Wamekusomesha wazazi kwa shidaaaaa umepata kazi ya serikali kabisa unaipoteza kwa ujinga sasa hapo ukute aliyeagizwa na kamanda ni mmoja akaita wenzie mkumbo umewaponza ahsante Milard Ayo kwa taarifa na hukumu ikitolewa tupostie
Yaani inauma sana kwa wazazi kuona mtoto wake anafanya mambo ya kijinga sana . usikute mzazi aliuza nyumba au shamba ili u some umepata kazi unafanya ujinga kama huo jamani . Inauma sana
Yaani watu wengine wapumbavu Sana unakuwa mwanajeshi umefundishwa ustaraabu unakwenda kufanya mambo ya kipumbavu sasa subiri uwende jela huko ukakutane na vidume vilivyo poteza wakufanye wewe sasa wasenge nyinyi mnaitafuta jela mmeipata mmbwa nyinyi
Wanaweza kufungwa Maisha kwa lengo la kubalance hisia kwa Jamii alfu baadaye wanakata rufaa wakati huo kesi itasikilizwa kimyakmya na wakaachiliwa huru wakati huo hakuna mtu atakuwa anafatilia tena hii kesi
Sas ww mbwa unaijita mwana sheria unawatetea hao watu ili iweje kwa mfano wakati makosa wamefanya kwel nyny ndio watu mliosoma lkn hamuna elim shenzi ww unawatetea wa halifu
Wakili wa kuwatetea mafirauni, nayeye kasema ukweli kabisa, wanaonekana wateja wake wote, ni kifungo cha maisha😂😂😂😂 safi kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤ 2:41
Waachieni huru huyo mwanamke mwenyewe sasa Yuko na mwanaume mwingine , miaka kumi ijayo wanaume watajaa majela yote ,sasa hao wanafungwa yule demu Yuko uraiani anagawa uroda
Wamekusomesha wazazi kwa shidaaaaa umepata kazi ya serikali kabisa unaipoteza kwa ujinga sasa hapo ukute aliyeagizwa na kamanda ni mmoja akaita wenzie mkumbo umewaponza ahsante Milard Ayo kwa taarifa na hukumu ikitolewa tupostie
No one is above the law kumbuka gang raping ni 30years or Maisha
@@ChoroTeslahawa majamaa wana makosa mara 2 ya kubaka na kulawiti so wategemee miaka 60 kila mmoja au inshort ni maisha imeisha hiyo
@@gabrielnybala2165 watu wanachukulia vitu poa
Yaani inauma sana kwa wazazi kuona mtoto wake anafanya mambo ya kijinga sana . usikute mzazi aliuza nyumba au shamba ili u some umepata kazi unafanya ujinga kama huo jamani . Inauma sana
@@AnnoyedBooks-kn5pm machizi sikusoma nao tulikutana tu ukubwani by fid q
So huyo afande ndo haoneshwi moja kwa moja sio🤔
Ntashangaa sana kuona watu wakibaka na kurekod kua hawana hatia ila wengine hawajarekod wametajwa tu kua wamebaka na wakawa na hatia
Sijui hata nishangilie vipiiii natamani ku screammmmmm
Unishindi mie wakome nawengine wenye nia kayao kutuumizia watoto wetu nawadogozetubwakome kabisa wamevunaWalichopata wakanyeeDebeHuko
Bado hukumu haijatoka
ninawasiwasi uwenda waafungwa kifungo hewaaa kutuzuga tuu Wananchi
Nasubili icho kifungo ndo nicomment maana hii nchi mmh
Ee Mungu naomba usaidie hawa watu wapate adhabu sawa sawa na makosa yao ili iwe fundisho kwa wengine🙏
kifungo cha maisha hakitoshi na yule dada ana jeraha la moyo na wahasiwe
Wallahi nimtihani , tumekuaje nikukosa Imani vizuri kutoka ktk Dini zetu , nitamaa yakupata mana nahis walilipwa kufanya hayo ,au niujinga wakutokujitambua nakutafakari kbl yakutenda ,nakutokufikiri km umetendewa wewe ungeonaje ,tujitahid kujiuliza kbl yakutenda liwe Zurich au baya ,ndotutapata majibu sahihi ,pole kw wazazi wahawa Vijana ,pamoja namtendewa😢😢😢😢
Kama kweli watafungwa nitajitolea kuwaletea chai wiki ya kwanza kujiridhisha...
