Njia Za Kuongeza Kipato | Emilian Busara | Orbit Securities | Money Talk

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • NAMNA YA KUONGEZA KIPATO NA MIKAKATI HUSIKA
    ***************
    Hapa ni moja ya watanzania wanaotajwa sana kuwa kwenye mstari wa mbele katika kutoa elimu ya fedha na uwekezaji kwa watanzania na wanaotumia lugha ya Kiswahili; Mwl. Emilian Busara (MBA, FCPA).
    Hii ni elimu aliyoitoa kuhusu namna ya kuongeza kipato kupitia uwekezaji na mikakati muhimu ya kuzingatia katika mchakato wa kuongeza kipato.
    Kati ya hayo amezungumzia:
    • Vyanzo vya mapato
    • Tofauti ya mfanyabiashara na mwekezaji
    • Uwekezaji (Hisa/Hatifungani)
    • UTT (Mifuko ya Uwekezaji)
    • Ardhi (Real Estate)
    • Mrabaha/Maokoto (Royalties)
    • Huduma (Ministry)
    • Mikakati muhimu
    ********
    Mzungumzaji:
    Mwl. Emilian Busara, Mwalimu - Elimu ya Fedha na Uwekezaji
    Hosts:
    Ammi Julian, Investment Analyst, Orbit Securities
    Fortius Rutabingwa, Head of Research, Orbit Securities
    Session: Recorded
    Platform: Orbit Securities Co. LTD, Zoom
    Ezekiel Kuhoga
    OQP Community Network

Комментарии • 25

  • @aminakassim7741
    @aminakassim7741 8 месяцев назад +1

    Almighty bless you both abundantly...

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative  8 месяцев назад

      Thank you Amina for the blessings. I have already conveyed your blessings to Mr. Busara.

  • @josephmigila
    @josephmigila 5 месяцев назад

    Asante sana mwalimu busara

  • @neemavicar1307
    @neemavicar1307 4 месяца назад

    Somo zuri sana Asante ubarikiwe

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative  4 месяца назад

      Ahsante sana kwa kufuatilia session. Tutafikisha salamu.

    • @edmundmirambo871
      @edmundmirambo871 2 месяца назад

      L0l4Paa
      Àapp😂l😂😂😂ĺ AND COPYRIGHT ii ACKNOWLEDGEMENT iii l`​@@mindsettinginitiative

  • @MmmMmm-x5e
    @MmmMmm-x5e 7 месяцев назад +1

    Mimi salma na wasikiliza kutoka Oman naomba mawasiliano ya busara

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative  7 месяцев назад

      Habari Salma. Ahsante na hongera kwa kufuatilia. Mr. Busara unampata moja kwa moja kupitia WhatsApp kwa nambari +255 754 360 256.
      Kila la kheri!

  • @Balogetv
    @Balogetv 8 месяцев назад

    Kutoka Singida Tz
    Nawapata vyema. Ni kiwafuatilia Kila HATUA

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative  8 месяцев назад

      Ahsante sana kwa kufuatilia mafunzo yetu kwa ukaribu mkubwa.. for sure I can fell you it shall pay off in time.

  • @mindsettinginitiative
    @mindsettinginitiative  8 месяцев назад

    Tafadhali tuambie, unasikiliza haya mafundisho kutokea wapi?

    • @catherinetarimo3453
      @catherinetarimo3453 4 месяца назад

      Morogoro ulanga

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative  4 месяца назад

      @@catherinetarimo3453 Ahsante sana kwa kufuatilia mafundisho. Ungetamani kujifunza nini zaidi kutoka kwetu?

  • @MajaliwaKassim-s2m
    @MajaliwaKassim-s2m 5 месяцев назад

    Naomba msada wako napata
    Pesa ningemba ushauri zaidi

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative  5 месяцев назад

      Tafadhali wasiliana na Mr. Busara kupitia mawasiliano: +255 754 360 256

  • @MalJr01
    @MalJr01 Месяц назад

    Hii pdf naipata wapi?

  • @mindsettinginitiative
    @mindsettinginitiative  8 месяцев назад

    Je umejifunza nini ambacho unadhani ni muhimu na wengine wakajifunza?

  • @MajaliwaKassim-s2m
    @MajaliwaKassim-s2m 5 месяцев назад

    Niko oman natakanikirudi nyumbani Tanzania niweze kuwa na kipato endelevu

  • @JoramJaphet
    @JoramJaphet 8 месяцев назад +1

    Tatizo orbiti hamjali wateja,nilishapga simu mara kibao nataka kununua hisa lakn hampokei,nafkr kunpbadili dalali tu

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative  8 месяцев назад +1

      Ahsante kwa kufikisha suala hili hapa. Nitaliwasilisha mara moja kwa wahusika. Tafadhali watafute tena kwa namba hizi: +255 746 848 301.
      Ukipata shida kuwapata tafadhali unaweza kuweka comment tena na nifanye juhudi nyingine ili kuwaunganisha.