🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • 🔴#Live: NAZI HAIKUNWI HIVYO, NDIYO MAANA UNAACHWA, MIRIAM MIGOMBA AFUNGUKA | KATIKATI ya KOKO..
    KWENYE UTAMU WA KOKO ya Global TV tumetembelewa na malkia wa mipasho na mtangazaji nguli wa habari za burudani hasa taarab Miriam Migomba ambaye amefunguka mengi juu ya maisha ya ndoa na wapenda nao..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 113

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +4

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

    • @rabiasuleiyma
      @rabiasuleiyma Год назад

      Masha Allah udumu maelezo yk ni mazuri kama mwenyewe

  • @LeanaJohn-v2c
    @LeanaJohn-v2c Месяц назад

    Mashalah mungu awajalie maisha malefu mnatufundisha

  • @adijahmdosi5863
    @adijahmdosi5863 Год назад +1

    Jazzaka Allah kheri Mashallah tabarakallah Mwenyezi Mungu atawalipa Inshallah na Mwenyezi Mungu atujalie wepesi kwa hilo

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +1

    Mashaallah mwenyezi mungu awabariki piya awape umri mrefu. Muzidi. Kutufundisha

  • @nufairahalex9010
    @nufairahalex9010 Год назад +3

    Kazi nzur mom,love you

  • @begamnafaj8743
    @begamnafaj8743 3 месяца назад

    Asante sana mada ni tamu sana ina utamu wa shira , ni kweli wanaume wengi wanatoka ktk ndoa zao kwa kifuata maneno matamu kwa wanawake wa nje

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +1

    Nimependa hii mada mashallhhh mashallhhh 🥰🥰❤️❤️ mubarikiwe

  • @فطومفاطمه-ش2و
    @فطومفاطمه-ش2و Год назад +4

    Mubarikiwe sana kina mamaa kwa darasa lenu nimeelimika sana ama kweli mwanaume nikam mtoto na mwanamke uchokozi jamani

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 Год назад +1

    Shukran sana mola awape umri mrefu

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Год назад +1

    Haswaaaa mariamu wa migomba uko vizuri mi nakupenda sana

  • @dottohami
    @dottohami Год назад +1

    Masha Allha maryam wamigomba nakupenda sana 🌹🔥

  • @ترووكالحارثي
    @ترووكالحارثي 8 месяцев назад

    Mashallah mariamu na mama jj hongereni

  • @KijakaziIsmail
    @KijakaziIsmail Год назад

    Ahsante kwa mada nzuri

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Год назад +2

    Nawapenda

  • @halimamvungi1
    @halimamvungi1 Год назад +27

    Mwanaume kazi zake ni za kurudi saa Saba, uanze kumfagilia sebleni na wanaume hawahawa Si atasema unamloga ,hebu mtuache ,Tunafanya zaidi ya hivo ndugu , changamoto ni tunao wafanyia wengi hata hawajui maana ,Nguvu za kufunda zihamie Kwa wanaume Sasa na Ndoa zitanoga hamtaamini

