Nyerere ni mtu mwenye busara, hekima, na akili nyingi, asante mzee wetu umetuachia misingi, , nyerere aingizwe ktk mitaala ya shule kuazia kindergarten
Asante Nyerere Njoo tena utusaidie kufanya hayo kwa kiongozi mkuu akiondoka tumlete mtu safi atakaetuunganisha Leo tanzania tunaumana masikio hàtumtaki mtu lakini tunashindwa kumwambia Na tunamtaka aondoke lakini hataki kutusikia. Asante Nyerere Nawapenda wote
Ukabila ni ushenzi
Nyerere ni mtu mwenye busara, hekima, na akili nyingi, asante mzee wetu umetuachia misingi, , nyerere aingizwe ktk mitaala ya shule kuazia kindergarten
Asante Nyerere
Njoo tena utusaidie kufanya hayo kwa kiongozi mkuu akiondoka tumlete mtu safi atakaetuunganisha
Leo tanzania tunaumana masikio hàtumtaki mtu lakini tunashindwa kumwambia
Na tunamtaka aondoke lakini hataki kutusikia.
Asante Nyerere
Nawapenda wote
Nice
Ukabila ni ushenzi