MARIYAM MIGOMBA ALIVYOMFUNDA NANDY NI BALAA/LAZIMA ADUMU KWENYE NDOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa SHUGHULI nyinginezo nyingi na nzuri.
    MARIYAM MIGOMBA ALIVYOMFUNDA NANDY NI BALAA/LAZIMA ADUMU KWENYE NDOA
    #Shughulizetu
    #sharehe

Комментарии • 181

  • @sofiaiddysofiaiddy1167
    @sofiaiddysofiaiddy1167 2 года назад +16

    Hongera mariam, miaka 30, mandy kila la kheri ndoa tamu jaman

  • @rahmaawadh1695
    @rahmaawadh1695 2 года назад +17

    Masha allah nimependa mnooo ulivyoongea Mariam ...kutwa kesi za mume ukizipeleka nyumbani mwishoe mume atachukiwa na wazazi wakidhani ni mbaya ,Dogo kubwa wamalize wenyewe,Nimependa

  • @adolphinayalala4092
    @adolphinayalala4092 2 года назад +14

    Mama unajuwa sana kufunda ongera 😍😍😍🙏🙏 nandy zinganitia sasa

  • @ladysasty
    @ladysasty 2 года назад +26

    Nandy wangu alivotulia sasa😂 mashallah!❣️🤗❣️

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 года назад +11

    Mashallah Mariam wa migomba wewe ndo kungwi haswaaaaa

  • @emmymgonto4110
    @emmymgonto4110 2 года назад +9

    Mungu wa mbinguni awajaalie kheri ktk kutimiza tamanio lenu la ndoa Takatifu

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 2 года назад +36

    Nady waliokuwa wanakukosoa Bure kufundwa hadharani lakini umewapa watu SoMo kubwa wengine wameilewa bila kumbiwa chochote Asante Miriam wa migomba kwa mafunzo mazuli 🙏

    • @habibajuma7739
      @habibajuma7739 2 года назад +2

      Kabisa shoga angu mi binafsi nimefurah mna ndo tunaish kwenywe doa

    • @mariyammariyam6584
      @mariyammariyam6584 2 года назад +1

      Aweeee shukran Sana nimefurahi mno kupata haya mafunzo kweli tunafaidika weng 🙏

    • @nigamo9645
      @nigamo9645 2 года назад +1

      @@mariyammariyam6584 kabisa tunashkuru kutongezewa mafundo

    • @wemakalama6458
      @wemakalama6458 2 года назад

      Kweli kabisa

    • @TheSalma1999
      @TheSalma1999 2 года назад

      Asante tunajifunza na sisi

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny2455 2 года назад +5

    Nimejifunza ata mimi pya kungwi hongera n Asante sanaa🥰🥰🙏🙏

  • @eben_ezer8853
    @eben_ezer8853 2 года назад +14

    Asante #Nandy hii ni offer kwa wadada wengi hata mimi Niko darasani🙏🏿🙏🏿

  • @upendomkude5390
    @upendomkude5390 2 года назад +7

    Kweli Cha kale ni dhahabu, Asante mama Miriam namimi nimejifunza pakubwa mno apa

  • @fatumazomboko1124
    @fatumazomboko1124 2 года назад +6

    Nimekuelewa da mariam nakupenda ❣️❣️

  • @florhamrosso3946
    @florhamrosso3946 2 года назад +6

    Hongereni sana mungu awatangulie kweny maisha yenu ya ndoa,,, nmependa ulivoeka hadharani kufundwa nasisi tujifunze humu🙏🙏 japo haya mambo sio ya kumfanyia boyfriend ni kwa mume tyuuu

  • @ashleynatasha4958
    @ashleynatasha4958 2 года назад +4

    Mashallah 🥰 congratulations 🎉🥳 n thanks for sharing that was so powerful and strong word's asante pia mama Miriam migomba love 💕 you all.

