SAFARI YA JUBILEI - MAFRATERI SEMINARI KUU YA MT. PAULO MTUME KIPALAPALA, TABORA
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- Wimbo maalumu wa Jubilei ya Miaka 100 Seminari Kuu ya Mt. Paulo Mtume - Kipalapala.
Umetungwa na Frt. Agrey Ngalyenga
Pata nakala ya wimbo huu kwa kubonyeza link hii:
drive.google.c...
CHANGIA KUFANIKISHA JUBILEI 2025
CRDB A/C: 015C877000400 - KIPALAPALA SEMINARI JUBILEE
M-PESA LIPA NAMBA: 8298532 - ASUMPTA
TEGETE-KIPALAPALA CENTENARY JUBILEE
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC
#kanisakatoliki
#Jubilee ya Miaka 100 ya Seminari
#1925-2025
#Mihi vivere Christus est
@KipalapalaSeminaryOnlineTv
#1925
#jugomedia
#radiomaria
@radiomariatanzania
@tumainitelevision
@radiombiu372
@radiomariatanzania2434
@thegalaxypro6219
@JugoMedia
@imanihaitv6682
@taaborafm
@radiomariakenya-nairobi817
@RadioMariaKenya
@radiomariauganda103.7
@RadioMariaRwanda
@radiomariaburundi
@kmkmakuburi
@KwizeraTVTanzania
#youtubepartnerprogram
Hongereni sana watumishi wa Mungu na tunawatakia Jubilei njema🎉🎉👏👏👏.
Ahsante sana! Tumshukuru Mungu 🙏
Safii tutahudhuria Mungu bariki Mama Kipalapala nakukumbuka
Amina! Karibu sana nyumbani 🙏
Hongereni Mafrateri
Ahsante sana 🙏
Maandalizi mema nami ntafika ,
Wimbo mzuri sana
Ahsante sana! Karibu nyumbani 🙏
Kazi nzuri. Hongereni sana.
Ahsante sana 🙏
hongereni sana Mafrateri wote hongera sana my kaka sololist Frt Aloyce
Ahsante sana 🙏
Mko vizuri ndugu zetu
Tunawaombea heri, baraka na mafanikio katika Safari hii.
Mtuombee na sisi Familia Takatifu ya Nazareth Mwendakulima- Kahama tukue vizuri na kuimarika.
Amina🙏 Ahsante sana
Hongereni sana Jumuiya ya seminary ya kipalapala kwa wimbo mzuri wa kumualika Mungu ktk safari ya kuelekea jubilei ya miaka 100 tangu kunzishwa Seminary hiyo ya kipalapala
Kwa kweli Mungu awe pamoja nanyi ktk safari hiyo Muweze kufikia kilele kwa Amani Mkimshukuru Mungu kwa Shangwe hiyo Kubwa na kuendelea kuifanya Seminary hiyo kuwa kitalu cha kutunza na kuchipusha miito mitakatifu ktk Kanisa🙏
Amina... Tumshukuru Mungu 🙏
Hongereni sana kwa wimbo mzuri na kwa wito mlioitika kufanya kazi shambani mwa Bwana
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana kwa jubilei 🎉 pongezi nyingi kwake Soloist Frt. Alois Kanyere
Ahsante sana 🙏
Hongereni Wimborne ni mzuri
Ahsante sana 🙏
Hongera mafrateri wetu na baba Gombera kwa kuwalea watoto hao.
Ahsante sana 🙏
Wimbo ni mzuri hongereni
Ahsante sana 🙏
Hongeraa sana frater Ngalyengaa kazii nzuriii tokaa ulipokua kasita seminary
Tumshukuru Mungu 🙏
Kazi nzuri mubarikiwe sana
Ahsante sana 🙏
ongereni sana kwa kazi nzuri, Mungu azidi kuwabariki
Ahsante sana 🙏
Galaxy studio 👏🏿
Tumshukuru Mungu 🙏
Hongereni sana
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana wapendwa wetu tunawaombea safari njema ya jubilee ya miaka 100 kipalapala, Watoto wangu wawili wapo hapo kipalapala seminari I'm proud of them and you all ❤ thanks a lot.🙏
Ahsante sana Mama 🙏
Hongeren sana
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana Mafrateri kwa wimbo mzuri
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana kwa kazi nzuri
Ahsante sana 🙏
Hongereni malabee Mungu ibariki seminari yetu.
