KIKONGWE AIBUA TAHARUKI ENEO LA AJALI UYOLE MBEYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 сен 2018

Комментарии • 19

  • @faridaaloyce4330
    @faridaaloyce4330 Год назад

    Masikini baba wa watu naye anashangaa..Mwiteni MUNGU siyo matambiko na hao madereva wazi
    Ngatie Sheria za usalama barabarani

  • @christinetimothy5805
    @christinetimothy5805 5 лет назад

    Waimbaji wazuri wote wanatoka mbeya, wachungaji, wainjilist maasikofu, nawatumishi wengine wote, wanatoka mbeya. Pia mbeya kunamakanisa mengi Sana. Watu wambeya wanahofu yamungu sana. Wakianza kusali hapo utasema leo mungu anashuka. Lkn wananishangaza sana wameshindwa kutokomeza ushirikina why????? Watu wambeya rudini magotini pa bwana yesu mtokomeze ushirikina. Nawapenda sana.

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 5 лет назад

    Jamani uzee ndio kuwa mchawi! Mm Mmm ingekuwa Simiyu tayari wemeshamuua . Maskini bibi pole sana

  • @deboraadam4962
    @deboraadam4962 5 лет назад

    Namjua huyu mzee maskini hana upungufu wwte wa akili mwee

  • @raymondjimmy2712
    @raymondjimmy2712 5 лет назад

    Hahaaa Waandishi mnatuaibisha Bhana Una muhost mtu Then Anapigiwa cm na ww una record tuu

  • @oscarmwambonja
    @oscarmwambonja 5 лет назад

    Tusiwe na Imani za Kishirikina.

  • @zaujahamis9538
    @zaujahamis9538 5 лет назад +1

    duu binadam wamekuwa wanyama kabisa hata chembe ya huruma hawana

  • @husnatawete7071
    @husnatawete7071 5 лет назад

    Duh mbona anaonekana anamatatizo ya akili uyo jamani

  • @ramadhanihassani256
    @ramadhanihassani256 5 лет назад

    mzeeee MB zako bado zinaruhusu ungekufa jamaaa sio poa

  • @sulleysonsulley4160
    @sulleysonsulley4160 5 лет назад

    Minafikiri kuna jambo lakufanya hapo

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz 5 лет назад

    Jamani uyo anamatatizo ya akili uto acheni imani izo za kishirikina.

  • @destiny4life439
    @destiny4life439 5 лет назад

    mschukue uamuzi bila ya ushahid jmn

  • @aishababu4986
    @aishababu4986 5 лет назад

    huyu anaonekana kabisa ni kichaa

  • @elizabethmachumu2748
    @elizabethmachumu2748 5 лет назад

    8