  • @khayraatabdool2286
    @khayraatabdool2286 2 года назад +4

    Maa Shaa Allah
    Mungu Awabariki katika Ndoa yenu

  • @khadijahomankweliyamjahaya7421
    @khadijahomankweliyamjahaya7421 2 года назад +5

    Kweli kabisa maneno kuntu mama 😍😍😍😍

  • @halimashaban7038
    @halimashaban7038 2 года назад +9

    Hongera na Asante Sana Nandy kwa kushare nasi tunajifunza mengi mazuri pia🙏💕💕💕

  • @mariamhamis471
    @mariamhamis471 2 года назад +3

    Asnteeh Wajina unawakilisha jina vizuri 💕💕💕💕

  • @neemalessian9508
    @neemalessian9508 2 года назад +27

    Nawakumbusha... Haya mambo sio ya kufanya Kwa boyfriend au Mchumba! Boyfriend na mume ni vitu viwili tofauti kabisa.

  • @seraphinamyonga2085
    @seraphinamyonga2085 2 года назад +1

    Mafundisho nimeyaelewa... Sawa Asante sana Miriam

  • @mwanamvuamohamed3967
    @mwanamvuamohamed3967 2 года назад +1

    Ahsante sana dada mariam kwa somo lako nimelipenda sana

  • @tiffahdangote7548
    @tiffahdangote7548 2 года назад +6

    Nandy kivurugeeeee huyuuu ndo katuliaaa kiasi hicho???? Haya mama Mungu akutangulie...!

  • @AbibaJuma-js5ot
    @AbibaJuma-js5ot Год назад

    Asante sana dad mariamu nimependa jinsi unavo funda kwakwel mungu akutangurie nandy zingatia shogaangu nakuomba mema katoka ndoa yako

  • @carolnashy105
    @carolnashy105 2 года назад +2

    We appreciate the advice Nandy, thanks for sharing.

  • @ericahenock1867
    @ericahenock1867 2 года назад +1

    Hongera Sanaa Mpenzi Kwa Hatuwa Hii Unayoeendea Mwenyezi Mungu Akafanye Njia na Mtatuzi Wa Kila Jambo Mnapokosana Mandy💕❣️

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 2 года назад +1

    Mariam migomba ni kweli kungwi maadam amefikisha miaka na mumewe, Asante Dada, Hongera.

    • @asiakigadu9931
      @asiakigadu9931 2 года назад

      Uuuuwi ndg wamume mtanickia kwny Bomba polic Hakim bwana jela nimimi mwenyew 👌 wee Miriam 🙏

  • @faithzamani1965
    @faithzamani1965 2 года назад +7

    Asante kungwiiiiiii ❤️❤️❤️

  • @hellenismail4351
    @hellenismail4351 2 года назад +4

    Ahsanten kwa masomo mazuri👏👏

    • @undasigera5434
      @undasigera5434 2 года назад +1

      Hivi Hugo William yeye hastahili kuambiwa anayoambiwa Nancy hapo ndiponapokoseaga wafundaji both of them wanahitaji kuambiwaaa kila mmoja natakiwa amfanyie mini mwenzie ndionawapa mwanya kuwanyanyasa wanawake
      Mafunzo safi ukimaliza basis na wanaume watafutiwe wakuwafundisha

  • @shaddyasalum2369
    @shaddyasalum2369 2 года назад +1

    Hongera Miriam migomba ndoa ikawe ya kheri nandi wangu

  • @shakilayusuf7802
    @shakilayusuf7802 Год назад +1

    Shukran Mariam,tumefunzika pia

  • @aika3024
    @aika3024 2 года назад +1

    Mariam migomba pambeeeeeeeee👌🏻

  • @rahabukyando7950
    @rahabukyando7950 2 года назад

    Hongera Sana Nandi MUNGU awatangulie ndoa yenu idumu daima

  • @Mrschid958
    @Mrschid958 2 года назад +3

    Mashaallah ❤️❤️❤️

  • @faikavuai2876
    @faikavuai2876 2 года назад

    Hongera na asnt nandy mungu akupe heri katika ndoa yako🥰🥰🥰🥰🥰

  • @gladysmwachupa1397
    @gladysmwachupa1397 2 года назад +1

    Hongera sana mrembo lkn naomba ushike hayo mawaidha tena zaidi weka mungu mbele kwenye ndoa yako.

