"WALIOTUMWA NA AFANDE KWA MAKOSA YAO NI KIFUNGO CHA MAISHA GEREZA" WAKILI WA NYUNDO KABLA YA HUKUMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 144

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Час назад +34

    Wamekusomesha wazazi kwa shidaaaaa umepata kazi ya serikali kabisa unaipoteza kwa ujinga sasa hapo ukute aliyeagizwa na kamanda ni mmoja akaita wenzie mkumbo umewaponza ahsante Milard Ayo kwa taarifa na hukumu ikitolewa tupostie

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Час назад

      No one is above the law kumbuka gang raping ni 30years or Maisha

    • @gabrielnybala2165
      @gabrielnybala2165 Час назад +1

      ​@@ChoroTeslahawa majamaa wana makosa mara 2 ya kubaka na kulawiti so wategemee miaka 60 kila mmoja au inshort ni maisha imeisha hiyo

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 59 минут назад

      @@gabrielnybala2165 watu wanachukulia vitu poa

    • @AnnoyedBooks-kn5pm
      @AnnoyedBooks-kn5pm 34 минуты назад +1

      Yaani inauma sana kwa wazazi kuona mtoto wake anafanya mambo ya kijinga sana . usikute mzazi aliuza nyumba au shamba ili u some umepata kazi unafanya ujinga kama huo jamani . Inauma sana

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 30 минут назад

      @@AnnoyedBooks-kn5pm machizi sikusoma nao tulikutana tu ukubwani by fid q

  • @kasianandrea4389
    @kasianandrea4389 Час назад +20

    So huyo afande ndo haoneshwi moja kwa moja sio🤔

  • @KareemDully
    @KareemDully Час назад +15

    Ntashangaa sana kuona watu wakibaka na kurekod kua hawana hatia ila wengine hawajarekod wametajwa tu kua wamebaka na wakawa na hatia

  • @StylebyTully
    @StylebyTully 2 часа назад +12

    Sijui hata nishangilie vipiiii natamani ku screammmmmm

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt Час назад +1

      Unishindi mie wakome nawengine wenye nia kayao kutuumizia watoto wetu nawadogozetubwakome kabisa wamevunaWalichopata wakanyeeDebeHuko

    • @godfreydavid6996
      @godfreydavid6996 35 минут назад

      Bado hukumu haijatoka

  • @SaudaShabani-b6c
    @SaudaShabani-b6c 29 минут назад +4

    ninawasiwasi uwenda waafungwa kifungo hewaaa kutuzuga tuu Wananchi

  • @AishamejaAisha
    @AishamejaAisha 59 минут назад +4

    Nasubili icho kifungo ndo nicomment maana hii nchi mmh

  • @MariaLucas-i8l
    @MariaLucas-i8l Час назад +3

    Ee Mungu naomba usaidie hawa watu wapate adhabu sawa sawa na makosa yao ili iwe fundisho kwa wengine🙏

  • @DeograsiaMillanzi
    @DeograsiaMillanzi Час назад +3

    kifungo cha maisha hakitoshi na yule dada ana jeraha la moyo na wahasiwe

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 50 минут назад +2

    Wallahi nimtihani , tumekuaje nikukosa Imani vizuri kutoka ktk Dini zetu , nitamaa yakupata mana nahis walilipwa kufanya hayo ,au niujinga wakutokujitambua nakutafakari kbl yakutenda ,nakutokufikiri km umetendewa wewe ungeonaje ,tujitahid kujiuliza kbl yakutenda liwe Zurich au baya ,ndotutapata majibu sahihi ,pole kw wazazi wahawa Vijana ,pamoja namtendewa😢😢😢😢

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Час назад +8

    Kama kweli watafungwa nitajitolea kuwaletea chai wiki ya kwanza kujiridhisha...

