HUYU NDIE DR. SULLE TULIE MZOEA SASA || ATEMA MADINI HATARI || USIPO MUELEWA UTAKUA NA MATATIZO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 окт 2024

Комментарии • 144

  • @fatmaharith3212
    @fatmaharith3212 Год назад +11

    I wish ua my husband ua good may God bless u DR.
    I really admire the way u preach

  • @MtabeKatoto
    @MtabeKatoto 4 дня назад

    Mwenyez mungu akuzidishie Kila lililo la kheri shekhe wetu

  • @sinarahaissa7927
    @sinarahaissa7927 Год назад +2

    Allah akuongoze Shekh wetu Dr.Sule

  • @allystephano-io2cy
    @allystephano-io2cy Год назад +4

    ama kwl allaah akupe maisha malefu yenye kheri ndan yake

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад +7

    Dr sule ukiachana kuwa kasoma na ana elimu ila pia ana akili nyingi ❤

  • @fatmaameer5333
    @fatmaameer5333 Год назад +1

    Mwamba Jazakallah kheri doka sule

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Год назад +15

    M"Mungu akupe umri wenye afya na ujuzi zaidi...

    • @tatoo0098
      @tatoo0098 Год назад +1

      Aamin yaraby kwa sote 🤲🤲

    • @abdulbasti652
      @abdulbasti652 Год назад

      🎉🎉 🎉 🎉🎉🎉 I I I just 🎉🎉🎉🎉🎉 🎉 and 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 and and and 🎉🎉🎉🎉 and the the 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 🎉🎉🎉

    • @sinarahaissa7927
      @sinarahaissa7927 Год назад

      Allahummah amin

  • @hamzamaarufu1358
    @hamzamaarufu1358 Год назад +3

    Kichwa kimejaa madini Allah akujalie sana

  • @ahmedhamisi328
    @ahmedhamisi328 Год назад +2

    Masha Allah shekh Kwa kweli kabisa doctor sule umeongea maneno mazito Sana kwani yamegusa nyoyo mwenyezi mungu azidi kukufadhi ili uzidi kutupa elimu

  • @mchangarocky7254
    @mchangarocky7254 Год назад +2

    Duh! Ni kweli tu Allah atuongoze InshaAllah

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Год назад +5

    Huyu Dr huaga nampenda sana Kila ampe umri mrefu..

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад +2

    Huyu jamaaa anamaarifa sana,God bless us together till janaah

  • @mahammoudhaji
    @mahammoudhaji Год назад +2

    Maa Shaa Allah. Bdo uko vzr sheigh

  • @yusufmod1437
    @yusufmod1437 Год назад +2

    Naomba usimulie kisa Cha nabii Suleiman shekhe wangu

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +2

    Takbiiiiiir ALLAH Akhbar

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Год назад

    Shukran darsa nzuri Sana Allah akulipe kheri shekhe wetu kwa haya unayotupa

  • @kassimamri6746
    @kassimamri6746 Год назад +1

    Allah akuzidishie kheri zaidi ww pa1 na wachamungu wote

  • @MwanahamisiGona-t3c
    @MwanahamisiGona-t3c Год назад

    Allah.bariki

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +4

    MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH

  • @manrectorz
    @manrectorz Год назад +3

    Pia Muhammad (SAW), Alisema "Kama kweli mnampenda Mwenyezi Mungu (SWT) basi NIFUATENI MIMI". Mtume hajasema TUMSIFIE amesema TUMFUATE. Nashauri katika Maulid hizo wafundisheni watu TAWHID na KUHIMIZA SANA SWALA! Maana nimehudhuria maulid kadhaa ikifika wakati wa swala wanaoswali hata nusu hawafiki na hakuna anayejali hilo wao wanawaza kumsifia mtume tu linapotajwa jina lake basi.

