Mindsetting Initiative
Mindsetting Initiative
  • Видео 710
  • Просмотров 80 751
Hapa Ndipo Tulipofika | Mindsetting Initiative
Channel Yetu Mpya Ya RUclips
Jina: WeCan
Link: www.youtube.com/@wecanbegreat
*************************
✨ *SHUKRANI ZA DHATI KWA WOTE WALIOCHANGIA UKUAJI WA MINDSETTING INITIATIVE*✨
Kama ilivyo kawaida yetu, leo tena ikiwa tunaingia kwenye robo ya nne ya mwaka 2024🕒, tungependa tena kutoa shukrani zetu kwa makundi kadhaa ambayo yamechangia kwenye ukuaji📈 wa Mindsetting Initiative, pamoja na mchango wake🤝 kwa wanajamii wa Tanzania.
Video hii nimei ' *dedicate*' kwa makundi makubwa matano,
1. Mwenyezi Mungu,
2. Washiriki wa MI-Reading Club
3. Ibrahim Kuhoga
4. Orbit Securities, na
5. Subscribers
Mindsetting Initiative inakushukuru sana kwa mchango wako.
Просмотров: 151

Видео

Faida na Hasara Kati ya Kuwekeza Moja kwa Moja ama Kupitia Mifuko ya Uwekezaji wa Pamoja
Просмотров 585День назад
Hili ni jibu la swali lililoulizwa na mmoja ya wafuatiliaji wa #elimu inayotolewa hapa #mindsetting #initiative kuhusu #uwekezaji wa #hisa na #hatifungani. Jibu hili limelenga kueleza tofauti ya uwekezaji kati ya kuwekeza moja kwa moja katika kampuni fulani, na kuwekeza kupitia mifuko ya pamoja. Ili kusikia zaidi kutoka kwa wataalamu wenyewe tafadhali tumia link hapa chini kusikiliza kutoka kwe...
Mafanikio Halisi Huja kwa Kutoa Sio Kuchukua
Просмотров 12214 дней назад
Mafanikio Halisi Huja kwa Kutoa Sio Kuchukua
Je, Zipi ni #risks za kuwekeza Inuka Money Market Fund??
Просмотров 17521 день назад
Jifunze #risks zinazopatikana katika kuwekeza kwenye mfuko wa uwekezaji wa pamoja na namna ya kuziepuka ama kuzikabili.
Masterclass 2 | Sera ya Uwekezaji | Inuka Money Market Fund
Просмотров 12621 день назад
Ifahamu sera na mikakati ya uwekezaji chini ya Inuka Money Market Fund, inayoendeshwa na Orbit Securities
Masterclass 1 | Kwanini Kuwekeza Kupitia Mifuko ya Pamoja ni Muhimu | Inuka Money Market Fund
Просмотров 11521 день назад
Masterclass 1 | Kwanini Kuwekeza Kupitia Mifuko ya Pamoja ni Muhimu | Inuka Money Market Fund
Mchache kuhusu tukio la Uzinduzi | Inuka Money Market Fund | Orbit Securities
Просмотров 13621 день назад
Mchache kuhusu tukio la Uzinduzi | Inuka Money Market Fund | Orbit Securities
CRDB Investor Briefing | Quarter 2, 2024 | Fredrick Nshekanabo | Anna Mwasha | Orbit Securities
Просмотров 266Месяц назад
CRDB Investor Briefing | Quarter 2, 2024 | Fredrick Nshekanabo | Anna Mwasha | Orbit Securities
Kitabu Teule | Atomic Habits | MI Reading Club July 2024
Просмотров 1092 месяца назад
Kitabu Teule | Atomic Habits | MI Reading Club July 2024
Taarifa na Maelekezo | MI Reading Club | July 2024
Просмотров 472 месяца назад
Taarifa na Maelekezo | MI Reading Club | July 2024
My Life Story as a Foreigner in Finland | Ezekiel Kuhoga | Mindsetting Initiative
Просмотров 2012 месяца назад
My Life Story as a Foreigner in Finland | Ezekiel Kuhoga | Mindsetting Initiative
UPDATE | Zoezi la kutafuta mawasiliano limeanza | UTT Amis
Просмотров 1663 месяца назад
UPDATE | Zoezi la kutafuta mawasiliano limeanza | UTT Amis
Episode 5 | Ijue UTT Amis | Huduma za Usimamiaji wa Uwekezaji na Kukuza Thamani
Просмотров 4273 месяца назад
