Trump atia saini Amri ya kuondoa Wanariadha waliobadili jinsia kwenye Michezo ya Wanawake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii - / simulizinasauti

Комментарии • 124

  • @alexbahindolwa3921
    @alexbahindolwa3921 38 минут назад +1

    Hapa ndo ninapomkubali huyu mzee 💪💪..jpt

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Час назад +2

    Safi sana yani wakome kumkosoa Mungu 😢

  • @JacklineChales-n6h
    @JacklineChales-n6h Час назад +3

    Good leader

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 45 минут назад +1

    Noma sana

  • @rumdeesonsoa1811
    @rumdeesonsoa1811 14 минут назад

    Huyu mzee Mungu ambariki

  • @bellacaramella2196
    @bellacaramella2196 10 часов назад +6

    Safi sana👏

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel216 Час назад +1

    Safii kaz nzuri

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 17 минут назад

    Inaitwa operations ondoa "Ugomora na Usodoma' hapo sawa🔥🔥🔥🏹💪

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 7 часов назад +5

    Bravo 👏🏽

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 Час назад +2

    Asante makonda

  • @kanukanute2722
    @kanukanute2722 2 часа назад +4

    Safii sqn Trump

  • @OligahmwakabokoKilale
    @OligahmwakabokoKilale Час назад +2

    huyu ndiye raisi

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 часа назад +5

    Safi,,,,ilikua sio fair

  • @elishaelishaedward9454
    @elishaelishaedward9454 2 часа назад +4

    Kaziiendeleee

  • @doubletapkama3901
    @doubletapkama3901 3 часа назад +3

    tunafurahia sana

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Час назад +2

    😂hapa 100👏👏👏👏👏👏🔥🔥🔥✌️

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 26 минут назад

    Super

  • @Yness-vh4yy
    @Yness-vh4yy 3 часа назад +3

    Good!

  • @victorcharlesmwakikoti7764
    @victorcharlesmwakikoti7764 2 часа назад +4

    Unakata uume nakuweka uke ,kwa hiyo wanaona wenye uke wanafaidi?😢

  • @JAMBOBoy-v3k
    @JAMBOBoy-v3k 4 часа назад +5

    Kazi wanayo😂😂😂

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 16 минут назад

    Angelikuwepo mzee Baba JPM combination yake, Trump,Putin na H.Traore pangechimbika 😆🤣

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 часа назад +3

    Safiii🎉🎉

  • @AmaniMathod
    @AmaniMathod 2 часа назад +2

    TRUMP HAO MATAJILI WOTE WA MAREKANI NI MASHOGA INAHITAJI NGUVU YA ZIADA.... MAREKANI INA LAANA YA USHOGA....WATU WA MAHAKAM WOTE MASHOGA...

  • @vanessagrace771
    @vanessagrace771 8 часов назад +4

    SAFI SAAANA

  • @RajabuHemedy-f1n
    @RajabuHemedy-f1n Час назад +1

    Atafukuza adii watu weusii😂😂

  • @mscantraah8210
    @mscantraah8210 3 часа назад +5

    Very good super 💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @Georgebush-g3r
    @Georgebush-g3r 6 часов назад +7

    Next atasain amri ya kuwanyonga kabsa wote walio badiri jinsia😂 baba ana heka heka huyu🙌

    • @wemakalama6458
      @wemakalama6458 6 часов назад

      🤣🤣🤣🤣haha

    • @bernadethamlundebartlett387
      @bernadethamlundebartlett387 6 часов назад

      😅😅😅😅lol...

    • @nassoroc
      @nassoroc 5 часов назад

      Kwanini asingeanza na tamko la Kupiga Marufuku USHOGA?! Au na wewe unadhani suala la kubadili jinsia na ushoga ndo kitu kile kile?!