    • @cityhuntermkali2468
      @cityhuntermkali2468 Год назад

      Hakuna kitu ktk maulidi zaid ya ushenzi mwingi tu

    • @Ihsankeizer
      @Ihsankeizer 7 месяцев назад

      Subhanallah umesema ukweli. Huyu Sheikh anasema hatumjui mtume Muhammad (saw) sasa anathibitisha eti tutamjua kupitia kusherekeya maulid, subhanallah. Mtume (saw) tayari kasifiwa na ALLAH kutokana na jina yake MUHAMMAD,maana yake ALIYESIFIWA.. Sheikh tafadhali tukitaka kumsifu mtume saw basi tumsaliye kila siku. Hakuna watu waliyompenda Rasullahi ( saw) kuliko Abubakar RA na Umar RA hali hamna hata siku moja kwa uhai Yao walisherekeya maulid. Jemeni maulid ni fithna kama Christmas...wabillahi taufiq. ALLAH ndiyo kasema ukweli

  • @bakarkhamis5369
    @bakarkhamis5369 Год назад +1

    Mungu amueke

  • @chieffofofoodinternational4102

    mashallah sheghe mungu akupe umri mrefu

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Год назад +1

    Mashallah Mashallah Dr Sulle Allah akuweke

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 Год назад +2

    Mashaa'Allah
    Swallalah Allayhi Wasalam
    Jazzakumllah Khery

  • @ba_yu72
    @ba_yu72 Год назад

    Very good!

  • @ba_yu72
    @ba_yu72 Год назад

    Swadakta!

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Год назад +1

    Walkum salam warhamatullah wabarakatuh, shukran sana shekh suleiman

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Год назад +4

    Mashaallah 💓❤️

  • @harissalum2887
    @harissalum2887 Год назад +2

    Allah akujaalie umri mrefu ili uendellee kuitangaza dini yake

  • @ahmediahussein4043
    @ahmediahussein4043 Год назад +1

    Allah akulinde na Kila shari

  • @Ihsankeizer
    @Ihsankeizer 7 месяцев назад

    I like this sheikh's lectures but there are aeeas i totally disagree with him. He cannot justify MAULID to justify love for our Nabi (saw) . How i wish he can study more and get the exegesis of the prophetic sera and proper interpretation plus analysis of the holy quran. Jazakallah kheir for the beautiful and educative lecture

  • @moiminiIssauw2
    @moiminiIssauw2 Год назад

    Allah akupe umri mrefu na mwisho mwema Allahuma amiin

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +2

    Shekhe Juma Nasor mgaya na Shekhe Mrisho Jumaa Mrisho kipindura Matipwiri nyumbani kwetu mungu Awape Umri Mrefu mashekhe wangu. Amiin 🤲🤲 Amiin 🤲🤲

    • @Ankoozumo
      @Ankoozumo Год назад

      wazilapozo tupo.

