Kitambo ilikuwa watoto wa kike ndo walikuwa wanalindwa sana but skuizi ni watoto wa kiume wah Allah atunusuru na watoto wetu Atufanyie wepesi kwa malezi Amin...
Pole sana mzee kauli yako ni njema sana kikubwa tuombee watoto wetu mahana kiukwel uyu Dogo ni mdogo sana akaika inaumiza matukio alofanya pili mzee asaidike swala pa mwili kuagwa mochwari mahana akika wananchi kwa asira walzo nazo. Wata bomoa nyuma ya mzee wa wawatu
Hakuna mzazi anae penda kuzaa mtoto mwizi au mlez wake alee mtoto mwizi hapana huyu babu hana kosa msimuhukumu jmn 😭 inauma sikia kwa mwenzio 😭huyu babu ahusikii na na yule kijana
Babu au bibi sio wenyewe makosa makosa yako kw mjukuu wao kuchagua njia alioona nisahihi kwenye maisha yake namwisho wasiku ndo kama hivyo kufanya matukio ya kishetwan na kupata kifo Cha aibu
Maskini mzee wa watu ,anaonekana muungwana sana, hata akiongea, ila huyo mjukuu ni shida kwa kweli, mzee ana haki kusema anaogopa hata maisha yake, kwa kuwa kuna watu labda wanafikiri nguvu ya huyu mhalifu marehemu, labda babu pia anahusika. lakini naona hapana, mzee wa watu ni muungwana.
Nikumuomba mungu atujalie watoto wema na mwenye hofu na mungu tuombee vizazi vyetu kwan hakuna anezaa nakujua kuwa mwanang atakuwa mwizi muuaji malaya n.k
NIMEMUONEA SANA HURUMA HUYOO MZEE, saaaaaaaana 😢😢😢,nyie mnaofanya kazi ya kuzaa na kuachana Kisha watoto wanabaki wanatapakaa oneni hayoo,,mzeee ana hekima sana na anakiri kwamba kijana alikuwa na tabia mbaya,,MUNGU AMSAIDIE SANA.
Sema angetafutwa baba yake au mama yake ili tujue ally dangote alipatikanaje kwa mganga au kawaida tu kama watoto wengine mi naami yapo mengi tusio yajua watoto wa aina ya ally dangote wenye roho za kishetani wapo wengi sana sauth africa na mayotte
Babu uwe naamani maana ni mjukuu wako ulimpenda ila kutokana na tabia zake mbaya hukumu itampata mwenyewe na ishampata, wanabchi mtuhumiwa kashapatilana msimtishe huyu mzee hana kosa kabisa
Nikweli lakini allah ndio anaoongoa jamani mimi mwanangu nimelea na baba ake na tulijitahidi alitugeukia tukawa tunaliya tusikufuru ikifika time bora watu waachane kuliko watu kudhuriana kwani hatuoni matukio ya kuuwana kila siku tumuombe MMungu atuongolee watoto wote wengine hufiwa na mume watoto huleya mama wanaonguka tusisahau
Tatizo ni elimu yetu,,,kiukweli ni mbovu aina maana Kwa wanyonge ila inafaida Kwa wanene,,,unasoma histori mtaani ukutani nacho ulichosoma hapo ni lazima uwe mwizi
Hii Habari kiukweli inasikitisha sana kiukweli hapa ni kumuomba mungu atunusuru sisi na vizazi vyetu hakuna mzazi anatarajia kua na mtt wa dizaini hii😢😢😢very sad wallah 😭😭
Vijana njoni kwa Yesu shetani hajaumba mtu na hatawahurumia mkikubali na kutii Mtakula mema ya nchi mkikataa na kiasi mtaangamizwa kwa upanga tubuni jamani mrudieni Mungu
Sikupingi lkn mtu akishafikia hatua hiyo hujitafutia mwenyew uyu mzee wana wanamuhukum bure tu uyo shetan kama alikuwa na hirizi wenda aliipata kwa mashetan wenzake uko mtaan
Acha ufala, hata Mara wamewahi kutokea mtu mmoja, anatetemesha sehemu kubwa tu. Kawaulize Wazee wako "Kenonke" alifanya nini sehemu kubwa ya Serengeti na Tarime.
