@@IddyAlly-p5g wewe mjinga sana na kama muislam huwezi kuongea kitu hicho manake yeye anamuombea Dua ulikuwa uitikie Amin. Manake m/mungu ndie wa kuombwa tu
Allah S.W alimjalia uwezo mkubwa wa kielimu na ukarimu hakika tumenufaika naye waIslamu na wasio kuwa waIslamu na mada zake za kidini na kijamii zenye weledi mkubwa . Allah alituazima na sasa ameichukua amana yake. Ewe Allah muwekee nuru kwenye kaburi lake Sheikh wetu Muhamad Iddi .Amin
halafu huyu anojita m bachu achungesan elimuyake itamuweka pabya ,asipotunia hekma na busara katika kuelimisha bas ataishia pby umaarufuwake siwaelimu bal umaarufuwake wa kuwakejel wanadini kwakibr na zarau, ajue kwamba yeyemwenyewe hajakamilika, na hajuikwamba ibadazake zinakubaliwa?
Kama ni huyu kwenye picha ndogo chini kushoto basi nasikitika sana. Sometimes nilikuwa naangalia vipindi vyake channel ten japo mimi siyo muislam. Alikuwa anaonekana kuwa ni mtu muungwana sana na mwenye maarifa.
Nilijifunza mengi kwa darsa zake kupitia Radio Rahma Mombasa 2005-2006
Allah amueke Jannatul Firdaus, ameen.
YARABI mjaaliye PEPO kwa huruma yako YARABI na kukutanisha na MTUME wetu MOHAMMAD (S.A.W) amin 🤲 amin 🤲 YARABI amin 🤲
Siokiraisi ivo pepo ngumu
@@IddyAlly-p5gwanafki hamkosi
@@IddyAlly-p5g wewe mjinga sana na kama muislam huwezi kuongea kitu hicho manake yeye anamuombea Dua ulikuwa uitikie Amin. Manake m/mungu ndie wa kuombwa tu
@@hassanally446 huyu sio muislam sahihi
@@Mumewangu😅😅
Inna lillah wainna ilaih raajiun, allah amuepushe na adhab za kabr na amsamehe madhamb yke Ameen ya rabby
YAA ALLAH utujaliye mwisho mwema waja wako..na uwasamehe ndg zetu walio tanguliya mbele ya khaki.. amiin 🤲 YAA Rabb Alaamiin 🤲
Allahumma ameen ameen thumma ameen
Aameen
Innalillah wainna ilaihi rajiuun Allah amuweke shekh wetu mahali pema peponi
❤❤❤isilam wote❤ kitu kimoja na wote tutaludidi kwake Allah Karim❤❤❤
Innah Lillahi Wainnah illah Rajiun, Allah ampe kauli dhabit, Shekhe Muhammad Idd Darsa zake za Ndoa na Mirath Nilijifunja mengi Inshaallah
Allah amfanyie wepes sheikh wetu insha'Allah
Hasbun Allah wa nimal wakeel ) Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲
Allah amsamehe madhambi yake ishallah
Amiina inshaallah
MASHAALLAH MASALAFI MUNAZISIKIA QAULI HIZI
Allah S.W alimjalia uwezo mkubwa wa kielimu na ukarimu hakika tumenufaika naye waIslamu na wasio kuwa waIslamu na mada zake za kidini na kijamii zenye weledi mkubwa . Allah alituazima na sasa ameichukua amana yake. Ewe Allah muwekee nuru kwenye kaburi lake Sheikh wetu Muhamad Iddi .Amin
Allaahumma ghfirlahu, warhamhu, waafihim, waafa'nhu Sheikh Mohammad Iddi. Allaahumma Thabbit-hu Bilqauli Tthaabit.
Kwakeli sh Muhammad kafanya kazi kubwa katika mm Nilimjua katika masuala ya Mirathi Allah amsameh
Inna Lillah Waina Illayh Raj'uun! Tunamuomba Allah Amrehemu shehe wetu,Amiin.
yaa Quddus mulehemu sheikh wetu mohammad iddi mulaze mahali palpo pema ameeen
Inalillah wainaillah rajoon,Mungu amsamehe madhab Yasir na dhahir makubwa na madogo na amuondolee Adhab za kabur,nasi atupe mwisho mwema AmiinYarab
Inna Lillah wainna ilaih raajiun, ALLAH amuepushe na adhab za kabr na amsamehe madhambi yake,Ameen ya rabby
Huyu shekh ndio alikuwa sababu ya mim kisilimu....Allah s.w.t akusamehe na ukupe pepo inshaallah
Amiin
mashaalah, hongera kwa kuupokea uislamu dini ya kweli na haki
Inalillah waina illah rajiuna 😢 mungu amraham shekhe wetu kipenzi chetu .mungu kakupenda zaid hatuna jins
Aamin inna lillah wainna ilayhi rraajiuun inshaallah mw mungu ampe kauli thabit amsamehe madhambi yake amuweke pema peponi.
ALLAH AMSAMEHE NA KUMRAHAM SHEIKH WETU NIMEUMIA LAKIN DUNIA NI MAPITO ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA
Innalillah wainna ilayhi rajiu'un, Allah tujaalie mwisho mwema.