    • @agnessherman7524
      @agnessherman7524 54 минуты назад

      😅😅

    • @SadamSarita-t7z
      @SadamSarita-t7z 51 минуту назад

      Tawile😂😂😂

    • @ayshaahnad4472
      @ayshaahnad4472 47 минут назад +1

      Mi ntakuja na vitumbua au kama vipi nipitie twende woote tukajirizishe😂😂

    • @Joycekombe2
      @Joycekombe2 42 минуты назад

      Mfungwa ni mali ya serikali, analishwa na jamhuri. Huwezi ruhusiwa mpa chai

    • @KENYANQUEENOFFICIAL
      @KENYANQUEENOFFICIAL 18 минут назад

      ​@@ayshaahnad4472nipitieni

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 31 минуту назад +2

    TUTAOMBA KUJUA GEREZA WALIPO ILI TUWAPELEKEE JUICE MARA KWA MARA.

  • @kkkm6404
    @kkkm6404 Час назад +2

    Ewee mungu naomba wapate kifungo cha maisha

  • @NjitiMohamedmzee
    @NjitiMohamedmzee Час назад +3

    Yaani watu wengine wapumbavu Sana unakuwa mwanajeshi umefundishwa ustaraabu unakwenda kufanya mambo ya kipumbavu sasa subiri uwende jela huko ukakutane na vidume vilivyo poteza wakufanye wewe sasa wasenge nyinyi mnaitafuta jela mmeipata mmbwa nyinyi

    • @zainajirani5296
      @zainajirani5296 39 минут назад

      Ushamba ndio tatizo kubwa.... Unafanya vitu vya kipumbavu ili uonekana muhuni

  • @KiringoMtemi
    @KiringoMtemi Час назад +2

    Je afande yeye hapati hukumu

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 Час назад +2

    Alie watuma ataonyeshwa au ndo basi tena

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Час назад +9

    Wakifungwa Maisha mninyonge😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢

    • @rehemamwasa9657
      @rehemamwasa9657 Час назад +4

      😂😂😂nchi ngumu hiiiii, hwa hawaendi jela nimekaaa paleee

    • @michaelboniphace3685
      @michaelboniphace3685 Час назад +11

      Wanaweza kufungwa Maisha kwa lengo la kubalance hisia kwa Jamii alfu baadaye wanakata rufaa wakati huo kesi itasikilizwa kimyakmya na wakaachiliwa huru wakati huo hakuna mtu atakuwa anafatilia tena hii kesi

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Час назад

      ​@@michaelboniphace3685unajua mahakama km duka la spea used eeh

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Час назад

      Usifutee hii comment

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Час назад

      namm naamini hakuna kitu kama hicho hPa tz

  • @ericksonmuhulo1570
    @ericksonmuhulo1570 21 минуту назад +1

    Hukumu Sana nane mchana. Ila mahakama ndani ya RUclips tayari ishahukumu kitambo Sana. Daah Safi sana

  • @godcheudandy2534
    @godcheudandy2534 2 часа назад +4

    Wakwanza nipeni like zangu

    • @annamussa185
      @annamussa185 Час назад +1

      Kwani na wewe ulibakwa,acha ujinga

  • @Mauwamchicha
    @Mauwamchicha Час назад +1

    Uyo afande mbona hajajukumiwa na hatujamuona mpka leo

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Час назад +1

    Aliewatuma afande anachukuliwa hatua gani....

  • @emanueluroki6160
    @emanueluroki6160 2 часа назад +1

    Kifungo Cha milele naomba wapate ✅

  • @youngboy-o6v
    @youngboy-o6v 2 часа назад +3

    Nyie midia mnapost usenge mambo ya mhimu hampost mama anaupiga mwingi au haupigi kesi jamaa hii inakaa miez halaf kesi ya chaula siku moja

    • @aaronthomas01
      @aaronthomas01 2 часа назад +2

      Tuliza nyege mkuu

    • @abalmohd7952
      @abalmohd7952 2 часа назад +2

      BABA TULIZA HASHUO UTABAKWA KAMA HUYO BINTi hapo🙌🏾. Hii ni kesi kubwa sio ndogo kama unavosema acha wenge

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl Час назад +2

    Mimi nasuburi hukum itoke mana Jaji kama refa tu anweza kusema goli au sio goli tusijekushangaa akaamua hawana hatia 😢