ya allah ya razak ewe mola wetu mtukufu jaalia tuwe na watoto wema watakao tufaa ss wengineo allahunmnma amina😭😭😭
Kitambo ilikuwa watoto wa kike ndo walikuwa wanalindwa sana but skuizi ni watoto wa kiume wah Allah atunusuru na watoto wetu Atufanyie wepesi kwa malezi Amin...
Daaah!! Mzee anatia huruma sana, na anabusara sana
Mtoto mbaya ni mzigo kwa wazazi,kwakweli tumuombe mungu na wazazi tushirikiane katika malezi ili kuiokoa jamii
Amiin Inshaallah Allah tujarie vizazi vyetu mpk na wajukuu zetu
Huruma yangu ni babu tu, mnyonge sana mzee wetu🙏 pole sana tatizo mwana alizidisha mambo yakiduanzi
Mwenyezi mungu nakuomba bariki matumbo ya wanawake wooote na wape watoto wetu malezi mema amiiin
Amiin
Amina
Ameen yarabbi
Aamiiyn
Amiin
Pole sana mzee kauli yako ni njema sana kikubwa tuombee watoto wetu mahana kiukwel uyu Dogo ni mdogo sana akaika inaumiza matukio alofanya pili mzee asaidike swala pa mwili kuagwa mochwari mahana akika wananchi kwa asira walzo nazo. Wata bomoa nyuma ya mzee wa wawatu
Uyu mzee kaongea vyema sana
EE MUNGU BABA HUSIKA KWENYE MAISHA YA WANETU NABA😢😢😢😢
Hakuna mzazi anae penda kuzaa mtoto mwizi au mlez wake alee mtoto mwizi hapana huyu babu hana kosa msimuhukumu jmn 😭 inauma sikia kwa mwenzio 😭huyu babu ahusikii na na yule kijana
Kweli kabisa huyu Babu namuonea huruma
Pole babu
Nikwel ndugu watamuonea babu wawatu tu
Kabisa nimejikuta namuonea huruma babu
Babu au bibi sio wenyewe makosa makosa yako kw mjukuu wao kuchagua njia alioona nisahihi kwenye maisha yake namwisho wasiku ndo kama hivyo kufanya matukio ya kishetwan na kupata kifo Cha aibu
Pole mzee kombo ,msiba ni msiba Mungu akutie nguvu, najua hakuna mzazi anayependa mwanae aharibike, Mungu atetee kizazi chetu
Poleni sana mwenyezi tulindie watoto wetu wawe watiifu na wakumuogopa mungu
Aamin Yarabilaallahmiin kwa sote ndugu zangu.
Aamin wamuogope Mwenyezi Mungu
Mungu onekana kwenye hii familia huyu babu anapitia magumu sana😢
@@magrethmbuma3045 ndio tena anaumia sana😭
Subhanna Allah mungu akutie nguvu babu unajua binadamu huogea wasio yajua mungu mwenyewe ndie anajua ukweli wako
Mungu tunusulu na watoto wetu 🙏
Amiin
Binafsi nmependa majibu ya mze maana yanaereweka
mungu awatie nguvu family nzima,,,,wazaz tuwe makin na makuz ya watoto wetu,,kuna umri tukiwakosa tu hapo ndy mwishowe hutokea haya😭😭😭
Maskini mzee wa watu ,anaonekana muungwana sana, hata akiongea, ila huyo mjukuu ni shida kwa kweli, mzee ana haki kusema anaogopa hata maisha yake, kwa kuwa kuna watu labda wanafikiri nguvu ya huyu mhalifu marehemu, labda babu pia anahusika. lakini naona hapana, mzee wa watu ni muungwana.