  • @batulimabewa6953
    @batulimabewa6953 Год назад +3

    Mashaallah 💞

  • @zuhuracaleb6283
    @zuhuracaleb6283 8 месяцев назад

    Hongereni sana kwa darasa Allah awajalie maisha marefu Inshallah

  • @ekrammay8471
    @ekrammay8471 Год назад

    Shukran daMariam naMamajj darasa mjarabu

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Год назад

    Penda sana Mariam Migomba,
    Hongera mama jj kwa kipindi

  • @SamidahNamas
    @SamidahNamas 6 месяцев назад

    Mashallah. ❤️❤️❤️💕

  • @user-zo3oq5ty6g
    @user-zo3oq5ty6g 11 месяцев назад

    Helloooo Jamani nawapenda sana

  • @mariamashale6691
    @mariamashale6691 Год назад

    ahsante kwa tafsida kiswahili kimetulia

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад

    Bismillah mashallah
    Asant sna mama zangu kwa somo

  • @MbilinyiMbilinyi-f7b
    @MbilinyiMbilinyi-f7b 5 месяцев назад

    Jamani tunashukuru mnatusaidia sana kujenga nyumba zetu

  • @sherykilongo7794
    @sherykilongo7794 Год назад +1

    Masha a Allah dada Mariam SoMo darsa zuri sana

  • @fatumahamadi1379
    @fatumahamadi1379 Год назад +5

    Kw kweli hayo mafunzo yanajitajik pande zote 2 kw Mke m Mume ili ndoa zipate kudumu unajua wanaume wengi wanajibweteka mambo yote afanye mke ss hiyo sipendez inabid Mume nae amfanyie Mke ili mahana yazid

  • @fadiahshamekhatib3701
    @fadiahshamekhatib3701 Год назад +1

    MashaAllah 🙏🙏🙏

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 Год назад

    Mashaalah ila kunamakungwi wanafundsha na kunawanaoharbu kwakweli

  • @magrethchalamila1005
    @magrethchalamila1005 Год назад

    Jamani da Mamu na bi mkubwa hapo nitawatafuta Mimi mwenyewe,asante

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Год назад +10

    Asiniangaishe ,asinitie presha Mimi nataka MAPESA.Wanaume hawatosheki na kichapati kimoja, mtuambie tu tuwavumilie tumwombe MUNGU.

    • @فاطمةفايز-غ1غ
      @فاطمةفايز-غ1غ Год назад

      Mie nacheka mbavu sina jemeni! Hapo kweli umenena..

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 Год назад +2

      @@فاطمةفايز-غ1غ cheka tu mwaya lakini ndivyo ilivyo,uiname wee mpaka utembee kwa kichwa hafugiki mpaka Mungu aingilie Kati.

    • @فاطمةفايز-غ1غ
      @فاطمةفايز-غ1غ Год назад

      @@maswamills3161 santa mwaya..umenimaliza Sina kauli.langu jito tu.

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Год назад +1

      Yaani umeongea maneno sahihi

    • @maloomaalmnsj5111
      @maloomaalmnsj5111 Год назад +1

      @@maswamills3161 😂😂😂😂

  • @mwajumakilobwa6237
    @mwajumakilobwa6237 Год назад +2

    Jamani ntawezaje kumpata maliam migomba mama jiji nisaidie kumpata🙏

  • @halimashaban811
    @halimashaban811 Год назад +1

    Mashaallah mashaallah 🥰 🥰🥰🥰🥰👏🙏🙏

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 Год назад +1

    Bismillah Mansha'Allah ❤ ❤

  • @mwanasiti3109
    @mwanasiti3109 10 месяцев назад

    mm naomba tu namba yenu niwatafute❤❤❤❤

  • @RashidOmar-t5q
    @RashidOmar-t5q Год назад +1

    Yeye mwenyewe minyewele wazi tena muislam,sasa anafunda nini.

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Год назад +2

    😆😆😆😆 Swadaktaaaaa Sana Wa Mama Mnaeleweka,Tujitahidi Jamani 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️.

  • @FatmaMkukutika
    @FatmaMkukutika Год назад

    Kwioooo👌 jamn shat na soks kweli😂 mwengin na sdiria🏃‍♀️

  • @zainabuhamisi576
    @zainabuhamisi576 Год назад +1

    Safi

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Год назад +3

    Jamani hadi soksi🤔🤔🤔

  • @Linda-lr1lu
    @Linda-lr1lu Год назад +3

    Shida ndio hiyo sasa mmezidisha wanawake fanyaeni hivi hivi lakini bora mngehamia kwa wanaume hawaoni hawaaikii bora wapewe kitchen party imetosha

  • @johariasud7691
    @johariasud7691 Год назад

    Naomba namba yako dada mamu unifundie mdogo wangu

  • @sioniamohammed6522
    @sioniamohammed6522 Год назад +4

    Nmependa mafunzo yenu, swadakta

  • @hawaabdalla6616
    @hawaabdalla6616 Год назад +1

    🥰🥰🥰🥰

  • @esthermigire
    @esthermigire 10 месяцев назад

    Dada asnte ila wanaume hawakai nyumbani.....