Amina 🙏
God is good always.
All the time. Thank you!🙏
Nzuri ❤
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana ndugu zangu. Maandalizi mema ya jubilee ya Seminary ya Mt. Paulo Kipalapala
Ahsante sana 🙏
very nice song 🎉🎉
Thank you 🙏
Hongereni sana waseminari wetu mmeimba vizuri, Mwenyezi Mungu awaimarishe mudumu katika wito wenu na mmtumikie daima kwa furaha na bila ya kuchoka❤
Amina🙏
Tupo njia moja,nawaombea mfanikiwe
Safiiiiii🎉
Ahsante sana 🙏
Duhhhh mbarikiwe sana wanangu kwa utume wenu nimetokwa na machozi ya furaha mnavyoimba
Ahsante sana 🙏
Kwa kweli wanaimba vizuri mnoooo🎉🎉
Kazi nzuri sana
Ahsante sana 🙏
Lovely😍. Tunamshukuru sana Mungu kwa uimbaji huu mzuri
Ahsante sana 🙏
Ahsante sana 🙏
BIG UP FRATERS&RECTOR FOR THE JUBILEE SONG
Thanks 🙏
Dunia nzima tungekuwa na unyenyekevu kama wa hawa watumishi wa Mungu,dunia ingekuwa mahali salama sana.Mungu awatunze watumishi wa Mungu.
Amina🙏
Kazi nzr sana👏👏👏,
Mungu awajalie mahitaji ya mioyo yenu ktk kufikia Jubilei yenu.
Amina 🙏
Hongeren sana mafrateri kwa kuimba vzuri...
Ahsante sana 🙏
Nawatakieni jubilei njema,Mungu awabariki Sana ❤️
Amina🙏
Pongezi kwenu
Ahsante sana 🙏
Hongeni sana sana sana mafrater wetu kwa kumtumikia Mungu 😇😇😇😇😇😇 safiiiiiiiii👍😘😘👏👏👏👏
Ahsante sana sasa 🙏
Hongereni kwa wimbo mzuri wa sala, pia mmeimba vizuriii mnooo hongereni 👏👏👏
Ahsante sana 🙏
Neema ya injili TZ,,, Mungu aendelee kutukuzwa milele🙏🙏🙏
Amina🙏
🔥🔥🔥Melody🔥🔥Hongereni sana Wimbo mzuri sana
Ahsante sana 🙏
Hongera na Hongereni kwetu sote wana Kipalapala. Hii ni ishara wazi inayoonyesha mambo mazuri na makubwa yanayokuja kipindi hiki cha jubilee na baada VIVA 🎉❤❤❤❤KIPALAPALA
Nibarakaa sana
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana wanaseminari wote pamoja na mapadre wote Mungu awafikishe salama kabisa mbarikiwe na bwana
Amina🙏
hongeren sab
Ahsante sana 🙏
Asantee Sana wadogo zatu
Mapadre wakesho
Tumshukuru Mungu 🙏
Mungu ibariki Kipalapala Seminari. Hongereni mwimbo mzuri sana.
Ahsante sana 🙏
Super
Thanks
Niwatakie wana kipalapala Jubilei njema na Mungu awabariki sana Malabee wa Mungu🙏🙏🙏🙏
Amina Ndugu! Ahsante sana 🙏
@@KipalapalaSeminaryOnlineTv Amina Ndugu🙏🙏
Mungu awabarik Sana mdogo Wang anasoma hapo.
Amina 🙏
Hongereni Sana Mungu afanikishe safari yenu hii.
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana Mafrateri kwa wimbo uliojaa tafakari na hamasa kwa maandalizi ya Jubilei .
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana !
Ahsante sana 🙏
Mungu awe nguzo yenu kwenye utume mtumikie yeye bila kuchoka Amina 🙏🙏
Amina🙏
Mungu azidi kubariki maandalizi ya Jubilei,,,,Kazi nzuri sana
Amina🙏
Maandalizi mema ya Jubilei
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana waimbaji na mtunzi. Wimbo mzuri sana na wenye kutafakarisha.
Nimesikia katika huu wimbo muunganiko wa vionjo vya watunzi miamba wa muziki mtakatifu John Mgandu na Joseph Makoye.