😅😅
Tawile😂😂😂
Mi ntakuja na vitumbua au kama vipi nipitie twende woote tukajirizishe😂😂
Mfungwa ni mali ya serikali, analishwa na jamhuri. Huwezi ruhusiwa mpa chai
@@ayshaahnad4472nipitieni
TUTAOMBA KUJUA GEREZA WALIPO ILI TUWAPELEKEE JUICE MARA KWA MARA.
Ewee mungu naomba wapate kifungo cha maisha
Yaani watu wengine wapumbavu Sana unakuwa mwanajeshi umefundishwa ustaraabu unakwenda kufanya mambo ya kipumbavu sasa subiri uwende jela huko ukakutane na vidume vilivyo poteza wakufanye wewe sasa wasenge nyinyi mnaitafuta jela mmeipata mmbwa nyinyi
Ushamba ndio tatizo kubwa.... Unafanya vitu vya kipumbavu ili uonekana muhuni
Je afande yeye hapati hukumu
Alie watuma ataonyeshwa au ndo basi tena
Wakifungwa Maisha mninyonge😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢
😂😂😂nchi ngumu hiiiii, hwa hawaendi jela nimekaaa paleee
Wanaweza kufungwa Maisha kwa lengo la kubalance hisia kwa Jamii alfu baadaye wanakata rufaa wakati huo kesi itasikilizwa kimyakmya na wakaachiliwa huru wakati huo hakuna mtu atakuwa anafatilia tena hii kesi
@@michaelboniphace3685unajua mahakama km duka la spea used eeh
Usifutee hii comment
namm naamini hakuna kitu kama hicho hPa tz
Hukumu Sana nane mchana. Ila mahakama ndani ya RUclips tayari ishahukumu kitambo Sana. Daah Safi sana
Wakwanza nipeni like zangu
Kwani na wewe ulibakwa,acha ujinga
Uyo afande mbona hajajukumiwa na hatujamuona mpka leo
Aliewatuma afande anachukuliwa hatua gani....
Kifungo Cha milele naomba wapate ✅
Nyie midia mnapost usenge mambo ya mhimu hampost mama anaupiga mwingi au haupigi kesi jamaa hii inakaa miez halaf kesi ya chaula siku moja
Tuliza nyege mkuu
BABA TULIZA HASHUO UTABAKWA KAMA HUYO BINTi hapo🙌🏾. Hii ni kesi kubwa sio ndogo kama unavosema acha wenge
Mimi nasuburi hukum itoke mana Jaji kama refa tu anweza kusema goli au sio goli tusijekushangaa akaamua hawana hatia 😢
Ata wakifungwa hao watatoka Kwa msamaha wa raisi
Na mashabiki wa mwambino nao waandamane kwa pdd😅
Kifungo Cha maisha naomba wapate
Hao wakitoka maisha ya binti ni hatar zaidi
Sheria ifate mkondo 🙌wake
HAO WALIOSIMAMA NYUMA YAKO NDIO MA BODGAD WAKO ???
Itakua ma assistance WAKE May be.
Na uyo mmoja apake alau super black nywele imepauka kwa jua lilivo kali
Naomba wafungwe kabisaaa,
Na yule mama aliyewatuma
Hizi simu hizo, watu wanafanya makosa halafu wanajirekodi. Ushahidi tosha.
Bado afande fatma... bado mwafele wa sativa bado makonda wa lissu bado askar waliomuua mzee ally kibao📌📌📌📌📌 hayo ni kama matawi tunataka mizizi
Afande aliyewatuma yeye yuko wapi? Amehukumiwa nini? Asiachwe maana huyu ndio muuaji No wani
Naona wakili Kala hela yao na anajua kifungo cha maisha kinawakabili wateja wake nichekee mieee😂😂😂
Sas ww mbwa unaijita mwana sheria unawatetea hao watu ili iweje kwa mfano wakati makosa wamefanya kwel nyny ndio watu mliosoma lkn hamuna elim shenzi ww unawatetea wa halifu
Vitendo vibaya sana vya ubakaji na leo watoe hukumu ya mwisho watakaokabiliana nao vijana hao
Hao ni wa kufungwa kabisa bila huruma!! Washenzi sana!!
