Salama Na BABU TALE Ep 51 | JUGGLER PART 2
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Yaan Kama kunamtangazaji namkubari namba 1 hapa tz ni salama nakupenda sana dada
nakukubari sana bro babu tale upo mtanashati sana full respect hauna makuu bro
Awww he sounds a nice lad....Allah akitaka kukupa its kunfayakuuun,
Pole sana mzee wangu
Sheikh Tale pole sana,kazi yake Mola haina makosa and don't forget that time heals,nakuombea Mungu akufanyie wepesi upone nafsi na Moyo kwa haraka.
Pole sana Babu Tale ,Mungu aendelee kukupa nguvu na mafanikio katika yote ,Salama wewe ni Mtangazaji mzuri sana.
Salama jabir always 👌🏿,Babu tale waonekana mtu wa busara twakuomba tumia busara zako kwa kuwapatanisha Diamond na Babake mlezi mzee Abdul(ex baba mzazi)😔❤🇨🇭🇹🇿
Daah pole sana brother Tatizo wanawake wa sasa mwezi mchanga utamuoa nan. Waleo bora wajana Wanahesabu za kula na kupiga atazidi kukuletea mastress mwisho wayote akufelishe kaza Bro kua nasubra Allah atakupa Mbadala sio hawa wahuni ,wezi wa karne hii
Khabari zenu za interview..
Ndugu Khamis usiseme hutaoa sababu hivyo itaonyesha umemfanyia chuki mwenyezi Sawa..
Hiyo ni dini yako unayoiamini..
Asante. Nasser Habsi..
Kabisaaa yaan anakosea kwa Allah kauri yke hii ila mungu ampe faraja
Point
Pole babu tale Allah akupe subira nasahau pia zidisha kumuombea dua mkeo machozi hayana faida kwake unamzidishia mateso pia Allah akufanye wepes mjenge mckiti ukimaliza owa ili usalimike na adhabu ya Allah hukuanza ww kufiwa namke alifiwa mtume wetu namkewe kipenzi chake nakipenzi cha wote nailipewa nasaha akaoa ww usipo owa utakua unamfata mtume yupi au utahitaji kuombewa shufaa kwa Allah namtume yupi mkeo alikwambia usioe kwamaa alikua anaogopa watoto watateswa na mama mlezi so tafuta mwenye dini imani huruma mapenzi hofu ya Allah kisha owa
Babu Tale is very inspirational funny afu charming juzi alikuwa huku Morogoro kwenye event fulani hivi nikapata chance ya kumuuliza na swali 😁
Kifo cha mke ni msiba mkubwa sana. Mungu amlaze mahala pema mkeo Mh. Taletale
Dada Salama, kamziki kanaujumbe mzr sn hako ebu siku moja kapge mwanzo mwisho..!
Gd conversation I like it. Big up too
Mm mkiniletea afande sele na 20 nitaenjoy
Mara "PAP ".....Mh MAGUFULI na Salama. Patawaka Fire
🤣🤣🤣🤣
Mbunge wetu nakukubali sana MUNGU akusimamie kwenye kazi zako
Salama wangu umesoma dini wajua mshauri babu tale aoe ndo dawa yakuondosha mawazo
Keep it up Salama
Tale nakupongeza sana ulivyo ongea kuhusu Ruge, maana kipindi unakuja THT, mimi kama mwalimu hapo nilikuwa nakuona kila siku pembeni ya Ruge kujifunza vitu tofauti
Nuyu jama namkubali kinona ila amshauri Nasibu
Asilimia kubwa na wagen hawaachi kumtaja Ruge kwa mazuri apumzike kwa aman🙏
Congratulations babu tale more love
Babu tare fany tuonan nameng natak nikwambiy
R.I.P Ruge... Alikuwa mtu na nusu
Asante salam
Salama bhana. Afu haitwi mastar inaitwa mastars
Wimbo mzuri
Najikutaga nampenda huyu kaka,
#Mavazi Yao Akili Zakwetu
Asante kwa tare tare
Ndiyo kuna watu wajue ni jinsi gani(Nassib) diamond ana akili taaangu zamaniii""kukimbilia kwa mwana Sheria mapeeema""
Funzo la Iman Tosha!
Babu tale anamapenzi
Kipindi kikali sana
Sijawahi kuwa mchafu ila sijawahi kuwa msafi 😂😂Mnapenda danga
Dada muzungu 😍. Mambo? Uku Norway Tunakupenda saana
Niko hapa after interview ya Salaam SK, mwanamme lia lia... iko kitu anaficha, tuache ujinga... Mendez, usiseme... ujinga... no emotions for this bs... sad!
Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa.....
