Waimbaji wazuri wote wanatoka mbeya, wachungaji, wainjilist maasikofu, nawatumishi wengine wote, wanatoka mbeya. Pia mbeya kunamakanisa mengi Sana. Watu wambeya wanahofu yamungu sana. Wakianza kusali hapo utasema leo mungu anashuka. Lkn wananishangaza sana wameshindwa kutokomeza ushirikina why????? Watu wambeya rudini magotini pa bwana yesu mtokomeze ushirikina. Nawapenda sana.
Masikini baba wa watu naye anashangaa..Mwiteni MUNGU siyo matambiko na hao madereva wazi
Ngatie Sheria za usalama barabarani
Waimbaji wazuri wote wanatoka mbeya, wachungaji, wainjilist maasikofu, nawatumishi wengine wote, wanatoka mbeya. Pia mbeya kunamakanisa mengi Sana. Watu wambeya wanahofu yamungu sana. Wakianza kusali hapo utasema leo mungu anashuka. Lkn wananishangaza sana wameshindwa kutokomeza ushirikina why????? Watu wambeya rudini magotini pa bwana yesu mtokomeze ushirikina. Nawapenda sana.
Jamani uzee ndio kuwa mchawi! Mm Mmm ingekuwa Simiyu tayari wemeshamuua . Maskini bibi pole sana
Namjua huyu mzee maskini hana upungufu wwte wa akili mwee
Hahaaa Waandishi mnatuaibisha Bhana Una muhost mtu Then Anapigiwa cm na ww una record tuu
Tusiwe na Imani za Kishirikina.
duu binadam wamekuwa wanyama kabisa hata chembe ya huruma hawana
Duh mbona anaonekana anamatatizo ya akili uyo jamani
mzeeee MB zako bado zinaruhusu ungekufa jamaaa sio poa
Minafikiri kuna jambo lakufanya hapo
Jamani uyo anamatatizo ya akili uto acheni imani izo za kishirikina.
mschukue uamuzi bila ya ushahid jmn
huyu anaonekana kabisa ni kichaa
Aisha Babu sio mchawi
8