    • @njuka3515
      @njuka3515 Час назад

      Ata wakifungwa hao watatoka Kwa msamaha wa raisi

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg 37 минут назад +1

    Na mashabiki wa mwambino nao waandamane kwa pdd😅

  • @emanueluroki6160
    @emanueluroki6160 2 часа назад +1

    Kifungo Cha maisha naomba wapate

  • @AhmedOmary-t7q
    @AhmedOmary-t7q 59 минут назад +1

    Hao wakitoka maisha ya binti ni hatar zaidi

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w Час назад +1

    Sheria ifate mkondo 🙌wake

  • @djhajiztz
    @djhajiztz Час назад +2

    HAO WALIOSIMAMA NYUMA YAKO NDIO MA BODGAD WAKO ???

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Час назад

      Itakua ma assistance WAKE May be.

    • @abrahmanhmd2557
      @abrahmanhmd2557 Час назад +1

      Na uyo mmoja apake alau super black nywele imepauka kwa jua lilivo kali

  • @AmedeusMbanda-gh4rj
    @AmedeusMbanda-gh4rj Час назад +1

    Naomba wafungwe kabisaaa,

  • @Neemangonyan
    @Neemangonyan Час назад +1

    Na yule mama aliyewatuma

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 14 минут назад

    Hizi simu hizo, watu wanafanya makosa halafu wanajirekodi. Ushahidi tosha.

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 8 минут назад

    Bado afande fatma... bado mwafele wa sativa bado makonda wa lissu bado askar waliomuua mzee ally kibao📌📌📌📌📌 hayo ni kama matawi tunataka mizizi

  • @maureenlilykiwia1515
    @maureenlilykiwia1515 22 минуты назад

    Afande aliyewatuma yeye yuko wapi? Amehukumiwa nini? Asiachwe maana huyu ndio muuaji No wani

  • @DayoDayoDayo-cc5jl
    @DayoDayoDayo-cc5jl 32 минуты назад

    Naona wakili Kala hela yao na anajua kifungo cha maisha kinawakabili wateja wake nichekee mieee😂😂😂

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp 8 минут назад

    Sas ww mbwa unaijita mwana sheria unawatetea hao watu ili iweje kwa mfano wakati makosa wamefanya kwel nyny ndio watu mliosoma lkn hamuna elim shenzi ww unawatetea wa halifu

  • @YohanaMussa-y5h
    @YohanaMussa-y5h 16 минут назад

    Vitendo vibaya sana vya ubakaji na leo watoe hukumu ya mwisho watakaokabiliana nao vijana hao

  • @danielelikana2615
    @danielelikana2615 33 минуты назад

    Hao ni wa kufungwa kabisa bila huruma!! Washenzi sana!!

  • @MengiMeng-fd7sq
    @MengiMeng-fd7sq Час назад

    Wakili wa kuwatetea mafirauni, nayeye kasema ukweli kabisa, wanaonekana wateja wake wote, ni kifungo cha maisha😂😂😂😂 safi kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤ 2:41

  • @DeruDeru-p4t
    @DeruDeru-p4t Час назад

    Safi safi safi sana haki imetendeka huo ni udhalilishaji walio fanya wacha waende jela kabisa

  • @RITHAMROSSO-t4w
    @RITHAMROSSO-t4w Час назад

    Huyo wakili ingekuwa ni mtoto wake angewatetea hao watuhumiwa kama ilivyo sasa

  • @janetymatola6639
    @janetymatola6639 10 минут назад

    Haki itendeke walijuwa kuwa wao askari ndiyo maana walitenda ukatili

  • @SadamSarita-t7z
    @SadamSarita-t7z 49 минут назад

    Hao wajinga wangepelekwa gereza la p didy wakatolewe marinda

  • @wadantz123
    @wadantz123 Час назад

    Oyoooo wakawe chakula ya masela jera wao c walipata raha cku moja sasa wakatoe raha ya milele😂😂

