Ninamhongera huyu Baba wa Taifa Nimezaliwa siku aliyoaga Dunia na kupewa jina lake,sijui iwapo wavyele wangu walielewa maana ya kunitwika jina kubwa kama hili.
Baba wa Taifa mwl,maneno yako yatafanya kazi mda wote barani Africa,tutakukumbuka Afrika haswa watanzania.ukweli umekuweka huru,upumzike Kwa Amani,William cresent kirway toka Haydom-manyara 09-01-2021.
Baba wa Taifa alikuwa mzalendo wa Taifa hili la Tanzanzania. Nasema simuogopi mtu yoyote lazima niwe mkweli Taifa halitaki kuendeleza mazuri ya mwl. Kila mtu anafanya anachotaka ye sio kama dira na uelekeo wa Baba wa Taifa kama alivyotaka. Na nilichogundua wasomi wa Sasa ndio wanaoturudisha nyuma kwa ajiri ya kuogopa kufa au ni wizi tu ipo siku tutaongoza nchi watu tusiogopa kufa na tutawatumia wazalendo kwenye hesabu kubwa ili Taifa lisipate hasara. Wapo wasomi wazalendo lakini nao ni waoga kufa. Ipo siku.
Alifirikilia mbali sana mzee wetu Baba yetu mwalimu nyerere
Ninamhongera huyu Baba wa Taifa
Nimezaliwa siku aliyoaga Dunia na kupewa jina lake,sijui iwapo wavyele wangu walielewa maana ya kunitwika jina kubwa kama hili.
mzee hatari sana anajua mno mno
Baba wa Taifa mwl,maneno yako yatafanya kazi mda wote barani Africa,tutakukumbuka Afrika haswa watanzania.ukweli umekuweka huru,upumzike Kwa Amani,William cresent kirway toka Haydom-manyara 09-01-2021.
Daaa baba ungerudi wew, ningeomba nusu saa tujadili mambo muhimu ya kitaifa
Baba wa taifa Mwalimu Julius Kambalage Nyerere.
Asante Mwalimu na Baba wa Taifa letu
Imetubidi kuendelea kujifunza Kwako Mwalim Julias K Nyerere.
Kwa kweli ndo maana uliitwa 'mwalimu"
Wewe ni Baba Kelli.
Julius ulifundisha vizuri. Ila haupo leo wanafunzi wako wameuza nchi yote baba. Hatujui tufanye nini
Mzee mkali
Mwalimu atafundisha dunia yote kwa wakati wote.
leo 14/10/2022 tunakukumbuka sana baba tz had sasa haina nira
Utakumbukwa daima
Aliona.mbali
Baba wa Taifa alikuwa mzalendo wa Taifa hili la Tanzanzania. Nasema simuogopi mtu yoyote lazima niwe mkweli Taifa halitaki kuendeleza mazuri ya mwl. Kila mtu anafanya anachotaka ye sio kama dira na uelekeo wa Baba wa Taifa kama alivyotaka. Na nilichogundua wasomi wa Sasa ndio wanaoturudisha nyuma kwa ajiri ya kuogopa kufa au ni wizi tu ipo siku tutaongoza nchi watu tusiogopa kufa na tutawatumia wazalendo kwenye hesabu kubwa ili Taifa lisipate hasara. Wapo wasomi wazalendo lakini nao ni waoga kufa. Ipo siku.
Airbus +Wahadzabe
Mwl anakiri kiongozi,anaweza kuwazuia uhuru wao,demokrasia yao,hatuangalii maendeleo zaidi ya uhuru wao.
Tunabishana kuhusu mambo ya kijimga jinga tu wa sio uhuru
Madickteta Kweli tunao wetu
Aslimia kumba hawana uchungu na watu
E
Chetu ni chetu