    • @fathimamct232
      @fathimamct232 Год назад

      @@Ankoozumo waziraponzo wapo nyuma ya Waviiila😂

    • @anwarambar6141
      @anwarambar6141 Год назад +1

      shekhe sule, Allah akupe umri, afya njema, uzidi kutuelimisha,

  • @mulhatihussein8419
    @mulhatihussein8419 Год назад

    Namjuw vizur San shekhe. ila mh .Allah amnusuLu tu

  • @aminakingaru-rp6mp
    @aminakingaru-rp6mp Год назад +1

    Allah akuhifadhi uzidi kutupa elimu

  • @amahorofaridah519
    @amahorofaridah519 Год назад

    Takbirrrrrrrr Allah akbar

  • @sadathboutique6253
    @sadathboutique6253 Год назад

    Akili nyingi sna doctor mpk zinamwagika uyu shekh ni kichwa sna

  • @fastanzania
    @fastanzania Год назад +1

    Mashallah ♥️

  • @mussaumtit6664
    @mussaumtit6664 Год назад +1

    mashaallah

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 Год назад

    Uko vizuri sana Sheikh ! Madini ya kutosha

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Год назад +2

    May Allah bless you always Ameen Yarrab

  • @mctcher9297
    @mctcher9297 Год назад +2

    Sema unapotea sana shee wetu Allah akupe uzima na amani In Sha Allah

    • @cabylake2320
      @cabylake2320 Год назад

      Anapotea kivip yani

    • @mctcher9297
      @mctcher9297 Год назад +1

      @@cabylake2320 hatumuoni sana mitandaoni ndo maana yangu

  • @athumanswed9992
    @athumanswed9992 Год назад +1

    Uko sahihi sana Dr.sule, wanazuoni wengi wa sasa hivi ni wamchongo

  • @HassanAli-eq8ko
    @HassanAli-eq8ko Год назад +2

    Mashaallah jazakumllah kheir amiin

  • @nurdinsaid857
    @nurdinsaid857 Год назад

    Mashallah dokt sulle

  • @NadiaJuma-en8sr
    @NadiaJuma-en8sr Год назад

    InshaAllah

  • @moanamessi1749
    @moanamessi1749 Год назад +2

    Allahu akbar

  • @nassorohassan
    @nassorohassan Год назад +1

    Allah azzah waja a- allah akupe umli mulefu kabisa inshaallah tuletee mawaidha al hajj tulikuwa tume kumiss sana

  • @amofesa8166
    @amofesa8166 Год назад

    izo milioni zinatucanganya Sheikh

  • @ba_yu72
    @ba_yu72 Год назад

    Swadakta yadoktar Sule!

  • @sharomdguda
    @sharomdguda 11 месяцев назад

    Waislamu jamani kwa uwongo mmezidi yaani mind blowing. Historia hizi mbona mnazificha ?! Mtume hakujua Jerusalem Hadi anakufa. Enyi viongozi wakislam uongo wa waziwazi lkn mtaumbuliwa na ukweli ktk Biblia. Mtaonyeshwa km mnavyoona kwa Hamas, Hamas ndiyo hivyo hawana nchi tena wataishia ukimbizini

  • @strong8534
    @strong8534 Год назад

    Wekeni title ya maudhui ndo vizuri. Jazakumullah!!

  • @alicase2211
    @alicase2211 Год назад

    Wallah nimepata elimu kubwa

  • @aziza9093
    @aziza9093 Год назад

    Allah akulipe ujira muzr

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Год назад

    Mashaallah Sheikh ❤️❤️❤️

  • @AbduliShabani-s7u
    @AbduliShabani-s7u 11 месяцев назад

    nakupenda DR sule una baya, unaelweka.

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 11 месяцев назад

    Itaendelea wapi

  • @ابومنصور-ظ7و
    @ابومنصور-ظ7و 24 дня назад

    sheikh chunga na visa vyako vya uongo umesema nabii Musa kamwambia nabii Adam kalaaniwa chunga sana ww mchawi unafikia level mbaya ss

  • @yasinmtangi5140
    @yasinmtangi5140 Год назад

    Nimekuelewa sana kaka

  • @salmasalim3525
    @salmasalim3525 Год назад

    Shekh MashaAllah

  • @mohamedhalake5983
    @mohamedhalake5983 Год назад

    Mola akuongoze Dr sule kutoka kenya

  • @shabanirashid113
    @shabanirashid113 Год назад

    Mashaallah

  • @kisangageorgethomasi2830
    @kisangageorgethomasi2830 Год назад

    Ukiwa mtumwa wa mwarabu uwezi kuandika kitabu kwa lugha ya kiswahili inayoeleweka kwa watanzania wengi

  • @GDjudah
    @GDjudah Год назад

    Masha'Allah

  • @aminikamwanadam-qe5rn
    @aminikamwanadam-qe5rn Год назад

    AllahuAkbar

  • @mariamsefu825
    @mariamsefu825 Год назад +1

    Maa Sha Allah sule nakupenda kwa ajili ya allah

    • @bintykeya8954
      @bintykeya8954 Год назад +1

      Maashallah doctor sule mungu akuzidishie kipaji uzidi kutuelimisha

    • @Djdiho257
      @Djdiho257 Год назад +1

      Mariam sefu anaongea mazuri ila watu wanalia kuhusu utapeli wake kwenye izo tiba zake za kisuni