Episode 5 | Ijue UTT Amis | Huduma za Usimamiaji wa Uwekezaji na Kukuza Thamani
About To Start Producing Podcasts with The City of Kuopio for The Internationals | Ezekiel Kuhoga
Просмотров 283 месяца назад
About To Start Producing Podcasts with The City of Kuopio for The Internationals | Ezekiel Kuhoga
Episode 4 | Mfuko wa Ukwasi | Mfuko wa Hatifungani | Ijue UTT Amis
Просмотров 2,3 тыс.3 месяца назад
Episode 4 | Mfuko wa Ukwasi | Mfuko wa Hatifungani | Ijue UTT Amis
Episode 2 | Uchambuzi wa NMB Bank | Soko la Mitaji | Uwekezaji wa Hisa | Bernard Majollo
Просмотров 4653 месяца назад
Episode 2 | Uchambuzi wa NMB Bank | Soko la Mitaji | Uwekezaji wa Hisa | Bernard Majollo
Jinsi ya kunufaika Kifedha Kupitia YouTube (Kwa mtanzania 2024)
Просмотров 1783 месяца назад
Jinsi ya kunufaika Kifedha Kupitia RUclips (Kwa mtanzania 2024)
Episode 3 | Ijue UTT Amis (Mifuko ya uwekezaji)
Просмотров 2553 месяца назад
Episode 3 | Ijue UTT Amis (Mifuko ya uwekezaji)
Maswali 7 ya Kumuuliza Dalali wako wa Hisa (Stock Broker)
Просмотров 4243 месяца назад
Maswali 7 ya Kumuuliza Dalali wako wa Hisa (Stock Broker)
EPISODE 1 | Jinsi ya Kuchambua Kampuni ya Kuwekeza | Soko la Hisa la Dar es Salaam | Benard Majollo
Просмотров 4174 месяца назад
EPISODE 1 | Jinsi ya Kuchambua Kampuni ya Kuwekeza | Soko la Hisa la Dar es Salaam | Benard Majollo
Episode 2 | Mfuko wa Umoja | Mfuko wa Maisha | UTT Amis | Ezekiel Kuhoga
Просмотров 7504 месяца назад
Episode 2 | Mfuko wa Umoja | Mfuko wa Maisha | UTT Amis | Ezekiel Kuhoga
Episode 1 | Utangulizi | Fahamu Uwekezaji kupitia UTT Amis | Ezekiel Kuhoga
Просмотров 1,1 тыс.4 месяца назад
Episode 1 | Utangulizi | Fahamu Uwekezaji kupitia UTT Amis | Ezekiel Kuhoga
Ifahamu Mindsetting Initiative | Know Mindsetting Initiative | Both in English and Swahili
Просмотров 2334 месяца назад
Ifahamu Mindsetting Initiative | Know Mindsetting Initiative | Both in English and Swahili
This is How Negative Thoughts Affects You | Ezekiel Kuhoga | Mindsetting Initiative
Просмотров 384 месяца назад
This is How Negative Thoughts Affects You | Ezekiel Kuhoga | Mindsetting Initiative
Behind The Scene | Reason Behind Changing Tires Two times in Finland
Просмотров 534 месяца назад
Behind The Scene | Reason Behind Changing Tires Two times in Finland
Something You May Not Know About The Weather In Finland 🇫🇮
Просмотров 524 месяца назад
Something You May Not Know About The Weather In Finland 🇫🇮
One Secret to a Happy and Successful Life | Ezekiel Kuhoga | Mindsetting Initiative
Просмотров 954 месяца назад
One Secret to a Happy and Successful Life | Ezekiel Kuhoga | Mindsetting Initiative
Misingi na Kanuni za GAWIO | Uwekezaji wa HISA | Abbas Kimvuli | ORBIT SECURITIES
Просмотров 4185 месяцев назад
Misingi na Kanuni za GAWIO | Uwekezaji wa HISA | Abbas Kimvuli | ORBIT SECURITIES
Chapter 4 - Summary, Comments, Review | Power of Positive Thinking Book | Ezekiel Kuhoga
Просмотров 245 месяцев назад
Chapter 4 - Summary, Comments, Review | Power of Positive Thinking Book | Ezekiel Kuhoga
Five Benefits of Having The Right Mindset | Ezekiel Kuhoga | Mindsetting Initiative
Просмотров 1375 месяцев назад
Five Benefits of Having The Right Mindset | Ezekiel Kuhoga | Mindsetting Initiative

