MARIYAM MIGOMBA ALIVYOMFUNDA NANDY NI BALAA/LAZIMA ADUMU KWENYE NDOA
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa SHUGHULI nyinginezo nyingi na nzuri.
MARIYAM MIGOMBA ALIVYOMFUNDA NANDY NI BALAA/LAZIMA ADUMU KWENYE NDOA
#Shughulizetu
#sharehe
Hongera mariam, miaka 30, mandy kila la kheri ndoa tamu jaman
Masha allah nimependa mnooo ulivyoongea Mariam ...kutwa kesi za mume ukizipeleka nyumbani mwishoe mume atachukiwa na wazazi wakidhani ni mbaya ,Dogo kubwa wamalize wenyewe,Nimependa
Mama unajuwa sana kufunda ongera 😍😍😍🙏🙏 nandy zinganitia sasa
Nandy wangu alivotulia sasa😂 mashallah!❣️🤗❣️
😂😂😂😂utasema anaelewa Sasa?!!
Mashallah Mariam wa migomba wewe ndo kungwi haswaaaaa
Mungu wa mbinguni awajaalie kheri ktk kutimiza tamanio lenu la ndoa Takatifu
Nady waliokuwa wanakukosoa Bure kufundwa hadharani lakini umewapa watu SoMo kubwa wengine wameilewa bila kumbiwa chochote Asante Miriam wa migomba kwa mafunzo mazuli 🙏
Kabisa shoga angu mi binafsi nimefurah mna ndo tunaish kwenywe doa
Aweeee shukran Sana nimefurahi mno kupata haya mafunzo kweli tunafaidika weng 🙏
@@mariyammariyam6584 kabisa tunashkuru kutongezewa mafundo
Kweli kabisa
Asante tunajifunza na sisi
Nimejifunza ata mimi pya kungwi hongera n Asante sanaa🥰🥰🙏🙏
Asante #Nandy hii ni offer kwa wadada wengi hata mimi Niko darasani🙏🏿🙏🏿
Karibu 🥰🥰
Kweli Cha kale ni dhahabu, Asante mama Miriam namimi nimejifunza pakubwa mno apa
Nimekuelewa da mariam nakupenda ❣️❣️
Hongereni sana mungu awatangulie kweny maisha yenu ya ndoa,,, nmependa ulivoeka hadharani kufundwa nasisi tujifunze humu🙏🙏 japo haya mambo sio ya kumfanyia boyfriend ni kwa mume tyuuu
Mashallah 🥰 congratulations 🎉🥳 n thanks for sharing that was so powerful and strong word's asante pia mama Miriam migomba love 💕 you all.
Maa Shaa Allah
Mungu Awabariki katika Ndoa yenu
Kweli kabisa maneno kuntu mama 😍😍😍😍
Hongera na Asante Sana Nandy kwa kushare nasi tunajifunza mengi mazuri pia🙏💕💕💕
Asnteeh Wajina unawakilisha jina vizuri 💕💕💕💕
Nawakumbusha... Haya mambo sio ya kufanya Kwa boyfriend au Mchumba! Boyfriend na mume ni vitu viwili tofauti kabisa.
Waache wajichanganye wakiachwa walie hii nikwa wana ndoa 😀😀😀
Haswa
Mpaka anafundwa manake anaenda kuolewa
Kwan mtu anafundwa kabla ndoa au baada ya ndoa..
@@najmandanshau2095 nikabla
Mafundisho nimeyaelewa... Sawa Asante sana Miriam
Ahsante sana dada mariam kwa somo lako nimelipenda sana
Nandy kivurugeeeee huyuuu ndo katuliaaa kiasi hicho???? Haya mama Mungu akutangulie...!
Asante sana dad mariamu nimependa jinsi unavo funda kwakwel mungu akutangurie nandy zingatia shogaangu nakuomba mema katoka ndoa yako
We appreciate the advice Nandy, thanks for sharing.