  • @SihaSanyajuu
    @SihaSanyajuu Час назад

    Tupo macho unangalia haki itakavyo tendeka

  • @Naju645
    @Naju645 33 минуты назад

    Nasubir hukum ipite na afande ahukumiwe

  • @McT-m1m
    @McT-m1m Час назад

    Nimefurahi jamani mpaka nahisi machozi ya furaha

  • @BenjaminTz-fg1lu
    @BenjaminTz-fg1lu Час назад

    Duuuh kifungo chamaisha watanzania hawana huruma

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Час назад

    TZ Kuna matako hakuna wasomio😂😂😂😂😂😂

  • @kampotkanangila9647
    @kampotkanangila9647 36 минут назад

    Ansante sana mungu nakushukuru kwahukumu yako

  • @baragatimaingu5623
    @baragatimaingu5623 Час назад

    Sikia tuuu kwa wenzio.. Omba isikukute

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf Час назад

    Vizuri iwe fundisho kwa wengine

  • @amanduskimario4980
    @amanduskimario4980 Час назад

    Kesi kama hizi hata rufaa kushinda ni ngumu

  • @salummussa1139
    @salummussa1139 Минуту назад

    Na wafungwe maisha hao kina PDD

  • @sleimankhamiss4586
    @sleimankhamiss4586 2 часа назад +1

    Mbna kma wakili ashawaacha mkono wenzie

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Час назад

      Ngoma ngumu kaka sio poa.

  • @karimabdul3928
    @karimabdul3928 Минуту назад

    Je namaana afande anaepukaje hii kesi

  • @Prd_mysterious
    @Prd_mysterious Час назад

    mbn Hy adhab ndog San mbon kesh tu wap mtaan

  • @emmanuelelias5451
    @emmanuelelias5451 50 минут назад

    Mzee kashakula kibunda😂

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 Час назад

    WAKILI KASHAVUTA MKWANJA WAKE

  • @williamboniphace5887
    @williamboniphace5887 50 минут назад

    Wanyongwe wasenge hawa☹️☹️

  • @ZaiduGillah
    @ZaiduGillah Час назад +1

    Wakifungwa maisha nahama nchi

  • @salimcomedy4031
    @salimcomedy4031 2 часа назад

    WA KWANZA NIPENI LIKES ZANGU

  • @MakameMufadhil
    @MakameMufadhil Час назад

    Mungu awajaaliye wafungwe

  • @SalumMuhhamedh
    @SalumMuhhamedh 15 минут назад

    Wawajibishwe hao 👍

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e Час назад

    Hao kunyongwa tu kifungo Cha maisha channel bahada ya miezi sita tu tutawaona mtahani me nipo nimekaha hapa

    • @zainajirani5296
      @zainajirani5296 36 минут назад

      Serikali sio pumbavu kiasi hicho... Wewe unajuwa huko jeshini sheria zao hao tayari wameshafukuzwa kazi

  • @Deboramartin-z2m
    @Deboramartin-z2m Час назад

    Wakifungwa maisha nitakunya mavi ya mafungu kutoka hapa mbeya Mpaka Dodoma huko huko mahakamani

    • @humphreymwihambi4330
      @humphreymwihambi4330 Час назад

      Mahakama iko Dodoma siyo Mbeya. Tukio la ubakaji lilifanyika mtaa wa Swaswa jijini Dodoma. Binti alisafiri toka Dar kuja Dom

  • @rayaabdul-gm3hc
    @rayaabdul-gm3hc 49 минут назад

    Wateja wako wa bange

  • @MungoMungo-nx3ir
    @MungoMungo-nx3ir 41 минуту назад

    Vp kuhusu afande

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr Час назад

    Kosa lao ni kujirekodi
    Kufanya unyama huku unajirekodi ni dharau moja kubwa sanaaaa

    • @KomboHawa
      @KomboHawa Час назад +1

      Sio kosa yaani Kwa waliyoyafanya M/Mungu alitaka wafahamike Kwa urahisi na wapate HAKI Yao ya mapumbu

  • @dorcasPhyuza
    @dorcasPhyuza 3 минуты назад

    Asantee yesu..

