Tumsalieni mtume ndugu zangu waislamu.Mtume ndio kiumbe bora na tumebahatika sana kuwa katika umma wake.Asante sheikh kwa mawaidha yenye mazingatio makubwa na Allah (s.w) akuhifadhi wewe na waislamu kwajumla InshaAllah.
Salam from Mombasa Kenya Mashaallah uko sheikh mzuri sana unaeleza inafahamika nasikia kila mara mawaidha yako Allah akubarikie Ameen Yarab Bravo sheikh tu es le meilleur merci BEAUCOUP
Shekhel Othman Maalim,hakika nakupenda kwa njia ya Allah. Mwenyezimungu akupe afya njema na umri mrefu utufunze dini ya Allah na Tufate maamrisho yake Inshaalah
Wallah ukiyasikiriza mawaidha yake utakutana kanakwamba na wewe upo kwenye vikao au madrasa ya MTU ME WETU RADHI ZA ALLAH ZIWE JUU YAKE NA REHEMA ZAKE.
Maasha Allah tabaaraqarahman...Allah akujaalie kila la kheir na akujaalie umri mrefu sheikh wetu uzidi kutunufaisha in sha Allah....kiswa kitam wallah...Allahu akbar
Maansha Allah,umetufanya umetukunjulia njia wengi kwa visa vya MITUME,ALLAH UKUJAALIE UMRI MREFU,wallah nakupenda kwa ajiri ya Allah,hakika unataka chakula kitamu kwenye nyoyo zetu.
wallahi sheikh Allah akuhifadhi akupe kheri nyingi mnooo, na akusamehe dhambi zote,na ninamuomba Allah asichukue roho yako ispokuwa amekuridhia na sie sooote wafuasi Wa kipenzi cha Allah subhana huwata'ala, sheikh othman maashaallah wallahi maashallah 😍😘 huchoshiii,Una hekma ktk Kila neno unaloongea, hata inapotokea kuhitilafiana wewe sheikh huwa unajibu kwa dalili na huna kejeli unaelewesha hata panapoonekana pagumu kuelewa wallah Allah akupe mwisho mwema , subhanalladhi ISRAA NA MIIRAJ ,Allah ametakasika na Kila sifa ya upungufu
bismillah rrahman rrahim...mungu akupe umr mref wenye khery lakini mungu akikuchukua leo akuna atakae ficha pengo lako.... umenifanya niskilze mawaidhayakotu... hatasjui kama wapo masheikh wengine
Allah atujalie mwisho mwema atusme sote twakuombea her na baraka sheikh wetu Allah akujalie umri mrefu wenye neema na baraka akujaliye shahad utakapo fikwa na umauti nakupend san kwajili ya Allah nataman nikuone wallh
Mashaa Allah Mashaa Allah Yaani mawaidha yako hufanya sikosi kitabu mkononi ili niandike points unazozitoa na sura pia na Aya zake. Allah atuongoze sote katika njia ya kheri hadi Janna Aamiin thumma Aamiin.
Mashaa Allah, Allah amzidishie Shekh Othman Maalim, nawe piya Allah s.w.t akizidishie kutafuta ilmu na sisi waja wake waislamu Allah s.w.t atujaliye tuwe ni wenye kutafuta ilmu.
Yarrabi Mjalie Afya Sheikh Othman Maalim na familia yake aendelee kutupa dawa na pia unipe uzima na Afya nipate kukutana nae InshAllah. Hakika wewe ni Tunu katika dini yetu hii haki.
Masha'allah , cheikh nouri Othmane malim , Allah akulinde na akupe umri ndefu , kwa siku zote n'a fwata vidéo Yako , n'a ma rafiki yangu , masha'allah 🙏 qu'Allah t'accorde des ses bienfaits.
Shekhe Othman nakupenda kwa ajili ya Allah napenda sana kuskiliza mada zako Allah akujalie kher na baraka
Wallah nipe like zako Kama nawewe usikiapo mawidha ya sheikh othman maalim unajihis upo karibu na muhamad s w a enzi zilee
Nampenda Othuman maalim mungu. ampe umri mrefu
BISMILLAH RAHMAN RAHIIM yaa rabbi mlinde nashar zote za ulimwengu shekh wetu huyu mzur anae tuelimisha mpaka twafarajika hasaa. Mashaallah shekh wetu othman maalim
Maashaallah allah atujaalie husl hatima
Tumsalieni mtume ndugu zangu waislamu.Mtume ndio kiumbe bora na tumebahatika sana kuwa katika umma wake.Asante sheikh kwa mawaidha yenye mazingatio makubwa na Allah (s.w) akuhifadhi wewe na waislamu kwajumla InshaAllah.