    • @Georgebush-g3r
      @Georgebush-g3r 5 часов назад

      @@nassoroc unampangia Cha kufanya? Duuh Sasa wewe unafikiri mtu ataanza kubadiri jinsia bila kuwa na itikadi za upinde? Kama unawaza hivyo bila shaka ww ni mgonjwa🤔

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 2 часа назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @Peaceman-S
    @Peaceman-S 3 часа назад +2

    VIVA TRUMP VIVA MUNGU ATAKUOIGANIA PIGA KAZI MY PRESIDENT 👏👏👏👏🫡🫡🫡🫡🫡

  • @aysherkabby5937
    @aysherkabby5937 10 часов назад +4

    Now ur talking!!! 😂😂✍🙌

  • @Youngruler_999
    @Youngruler_999 10 часов назад +2

    Okay ✅

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 10 часов назад +10

    Anamazuri mengi kuliko mabaya alinikera zaidi tu aliposema wa palestine waame gaza kwakweli kwenye hilo kakosea sana amefwata matakwa ya shetani netapaka

    • @Uesilamsiodiniyakweli
      @Uesilamsiodiniyakweli 10 часов назад +1

      Shetani babahako mzazi wewe mbwa

    • @nassoroc
      @nassoroc 5 часов назад

      Na ataendelea kukukera tu kwa sababu hata hili anakufurahisha kwa sababu wengi mnadhani suala hili lina uhusiano na mashoga kumbe hakuna uhusiano wowote na mashoga- na mashoga kama mashoga wanaendelea kutatuana marinda kama kawaida na hajatoa tamko lolote la kupinga ushoga hata kama watu mnadhani suala la kutambuliwa jinsia mbili tafsiri yake ni kutotambua ushoga!! Taifa Laanifu kama Marekani KATU haliwezi kupiga marufuku ushoga!!

    • @Drsilo-v5k
      @Drsilo-v5k 5 часов назад +2

      Ww hujui km ana mazur mtaon tu hili shetan tuu km mashetan

    • @Happy-n5i5x
      @Happy-n5i5x 5 часов назад

      anakulisha huyo trup matako watu weusi baana shobo tu unatukana watu utafikir baba yako ​@@Uesilamsiodiniyakweli

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 часа назад

      Pole
      Netanyailu sio shetani

  • @mr.erickmwacha8575
    @mr.erickmwacha8575 20 минут назад

    Secret service do you worry about them?? that will be a big problem

  • @Safi0701
    @Safi0701 9 часов назад +4

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 29 минут назад

    Apo kwenye ushoga na masago tu ndo me humuunga mkono but kwenye umwagaji dam hapana aende peke yake na dua mbaya ntamuombea😂😂

  • @danielamosi2970
    @danielamosi2970 3 часа назад +2

    Trump 🤝

  • @ellymaz2187
    @ellymaz2187 4 часа назад +2

    Amri hii siyo tata. Ni uhalisia

  • @swalehemusa4546
    @swalehemusa4546 2 часа назад +1

    Apambane na nchi yake kishoga maana nchi yake imeoza kwa ushoga kila sekta mashoga anakazi kweli kweli

  • @kisalaTV
    @kisalaTV Час назад

    Maji wataita mma mwaka huu😂

  • @OmegaJustine
    @OmegaJustine Час назад

    Trump #Leader and not Manager

  • @simontemba1851
    @simontemba1851 51 минуту назад

    Jinsia mseto shenzii kbsa

  • @mr.erickmwacha8575
    @mr.erickmwacha8575 26 минут назад

    Bora asee
    Yan USA n wahovyo mnooo. mwanaume unajibadili af unaend kushindana na wanawake kweli??

  • @Patrick-w1j
    @Patrick-w1j 45 минут назад

    Safisha UOZO mwamba ndicho uliahidi wamarekani😅

  • @MichaelEustach
    @MichaelEustach Час назад

    Hapa kaz tu

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 3 часа назад +1

    Safisana. Hii ni nafuu na itadhibiti Kasi ya wajinga kubadili jinsia kisa kutimkia US

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 4 часа назад +1

    Trump Hana haja ya maahoga wala wasagaji!!!!! Yaani hapo trump mtamuua lakini hata iweje

  • @laurentshedrack4256
    @laurentshedrack4256 10 часов назад +1

    Trump🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 4 часа назад +2

    Anaempinga tlumpu ni shetani na wafuasi wake

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 3 часа назад +1

    Kizuri utapongezwa na kibaya pia tutakupinga

  • @adiaygo8546
    @adiaygo8546 5 часов назад +5

    Hapo kwenye hiyo video hakuna muamerika mweusi hata mmoja😊

    • @SalimMohamedFaraj
      @SalimMohamedFaraj 4 часа назад +1

      Hata mimi nimetazama sikumuona black naona wazungu tu, hata mmoja huyu jamaa kweli nimbaguzi