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 Год назад

      @@Djdiho257 watu wanasema una ushaidi zaidi ya maneno acha fitna ndugu

    • @Djdiho257
      @Djdiho257 Год назад

      @@sadathboutique6253 Sheikh ushahidi ninawo tuma namba yako apo nikupe miamala transaction ya pesa ikibidi na saudi ya huyo mdada alie liwa pesa Yake wa Burundi kipindi alikua akitumikia warabuni
      Sheikh mimi siwezi kuzingishia muisilam mwenzangu wallah kassam ni ukweli

    • @yazidkarasu2497
      @yazidkarasu2497 Год назад

      @@Djdiho257 huo uongo Kama katepeliwa c aende sehemu husika we unasema una ushahid c uende msikitini ukatoe huo ushahid

  • @NadiaJuma-en8sr
    @NadiaJuma-en8sr Год назад

    Tunasubiri muendelezo

  • @eunicengendo1446
    @eunicengendo1446 Год назад

    The only chanel you will never hear the Dr discliminating any religion

  • @mrimaniyamtu
    @mrimaniyamtu Год назад

    tatizo serekali halina dini kwaiyo tunapaswa kuwafikishia ujumbe hata wakiwa wamelala

  • @azizhamisi9182
    @azizhamisi9182 Год назад

    Mashaalah

    • @abdulahichachole8176
      @abdulahichachole8176 11 месяцев назад +1

      Sheikh Mwenyezi Mungu akupe nguvu na elimu zaidi uweze kutupa daawa tuzidi kushika dini.alhamdhulillah.

  • @joshuamamuya1339
    @joshuamamuya1339 8 месяцев назад

    Naomba namba ya huyu mtu

  • @fikirinijuma6158
    @fikirinijuma6158 Год назад

    Na natokea Zanzibar Tanzania ila kwa saiyyy nipo nje ya nchi na huku kidogo dini iko chini sana insha'Allah 🙏🙏

    • @myself4128
      @myself4128 Год назад

      Huku watu washashituka na huo Uongo wa waarabu! wajinga ndio waliwao! Stori za Kutengeneza tu upngo na kweli,ulaya hudanyanyi watu hovyo hovyo

    • @nassrubushoot5750
      @nassrubushoot5750 Год назад

      Akili yako inaakili kweli ndugu?

  • @zakiahbakari2017
    @zakiahbakari2017 Год назад

    Allah Abkar

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Год назад

    Ongea kiswahili na kama hujui kiswahili weka mkalimani au sivo funga domo lako.

  • @sshaby52
    @sshaby52 Год назад +5

    Ki ukweli kumswaliya Mtume ( S.A.W ) siyo makosa tatizo ni kuwa mnatenga masiku maalum kama inavyoitwa maulidi na kufanya maulidi kwasababu ya kiumbe fulani iyo ndo makosa kutowa darsa ima kufundisha historiya yake kwa nini isiwi darsa kama darsa zingine maulid haina tofauti na Pasika maana mnataja saana kiumbe na kumtukuza kuliko aliye muumba sasa apo ndo mnakoseya Sheikh Kishki ashajaribu saana kuwafafanuliya ila biziwi vile

    • @ramzanqarim4977
      @ramzanqarim4977 Год назад +2

      Kwan hijja watu huenda kila siku ..

    • @9jafanx933
      @9jafanx933 Год назад

      SHEKH UNAUMWA AU KUNATATIZO ULIZA WAKUELEKEZE NDO USHUKU

    • @sshaby52
      @sshaby52 Год назад

      @@9jafanx933 hhhh kijan mi niko sawa labda weye uwelewa wako kwenye maswala kama hayo huwezi kuyafaham elimu ni kitu kizuri alhamdulillah

  • @myself4128
    @myself4128 Год назад

    Hakuna Kilichoteremshwa wala Kupandishwa! Huo uongo wa Kiarabu wa kizamani sana! Quran imeandikwa tu!

