Njia Za Kuongeza Kipato | Emilian Busara | Orbit Securities | Money Talk
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- NAMNA YA KUONGEZA KIPATO NA MIKAKATI HUSIKA
***************
Hapa ni moja ya watanzania wanaotajwa sana kuwa kwenye mstari wa mbele katika kutoa elimu ya fedha na uwekezaji kwa watanzania na wanaotumia lugha ya Kiswahili; Mwl. Emilian Busara (MBA, FCPA).
Hii ni elimu aliyoitoa kuhusu namna ya kuongeza kipato kupitia uwekezaji na mikakati muhimu ya kuzingatia katika mchakato wa kuongeza kipato.
Kati ya hayo amezungumzia:
• Vyanzo vya mapato
• Tofauti ya mfanyabiashara na mwekezaji
• Uwekezaji (Hisa/Hatifungani)
• UTT (Mifuko ya Uwekezaji)
• Ardhi (Real Estate)
• Mrabaha/Maokoto (Royalties)
• Huduma (Ministry)
• Mikakati muhimu
********
Mzungumzaji:
Mwl. Emilian Busara, Mwalimu - Elimu ya Fedha na Uwekezaji
Hosts:
Ammi Julian, Investment Analyst, Orbit Securities
Fortius Rutabingwa, Head of Research, Orbit Securities
Session: Recorded
Platform: Orbit Securities Co. LTD, Zoom
Ezekiel Kuhoga
OQP Community Network
Almighty bless you both abundantly...
Thank you Amina for the blessings. I have already conveyed your blessings to Mr. Busara.
Asante sana mwalimu busara
Ahsante kwa kufuatilia. Tumefikisha salamu zako kwa mwalimu.
Somo zuri sana Asante ubarikiwe
Ahsante sana kwa kufuatilia session. Tutafikisha salamu.
L0l4Paa
Àapp😂l😂😂😂ĺ AND COPYRIGHT ii ACKNOWLEDGEMENT iii l`@@mindsettinginitiative
Mimi salma na wasikiliza kutoka Oman naomba mawasiliano ya busara
Habari Salma. Ahsante na hongera kwa kufuatilia. Mr. Busara unampata moja kwa moja kupitia WhatsApp kwa nambari +255 754 360 256.
Kila la kheri!
Kutoka Singida Tz
Nawapata vyema. Ni kiwafuatilia Kila HATUA
Ahsante sana kwa kufuatilia mafunzo yetu kwa ukaribu mkubwa.. for sure I can fell you it shall pay off in time.
Tafadhali tuambie, unasikiliza haya mafundisho kutokea wapi?
Morogoro ulanga
@@catherinetarimo3453 Ahsante sana kwa kufuatilia mafundisho. Ungetamani kujifunza nini zaidi kutoka kwetu?
Naomba msada wako napata
Pesa ningemba ushauri zaidi
Tafadhali wasiliana na Mr. Busara kupitia mawasiliano: +255 754 360 256
Hii pdf naipata wapi?
Kiongozi hapa fanya kuwasiliana na Mr. Busara. +255 754 360 256
Je umejifunza nini ambacho unadhani ni muhimu na wengine wakajifunza?
Tuanze kuwekeza na sio kuzalisha bila kuwekeza
@@catherinetarimo3453 ahsante sana. Hilo ni jambo moja muhimu sana.
Niko oman natakanikirudi nyumbani Tanzania niweze kuwa na kipato endelevu
Hongera kwa kuwa na lengo muhimu sana.
Tatizo orbiti hamjali wateja,nilishapga simu mara kibao nataka kununua hisa lakn hampokei,nafkr kunpbadili dalali tu
Ahsante kwa kufikisha suala hili hapa. Nitaliwasilisha mara moja kwa wahusika. Tafadhali watafute tena kwa namba hizi: +255 746 848 301.
Ukipata shida kuwapata tafadhali unaweza kuweka comment tena na nifanye juhudi nyingine ili kuwaunganisha.