    • @khloevibe7569
      @khloevibe7569 3 часа назад +1

      hv unajua ao wamarekani weusi hawanaga shobo na waafrica... wanatudharau kinoma we angalia interview zao kwahyo acha na wenyewe wabaguliwe

    • @Precious-dear
      @Precious-dear 3 часа назад

      Yaani hao wa America weusu wanatudharau sisi Africa vibaya sana@@khloevibe7569

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 3 часа назад +1

      Mbona Jana Dodoma hakukuwa na Mzungu hata mmoja wao hawalalamiki kila mtu apende ndugu zake"

    • @bulasaleheramadan3737
      @bulasaleheramadan3737 3 часа назад

      True kk ​@@khloevibe7569

  • @vaskosamweli3556
    @vaskosamweli3556 4 часа назад +1

    Kabisa toa mabwabwa yote

  • @abdallahkhalfan3966
    @abdallahkhalfan3966 9 часов назад +20

    Huyu jamaa kama panya anatafuna na kupuliza huyu jamaa anawachukiya sana watu wa Gaza na Palestine.???

    • @lexq-sm6lq
      @lexq-sm6lq 7 часов назад +5

      Ana ng'ata na kupuliza vipi!!
      Trump ni mmarekani, na ana wapenda wamarekani tu!!

    • @Lastbornecadet
      @Lastbornecadet 7 часов назад +6

      Vimeingilianaje na gaza

    • @Drsilo-v5k
      @Drsilo-v5k 5 часов назад

      Shetan hili

    • @nassoroc
      @nassoroc 5 часов назад

      Yeye ANAUMA TU, watu wasiomwelewa ndo wanadhani anauma na kupulizia! Huku Afrika amepata mashavu sana kwa sababu WENGI wanashindwa kutofautisha kati ya hoja yake ya Kutambua JINSIA MBILI TU na Suala la Mashoga! Wengi mnadhani anaposema anatambua Jinsia Mbili TU maana yake anapiga Marufuku Ushoga kumbe ni vitu viwili TOFAUTI!

    • @adiaygo8546
      @adiaygo8546 5 часов назад +1

      ​@@lexq-sm6lqacha ushoga kama anawapenda wamarekani mbona kuna maandamano ya kumpinga😮

  • @mainaimma1114
    @mainaimma1114 2 часа назад +1

    MSISASAHAU APENDI WATU WEUSI😂

    • @aceofspades3728
      @aceofspades3728 2 часа назад

      Nenda kule ...acha propaganda kama huelewi nyamaza he is the white president with the history of having a lot of black rappers as friends..tuliiiiiia

    • @Patrick-w1j
      @Patrick-w1j 43 минуты назад

      Tunajidharaulisha wenyewe kwa kupenda misaada ambayo inaishia kwenye matumbo ya wanasiasa na watu wachache..

  • @SalimMohamedFaraj
    @SalimMohamedFaraj 4 часа назад +1

    Hata mimi nimetazama sikumuona black naona wazungu tu, hata mmoja huyu jamaa kweli nimbaguzi

    • @ROBERTMAPIKAH
      @ROBERTMAPIKAH 3 часа назад

      Kwa hiyo mzee unasapoti ushoga:jamaa yupo vizuri sana huko marekani ni kwa wazungu kwa hiyo Hao weusi unaowataka wawepo hapo Haina maana mzee

    • @Peaceman-S
      @Peaceman-S 3 часа назад

      Tanzania mashoga n wengi sana tunawajua kwenye COMMENTS huwezi kuwa unaakili timamu umetoa macho kuangalia watu weusi kwenye vitu vy msingi Pumbavu kabisa

    • @Williamstozzo
      @Williamstozzo Час назад

      Black kwenu Africa

  • @BabuuMarealle
    @BabuuMarealle 8 часов назад +2

    Trump sema jambo kuhusu tanzania hasa sekta yà madini