Namwona Muungwana Sana pia
😂😂😂 Weeeeeee siku ya kufa nyani hiii
Miti yote,hutelezaaa
Love you
@@alexjohnmaganya855 tnx,love you too. 🙏
Mtoto wa kiume kulea ni kazi mnoo ukifeli awa mwizi ,mbakaji,,Teja 😭😭😭mungu mnusuru mwanangu
Mimi hata sisemi watoto wakiume sikuhizi mtihani
Amin Rabil Amin
Umesahau kitu kimoja..ukifeli pia anakua shoga
Ongeza na ushoga apo
Aamin Amiin Yarabilaallahmiin duaa na iwe Makboul kwa soote ndugu yangu.
Pole Sana baba Allah akutie nguvu na Akupe subra
amekufa azikwe tu mungu alaze roho ya marehemu mahala pema peponi
Mungu tunusuru na watoto wetu,mungu tuhurumie
Amiin
0
Amen😢
Amen
Nimeona imani sana kwa huyu bab laiti ningekua na uwezo ningechangia kifo ni kifo mwenyezi mungu atujaalie mwisho mwem
Uchangie mutu Alie kuwa anauwa hyo Hela kale ubwabwa,
Mungu nusuru uzao wa tumbo langu😢
Mungu nusuru uzao wa damu yangu!
Mungu atuhifadhi sote na vizazi vyetu inshaallah, Amin
Amiin
Amin
Nikumuomba mungu atujalie watoto wema na mwenye hofu na mungu tuombee vizazi vyetu kwan hakuna anezaa nakujua kuwa mwanang atakuwa mwizi muuaji malaya n.k
Nakuuga mkono inapaswa tuombe mungu atujalie uzao bora mm mpaka tumbo limeniuma
@@BettyGeorge-sn2nn Amiin
NIMEMUONEA SANA HURUMA HUYOO MZEE, saaaaaaaana 😢😢😢,nyie mnaofanya kazi ya kuzaa na kuachana Kisha watoto wanabaki wanatapakaa oneni hayoo,,mzeee ana hekima sana na anakiri kwamba kijana alikuwa na tabia mbaya,,MUNGU AMSAIDIE SANA.
Nami pia nimesikitika sana .. Mzee anaongea kwa hisia kali sana.
hata mimi
😢😢dah
Iyo ni kweli ata invo Kuna wengine ni wabaya kuliko uyo aliye uwawa ila bado awaja kamatwa mungu atusaidiye na vizazi nvetu😢
angeweza hata kumuua siku moja babu yake maana inaonyesha alishakuwa sugu.
Duh Babu wa watu ana wasiwasi mno🙆♀️Mungu tulindie watoto wetu🙏
Pole san mzeee kombo mungu akupenguv na umrrii mrefu pole san
Sema angetafutwa baba yake au mama yake ili tujue ally dangote alipatikanaje kwa mganga au kawaida tu kama watoto wengine mi naami yapo mengi tusio yajua watoto wa aina ya ally dangote wenye roho za kishetani wapo wengi sana sauth africa na mayotte
Mzee wa watu anaonekana hana shida, Muungwana na mwenye hekima. Sasa yeye ameshaibiwa na dangote grander.
Poleni sana familia.Maana kawaletea maumivu sana.