  • @fathimamct232
    @fathimamct232 Год назад +1

    Matipwiri chimbuko langu.

  • @rizikilukali1558
    @rizikilukali1558 Год назад

    Wafundishe wanafiki hao

  • @AbdallaMsendele
    @AbdallaMsendele Год назад

    Mama yake Mtume nani tena, na aponyuma umetwqmbia kama wazi wa Mtume walifariki Mtume akiwa mdogo? Kwaiyo uyo aliye kua akikaanga chapati katoka wapi?

  • @kusakisoma3168
    @kusakisoma3168 Год назад

    Kaka hii coca cola ikulipe hata kama hujaingianao mkataba ila coca inasukari shekh

  • @alisalehsaleh2564
    @alisalehsaleh2564 Год назад

    Mama mzazi?

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Год назад

    Ukimsikiliza dr sule:: utajua ukweli kuwa mola humpa elimu au chochote amtakae

  • @manrectorz
    @manrectorz Год назад +1

    Nashauri tuache kusoma kitabu cha BARZANJI kina ukakasi sana

    • @omaryhunte
      @omaryhunte Год назад +1

      Tunga chako tusome

    • @aminimushi6945
      @aminimushi6945 Год назад +2

      Ni vema ukataja ukakasi huo,ili watu wakuelewe,utakuwa umesaidia

    • @faridaikussi
      @faridaikussi Год назад +1

      ​@@omaryhunte hahaha

  • @aymanmangube4092
    @aymanmangube4092 Год назад

    Hakuna hoja ya maana ya kufanya maulid labda ungeanza na historia yake kisha utuambie walioianzisha wallanzisha kwa dalili gani na pia wema waliotangulia walimpenda vp Mtume(swalallahu 'alayhi wasalam) dini tayari imeshakamilika na wenzetu waliotutangulia walifanikiwa bila kusoma hayo maulid na unapofanya jambo la dini basi ni vizuri na ndio heshima kurudi kwa wema waliotutangulia

  • @alimwabundu5870
    @alimwabundu5870 Год назад

    Sheikh maandazi😀😀

  • @myself4128
    @myself4128 Год назад

    Muhammad ni Mtume wa Mchongo kama Mwamposa😂😂😂

  • @SheruTete-yb6ir
    @SheruTete-yb6ir Год назад

    ❤❤
    Q

  • @lugomemtamayaye9508
    @lugomemtamayaye9508 Год назад

    Unafki mtupu, tupe dalili ya kuhusu maulidi,wafundisheni watoto kumjua Mtume kupitia madrasa na sio tukio la maulid.

  • @cityhuntermkali2468
    @cityhuntermkali2468 Год назад

    Nlikuwa nakukubali ila kwakuw ni mtu wa bidaa mzee baba pitia kushoto ,kwa maulidi haya mnayofanya hakuna kumtangaza mtume zaidi ya ushenzi tu,hapo umevuruga pamoja na mifano yako ya kisela,,,yaan kicheza kote kuleee wanaume na wanawake barabarani ndo kumtangaza mtume!?,,,,wrong turn 😢

    • @mbokomboko5974
      @mbokomboko5974 Год назад

      Alicho zungumza yy maulidi yenye maadili na kumsifu mtume Sasa ayo unasema ww kuwa ushenzi sio ambayo aloyakusudia yy Wala hausiani nayo ttzo ni kwa awo wanaofanya maulid ya aina iyo unayo isema ww dokt sule hausiki kabisa katka maulid unayosema ww uwo ni uovu wa watu binafsi yao Wala sio mafundusho ya shehe yyte na ukiona MTU anafanya maulid ya aina iyo ujue hajasoma Wala hajui kitu ni mnafk tu

    • @cityhuntermkali2468
      @cityhuntermkali2468 Год назад

      @@mbokomboko5974 wew ulishaona ata cku moja akazungumzia kuhs ayo muaulid ambayo hayafai?, zaid anazungumzia maulid tu sasa hayo yasiyofaa kwann hawayapigi vita km wanayajua km hayafai?, hv kweli mtume alifundisha wanaume wacheze barabaran amna ile na wanawake??.kweli huko ndo kumsifu mtume?