Ahsante sana 🙏
😂
Maandalizi mema kwa Jubilei🙏
Ahsante sana 🙏
Hongera The Galaxy Pro Studio,
Nawaelewa Sana, chaguo Sahihi
Hongera Waseminari 🎉
Ahsante sana 🙏
Safi waseminari wetu oyeeee!!
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana Kwa kazi nzuri Mungu mwenyezi awatangulie mfike salama
Ahsante sana 🙏
Tuisherekee jubilee yetu Kwa Amani, katika wakati wetu,, imekua zawadi na bahatiii kubwa Kwa Seminari Yetu! Tunamshuku Munguu 🎶🎵🎶🎶🎵
Amina 🙏
Hongereni wimbo mzuri Mungu awabariki sana mwendlee kumtumikia
Tumshukuru Mungu 🙏
Hongereni sana mafrateli, watching from Kenya 🇰🇪
Ahsante sana 🙏
Karibu Tabora
Hongereni sana Malabee wa Mungu, kwa nyimbo nzuri ya safari ya Jubilei.... Mungu awajalieni Mafanikio tele katika safari ya kuijongea altare ya Bwana.
Amina🙏
Hongereni sana watumishi wa Mungu! Mungu awape hitaji lenu kama mlivoomba🙏
Amina 🙏
Kazi nzuri, Mbingu ziwazawadie
Amina🙏
Hongereni kwa Kazi nzuri
Ahsante sana 🙏
Hongereni makuhani watarajiwa kwa kuimba vizuri
Ahsante sana 🙏
Mungu Ibariki Seminary yetu
Amina🙏
Mbarikiwe Sana wapendwa MUNGU awafanikishe yote Katika utume 💒🙏🎶🎼
Amina🙏
Naombeni video ya solemn vespers Jumapili jioni nimeimisi sana
Yajayo yanafurahisha🙏
Hongeren san
Ahsante sana 🙏
Hongereni sana mafratel😘🔥🔥nakuona fratel kanyele kaka angu Mimi umeweza sana sana kaka
Ahsante sana 🙏
Awesome!! ❤❤❤
Mzidi kukua katika utume!
Amen, thank you!🙏
Kazi nzuri..
Ahsante sana 🙏
Hongerani sana, nimefurahi kumwona Baba aliyenifanya kijana na askari hodari wa Yesu Kristo
Amina 🙏
Mungu akawe daraja kwa Kila jambo
Amina🙏
Asanteni sana. Wimbo unatutafakarisha
Amina🙏
Hongereni sana mpo good.Mungu awajalie mfikishe ndoto zenu🙏
Amina🙏
Kazi nzuri
Nice 👍❤
Ahsante sana 🙏
Hongereni Sana Mungu awabariki wote waliosoma Hapo kwani wengi wao wametuhudumia katika Parokia zetu bila kuwajua wamesoma wapi
Tumshukuru Mungu 🙏
Hongera,kazi ni nzuri
Ahsante sana 🙏
I love the voices....alll voices are available
Thank you so much!🙏
MUNGU awaimarishe Kila siku ya maisha yenu watumishi wa MUNGU
Amina🙏
Kazi nzuri sana, Tanawapongeza wote waliohusika kuifanikisha.
Ahsante sana 🙏
Kazi nzuri, hongereni sana mapadre wa kesho
Ahsante sana🙏
❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏
Mwenyezi Mungu azidi kuwaongoza katika hii safari. Congratulations
Amina 🙏
Tufikie Kilele kwa Amani🙏
Amina🙏
Hongereni sana Mafrateri 🙏
Ahsante sana 🙏
well done
Thank you!🙏
Mungu awabariki sana,wanatabora
Amina 🙏
Congratulations for a very good song Of the jubilee, we wish you good preparations and successful for the jubilee of 100 years
Thank you so much🙏
Kuimba vizuri ni kusali mara mbili
Amina
Waooh 🎉🎉 hongereni sana 🙏
Ahsante sana 🙏
Hongereni sanaaa kwa wimbo mzuri wa Jubilee
Ahsante sana 🙏
Amina Mungu awapiganie ...hongereni sans
Ahsante sana 🙏
Mungu awe nanyidaima,🎉
Amina🙏
👏👏👏👏
Ahsante sana 🙏