Mwacheni babu wa watu jaman😢Hana hatia yy
Apandacho mtu ndicho avunacho.na ukiua Kwa upanga utakufa Kwa upanga. Mungu anachukia kifo Cha mwenye dhambi Maandiko yanasema.poleni sana familia
Babu uwe naamani maana ni mjukuu wako ulimpenda ila kutokana na tabia zake mbaya hukumu itampata mwenyewe na ishampata, wanabchi mtuhumiwa kashapatilana msimtishe huyu mzee hana kosa kabisa
Poleni sana bora angepelekwa huko serikalini akaaome😢😢
Pole babu kwa changamoto za mjukuu, ,asiye fuzwa na wauazi hufinzwa na ulimwengu,, afe afe afeeee
Pole Babu, mzigo umeutua. Tumwachie Mwenyezi Mungu kwa hukumu yake
Shida ni tofauti kidogo tuu wanandoa wanakimbilia kuandika talaka bila kuangalia hawa malaika tulio leta duniani mungu tupe moyo wakuvuliana
Bado mm nageuza shilingi mzaz atabaki kua mzaz uyu Mzee anaumia jamani 😢
Hayo ndo madhara ya wazazi kutengana watoto hawapati malezi bora
Nikweli lakini allah ndio anaoongoa jamani mimi mwanangu nimelea na baba ake na tulijitahidi alitugeukia tukawa tunaliya tusikufuru ikifika time bora watu waachane kuliko watu kudhuriana kwani hatuoni matukio ya kuuwana kila siku tumuombe MMungu atuongolee watoto wote wengine hufiwa na mume watoto huleya mama wanaonguka tusisahau
Inategemea na malezi,hata mngeishi pamoja Kama shindikana utafanyaje???
Ni mhalifu sanaaa, ila hii stori yaa kifo chake naona kama kuna maapicha picha.
Pole sana mzee
Nilicho gundua Babu mpole sana kwenye malezi Babu kamshindwa jaman watoto wanatakiwa wapate malezi ya wazazi mna tesa watu
Ee Mungu tujaalie tuwalee watoto wetu kwa njia ipasayo
Amiin
Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana Mungu....
Mungu tulindie vizazi vyetu 🤲🙏🙏🙏🙏😭😭😭
Aamiin
Jaman wamama msizae ovyo kama hamna uwezo wa kulea mnapeleka watoto kijijin kwenu kwa bibi na babu afu matokeo yake wanakua vibaka watoto
Maskini huyu Mzee ad huruma yn,,,, dah Mungu ampe nguvu.
Mtuhumiwa kashajiua basi mwacheni huyu baba aishi kwa amani yeye hana kosa pls msimdhulu huyu baba 😢😢😢
Awee hawawez kumleteaa fezeah yoyt maan atashikwa mtu tako
Pole sana babu kwa mitihani..hata wewe hukupenda awe hivo..mpaka wewe kakuibia kikweli mtihani
Sasa kama babu anasingiziwa uchawi inawezekana hata marehem hakuwahi kuua mtu sema ndo vile Tena aliokufa hawezi kujitetea
Subhanaallah
Poleni wandugu
Maskini babu😢Allah awape subraa
kama aliwauwa wa ua watu weng xana kuna haja gan ya kuxema kauliwa kikatili mbn ni kawaida tu maana ameuliwa kama anavouaga yeye
Babu ana hekima mjukuu alishindwa kurithi jamanii
Duh yani huyu atakua kashaanza kupigwa marungu kabda ata ajazikwa mana kajua kuleta hekaheka 😢😢
Pole babu jaman mtoto mwenyew bhn
hila Uyu Babu Mtu Makini Sana
Wazazi wanapitia Mengi. MTOTO anakua, anakugeuka, anahama home. Anakuwa jambaziThen lawama zinarudi kwa MZAZI. 😢
Pole babu changamoto hizo
Inauma sana tuwaombeeni Watt wetu haswa wakiume
Noma
Wanao umia ni wazazi jamani huyu Mzee na muonea huruma kwakweli atakama nimbaya mimjukuu wake mungu atussidie vizazi vyetu