  • @danielmungai8762
    @danielmungai8762 2 года назад

    Asante mama I have learn something bog

  • @eppiemodest
    @eppiemodest 2 года назад +1

    Inatakiwa hivyo kabla ya NDOA. MAFUNDISHO MAZURI KAMA HAYA. Hongera mtoto wa watu. Msanii aliyelelewa kwenye msingi ya DINI. Huwa kuna HERI NDANI YAKE.👼♥️

  • @michaelkisselar5691
    @michaelkisselar5691 2 года назад +10

    Mbaya Kipigo tu! Ladies learn here!

  • @bettymasitsa9504
    @bettymasitsa9504 2 года назад +2

    Thanks so much 🙏tumefunzwa wengi

  • @maryjanejusga5049
    @maryjanejusga5049 2 года назад

    Nimekupenda bule jmn unampa maneno mzr atr nandy 🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @bahatihassan2000
    @bahatihassan2000 2 года назад +1

    Mungu akulipe mamaangu

  • @marthadogrn3105
    @marthadogrn3105 2 года назад

    Mungu awabariki nyote faustine and bi Miriam ❤️🙏

  • @nasras7902
    @nasras7902 2 года назад +1

    Ahsante saaaana 💓💓💓💓💓

  • @missmannydxb
    @missmannydxb Месяц назад

    Great teachings but the sound track is too loud!

  • @totmohammedtotmohammed2982
    @totmohammedtotmohammed2982 2 года назад

    Maneno kuntuuuuuuuu jmn sema kinanda kina kela kina tualibia poziii asante kungwi 😍😍 tupo wengi waliiii jmn asante Nandy

  • @beatricesangana7678
    @beatricesangana7678 2 года назад

    Tumefundwa wengi asante mama yangu miriam Mungu akutunze

  • @ShamilaHoza-bi1nt
    @ShamilaHoza-bi1nt 3 месяца назад

    Mama mungu akubaliki sana sana nimelewa

  • @animori6919
    @animori6919 2 года назад +1

    Nandy nakupenda Dada Ani from Omani

  • @rechombeya7183
    @rechombeya7183 2 года назад +1

    Mashaallah maneno matamuu kwelii kama ni mungwana kaelewa

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 2 года назад

    Asantee MARIYAM kwa kumfunda FAUSTA akiyashika maneno ya kungwi watadumuu

  • @إيميكينياني
    @إيميكينياني 2 года назад

    Hongera nandy ujauzito ume kunenepa Masha Allah 🙏

  • @anithaboniface229
    @anithaboniface229 2 года назад

    Asante sana mnaokoa ndoa za weng

  • @user-vf5wi6qx7d
    @user-vf5wi6qx7d Месяц назад

    Chukran mariam

  • @minahrizzo7351
    @minahrizzo7351 2 года назад

    Mungu akawasimamie iwe kheri

  • @wemakalama6458
    @wemakalama6458 2 года назад +2

    MashaAllah

  • @munamuna4840
    @munamuna4840 2 года назад

    Bi maryam asante kwa somo lako

  • @angies.8912
    @angies.8912 2 года назад +3

    Powerful advice

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 2 года назад

    Nimejifunza sana alhamdullillah

  • @user-co6hw1ir1s
    @user-co6hw1ir1s Год назад

    Nimeipenda sana hv

  • @saphinajumanne6561
    @saphinajumanne6561 2 года назад

    Da mariamu ubarikiwe sana umenifunze kitu kikubwa sana

  • @modysultan6170
    @modysultan6170 2 года назад +5

    huyu kwingi kweli

  • @josephinamwanda1880
    @josephinamwanda1880 2 года назад

    Jmn honger kipenz. Mafunz konk 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @mishiomarhassan7115
    @mishiomarhassan7115 2 года назад +1

