JPM AGUSWA NA MAFURIKO DSM "GWAJIMA ALINIPIGIA AKANIAMBIA, WATU WANAPATA SHIDA ILA SIJAWAHI KUOMBWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 89

  • @mustaphahassan589
    @mustaphahassan589 4 года назад +8

    Shida ni kuwa mbunge kazi yake ni kusemea wananchi sio kupeleka maendeleo.tanzania ya sasa sio ya wakati wa nyerere wengi wana uelewa

  • @germasanguya5671
    @germasanguya5671 4 года назад +6

    Ccm Oyeeeeeee

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 4 года назад +2

    Kusema kweli Ngwajima Atapiga kazi msifanye makosa watu wa kawe...... mtapata mabadiliko makubwa Kawe

  • @dadykidmaju108
    @dadykidmaju108 4 года назад +4

    Kama ulikua unajua kua kuna shida ipo si ungepeleka2 fwedha

  • @ahmadishaibufataha1481
    @ahmadishaibufataha1481 4 года назад +5

    Kwa iyo kama mbunge sio.wa ccm apeleki maendeleo je pesa ni yako au ya watanzania walipa kodi

  • @gilbertvicent4229
    @gilbertvicent4229 4 года назад +3

    RUSHWA HIZI ALF MNAWAKAMATA WADOGO HUKU WATUMIA KODI ZETU VIBAYA KWA KUTOA RUSHWA KWA MASLAH YAO WANAACHWA TU.
    MVUA ILINYESHA NA KUPIGA TETEMEKO BUKOBA JE RAMBIRAMBI ZAO ZILIFIKA?
    UNAUKANA UKABILA ALF UNAUTUMIA,UCHAMA ALF UNASEMA HUNA....HAHAHAAAAAAAA.
    YAAANI UNASAHAU HAPO HAPO BABAAAAAAA

  • @mukambi3278
    @mukambi3278 4 года назад +5

    4:38 hakuna kubaguana ila wabunge na madiwani hawatekelezawi miradi maeneo yao kisa wanatoka upinzani 😂😂😂

  • @jeremiahkilato295
    @jeremiahkilato295 4 года назад +3

    Asante baba

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 4 года назад +4

    😂😂😂😂 Jamani bado natafuta mchumba muaminifu... Awe na pesa au hana tutavumiliana

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 4 года назад +3

    Saaafiiii wanakawe, saafiii ccm... Gud saana jpm

  • @yoabujonathani3920
    @yoabujonathani3920 4 года назад +1

    Piga kampen za gwajboy hatumchagui uyoooo

  • @georgechibai2716
    @georgechibai2716 4 года назад +2

    Mbona watoto wasiokuwa na vitambulisho ndo wamejaa kwenye mkutano huu???

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 4 года назад +1

      Wanaojitambua uwezi kuwakuta hapo

    • @georgechibai2716
      @georgechibai2716 4 года назад

      @@zuleyvendor6577 wanaojitambua wamechoshwa na uongo na uovu. Watajiju

    • @mariaalenge2106
      @mariaalenge2106 4 года назад

      @@georgechibai2716 uwongo gani uliyo sikia hapo ao wewe unajitia kuwazidi watu wengi akili?jifunze kuongea sijuwai unafikiri kujipadisha utapata faida sana jishushe ili Mungu akuinue usizarau watu tena watu wakubwa siyo vizuri huwezi kupata baraka jitaidi kuwa naadabu tuheshimu kila mamlaka mana inatoka kwa Mungu musizani mnavyo mtukana Raisi wenu munafanya vyema apana mnakosea sana njuwe Mungu anawaona msipojirekebisha mtajutia milele tunawatakia uchaguzi mwema

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 4 года назад +6

    Chuma❤️❤️❤️😘

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 года назад +2

    Una lolote ludhwa iyo mvua kila mwaka inanyesha uone kwenye mitandao wasikuchanganyie maana yake nn wamchague gwajima

    • @rajabumilambo1761
      @rajabumilambo1761 4 года назад

      unajuwa kama mt akuna Shure utabisha maneno ya makufuri ww ata chip ya mama yako utaivaa sasa kama mbunge asemi yeye yuko na bangi

  • @manasengobei9968
    @manasengobei9968 4 года назад +3

    Namuona Gwajima.

  • @specialvideos1956
    @specialvideos1956 4 года назад +1

    Kwelikweli,fanya kazi

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 4 года назад +3

    Saaafiiii wanakawe, saafiii ccm... Gud saana jpm

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 4 года назад +3

    Gwajima unaombewa kura oyoooo Ila MDEEE HATOKI HAPO ACHENI ZENU

  • @baltazarierro1575
    @baltazarierro1575 4 года назад +1

    Hao wanajeshi hao ndo wanatia wasiwasi watu

  • @adamally8791
    @adamally8791 4 года назад +1

    My home place

  • @jumamiraji3081
    @jumamiraji3081 4 года назад +1

    Mhhhh jamani tuwe na woga na mungu

  • @deogratiaskafulu280
    @deogratiaskafulu280 4 года назад +1

    Ccm oyeeeee

  • @sophiakitaly3227
    @sophiakitaly3227 4 года назад +1

    mbona anasema nileteeni kwani ashkua rais?? haya wakina mama mtampaaa?😁

    • @sundaysindole1978
      @sundaysindole1978 4 года назад

      Kwani we kwa akili yako unajua Rais ni nani, mbona hujielewi wewe?