    • @habibumdetele6530
      @habibumdetele6530 Год назад

      Uislamu wangu mdogo nimejifunza kupitia Maulidi.

    • @saraimbaruku2010
      @saraimbaruku2010 Год назад

      Labda Kuna jambo haliko sawa katka maulid lkn naamini ni Bora kuliko nyimbo tunazosikiliza majumbani mwetu na matembezini,lkn ni Bora kuliko rusha roho kwenye hafla zetu na harusi hivyo ni Bora turekebishe pabaya tuendelee na uzur mtupu

  • @omarsirleem7105
    @omarsirleem7105 Год назад

    Maneno ya busara

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 Год назад

    Dr. Sule kanuni ipi ya kimaumbile (Physics) ambayo mtu mwenye mwili wenye mifupa unaokula na kupumua ukahimili na kusafiri umbali wa nyota tu kwa haraka hiyo?

    • @blackwarrior-animations593
      @blackwarrior-animations593 Год назад

      Science hiyo anayo Allah Bado binadamu hatujafika levo hizo.
      Hata Theluthi ya Science ya Allah hatujaifikia na Professors wote na Geniuses zote zilizowahi Kuishi Duniani ....wanakiri Kwamba Kuna Siri Nyingi Zimo kwenye Kitabu Cha Quran ambapo wakisema wafocus nayo peke yake wataleta Discoveries na Inventions nyingi za kisayansi na za ajabu kuwahi kutokea tangu Kuumbwa Kwetu viumbe.
      Na still hatutozimaliza zote .
      😂 😆

  • @isaackmlayy6228
    @isaackmlayy6228 Год назад

    Ndugu zangu someni huyu shee muongo sana

  • @saidsajuki5713
    @saidsajuki5713 Год назад

    Assalam alaykum
    Kisa ni kizuri Sana ila wakati wa editting muwe mnaangalja sehemu za kukata maongezi maana inaondoa uhalisia wa aliyoyaongea na kubadirisha maana. Ukisikiliza dakika ya 20 utaona kama vile anazungumzia mama yake mzazi Mtume alikuwa anakanda chapati wakati si hivyo.

    • @silvestermanase6101
      @silvestermanase6101 Год назад +1

      Nakukubari sana Dr, mimi ni mkristo mkatoliki, lkn nafuatilia sana mafundisho yako, yanafundisha, yanajenga , yanatukumbusha kumcha Mungu.

  • @Djdiho257
    @Djdiho257 Год назад

    Tatizo ni tapeli amesha meza pesa za watu wengi

    • @faridaikussi
      @faridaikussi Год назад

      Subhaanallah kwnn

    • @faridaikussi
      @faridaikussi Год назад

      Unaandika hivio

    • @jumakhamis1197
      @jumakhamis1197 Год назад +1

      alishatapeli za nani?

    • @Djdiho257
      @Djdiho257 Год назад

      Wallah wa billah simzingishii fanya utafiti utaelewa kwanini nimeandika hivo kuna watu wanaofanya kazi warabuni wameliwa mahela ya maajabu
      Sauza afrika kuna Rafki angu ameliwa laki saba na kitu TSH ukitaka nikupe vithibitisho nitumie watsup yakho nikurushie miamala na number yake ya sim ilio tumiwa hela
      anakamchezo kabaya sana

    • @faridaikussi
      @faridaikussi Год назад

      @@Djdiho257 sawa akhii lakin hapa,hapafai nitumie yako nikufahamishe khasarazake

  • @zainababdallah5612
    @zainababdallah5612 Год назад

    Mashaallah

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 Год назад

    Masha Allah

  • @abubakarsuleman1983
    @abubakarsuleman1983 Год назад

    Mashaallah