Комментарии

  • @Mboya120
    @Mboya120 2 дня назад

    Powerful

  • @mindsettinginitiative
    @mindsettinginitiative 5 дней назад

    Habari za leo wadau! Hadi sasa groups za Elimu ya Hisa chini ya Orbit Securities ziko nne na zote zimejaa. Ngoja tuone kama wanaweza kufanya group lingine.

    • @ibu900tv
      @ibu900tv 2 дня назад

      waki fungua grup jingine mtujulishe .

  • @yusuphmaganga8193
    @yusuphmaganga8193 6 дней назад

    Wewe ni shujaa, kupitia channel yako tumejifunza mengi juu ya uwekezaji, pasipo hata kulipa tuition fees. Endelea kukaza kiti chako kipo mbinguni bro.

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 5 дней назад

      Nashukuru sana Mr. Maganga kwa maneno mazuri. Haya yananipa moyo na nguvu ya kufanya zaidi.

  • @simonjoh6801
    @simonjoh6801 6 дней назад

    hongera sana, kwako binafsi nimejifunza vingi hasas kuhusu pesa na uwekezaji

  • @nkusuvilamichael8412
    @nkusuvilamichael8412 6 дней назад

    channel hii inaendelea kutuongezea elimu juu ya soko la hisa na mitaji na fedha kiujumla

  • @jacobphilipotibaijuka9573
    @jacobphilipotibaijuka9573 6 дней назад

    Leo nimeangalia session yenu ya pili, kiufupi kazi mnayoifanya ni mfano wa kuigwa mnatupa kitu ambacho tumepita shule zaidi ya miaka 17 lakin sijajifunza haya nimeyapata hapa

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 6 дней назад

      Tunashukuru sana kwa mrejesho mzuri sana. Nimefikisha salamu kwa Ammi na Fortius. Wanashukuru sana.

  • @neemashuma4302
    @neemashuma4302 7 дней назад

    Super

  • @RichardAlfan
    @RichardAlfan 7 дней назад

    Hivi una jiungaje

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 6 дней назад

      Kwenye eneo la maelezo hapo, kuna form ambayo pia inataarifa za kibenki. Unachofanya ni kuweka fedha bank, kisha unajaza hiyo form na kuituma Orbit Securities kwa kutumia email address iliyoandikwa chini kabisa kwenye hiyo form.

  • @DJDAVIDMOVIES
    @DJDAVIDMOVIES 11 дней назад

    Asante sanaa Mungu kanikutanisha na hii channel nilikuwa nikiumiza sana akili kwa kweli

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 11 дней назад

      Karibu sana na ahsante sana kwa kutupatia feedback nzuri🙏🙏🙏

  • @ashery843
    @ashery843 13 дней назад

    Mawasiliano yako mkuu tunayapataje

  • @content_ai_
    @content_ai_ 13 дней назад

    The problem with mutual funds is the price of the unit is set by the mutual fund company itself, while in stocks, the price is determined by the market. So I would advise that you park money in mutual funds as you think or wait for an opportunity to invest in stocks or bonds

  • @johnmichael3883
    @johnmichael3883 13 дней назад

    Soma zuri sana ila acheni kingereza kina waharibia tumieni kiswahili maana mnaongea na washwahili

  • @athumanimahmoud7530
    @athumanimahmoud7530 15 дней назад

    Samahani ndugu Ezekiel, mara ya mwisho crdb walilipa kiasi gani gawio kwa hisa moja ,na huwa wanapendelea kulipa mwezi wa ngapi ...?