Hongera Sanaa Mpenzi Kwa Hatuwa Hii Unayoeendea Mwenyezi Mungu Akafanye Njia na Mtatuzi Wa Kila Jambo Mnapokosana Mandy💕❣️
Mariam migomba ni kweli kungwi maadam amefikisha miaka na mumewe, Asante Dada, Hongera.
Uuuuwi ndg wamume mtanickia kwny Bomba polic Hakim bwana jela nimimi mwenyew 👌 wee Miriam 🙏
Asante kungwiiiiiii ❤️❤️❤️
Ahsanten kwa masomo mazuri👏👏
Hivi Hugo William yeye hastahili kuambiwa anayoambiwa Nancy hapo ndiponapokoseaga wafundaji both of them wanahitaji kuambiwaaa kila mmoja natakiwa amfanyie mini mwenzie ndionawapa mwanya kuwanyanyasa wanawake
Mafunzo safi ukimaliza basis na wanaume watafutiwe wakuwafundisha
Hongera Miriam migomba ndoa ikawe ya kheri nandi wangu
Shukran Mariam,tumefunzika pia
Mariam migomba pambeeeeeeeee👌🏻
Hongera Sana Nandi MUNGU awatangulie ndoa yenu idumu daima
Mashaallah ❤️❤️❤️
Hongera na asnt nandy mungu akupe heri katika ndoa yako🥰🥰🥰🥰🥰
Hongera sana mrembo lkn naomba ushike hayo mawaidha tena zaidi weka mungu mbele kwenye ndoa yako.
Asante mama I have learn something bog
Inatakiwa hivyo kabla ya NDOA. MAFUNDISHO MAZURI KAMA HAYA. Hongera mtoto wa watu. Msanii aliyelelewa kwenye msingi ya DINI. Huwa kuna HERI NDANI YAKE.👼♥️
Mbaya Kipigo tu! Ladies learn here!
Thanks so much 🙏tumefunzwa wengi
Nimekupenda bule jmn unampa maneno mzr atr nandy 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mungu akulipe mamaangu
Mungu awabariki nyote faustine and bi Miriam ❤️🙏
Ahsante saaaana 💓💓💓💓💓
Great teachings but the sound track is too loud!
Maneno kuntuuuuuuuu jmn sema kinanda kina kela kina tualibia poziii asante kungwi 😍😍 tupo wengi waliiii jmn asante Nandy
Tumefundwa wengi asante mama yangu miriam Mungu akutunze
Mama mungu akubaliki sana sana nimelewa
Nandy nakupenda Dada Ani from Omani
Mashaallah maneno matamuu kwelii kama ni mungwana kaelewa
Asantee MARIYAM kwa kumfunda FAUSTA akiyashika maneno ya kungwi watadumuu
Hongera nandy ujauzito ume kunenepa Masha Allah 🙏
Asante sana mnaokoa ndoa za weng
Chukran mariam
Mungu akawasimamie iwe kheri
MashaAllah
Bi maryam asante kwa somo lako
Powerful advice
Nimejifunza sana alhamdullillah
Nimeipenda sana hv
Da mariamu ubarikiwe sana umenifunze kitu kikubwa sana
huyu kwingi kweli
Jmn honger kipenz. Mafunz konk 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kungwi ❤️❤️❤️
Raha ya ndoa anafundwa mwanamke mwanaume hajui ata moja
umeongea point somo yangu👌
@@fadyaal_hinai5645 shida inaanzia apo
Nampenda nandii anajielewa sanaaa
mambo haya bana zamani ilikua siri sikuhizi ni kama biashara jamani haaa sijapenta kwa kweli
Hongereni Faustina na William
Jaman ahsante nandy tumepata somo wote
Siku hiz makungwi.mambo live hata usipoweza kulipa kungwi. Unayapata tu Kila. Kona
Yapo ya ndani huwezi kufundwa live ht siku moja
@@Official83640 Sasa wao wanafundana au anampa ya nje tyuu????
