🔴
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- 🔴#Live: NAZI HAIKUNWI HIVYO, NDIYO MAANA UNAACHWA, MIRIAM MIGOMBA AFUNGUKA | KATIKATI ya KOKO..
KWENYE UTAMU WA KOKO ya Global TV tumetembelewa na malkia wa mipasho na mtangazaji nguli wa habari za burudani hasa taarab Miriam Migomba ambaye amefunguka mengi juu ya maisha ya ndoa na wapenda nao..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Masha Allah udumu maelezo yk ni mazuri kama mwenyewe
Mashalah mungu awajalie maisha malefu mnatufundisha
Jazzaka Allah kheri Mashallah tabarakallah Mwenyezi Mungu atawalipa Inshallah na Mwenyezi Mungu atujalie wepesi kwa hilo
Mashaallah mwenyezi mungu awabariki piya awape umri mrefu. Muzidi. Kutufundisha
Kazi nzur mom,love you
Asante sana mada ni tamu sana ina utamu wa shira , ni kweli wanaume wengi wanatoka ktk ndoa zao kwa kifuata maneno matamu kwa wanawake wa nje
Nimependa hii mada mashallhhh mashallhhh 🥰🥰❤️❤️ mubarikiwe
Mubarikiwe sana kina mamaa kwa darasa lenu nimeelimika sana ama kweli mwanaume nikam mtoto na mwanamke uchokozi jamani
Shukran sana mola awape umri mrefu
Haswaaaa mariamu wa migomba uko vizuri mi nakupenda sana
Masha Allha maryam wamigomba nakupenda sana 🌹🔥
Mashallah mariamu na mama jj hongereni
Ahsante kwa mada nzuri
Nawapenda
Mwanaume kazi zake ni za kurudi saa Saba, uanze kumfagilia sebleni na wanaume hawahawa Si atasema unamloga ,hebu mtuache ,Tunafanya zaidi ya hivo ndugu , changamoto ni tunao wafanyia wengi hata hawajui maana ,Nguvu za kufunda zihamie Kwa wanaume Sasa na Ndoa zitanoga hamtaamini
Unenena vyema habibty
Natamani uongeze sauti kubwaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwel kabisa
Hapana siyo kivo nikher ukimuroga mumeo kwamapenzi kuliko dawa zakumuuwa
Mashaallah 💞
Hongereni sana kwa darasa Allah awajalie maisha marefu Inshallah
Shukran daMariam naMamajj darasa mjarabu
Penda sana Mariam Migomba,
Hongera mama jj kwa kipindi
Mashallah. ❤️❤️❤️💕
Helloooo Jamani nawapenda sana
ahsante kwa tafsida kiswahili kimetulia
Bismillah mashallah
Asant sna mama zangu kwa somo
Jamani tunashukuru mnatusaidia sana kujenga nyumba zetu
Masha a Allah dada Mariam SoMo darsa zuri sana
Kw kweli hayo mafunzo yanajitajik pande zote 2 kw Mke m Mume ili ndoa zipate kudumu unajua wanaume wengi wanajibweteka mambo yote afanye mke ss hiyo sipendez inabid Mume nae amfanyie Mke ili mahana yazid
MashaAllah 🙏🙏🙏
Mashaalah ila kunamakungwi wanafundsha na kunawanaoharbu kwakweli
Jamani da Mamu na bi mkubwa hapo nitawatafuta Mimi mwenyewe,asante
Asiniangaishe ,asinitie presha Mimi nataka MAPESA.Wanaume hawatosheki na kichapati kimoja, mtuambie tu tuwavumilie tumwombe MUNGU.
Mie nacheka mbavu sina jemeni! Hapo kweli umenena..
@@فاطمةفايز-غ1غ cheka tu mwaya lakini ndivyo ilivyo,uiname wee mpaka utembee kwa kichwa hafugiki mpaka Mungu aingilie Kati.