Wakili wa kuwatetea mafirauni, nayeye kasema ukweli kabisa, wanaonekana wateja wake wote, ni kifungo cha maisha😂😂😂😂 safi kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤ 2:41
Safi safi safi sana haki imetendeka huo ni udhalilishaji walio fanya wacha waende jela kabisa
Huyo wakili ingekuwa ni mtoto wake angewatetea hao watuhumiwa kama ilivyo sasa
Haki itendeke walijuwa kuwa wao askari ndiyo maana walitenda ukatili
Hao wajinga wangepelekwa gereza la p didy wakatolewe marinda
Oyoooo wakawe chakula ya masela jera wao c walipata raha cku moja sasa wakatoe raha ya milele😂😂
Tupo macho unangalia haki itakavyo tendeka
Nasubir hukum ipite na afande ahukumiwe
Nimefurahi jamani mpaka nahisi machozi ya furaha
Duuuh kifungo chamaisha watanzania hawana huruma
TZ Kuna matako hakuna wasomio😂😂😂😂😂😂
Ansante sana mungu nakushukuru kwahukumu yako
Sikia tuuu kwa wenzio.. Omba isikukute
Vizuri iwe fundisho kwa wengine
Kesi kama hizi hata rufaa kushinda ni ngumu
Na wafungwe maisha hao kina PDD
Mbna kma wakili ashawaacha mkono wenzie
Ngoma ngumu kaka sio poa.
Je namaana afande anaepukaje hii kesi
mbn Hy adhab ndog San mbon kesh tu wap mtaan
Mzee kashakula kibunda😂
WAKILI KASHAVUTA MKWANJA WAKE
Wanyongwe wasenge hawa☹️☹️
Wakifungwa maisha nahama nchi
😂😂😂😂
WA KWANZA NIPENI LIKES ZANGU
Mungu awajaaliye wafungwe
Wawajibishwe hao 👍
Hao kunyongwa tu kifungo Cha maisha channel bahada ya miezi sita tu tutawaona mtahani me nipo nimekaha hapa
Serikali sio pumbavu kiasi hicho... Wewe unajuwa huko jeshini sheria zao hao tayari wameshafukuzwa kazi
Wakifungwa maisha nitakunya mavi ya mafungu kutoka hapa mbeya Mpaka Dodoma huko huko mahakamani
Mahakama iko Dodoma siyo Mbeya. Tukio la ubakaji lilifanyika mtaa wa Swaswa jijini Dodoma. Binti alisafiri toka Dar kuja Dom
Wateja wako wa bange
Vp kuhusu afande
Kosa lao ni kujirekodi
Kufanya unyama huku unajirekodi ni dharau moja kubwa sanaaaa
Sio kosa yaani Kwa waliyoyafanya M/Mungu alitaka wafahamike Kwa urahisi na wapate HAKI Yao ya mapumbu
Asantee yesu..
Safi sanaaaaaaaaaaaaa
Haya tusubirin saa nane yakaribia
Wanavaaje yanga
Waachieni huru huyo mwanamke mwenyewe kila mtu anapita hapo
Kwaiyo mwanamke akiwa na wanaume wengi ndo inatoa kibali cha kubakwa na kurekodiwa?
Wafungwe tu
Wafugwee tu
Wanyongwe tu
Waende baba
Mnachangia wafungwe wote akili zenu ziko matakoni , huyo demu sasa hivi Yuko na wanaume kibao ,waachie huru akimu
Kwaiyo demu akiwa na wanaume kibao ni haki kumbaka kw kundi na kumrekodi
Kwani ulimuona na babako pia?
Waachieni huru huyo mwanamke mwenyewe sasa Yuko na mwanaume mwingine , miaka kumi ijayo wanaume watajaa majela yote ,sasa hao wanafungwa yule demu Yuko uraiani anagawa uroda
Angekuwa mtoto wako au dada ako au ndugu yako ungesema hvyo?
Kwaiyo demu akiwa na wanaume wengi ni halali kumbaka kw kundi na kumrekodi video?
Safi sana
Twasubiri tuoone
safi sana
Awa bado Wana hit na piddy 😂
Duu
Du
Apo sawa
Isidingo
Mbona unanza kujitoa mapema
Ashakula,hela,anajua, kabisani,makosaa wamefanyaa,lakini lazima apetee,rushwaa,mmmmmh
.
Number hiikesi bado ndio haijaisha ??? Tumejiachia kwa didy tu😢😅😅
Naomba muwasamehe. Hiyo ni nguvu kazi ya Taifa.
Nahuyo aliefanyiwa vitendo viovu yeye hana maana kwenye Taifa hili ama mkuki kwa nguruwe kwa binaadamu mchungu.
Tunataka hakumu itendeke hakuna nguvu kazi Wala nini na vijana waovu.
Tena wakomeshwe haswa.
Ingekua ni mtoto wako,au ndugu yako,au dada yako au ww ,hebu vaa hicho kiatu uone kama kinakutosha
Afu ww itakua ni yule wa Tano ambae hajaonekana mpka Leo
Mbona watu wengi wapo jela kwaiyo hao tu ndo nguvu kazi au kwann tusiwaache huru wafungwa wote maana nao ni nguvu kazi