    Kungwi ❤️❤️❤️

  • @ناديهترتوب
    @ناديهترتوب 2 года назад +3

    Raha ya ndoa anafundwa mwanamke mwanaume hajui ata moja

  • @neemamrisho7500
    @neemamrisho7500 Год назад

    Nampenda nandii anajielewa sanaaa

  • @mwaisasalma2269
    @mwaisasalma2269 2 года назад +2

    mambo haya bana zamani ilikua siri sikuhizi ni kama biashara jamani haaa sijapenta kwa kweli

  • @zwatts38
    @zwatts38 2 года назад

    Hongereni Faustina na William

  • @hamidangitu227
    @hamidangitu227 2 года назад

    Jaman ahsante nandy tumepata somo wote

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад +6

    Siku hiz makungwi.mambo live hata usipoweza kulipa kungwi. Unayapata tu Kila. Kona

    • @Official83640
      @Official83640 2 года назад +1

      Yapo ya ndani huwezi kufundwa live ht siku moja

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 2 года назад

      @@Official83640 Sasa wao wanafundana au anampa ya nje tyuu????

    • @Official83640
      @Official83640 2 года назад

      @@baimarrajahbuayan6237 anamuelekeza jinsi yakuishi na watu na kuwajua tabia ili kujenga ndoa yake lkn mafunzo ya ndani yakumfanyia mume huwezi ambiwa mbele ya camera anaefanya hivyo msungo huyo

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 2 года назад

      @@Official83640 hapo Sawa nimekuelewa nilijua had ya ndan Tena hadharan

    • @neemaruben5427
      @neemaruben5427 2 года назад

      Kbsaaa Mambo yamebadilika

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 2 года назад

    Weweweeeeeeeee wapi mariaamu waaaaa Mingombaaaa safiiiii sana kumpa somo mke mtaraniwaa wa WILYAMU tunawatakia kila lakheri kwenye dawati la wazeeee

  • @MwanaishaMohamed-f2r
    @MwanaishaMohamed-f2r Год назад

    Wasia. Mzuri❤

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 2 года назад +2

    Bora ww una fanda na uko kwanye ndoa sio wale wapiga makelele kwenye mitandao nandoa hawana ata hawa eleweki👏👏👏

    • @christianmashaka5106
      @christianmashaka5106 2 года назад

      Nandy mapigo ya moyo sasa yanaenda Kasi hatari mimba mikubwa tu hiyo hongera dogo

  • @saudimussa8120
    @saudimussa8120 2 года назад

    Kweli kabisa jmn ukiolewa Mungu anakupima inahitaji subra

  • @elizabethndalahwa6793
    @elizabethndalahwa6793 2 года назад

    Hongera Sana mpnz nandy

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 2 года назад +5

    Sauti ndogo...LKN HAYA SASA NDO MAFUNZO.MIRIAM KATISHAAAA
    ILA SAUTI NDO TATIZOOO

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад +1

    Nasie tumeskia hapo hapo shukran

  • @mwanaishanchimbi7753
    @mwanaishanchimbi7753 2 года назад +2

    Nmepata elimu kubwa hapa

  • @everlinechambila4439
    @everlinechambila4439 2 года назад

    🥰nimejifunza vingi leo🥰🥰

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 2 года назад +4

    😁😁😁Namsikia Maryam wa Migomba nko shule ya msing na nina 30 nae ana 30 duu hii KUBWA na NUSU

    • @scholamodestus9386
      @scholamodestus9386 2 года назад +3

      Ckiliza vizuri kasema ana miaka 30 kwenye ndowa cyo kwamba ndio umli wake....yani ana miaka 30 tangu aingie kwenye ulingo wa ndowa

