Kauli ya Baba wa Taifa J. K. Nyerere juu ya maendeleo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 ноя 2017

Комментарии • 26

  • @iddyjuma3896
    @iddyjuma3896 4 года назад +1

    Alifirikilia mbali sana mzee wetu Baba yetu mwalimu nyerere

  • @juliusosoroomwoyo8848
    @juliusosoroomwoyo8848 5 месяцев назад +1

    Ninamhongera huyu Baba wa Taifa
    Nimezaliwa siku aliyoaga Dunia na kupewa jina lake,sijui iwapo wavyele wangu walielewa maana ya kunitwika jina kubwa kama hili.

  • @frankcharles319
    @frankcharles319 5 лет назад +1

    mzee hatari sana anajua mno mno

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 3 года назад

    Baba wa Taifa mwl,maneno yako yatafanya kazi mda wote barani Africa,tutakukumbuka Afrika haswa watanzania.ukweli umekuweka huru,upumzike Kwa Amani,William cresent kirway toka Haydom-manyara 09-01-2021.

  • @ibrahimngubiagai1027
    @ibrahimngubiagai1027 Год назад

    Daaa baba ungerudi wew, ningeomba nusu saa tujadili mambo muhimu ya kitaifa

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 2 месяца назад

    Baba wa taifa Mwalimu Julius Kambalage Nyerere.

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 5 месяцев назад

    Asante Mwalimu na Baba wa Taifa letu

  • @sabasmorice1226
    @sabasmorice1226 Год назад

    Imetubidi kuendelea kujifunza Kwako Mwalim Julias K Nyerere.

  • @meshackkanyetisahani5584
    @meshackkanyetisahani5584 2 года назад

    Kwa kweli ndo maana uliitwa 'mwalimu"

  • @jeidamgimba557
    @jeidamgimba557 5 лет назад +1

    Wewe ni Baba Kelli.

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 6 месяцев назад

    Julius ulifundisha vizuri. Ila haupo leo wanafunzi wako wameuza nchi yote baba. Hatujui tufanye nini

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga8334 6 лет назад +1

    Mzee mkali

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 2 года назад

    Mwalimu atafundisha dunia yote kwa wakati wote.

  • @erickaloyce3303
    @erickaloyce3303 Год назад

    leo 14/10/2022 tunakukumbuka sana baba tz had sasa haina nira

  • @andasonmdede5653
    @andasonmdede5653 11 месяцев назад

    Utakumbukwa daima

  • @user-fk3wq2or6q
    @user-fk3wq2or6q 10 месяцев назад

    Aliona.mbali

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Год назад

    Baba wa Taifa alikuwa mzalendo wa Taifa hili la Tanzanzania. Nasema simuogopi mtu yoyote lazima niwe mkweli Taifa halitaki kuendeleza mazuri ya mwl. Kila mtu anafanya anachotaka ye sio kama dira na uelekeo wa Baba wa Taifa kama alivyotaka. Na nilichogundua wasomi wa Sasa ndio wanaoturudisha nyuma kwa ajiri ya kuogopa kufa au ni wizi tu ipo siku tutaongoza nchi watu tusiogopa kufa na tutawatumia wazalendo kwenye hesabu kubwa ili Taifa lisipate hasara. Wapo wasomi wazalendo lakini nao ni waoga kufa. Ipo siku.

  • @solomonimgaya1004
    @solomonimgaya1004 5 лет назад

    Airbus +Wahadzabe

  • @williamkirway5074
    @williamkirway5074 3 года назад

    Mwl anakiri kiongozi,anaweza kuwazuia uhuru wao,demokrasia yao,hatuangalii maendeleo zaidi ya uhuru wao.

    • @maregesimafuru4199
      @maregesimafuru4199 3 года назад

      Tunabishana kuhusu mambo ya kijimga jinga tu wa sio uhuru

  • @josephjila957
    @josephjila957 2 года назад

    Madickteta Kweli tunao wetu

  • @user-jm9jm8gv9j
    @user-jm9jm8gv9j 9 месяцев назад

    Aslimia kumba hawana uchungu na watu

  • @salmamloly2390
    @salmamloly2390 2 года назад

    E

  • @josiahjosiah-MPs
    @josiahjosiah-MPs Год назад +1

    Chetu ni chetu