Hakika sote ni wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea 😭 Mungu ampe safari nyepesi 😭 😭
Mwenyeezimungu amsamehe makosa yake shekhe wetu, hakika nitamkumbuka daima hasa hasa mwezi wa ramadhani alikua akitoa mawaidha mazuri sana channel ten
Allah atusamehe na u tujaalie mwisho mwema kwa huruma yako
Allah amrehemu sheikh wetu Inshallah
Yallab ilaze mahara pema peponi shekhe; we2 kwahakika 2tamkumbuka kwa wema Allah akbar
Amiina
Innalilah wa inna ilayhi rajiuun Allah awe radhi naye fii dunia walakhera ,allahumma latahrimna ajirah walataftina baadahu
Kweli kabisa kakayangu Sule , Allah akuhifadhi
Dr Sule Mashaallah unasema ukweli salafi. Chukueni mifano.upendo ni muhimu sana.
Alikuwa mwalim maahir jaman mawaidha yake hakika yalikuwa dawa INNA LILAH WAINNA ILAIHI RAJIIN.ALLAH amuweke ktk pepo zake tukufu inshaallah
Allahu amrehemu shekhe muhammad
Ya allah mjalie akawe miongo mwawaj wema Mazur ananyo zungumziwa allah amjalie akawe miongoni mwawaja wake allah
Ahsante Doctor Suleiman
Innalinllahi wainnailayhi rajiuun qadarallahu maasha'a faala
Allah amrehemu ampe pepo ya firdausi
Amina yaaraab
Allah ampe kauli thabit sheikh Mohammad idi
أللهم غفر له ورحمه وعفه وعف عنه.
Kwakweli tulimpenda na tuna tunampenda na Mola mlezi pia amependa zaidi
Wallah shekhe kwa mambo ya talaka na mirathi ametuelimisha Sana,
Inalillah wainaillah rajooni mungu mpe nafasi jema
ALLAH Ampe kauli Thabiti.
Umesema kweli Dr sure tujiandaeni na mauti mungu mpe kheri nyingi Shekhe Abu Idd
Innalillah
Innalillai wainnaillahi rajiun
Inna lillahi wa inna lillah rajun amekufa na msimamo wake wa biddah Allah amsamehe sababu ni muislam
اللهم أغفر له و ارحمه برحمتك التي وسعت كل شيء
Innalilahi wainnailleih rajiuun
Inna Lillah waina ilayhi rajiun
mungu amlehem
Mola tunakuomba umsamehe sheh wetu Mohamed iddy
Sawa
Muung amlaze sehem nzur pa1 na cc
innarilah wa innarilah rajun 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Huyu si ndiye aliyekuwa na kipindi chanel ten
Yaa Rabbi mtilie Nuru Kabri lake
halafu huyu anojita m bachu achungesan elimuyake itamuweka pabya ,asipotunia hekma na busara katika kuelimisha bas ataishia pby umaarufuwake siwaelimu bal umaarufuwake wa kuwakejel wanadini kwakibr na zarau, ajue kwamba yeyemwenyewe hajakamilika, na hajuikwamba ibadazake zinakubaliwa?
napendekeza uwe una toa kalenda ya mwezi muandamo kama alway akujaalie wepes
Allah mghufirie mja wako huyu.
Nasisi utupe mwisho mwema.
Aaamiiin
Huyu mwandishi wa ISLAH TV analipenda hili neno(BILA KUPEPESA MACHO)
Tulimzoea kwa mafundisho yake kipindi Cha Ramadhani,
Kweli kabisa hata Mimi
Hapo sasa maskini hakuchagua watu wa kuongea nao
Wote kwake nisawa
Alikua na upendo na kila mtu
ruclips.net/video/iHqNxV83USs/видео.htmlsi=UGyyCLnrl2SmEhuD
Huyuu jamaaa ataa simuelew maaana hana ushehee shehe unakataa pank na kunyoa ndevu kihun kuekaaa o😅😅
Hii habari ya taazia ni habar ya huzuni,ww unaleta habar za pank? Yeye ilikuwa unasikiliza huku unatafuta Cha kukosoa sio kujifunza juu ya mauti?
Kama ni huyu kwenye picha ndogo chini kushoto basi nasikitika sana. Sometimes nilikuwa naangalia vipindi vyake channel ten japo mimi siyo muislam. Alikuwa anaonekana kuwa ni mtu muungwana sana na mwenye maarifa.
Ndiyo yeye
Tunafanana nami ni Mkristo lakini nilimpenda na kuipenda dini yake kwa ajili yake😭😭😭😭😭
@Annalisejg2ur Aisee, shida kifo hakikwepeki. Otherwise he was a real man
Asante I sana wakristo nyinyi kwa kuwa wakweli
@ramadhaniomary9241 Ukifanya vema unapata kibali.
HALAFU ANATOKA MTU ANJIITA NI WA SUNNA ANASEMA tunamshukuru MUNGU kwakumuuwa huyu muhammad iidi , sasa sunna itaendelea. dah , msiba wa kufikiri sana.
Wewe wapenda uchochezi nimzushi sana wewe,,,,maongezi nimengineee....wewe unayako kumetajwa Sunnah hapo??
Huko hakuna uchawa
Kwanini asiwe na mapunguvu ila wasifu zake kama aliweza kuwa na masaa 24 inamaana iliwadhulumu wake zake
Akili ndogo
Hauna haya??? Loooh
Uelewa wako ni mdogo
Innalillah wainna illah rajiun
Innaillah wainnalillah Rajiyun
Innalillah wainna ilayhi rajoon
Innaillah wainnalillah Rajiyun
Innalillah wainah ilayh rajiun