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 15 дней назад

      drive.google.com/file/d/1kykjlBPHxlOkepZ3l1Y29t-98ERwFM0m/view

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 15 дней назад

      Ukifungua hii link, utapata pdf document. Nenda page ya tatu utaona taarifa kuhusu gawio (dividend). Ya mwisho ilikuwa ni sh. 50 na ililipwa June 5th.

  • @athumanimahmoud7530
    @athumanimahmoud7530 17 дней назад

    Naomba msaada wa kujua gawio (dividend) za CRDB wanatoa mara ngapi? na Kila baada ya muda gani Kwa mwaka ?

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 17 дней назад

      Hadi sasa kwa taarifa niliyonayo ni kwamba CRDB wanalipa gawio lao mara moja kwa mwaka.

    • @athumanimahmoud7530
      @athumanimahmoud7530 17 дней назад

      ​okay shukran, na mara ya mwisho walilipa bei gani Kwa hisa moja ...?

    • @athumanimahmoud7530
      @athumanimahmoud7530 17 дней назад

      na hua wanapendelea kulipa mwezi wa ngapi ...?

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 15 дней назад

      @@athumanimahmoud7530 Kwa sasa huwa wanalipa mwezi wa saba.

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 15 дней назад

      @@athumanimahmoud7530 Hadi sasa wanalipa sh. 50 kwa hisa moja

  • @imaniseba
    @imaniseba 20 дней назад

    Unafanya kitu kizuri sana...natamani vijana wengi zaidi wajue na kufuatilia hii channel

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 20 дней назад

      Shukrani sana Imani kwa kuitambua kazi huu kuwa ni kitu kizuri . Tuendelee kushare na wengine waweze kujifunza.

  • @mindsettinginitiative
    @mindsettinginitiative 20 дней назад

    Kulikuwa na uhitahi wa mawasiliano. Haya ni mawasiliano ya Fortius Rutabingwa: +255 620 650 616; rutabingwa@orbit.co.tz; Haya ni mawasiliano ya Ammi Julian: ammi.mwamunyi@orbit.co.tz: +255 747 138 101 Na haya ni mawasiliano ya Ezekiel Kuhoga: kuhogaezekiel@gmail.com; +358 41 75 78 763

  • @lussubm3745
    @lussubm3745 20 дней назад

    Kipindi kizuri. Nimejifunza Sana

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 20 дней назад

      Ahsante sana kwa feedback. Ubarikiwe.

    • @lussubm3745
      @lussubm3745 20 дней назад

      @@mindsettinginitiative But naomba kupata mawasiliano ya Ammi Julian na Ezekiel kuhoga. Ili kupata elimu zaidi ya uwekezaji.

  • @filberthendry2651
    @filberthendry2651 21 день назад

    Mmeelezea vzr, lkn hamjaongea n faida % ngp itakayopatikana kwa kutokana na uwekezaji

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 20 дней назад

      Kwa mujibu wa maelezo ya wataalamu, hawawezi kuwaambia mtapata asilimia ngapi ya return, hiyo inaweza tafsiriwa kama utapeli kwa sababu mfuko huu ni mpya na haujaakisi tabia ya uwekezaji bado. Labda baada ya mwaka mmoja, matokeo ya mwaka unaoisha yanaweza kutumika kuweka matarajio kwa mwaka unaofuata.

  • @godfaithjohn2833
    @godfaithjohn2833 23 дня назад

    Kwenye hu uwekuzaji wa mfuko wa inuka fund, hakuna hasara kabisa? Imean there is no risk 100%?