  • @johariasud7691
    @johariasud7691 Год назад

    Dada mariamu naomba nikutafute mpendwa wangu

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 Год назад +2

    Mimi yote nitamfanyia lakini akichepuka tu sipo tena wala siongezi ndio nagoma kabisa,na aende huko kabisa 😂😂

  • @AminasaidAminasaid
    @AminasaidAminasaid Год назад

    Wakina mama tinashukuru kwa mafunzo yunu ni mazuri lakini, hawapo nyumbani je utayafanya atayaona wapi, mama akitoka asubuhi akirudi usiku. Mnatusaidiaje hapo jamani. 😢😢😢😢

  • @pendoreginald6752
    @pendoreginald6752 Год назад

    Kwa Nini kwa Sasa msihamie kwa wanaume .maana talaka sikuizi zimekuwa nyingi ..Kila siku mwanamke fanya ivi fanya ivi

  • @rehemachipwaza5907
    @rehemachipwaza5907 Год назад +4

    Mmmmhhh Hawa binadamu hawana shukurani watatutoa roho mwishowe hata utembeleee kichwa kazi bure wasituchoshe kwa kweli

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад

    Number ya da Mamu napata vip jmn

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +2

    Haaaaaaa shati tena au sokisi. Kwani vitambaa hamna

  • @irenesilayo1073
    @irenesilayo1073 Год назад +1

    Unamfanyiaje usafi

  • @djgabbychitanda1434
    @djgabbychitanda1434 Год назад +5

    Unaupiga mwingi ulipo nipo

  • @khadijaamrani6282
    @khadijaamrani6282 Год назад

    Hapo hapo mume apenda taratibu katika mapenzi

  • @mohammedibimkubwa4947
    @mohammedibimkubwa4947 Год назад +1

    Mh

  • @marianamsuha3899
    @marianamsuha3899 Год назад

    Shati na soksi 🤣🙌

  • @abdallahjuma7439
    @abdallahjuma7439 Год назад +1

    Unasema kwer kbsa , lkn kwa ss , hakuna mwanamke , anaweza kufangia , kwa kuinama , ,

    • @elizabethkweji7304
      @elizabethkweji7304 Год назад +1

      Watafute hela waache kelele😂

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 Год назад +1

      @@elizabethkweji7304 Hahahaaa umeonaee tupo ila njaa nayo mimi nna njaa waniambia niiname

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 Год назад +1

      Mgongo wenyewe unauma, tena ukainame.

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Год назад

      @@batulimabewa6953 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 Год назад

      @@elizabethkweji7304 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salmachonga
    @salmachonga Год назад +1

    Bhahaha jamaan soksi

  • @diddahjay2185
    @diddahjay2185 Год назад +1

    Ingekuwa kuolewa ni maufundi bc makungwi wengi wasingekuwa watalaka .. hata iweje wanaume ni jadi yao kichepuka tu msijihangaishe nakujikosoa

  • @nkurunzizaabdul-aziz7211
    @nkurunzizaabdul-aziz7211 Год назад

    Kwasasa tunava vikohi

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 Год назад

    😂😂😂eti tunakunakuna nazi km gwaride la vetinamu 😂

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад

    Hahaha wanaongea matusi ni tafsida ni wanaongea kutombana 😅😅😅

  • @zuuMedia601
    @zuuMedia601 Год назад +1

    Somo zuli jomn

  • @KijakaziIsmail
    @KijakaziIsmail Год назад

    Ahsante kwa mada nzuri

  • @marianamsuha3899
    @marianamsuha3899 Год назад

    Shati na soksi 🤣🙌

    • @sifariziki1282
      @sifariziki1282 Год назад

      Huuuuuh kabisa wa maman zangu munaongelea mambo kwa usahii na wa penda Sana bure

  • @KijakaziIsmail
    @KijakaziIsmail Год назад

    Ahsante kwa mada nzuri

  • @KijakaziIsmail
    @KijakaziIsmail Год назад

    Ahsante kwa mada nzuri