 🎉🎉🎉

  • @UmmyAhmad-q2s
    @UmmyAhmad-q2s 2 часа назад +3

    Yeeeees

  • @JaguarEscobar
    @JaguarEscobar 56 минут назад +1

    Daah uu ni wakati mgumu sana Kwa ngwengwe 😢😢😢

  • @HasnuuMohammed
    @HasnuuMohammed 2 часа назад +2

    Mapema sanaaaa

  • @Naema-x7p
    @Naema-x7p 21 минуту назад

    Kila nikisema nimewai kumbe niko nyuma zaid kwan wenzangu mnaiwindajee chado mashallha unafaa mauwa yako kwa kutujali watu wako ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤grupu liko wap

  • @barakatupatu
    @barakatupatu Час назад +1

    Wanae kubali hii muvi gonga like hapo

  • @Astro-586
    @Astro-586 2 часа назад +1

    ❤❤ Like Moja tu

  • @HijrahOchyu
    @HijrahOchyu Час назад +1

    Jmn naomben hta like 5 wapenz

  • @ShamsaKalim-tv4jm
    @ShamsaKalim-tv4jm 2 часа назад +1

    Jamn sijacherewa sna like pleas

  • @SabrinaWema
    @SabrinaWema Час назад +1

    Mbona na me nalia 😢dah ngwengwe

  • @Maymuna-wc8lz
    @Maymuna-wc8lz 8 минут назад

    Najyma Una Moyo Hot pott Hujalibwaga Chini😂😂😂,,, Ila huo mlango wa Kina Najyma Wanaingia kama Vibaka