@@maswamills3161 santa mwaya..umenimaliza Sina kauli.langu jito tu.
Yaani umeongea maneno sahihi
@@maswamills3161 😂😂😂😂
Jamani ntawezaje kumpata maliam migomba mama jiji nisaidie kumpata🙏
Mashaallah mashaallah 🥰 🥰🥰🥰🥰👏🙏🙏
Bismillah Mansha'Allah ❤ ❤
mm naomba tu namba yenu niwatafute❤❤❤❤
Yeye mwenyewe minyewele wazi tena muislam,sasa anafunda nini.
😆😆😆😆 Swadaktaaaaa Sana Wa Mama Mnaeleweka,Tujitahidi Jamani 🏃♀️🏃♀️🏃♀️.
Kwioooo👌 jamn shat na soks kweli😂 mwengin na sdiria🏃♀️
Safi
Nashukuru sanaaaa.Allah SW Awabariki zaidi
Jamani hadi soksi🤔🤔🤔
Shida ndio hiyo sasa mmezidisha wanawake fanyaeni hivi hivi lakini bora mngehamia kwa wanaume hawaoni hawaaikii bora wapewe kitchen party imetosha
🤣🤣🤣
Naomba namba yako dada mamu unifundie mdogo wangu
Nmependa mafunzo yenu, swadakta
🥰🥰🥰🥰
Dada asnte ila wanaume hawakai nyumbani.....
Dada mariamu naomba nikutafute mpendwa wangu
Mimi yote nitamfanyia lakini akichepuka tu sipo tena wala siongezi ndio nagoma kabisa,na aende huko kabisa 😂😂
Wakina mama tinashukuru kwa mafunzo yunu ni mazuri lakini, hawapo nyumbani je utayafanya atayaona wapi, mama akitoka asubuhi akirudi usiku. Mnatusaidiaje hapo jamani. 😢😢😢😢
Kwa Nini kwa Sasa msihamie kwa wanaume .maana talaka sikuizi zimekuwa nyingi ..Kila siku mwanamke fanya ivi fanya ivi
Mmmmhhh Hawa binadamu hawana shukurani watatutoa roho mwishowe hata utembeleee kichwa kazi bure wasituchoshe kwa kweli
😂🤣🤣🌹
Sio wote wengine tunatosheka kabisa
Number ya da Mamu napata vip jmn
Haaaaaaa shati tena au sokisi. Kwani vitambaa hamna
Unamfanyiaje usafi
Unamtandikia unamnyoa sehemu zake!
Unaupiga mwingi ulipo nipo
Mashaaalah
Hapo hapo mume apenda taratibu katika mapenzi
Mh
Shati na soksi 🤣🙌
Unasema kwer kbsa , lkn kwa ss , hakuna mwanamke , anaweza kufangia , kwa kuinama , ,
Watafute hela waache kelele😂
@@elizabethkweji7304 Hahahaaa umeonaee tupo ila njaa nayo mimi nna njaa waniambia niiname
Mgongo wenyewe unauma, tena ukainame.
@@batulimabewa6953 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@elizabethkweji7304 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bhahaha jamaan soksi
Ingekuwa kuolewa ni maufundi bc makungwi wengi wasingekuwa watalaka .. hata iweje wanaume ni jadi yao kichepuka tu msijihangaishe nakujikosoa
Yaaan
Utakuta wote hao watalaka
hongereni san
Kwasasa tunava vikohi
😂😂😂eti tunakunakuna nazi km gwaride la vetinamu 😂
Kama wananisema
Hahaha wanaongea matusi ni tafsida ni wanaongea kutombana 😅😅😅
Somo zuli jomn
Ahsante kwa mada nzuri
Shati na soksi 🤣🙌
Huuuuuh kabisa wa maman zangu munaongelea mambo kwa usahii na wa penda Sana bure
Ahsante kwa mada nzuri
Ahsante kwa mada nzuri