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 23 дня назад

      Swali zuri sana. Risks za uwekezaji zipo, na za kimkakati pia zipo. Ila tofauti ni kwamba sehemu kubwa ya risks zinapunguzwa kwa mwekezaji na kusimamiwa na msimamizi wa mfuko. Hii ni tofauti na kama mwekezaji anawekeza moja kwa moja kwenye kampuni kwa sababu kuwekeza moja kwa moja pamoja na risks ya uwekezaji, bado risks za kimkakati ambazo zinahitaji utashi katika nyanja hiyo ni kubwa sana hasa kwa mwekezaji wa kawaida.

  • @amanimeela1106
    @amanimeela1106 24 дня назад

    Great news looking forward to invest in this

  • @PlusErick
    @PlusErick 25 дней назад

    Inuka hawana app kwa adroid au app store ili iwe rahisi kwa wawekezaji wake kama ilivyo kwa mifuko mingine kama utt itarahisisha sana kupata wawekezaji

  • @rashidkalabi8212
    @rashidkalabi8212 27 дней назад

    How to become a memberi?

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 27 дней назад

      Mr. Rashid, kwenye eneo la maelezo (hapo chini ya video angalia neno limeandikwa 'more', minya kisha patafunguka) utakuta taarifa jinsi ya kutuma maombi ya kuwekeza. Kwa taarifa zaidi, hapo zipo namba za simu na email address.

  • @AmosLugatangya
    @AmosLugatangya 27 дней назад

    Swali langu lipo kwenye mfuko wa wekeza maisha wa UTT. Nalo ni:Malengo yangu ni Milioni Kumi haijalishi Kwa mkupuo au kidogo kidogo, na nimekamilisha huo uwekezaji wangu bila kupata tatizo lolote la ulemavu au kifo. Je hiyo bima nafaidika nayo vipi?

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 27 дней назад

      Ahsante sana kwa swali zuri. Bima zote huwa hazimnufaishi muhusika endapo hapajakuwa na dharula zinazozababisha huyo muhusika kushindwa kutimiza majukumu au malengo yake katika eneo fulani. Hii ni pamoja na bima chini ya huo mfuko wa wekeza maisha wa UTT Amis.

    • @johnmichael3883
      @johnmichael3883 27 дней назад

      Tatizo mna changaya kiswahili na kigereza

    • @AmosLugatangya
      @AmosLugatangya 27 дней назад

      @@mindsettinginitiative Asante 🙏 sana Kwa majibu mazuri.. nimeelewa.

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 27 дней назад

      @@johnmichael3883 Kwa kweli hili nalo ni neno. Tutaangalia namna ya kupunguza viingereza na kutumia kiswahili zaidi, Ahsante sana kwa mrejesho.

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 27 дней назад

      @@AmosLugatangya Shukrani sana. Endelea kujifunza na kuwashirikisha ndugu wengine.

  • @HubertVitalis-ou9sz
    @HubertVitalis-ou9sz 27 дней назад

    Orbit security kuna mzee mmoja customer care ambae anapokea simu za wateja huyo mzee sijui mlitumia kigezo gani kumuajiri maana ana majibu ya kukatisha tamaa .hana customer care nzuri kwa wateja sidhani kama anajua majukumu yake Nivizuri aka staaf masna hio kazi na umri wake haviendani kama mna bisha jaribuni kupiga simu hapo orbit security kama unataka kununua hisa alafu utaskia usenge wake

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 27 дней назад

      Ahsante sana kwa feedback mkuu! Tunalifikisha hili jambo sehemu husika na litafanyiwa kazi.

    • @amirithabit5802
      @amirithabit5802 26 дней назад

      Kweli huyo mzee ni jipu hafai unamuuliza swali anajibu ovyo tu

  • @RamadhanMbwana-o1j
    @RamadhanMbwana-o1j 28 дней назад

    Safi sana Madini yakutosha👍🏿

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 27 дней назад

      Ahsante sana kwa kuweza kufuatilia. Tuendelee kujifunza na kuwashirikisha wengine tunaowajali kwenye kupata hii elimu.