  • @johnsonkai4964
    @johnsonkai4964 4 года назад

    NISAWA MUOMBEE KURA GWAJIMA LAKINI UFAHAMU TUMEELEWA UNATAKA KULETA KAWE MAENDELEO UKIWA UMEPEWA MBUNGE WA CCM, LAKINI UJUE KUWA MAENDELEO WASTAHILI UYAPELEKE KILA MAHALI HAIJALISHI ULIPEWA KURA AMA ULINYIMWA KURA, SASA KWA TAARIFA ZAKO MUHESHIMIWA HALIMA MDEEE HATOKI HAPO BUNGE, YEYE NDIYE MBUNGE WA KAWE,

  • @ammarsalah5693
    @ammarsalah5693 4 года назад

    Hatumtakiii gwajimaaaaaa mzee maguuu we kama wataka kujenga Jenga tuu kwa moyo mmoja sio lazima awe gwajima ndio ujenge ....tunakupenda Maguu ila gwajimaa mmmhhhh hapana ......Ayo TV kampe salam hii mzee maguu ....

  • @liberatusjackson2497
    @liberatusjackson2497 4 года назад

    Hivii hizoo Hera nizakoo au ulipewa na na babu yakoo achazako hela yataifa

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 4 года назад

    Kama ulichukua Kodi za kawe na maendeleo hukupeleka wewe ni mwizi unabidi ufungwe

  • @johnsonkai4964
    @johnsonkai4964 4 года назад

    MJUMBE KAZI YAKE NIKUWA MSEMAJI WA WANANCHI SIO KULETA MAENDELEO, BALI SERIKALI KAZI YAKE NIKUPELEKA MAENDELEO NCHI NZIMA BILA MAPENDELEO.

    • @asosamwanilwa9099
      @asosamwanilwa9099 4 года назад

      Sasa nani atakaye kuwa anasema matatizo wewe unaongea tu ila hujui adha tunayoipata tankbovu tatizo mdee bangi nyingi

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 года назад

    Sasa iyo ni moja ya laana mtu kapita kwa kula nyingi mmemkata sasa mungu atajibu maombi gwajima hapiti hapo

  • @maikosaga3632
    @maikosaga3632 4 года назад

    Pole sana kwa kuumia sana maana utaendelea kuumia kawe ni ya mdee tu

  • @amigodossantos4129
    @amigodossantos4129 4 года назад

    Tanzania ni ya wote Ata WA Pemba

  • @danieljeromelyimo6673
    @danieljeromelyimo6673 4 года назад +1

    Huku Mdee CCM hamna chenu msepeee 😂😂😂😂😂😂

    • @asosamwanilwa9099
      @asosamwanilwa9099 4 года назад

      Utafilwa mpaka ukome

    • @danieljeromelyimo6673
      @danieljeromelyimo6673 4 года назад

      @@asosamwanilwa9099 Usha zoea kufilwa wewe Unadhani na Wenzio ivyo ivyo Angalia CCM wata kufiiii...Maana mna washobokea sanaaa

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 4 года назад

    Gwanjima muache kanisani aombee

  • @magdalenajohn6564
    @magdalenajohn6564 4 года назад

    Tusidanganyane kwa Gwajima

  • @izindorikindolekindole1605
    @izindorikindolekindole1605 4 года назад

    We mzee unapo kosea hizo pesa nizako kwani? niwajibuwako kuleta maendeleo we ni msimamizi tuu ,ukipeleka usiite hisani

  • @charlesnassary6689
    @charlesnassary6689 4 года назад

    kweli

  • @marysichinsambwe7708
    @marysichinsambwe7708 4 года назад

    Nani aliluwa rais

  • @sesyurio7609
    @sesyurio7609 4 года назад

    Gwajima umeangukia puaaaaa hupati kura endlea na uchungaji wako Shenzi

    • @makelemohuya5380
      @makelemohuya5380 4 года назад

      Wewe sesi una kuma kama buyu la matope fala wewe

  • @pastorKelvinnurbert
    @pastorKelvinnurbert 4 года назад

    Rub........sh

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 4 года назад

    Halima aendelee

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 4 года назад +3

    Huyu anachoongea akieleweki wakichagua pinzani upeleki maendeleo mwisho unamalizia maendeleo hayana chama 😀😀😀 watanzania twendeni na lisu huyu hatufai

    • @sundaysindole1978
      @sundaysindole1978 4 года назад

      Lissu utaenda naye wewe Ubelgiji baada ya tarehe 28, sisi tunabaki na Rais wetu Magufuli hapa hapa Tanzania.

  • @Martin-lv1xw
    @Martin-lv1xw 4 года назад +2

    f😡😡😡😡😡 stupid...hiv hao wanaosikiliza huu upuuz wanaakili kweli??miaka mitano mvua inanyesha na mafuriko yanatokea hadi uombwe????kwa sababu ya wapinzani so husaidii?????so unprecedented😡😡😡😡

    • @hamislichombo5721
      @hamislichombo5721 4 года назад +1

      Kumala mamako wew mbwa mkubwa

    • @movietrailer5448
      @movietrailer5448 4 года назад +1

      Mshenzi wewe

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 4 года назад

      @@hamislichombo5721 tuseme ccm imekufundisha hayo matusi

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 4 года назад

      @@movietrailer5448 jamaa ameonea fact magu mwenyewe amesema kwa mdomo wake kuwa halet maebdeleo kwebye wapinzani

    • @zuleyvendor6577
      @zuleyvendor6577 4 года назад

      @@mustaphahassan589 ni kweli kabsa