    • @zamdageuka9153
      @zamdageuka9153 2 года назад +2

      Usikilize uelewe

    • @zuhuramhando3600
      @zuhuramhando3600 2 года назад +2

      Anamiaka 30 yandoa siyo umri jamani

    • @ahuriladaniel9849
      @ahuriladaniel9849 2 года назад

      Sikiliza vzuri kasema ana miaka 30 kwenye ndoa na sio miaka yake ya kuzaliwa

    • @zaikibacha6413
      @zaikibacha6413 2 года назад

      Umeskia vibaya rafiki yangu! Amesema hiyo ni miaka yake ya ndoa kipenzi

  • @rahimaessa2552
    @rahimaessa2552 Год назад

    💪💪💪💪

  • @saidyabdallah9039
    @saidyabdallah9039 2 года назад

    Kungwii noma ongera mama la mama nimekuelewa Sana ufunde yamuingiee Sana kungwi umemaliza gemu piya unandy wake mwisho getini

  • @maryamhamad3485
    @maryamhamad3485 2 года назад +2

    Kwa faida ya wote

  • @kerubojane7606
    @kerubojane7606 2 года назад +1

    Maneno mazuri 🔥 🔥

  • @nigamo9645
    @nigamo9645 2 года назад +1

    Tunashkuru kuendelea kupata faida kwa sisi tulioko ktk ndoa

  • @jacklinebrightness4513
    @jacklinebrightness4513 2 года назад +2

    Namimi nimejifunza mambo leo

  • @jenipheraron3566
    @jenipheraron3566 2 года назад

    Wow

  • @neemaruben5427
    @neemaruben5427 2 года назад +1

    Ngoma ikivumaaaa sanaaaaaa hupasukaaaaaaaaaa r.i.p kanumbaaaaaaa

  • @saidyabdallah9039
    @saidyabdallah9039 2 года назад

    Ndoa njema

  • @glorylema
    @glorylema 2 года назад

    Somo pambeeee👌🏽

  • @user-gf6ob6ss2v
    @user-gf6ob6ss2v 4 месяца назад

    Nimeipend hiyoo

  • @ashuramakwaya6737
    @ashuramakwaya6737 2 года назад

    Sante somo kwa niaba ya fau

  • @streetsoultz9782
    @streetsoultz9782 2 года назад

    Tunashkuru nasisi tunajifunza zaidi

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 года назад +2

    Haya sasa, kungwi ndio huyo.

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 года назад

    Ndoa zimamoto ✌️😀

  • @nurtoaliosman8303
    @nurtoaliosman8303 Год назад

    🥰🥰🥰👌👌👌

  • @mwanashachikoko2706
    @mwanashachikoko2706 2 года назад

    Karibu kwenye maisha ya muundo mpya,na asante kwa ku share

  • @dhabiyaalawi3024
    @dhabiyaalawi3024 2 года назад +11

    Yani huyu dada ndio anajua kufunda sio hao wanaowafunda wari michezo yakishangingi na ndio maana ndoa hazidumu maneno yakweli kabisa mwenyezi mungu wape subra watoto wetu kwenye ndoa zao na wape imani pia na waume zao

  • @zakianzai6854
    @zakianzai6854 2 года назад +3

    Nandy msikizi kungwi wako akwambia kweli usanii jukwahani ikirudi nyumbani weee ni mke wa mtu upo!sikiza mawaidha ulinde ndoa yako

    • @ruqaiyajuma8076
      @ruqaiyajuma8076 2 года назад +1

      Ma shaa Allah, mama nimejifunza pia na mimi kupitia nandy wallah nimepata faida kubwa sana wengine tumeolew bila ata kufundwa hongera sana maryaam kungwiii wetuuu

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 2 года назад +1

    Hya kungwi kashanfunda mume aje anioe 🤣🤣

  • @domitiankisaga1496
    @domitiankisaga1496 2 года назад +1

    Yashike uambiwayo nandy wale walosema huolewi wakose la kusema

  • @rosemofuga8101
    @rosemofuga8101 2 года назад

    Dada Mum shikamoo