Pole babu yangu
Tatizo ni elimu yetu,,,kiukweli ni mbovu aina maana Kwa wanyonge ila inafaida Kwa wanene,,,unasoma histori mtaani ukutani nacho ulichosoma hapo ni lazima uwe mwizi
😮Na wengine mbadilike msiposikia mtakiona
Dah maskin Mzee wa watatu
Kiukweli Mungu atusaidie sana kunasisi tupo nawatoto Kiukweli changamoto kwenye malezi
Hii Habari kiukweli inasikitisha sana kiukweli hapa ni kumuomba mungu atunusuru sisi na vizazi vyetu hakuna mzazi anatarajia kua na mtt wa dizaini hii😢😢😢very sad wallah 😭😭
Kuna maneno yamekatwa kutoka kwa Babu , ukweri ni kwamba akuna mzazi anapenda mtoto mwizi
E mungu umpe nguvu uyu babu jameni sio kupenda kwake mungu wangu 😭😭
Vijana njoni kwa Yesu shetani hajaumba mtu na hatawahurumia mkikubali na kutii Mtakula mema ya nchi mkikataa na kiasi mtaangamizwa kwa upanga tubuni jamani mrudieni Mungu
Vijana wetu wans tuumiza sana yani roho inauma sana ndugu yako akiwa mwezi unamkanya lakini awasikii vijana bozi jako miyanguu😢😢😢😢😢
WANAUME WA ARUSHA KAMA WA DAR YAAN MTOTO WA MIAKA 19 MNAMUACHA HADI KUUA WATU 8
amepigwa mchekecho huyoo usumbufu wake eti kajirushaa mmmh..walishamchoka mi napita tu natania jamn😂😂😂😂
Mtihan sana
Poleni sana😢
Pole sana Babu
Sasa wale watu wa arusha ile lafudhi wameitolea wapi??
Mzee pole sana
Innalilah wanna ilah lajighuni
Jameni watoto tuna weka wazazi wapitie hali ngumu 😢
Jaman hyo ni vita eee Mungu wangu, Azkiwe hko hko hospital????. Daaaa mh
Ona wazee wa zaman wanavyojua kuongea kwa busara yaan sjui tutawapata wapi Maana wengi wametangulia, yaan baadae cjui itakuaje kwakwel
Angekuwa amempa yy hiyo dawa iAsingefanya jitihada ya kukamatwa
Maskiniii, Babu wa watu ni mpole sana hata kuongea kwa upon sana hata sio muongeaji. Mungu amtie nguvu. Wananchimsameheni babu jamani hana hatia.
nini kwan
MUNGU amsamehe makosa yake ,,Babu Mungu akutie nguvu katika hili
Pole sana babu
Pole sana Mzee😭😭
Ila kweli watu wa hivo huwaga na hirizi kuna mmoja mtaani kwetu pale (kwa sadala) alipouwawa alikutwa na hirizi subhanallah 😢😢
Sikupingi lkn mtu akishafikia hatua hiyo hujitafutia mwenyew uyu mzee wana wanamuhukum bure tu uyo shetan kama alikuwa na hirizi wenda aliipata kwa mashetan wenzake uko mtaan
Polesana babu nihuruma sana lakini ndio hivoo tena
Mh,kweli tuzae na kuwaombea😢
Wazazi kutengana ni jambo baya sana 😢😢😢😢
Inalilah wainailah rajiunh
wanaume wa arusha hawana tofaut na wanaume wa Dar. Katoto ka19 kanatishia kanda nzima
kabsa, akitaka afanywe kichuri aende akafanye ujinga huo kanda maalum mara, arusha ni kama dar tu.
Acha ufala, hata Mara wamewahi kutokea mtu mmoja, anatetemesha sehemu kubwa tu. Kawaulize Wazee wako "Kenonke" alifanya nini sehemu kubwa ya Serengeti na Tarime.
Alafu wanajiita wadudu😂 katoto kanasumbua miaka 19...wadudu wapo Mara na Tarime😂
@@user-zs4qz4wm2n haaaaaaaaaaaa wale hawafai nikikutana na mkurya namsalimia bila kutaka
😂😂😂😂eti kafa ndio wanasema wanataka wanatak nin sasa kwa maiti
Mbona mdogo Sana dh aliwe supu
Pole baba
Pole sana babu 😢
Sawa