------------------
Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa,
Asante
1: IST old - 850,000/=
2: HARRIER New-1,000,000/=
3: HARRIER Old-950,000/=
4: RAV 4 - 950,000/=
5: RAUM - 850,000/=
6: SPACIO - 850,000/=
7: PASSO - 800,000/=
8: VITZ - 800,000/=
9: PREMIO - 850,000/=
10: ALTEZA - 850,000/=
11: SUBARU - 850,000/=
12: CARINA - 850,000/=
----------------------------------------
Gharama hizi zinahusisha malipo ya
1: Port Charges
2: Shipping Line
3: Walfage
4: Agent Fee
5: Plate no
----------------------------------------
☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876
☎️Whatsapp +255 653953900
📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
Instagram@mr_sabyy
🏢Company: Mofaz movers
📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue
Dar es salaam, Tanzania
*NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE
*NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏
*NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏
,🤣🤣🤣sijawahi kuwa mchafu na ....bila kusahau MKULAZI hatuna hospital.
Allah akusimamie
Next #Salama na kiba
Na Haji Manara
Interview hii mke wangu imejaa sana
Hupendiiii hilo neno?
Duh ,,wabunge wanakula pesa nyingi. Duh
Bank inakupa mipunga....
You have one option magnifying is the only way forward!
Halafu unasema hujui kufua boxer yako,pyeee 😜😜
Mtu anafaakujua kuifua tangu akiwa darasa la tatu
Nahitaji kuwasiliana na wewe please
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦 Nice talk
Inspiration man in this generation 🙌 👏
Nimesikia sijawahi kuwa msafi, ila sijawahi kuwa mchafu.
👍❤
🥰
MashaAllah MashaAllah. Pole sana Tale.
Salama mbona sikupati kwenye whatsApp?
ILA haya maisha kweli ni Kama Movie . PT 1 umeniliza ulikuwa unatia huruma . Sad 😥 HAPA PT 2 umegeuka Ukawa KAMA SIYO WEWE KABISA... Duu... NGACHOKA 🤦🏽♀
Yani Pt 2 Unaongea kama hata Huja finally.. 😄 🤣
Kama huja fiwa... Mungu azidi Kuwapa Nguvu WAFIWA WOTE "
Kumbuka part 1 alikuwa anaongelea sana kuhusu mke wake
Hawez Kulia muda wote part1 alimuongelea sana marehem ndy maana
Hawez Kulia muda wote part1 alimuongelea sana marehem ndy maana
Make Nahreer your next guest
Interview Ya Kawaida Sana Hii Imekuwa Stry Ya Mke Tu Na Sio Vle Tulivyotegemea
Mnatuchelewesha sna watu wa RUclips 😔🙏
Nimeshangaa sana fb wame post toka jana
@@noxlosingida2369 fb anatumia jina gan
Hata ivo ilikuwa jpili ndo wanaweka jmosi sasa hiv angalau wamesiki ushaur wetu sasa watuchanganyie na wanawake kitambo sana hawajakuja kipindini
salama leteni mbosso /rayvanny
Mlete p funk majani
Hiyo nini imefunikws na mtandio?
Maiki iyo
Hii interview haina msisimko kama interview nyingine mtu ulie tuletea hana content za zaidi ya kutilisha huruma tu hamna lolote
Kweli wewe ni danda sio kwa jina tu...a true fool and embecile
@@jimkellyngige981 loooh umenifurahisha saaaaaaana. Nilikua natafakari nimjibu nini huyu jamaa. Na huyu sio IMBECILE tu ni COYOTE lakutupwa
😭😭
ruclips.net/video/4cNXhbdj3Bc/видео.html
Wafahamu WAJITA, Hii ndio Historia ya Kabila la WAJITA
Hiyo nyimbo ya mwisho inayosikika inatwaje
Rabia hamadi ukipata nijuze pia na mimi naitaka
Inaitwa Yeah.. ameimba marco chali feat one the incredible &msamiati.hata mm nipenda sana.
@@delilahbutterwick9789 inaitwa yeah ameimba marco chali ft one the credible & msamiati.
Nataka nigoogle najambisha ...du
Mlete jeshi harmonize jikaze ufanye interview naye
Na wish pia
ruclips.net/video/4cNXhbdj3Bc/видео.html
Wafahamu WAJITA, Hii ndio Historia ya Kabila la WAJITA
ruclips.net/video/4cNXhbdj3Bc/видео.html
Wafahamu WAJITA, Hii ndio Historia ya Kabila la WAJITA
ruclips.net/video/4cNXhbdj3Bc/видео.html
Wafahamu WAJITA, Hii ndio Historia ya Kabila la WAJITA