  • @CookeJodie
    @CookeJodie Месяц назад

    57967 Malvina Squares

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 Месяц назад

    Niunge na Whatsapp ya kusoma vitabu bro

  • @SamwelMisungwi
    @SamwelMisungwi Месяц назад

    Use Swahili language view utapata tu 😂

  • @MalJr01
    @MalJr01 Месяц назад

    Hii pdf naipata wapi?

  • @ibmahenge
    @ibmahenge Месяц назад

    Sawa wachambuzi nimewapata

  • @ericbalige1781
    @ericbalige1781 Месяц назад

    Mh. Kimei aliwahi kusema faida ya mabenki mengi hapa kwetu inatokana na kukopesha salaried employee ambao kikawaida hatuwekezi sana kwenye shughuli za kiuwekezaji kuinua uchumi. Nadhani hii inaweza kuwa sababu ya kwa nn uchumi haukui sana kuendana faida za banks zilivyo.

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 Месяц назад

    Tupo pamoja mpaka dakika ya mwisho

  • @gastoronesphorytarimo9763
    @gastoronesphorytarimo9763 Месяц назад

    Asante kwa kutushirikisha kilichojadiliwa, nimepata mwanga zaidi katika uwekezaji

  • @RamadhanMbwana-o1j
    @RamadhanMbwana-o1j Месяц назад

    Crdb big up for your good job 👍🏿

  • @AbdulTech027
    @AbdulTech027 Месяц назад

    Nimejitolea kumlipia harmonise hela yote anayo daiwa😊

  • @navioma4882
    @navioma4882 Месяц назад

    Kwa mm nashukuru sana kwa elimu ya hisa🙏🙏❤❤❤🇹🇿🇹🇿

  • @LightnessAloyce-vg3bi
    @LightnessAloyce-vg3bi Месяц назад

    Shukrani sana.... Naomba kujua zaidi 🙏🙏🙏

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative Месяц назад

      Ahsante sana Lightness kwa kufuatilia na kunipa mrejesho. Endelea kufuatilia hasa mijadala ya uchambuzi ambayo inafanyika kila Ijumaa live saa moja jioni. Naamini utajifunza mengi.

  • @bonifaceelias1846
    @bonifaceelias1846 Месяц назад

    Asanteni sana kwa kipindi kizuri, najifunza vingi kutoka kwenu

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative Месяц назад

      Ahsante sana Mr. Boniphace kwa kufuatilia na kutupa mrejesho. Bless you🙏🙏

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz Месяц назад

    Ni swali mimi niwekeza orbit nina share TBL natsla baadhi niuze baadhi inawezekana kuhuza pia nakuja kwa TBL share ni sh gapi nitashukuru nikijibiwa

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative Месяц назад

      Kuuza baadhi ama zote inawezekana kabisa. Bei ya hisa hubadilika siku hadi siku. Hivyo itategemea siku hiyo unauza itakuwa sokoni inauzwa kwenye wastani wa bei gani. Ili kupata mwongozo mzuri, tafadhali wasiliana moja kwa moja na Ammi Julian..Namba hapo chini. +255 747 138 101

    • @DpN-rk8xz
      @DpN-rk8xz Месяц назад

      Naweza kupata no simu baadhi

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative Месяц назад

      @@DpN-rk8xz ndio. Kwenye maelezo niliyotoa mwishoni kabisa nimeweka namba ya Ammi.

    • @DpN-rk8xz
      @DpN-rk8xz Месяц назад

      ASANTE Sana mbarikiwe

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative Месяц назад

      @@DpN-rk8xz shukrani sana.. Ubarikiwe zaidi.

  • @Sokoni_255
    @Sokoni_255 Месяц назад

    Nawezaje kuwa mwanachama wa group?