@@baimarrajahbuayan6237 anamuelekeza jinsi yakuishi na watu na kuwajua tabia ili kujenga ndoa yake lkn mafunzo ya ndani yakumfanyia mume huwezi ambiwa mbele ya camera anaefanya hivyo msungo huyo
@@Official83640 hapo Sawa nimekuelewa nilijua had ya ndan Tena hadharan
Kbsaaa Mambo yamebadilika
Weweweeeeeeeee wapi mariaamu waaaaa Mingombaaaa safiiiii sana kumpa somo mke mtaraniwaa wa WILYAMU tunawatakia kila lakheri kwenye dawati la wazeeee
Wasia. Mzuri❤
Bora ww una fanda na uko kwanye ndoa sio wale wapiga makelele kwenye mitandao nandoa hawana ata hawa eleweki👏👏👏
Nandy mapigo ya moyo sasa yanaenda Kasi hatari mimba mikubwa tu hiyo hongera dogo
Kweli kabisa jmn ukiolewa Mungu anakupima inahitaji subra
Hongera Sana mpnz nandy
Sauti ndogo...LKN HAYA SASA NDO MAFUNZO.MIRIAM KATISHAAAA
ILA SAUTI NDO TATIZOOO
Nasie tumeskia hapo hapo shukran
Nmepata elimu kubwa hapa
🥰nimejifunza vingi leo🥰🥰
😁😁😁Namsikia Maryam wa Migomba nko shule ya msing na nina 30 nae ana 30 duu hii KUBWA na NUSU
Ckiliza vizuri kasema ana miaka 30 kwenye ndowa cyo kwamba ndio umli wake....yani ana miaka 30 tangu aingie kwenye ulingo wa ndowa
Usikilize uelewe
Anamiaka 30 yandoa siyo umri jamani
Sikiliza vzuri kasema ana miaka 30 kwenye ndoa na sio miaka yake ya kuzaliwa
Umeskia vibaya rafiki yangu! Amesema hiyo ni miaka yake ya ndoa kipenzi
💪💪💪💪
Kungwii noma ongera mama la mama nimekuelewa Sana ufunde yamuingiee Sana kungwi umemaliza gemu piya unandy wake mwisho getini
Kwa faida ya wote
Maneno mazuri 🔥 🔥
Tunashkuru kuendelea kupata faida kwa sisi tulioko ktk ndoa
Namimi nimejifunza mambo leo
Wow
Ngoma ikivumaaaa sanaaaaaa hupasukaaaaaaaaaa r.i.p kanumbaaaaaaa
Kanumba tena
Ndoa njema
Somo pambeeee👌🏽
Nimeipend hiyoo
Sante somo kwa niaba ya fau
Tunashkuru nasisi tunajifunza zaidi
Haya sasa, kungwi ndio huyo.
Ndoa zimamoto ✌️😀
😂😂
🥰🥰🥰👌👌👌
Karibu kwenye maisha ya muundo mpya,na asante kwa ku share
Yani huyu dada ndio anajua kufunda sio hao wanaowafunda wari michezo yakishangingi na ndio maana ndoa hazidumu maneno yakweli kabisa mwenyezi mungu wape subra watoto wetu kwenye ndoa zao na wape imani pia na waume zao
Amiin rabil alamiin 🤲
Amiin rabil alamiin 🤲
Nandy msikizi kungwi wako akwambia kweli usanii jukwahani ikirudi nyumbani weee ni mke wa mtu upo!sikiza mawaidha ulinde ndoa yako
Ma shaa Allah, mama nimejifunza pia na mimi kupitia nandy wallah nimepata faida kubwa sana wengine tumeolew bila ata kufundwa hongera sana maryaam kungwiii wetuuu
Hya kungwi kashanfunda mume aje anioe 🤣🤣
Yashike uambiwayo nandy wale walosema huolewi wakose la kusema
Dada Mum shikamoo