  • @christinajoram3089
    @christinajoram3089 Час назад

    Safi sanaaaaaaaaaaaaa

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 30 минут назад

    Haya tusubirin saa nane yakaribia

  • @fatumamwaipopo41
    @fatumamwaipopo41 39 минут назад

    Wanavaaje yanga

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Час назад

    Waachieni huru huyo mwanamke mwenyewe kila mtu anapita hapo

    • @KareemDully
      @KareemDully Час назад

      Kwaiyo mwanamke akiwa na wanaume wengi ndo inatoa kibali cha kubakwa na kurekodiwa?

  • @1997God-
    @1997God- 2 часа назад

    Wafungwe tu

  • @JaphetJairos
    @JaphetJairos Час назад

    Wafugwee tu

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Час назад

    Wanyongwe tu

  • @NikasiMbuya
    @NikasiMbuya Час назад

    Waende baba

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Час назад

    Mnachangia wafungwe wote akili zenu ziko matakoni , huyo demu sasa hivi Yuko na wanaume kibao ,waachie huru akimu

    • @KareemDully
      @KareemDully Час назад

      Kwaiyo demu akiwa na wanaume kibao ni haki kumbaka kw kundi na kumrekodi

    • @SarahAdam-c4m
      @SarahAdam-c4m Час назад

      Kwani ulimuona na babako pia?

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Час назад

    Waachieni huru huyo mwanamke mwenyewe sasa Yuko na mwanaume mwingine , miaka kumi ijayo wanaume watajaa majela yote ,sasa hao wanafungwa yule demu Yuko uraiani anagawa uroda

    • @irenwzdayemily6809
      @irenwzdayemily6809 Час назад +1

      Angekuwa mtoto wako au dada ako au ndugu yako ungesema hvyo?

    • @KareemDully
      @KareemDully Час назад +1

      Kwaiyo demu akiwa na wanaume wengi ni halali kumbaka kw kundi na kumrekodi video?

  • @AeshaSaid-pe3tn
    @AeshaSaid-pe3tn 59 минут назад

    Safi sana

  • @TefleKoja-p9c
    @TefleKoja-p9c Час назад

    Twasubiri tuoone

  • @masoudmasoud8138
    @masoudmasoud8138 Час назад

    safi sana

  • @shedyplatinumz4853
    @shedyplatinumz4853 6 минут назад

    Awa bado Wana hit na piddy 😂

  • @thadeomsome5535
    @thadeomsome5535 2 часа назад

    Duu

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Час назад

    Du

  • @zainabumohamed-c1j
    @zainabumohamed-c1j 43 минуты назад

    Apo sawa

  • @hashimuomary4569
    @hashimuomary4569 32 минуты назад

    Isidingo

  • @mzeeHarubu
    @mzeeHarubu Час назад

    Mbona unanza kujitoa mapema

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 40 минут назад

      Ashakula,hela,anajua, kabisani,makosaa wamefanyaa,lakini lazima apetee,rushwaa,mmmmmh

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 Час назад

    .

  • @ARAFATSALUMABDULLA
    @ARAFATSALUMABDULLA Час назад

    Number hiikesi bado ndio haijaisha ??? Tumejiachia kwa didy tu😢😅😅

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Час назад

    Naomba muwasamehe. Hiyo ni nguvu kazi ya Taifa.

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Час назад

      Nahuyo aliefanyiwa vitendo viovu yeye hana maana kwenye Taifa hili ama mkuki kwa nguruwe kwa binaadamu mchungu.

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Час назад

      Tunataka hakumu itendeke hakuna nguvu kazi Wala nini na vijana waovu.
      Tena wakomeshwe haswa.

    • @PendoNaftal-o1b
      @PendoNaftal-o1b Час назад

      Ingekua ni mtoto wako,au ndugu yako,au dada yako au ww ,hebu vaa hicho kiatu uone kama kinakutosha

    • @SamirPeter-t4u
      @SamirPeter-t4u Час назад +2

      Afu ww itakua ni yule wa Tano ambae hajaonekana mpka Leo

    • @KareemDully
      @KareemDully Час назад

      Mbona watu wengi wapo jela kwaiyo hao tu ndo nguvu kazi au kwann tusiwaache huru wafungwa wote maana nao ni nguvu kazi