NALIMI awachana vibaya WATUBAKI, atoa MAZITO yaliyofichika, afunguka sababu za kujitoa CHEKA TU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • #Nalimi #watubaki #chekatu

Комментарии • 30

  • @Beingnoela
    @Beingnoela Год назад +1

    There’s a lot of healing and acceptance that this guy has to do, same as the other guys at watubaki.
    Nalimi is still hurt with what watubaki did to him he needs to heal and let go.
    There’s no platform that has no challenges. But as tanzanians we need to accept changes are inevitable

  • @herbethchogga361
    @herbethchogga361 2 года назад +1

    Huyu ni comedian no 1 TZ, kwa wanaofatilia comedy na kujuijua wanaelewa

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian4776 3 года назад +5

    Kwangu Mimi Deo ndo standup comedian ninaempenda sanaa

  • @umojamedia4167
    @umojamedia4167 3 года назад

    Jamaa anaongea point
    Anaelezea ukweli halis
    Awez kudanganya uwo ndoukweli

  • @Mwanamkesahihi01
    @Mwanamkesahihi01 3 года назад +4

    Halafu we ni mwandishi kweli unachati huku Unamhoji mtu ? Shame boss wako ananidhamu sana Tafadhali Uombe Radhi unaanza kujisahau

    • @bugatti4728
      @bugatti4728 3 года назад +1

      Alikua anasoma maswali

  • @apt846
    @apt846 2 года назад

    Nalimi we ni mkali mzee ila tatzo umelia lia sana

  • @darviswantana7669
    @darviswantana7669 2 года назад

    Nalimi anajua, ilaa Deo is the best in Tz

  • @SamwelNyangala
    @SamwelNyangala 3 года назад +2

    Huyu kaka aweke mambo wazi, kama anataka kusema alafu anapotezea

  • @esterngowi7159
    @esterngowi7159 3 года назад +1

    💚💛💥

  • @petermbwei1347
    @petermbwei1347 3 года назад +2

    Nachukia kuangalia mahojiano ya mtu kama huyu aisee yani mifano mingi kuchekacheka unazunguka sana imebidi niache kuangalia pumbavu

  • @birianination7097
    @birianination7097 3 года назад +2

    Phone on interview nikosa kubwa sana

    • @bugatti4728
      @bugatti4728 3 года назад +1

      Anasoma maswali, ulitaka aende na karatasi

    • @birianination7097
      @birianination7097 3 года назад

      @@bugatti4728 kama alikua anasoma maswali, then alitakiwa awe na simu mkononi mdaa wote, pia mtarifu mgeni kuhusiana na processes nzima.
      Kutoa simu mfukoni katikati ya maojiano nikosa kubwa. In UK Adele aliondoka katikati ya mahojiano kisa reporter haku fanya research yakutosha.

    • @bugatti4728
      @bugatti4728 3 года назад

      @@birianination7097 nakubaliil

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 3 года назад +2

    Nyie wanafamilia wa SNS hivi Creez yupo wapi?

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 3 года назад

    ASEEEE WHY NOW MBONA MNAPALILIA UMASIKINI KWENYE INDUSTRY

  • @Mwanamkesahihi01
    @Mwanamkesahihi01 3 года назад +1

    Nilijua hawa Vijana wanavipaji vikubwa lakini Umri wao na mambo ya Vikundi ni ngumu sana kukua; hata ivo Ukichanganya kupata pesa na Umaarufu lazma Ukose Kimoja - sio wote wanajua nini wanataka huyu anaongea anajihisi Bora sana Utoto mwingi Hajapevuka kabisa

    • @herbethchogga361
      @herbethchogga361 2 года назад

      Usiangalie kwan lazima !?

    • @herbethchogga361
      @herbethchogga361 2 года назад

      Humjui nalimi, na hufatilii comedy vizuri, information zako unazipata kwenye TV, real fans wa comedy wanaelewa huyu ni nani kwenye comedy… check kwanza special yake moja then utaelewa tunakuambia nini

  • @maleek11flacko
    @maleek11flacko 3 года назад +1

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪💕

    • @raphaelkimaro1791
      @raphaelkimaro1791 3 года назад

      Duh, mshikaji anajisifu sana ki2 ambacho sio sahihi anajuaje yeye ana uwezo zaidi ya wengine? Afanye kazi zimtetee sio yeye kutumia nguvu kubwa kuaminisha umma ana uwezo zaidi ya wengine. Dalili za kushindwa ni kuamini unaweza kila ki2.

  • @makambi4089
    @makambi4089 3 года назад

    hapo mahari kuna mbu wa kutosha

  • @gsmartcreation5655
    @gsmartcreation5655 3 года назад

    Donald. Video iko over exposed my brother-Inaumiza macho. Next time tumia Outdoor monitor kuhakikisha exposure sahiihi (To producer)

  • @pascalsamson4721
    @pascalsamson4721 3 года назад

    duuu

  • @rokidecor1011
    @rokidecor1011 3 года назад

    Nimegundua kwanini hunenepi usijilinganishe na WATUBAKI wewe