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative Месяц назад

      Kwa sasa tumeshaanza kusoma kitabu kwa msimu huu na tumeshapiga hatua fulani kubwa. Urahisi kwako ni kujiunga kwenye msimu ujao. Ila kama unahitaji kujiunga kwenye group la WhatsApp hivyo hivyo, basi unaweza tumia link hapa chini: chat.whatsapp.com/EZ8nzHS7BXV1pBCBO4uAww

  • @JuliethMabuga
    @JuliethMabuga Месяц назад

    Naweza kufungua kwenye simu yangu

  • @seifazizz4160
    @seifazizz4160 2 месяца назад

    Mambo mazur

  • @bronykenzie2322
    @bronykenzie2322 2 месяца назад

    How to compute earning per share???

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 2 месяца назад

      Katika hali ya kawaida, Earning per share maana yake ni faida kwa hisa moja, ambayo hutafutwa kwa kuchukua ile wanaita, 'net profit' ambapo: Net profit = gross profit (faida ya jumla) - company costs - taxes Earning per share = Net profit / outstanding shares. Ili upate hisa moja imezaa faida kiasi gani.

  • @leoncealex7343
    @leoncealex7343 2 месяца назад

    Nimelewa hasa kwenye swala la kugawa majukumu. Kwamba TAMBUA uko Bora sehemu gani ndo uhusike nayo 💪. Nimependa na kauli hii"KAMA TUTAENDELEA KUFANYA HIVI JINSI TUNAVYOFANYA VIZURI MAYUNDA YATAKAYOPATIKA TUKULA WOTE" kauli hii ninzuri mnoo 🔥 asantee

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 2 месяца назад

      Ahsante sana @leoncealex kwa kusikiliza na kunipa feedback.. Hii ni muhimu sana kwangu

  • @leoncealex7343
    @leoncealex7343 2 месяца назад

    Hii video kidogo niache kuingalia lakini umenifundisha vizuri nimekuelewa vizuri

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 2 месяца назад

      Ahsante sana @leoncealex kwa kusikiliza na zaidi zaidi kwa kutupatia mrejesho. Bless you greatly!!

  • @ivomatee9966
    @ivomatee9966 2 месяца назад

    Very interesting session, swali langu ni taratibu zipi zakufanya ilikuwa sehemu ya block trade katika soko la hisa DSE?

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 2 месяца назад

      Inaweza ikatokea kuna mteja anataka kununua kiasi kikubwa sana cha idadi ya hisa, ama kuna kikundi cha watu wanataka kununua kwa pamoja. Katika case hii, inaitwa block trade na huwa na faida ya kuwa na nafasi ya 'negotiation' kwenye bei ya hisa.

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 2 месяца назад

      Ili kupata specific ni kwa ukubwa gani, nitaforward hili swali kwa Mr. Ammi na Mr. Fortius.

    • @ivomatee9966
      @ivomatee9966 2 месяца назад

      @@mindsettinginitiative Nilitaka kufahamu kiwango cha chini cha kushiriki block trade

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz 2 месяца назад

    Asante sana mnasimu ya whatapp nataka kunuanua bond niko nje nchi nitashukuru

    • @mindsettinginitiative
      @mindsettinginitiative 2 месяца назад

      Haya ni mawasiliano ya Ammi. Unaweza. Check nae. +255 747 138 101

  • @ericbalige1781
    @ericbalige1781 2 месяца назад

    Asante sana kaka Ezekiel na Orbit securities kwa kipindi kizuri sana,huwa siwezi kulala siku Ijumaa bila kuangalia hii program. Napenda pia kumkumbusha kaka Ammi kuhusu Afriprise idadi ya share ili double baada ya ile rights issue,kwa hiyo ile hesabu ya price to book value ajaribu kuipitia tena

  • @LucyStephano-d3l
    @LucyStephano-d3l 2 месяца назад

    yangu pia haifunguki

  • @AZAM_MEDIA
    @AZAM_MEDIA 2 месяца назад

    Nnajiungaje na group?