Tawfiq Zulu amin
Alahumma sali wassalim halaihi
Skk
Lailahailalah Muhamad rasullulah.
Salam from Mombasa Kenya
Mashaallah uko sheikh mzuri sana unaeleza inafahamika nasikia kila mara mawaidha yako Allah akubarikie Ameen Yarab
Bravo sheikh tu es le meilleur merci BEAUCOUP
Doctor wa moyo wangu, Allah akujaalie umri mrefu uzidi kuzitibu nafsi zetu, wallah huchos masikion pangu sheikh
Amiin🙏
MashaAllah Napenda sana Mawaidha yako..
Allah akupe kila la kher..
ummu Aisha mambo
Shekhel Othman Maalim,hakika nakupenda kwa njia ya Allah. Mwenyezimungu akupe afya njema na umri mrefu utufunze dini ya Allah na Tufate maamrisho yake Inshaalah
Mashaalaa
Amin
Wallah ukiyasikiriza mawaidha yake utakutana kanakwamba na wewe upo kwenye vikao au madrasa ya MTU ME WETU RADHI ZA ALLAH ZIWE JUU YAKE NA REHEMA ZAKE.
Maasha Allah tabaaraqarahman...Allah akujaalie kila la kheir na akujaalie umri mrefu sheikh wetu uzidi kutunufaisha in sha Allah....kiswa kitam wallah...Allahu akbar
Wallahi shekhe wetyu allah akulipe kheri za duniani na akhera
mashaalah shekh Allah akuhifadh ....unamawaidha mazur Allah kakujaalia kipaj
Takbir ..... Ewe Alla mjaaliye mwisho mwema othumani maalim kwa kutuelimisha mambo mengi na visa mbalimbali na ss pia tujaaliye mwisho mwema yaa Rabbi
Maansha Allah,umetufanya umetukunjulia njia wengi kwa visa vya MITUME,ALLAH UKUJAALIE UMRI MREFU,wallah nakupenda kwa ajiri ya Allah,hakika unataka chakula kitamu kwenye nyoyo zetu.
MashAllah sheikh Allah akupe Jannat firdaus
Inshaallah mola akujalie na akupe umri mrefu uendelea kutuelimisha
Mashaallah Allah akuzidishie ujuzi zaid
Tuwe pamoja peponi, mm, ww, waislam na Muhammad (s. a. w.).
Allah akuhfadhi nakuja khri inshaAllh
Mashallah tuwashajihishe wenzetu waingie huku huenda wakarudi kwa Mwenyezi Mungu
Mungu akupe maisha marefu
inshaallah! allah awajaaliiye hapa duniyan na kesho agheraaa" masheee woteee kwa kutowa daawa
Gggfffddddfhjhgfddadz
Sheikh wetu ALLAH akupe umri mrefu uzidi kutukumbusha Insha'Allah.
Rahmah Ahmed KUMBUKA KU-SHARE
Mashaall
wallahi sheikh Allah akuhifadhi akupe kheri nyingi mnooo, na akusamehe dhambi zote,na ninamuomba Allah asichukue roho yako ispokuwa amekuridhia na sie sooote wafuasi Wa kipenzi cha Allah subhana huwata'ala, sheikh othman maashaallah wallahi maashallah 😍😘 huchoshiii,Una hekma ktk Kila neno unaloongea, hata inapotokea kuhitilafiana wewe sheikh huwa unajibu kwa dalili na huna kejeli unaelewesha hata panapoonekana pagumu kuelewa wallah Allah akupe mwisho mwema , subhanalladhi ISRAA NA MIIRAJ ,Allah ametakasika na Kila sifa ya upungufu
Ameen ya rabb
Hawa Mambo Ameen thumma Ameen
Allah akujaze majazo mema sheikh wetu kipenzi othman Maalim.
Amyn yarabii l alamin😭😭😭😭😭😢😢😢😭😭😭
Ameen
MashaaLLAH nayapenda sana mawaidha yako sheikh ALLAH akupe umri mrefu InshaaLLAH
bismillah rrahman rrahim...mungu akupe umr mref wenye khery lakini mungu akikuchukua leo akuna atakae ficha pengo lako.... umenifanya niskilze mawaidhayakotu... hatasjui kama wapo masheikh wengine
Allah akujaalie kila lenye kher inshaa Allah ....uendelee hiv hiv
Allah atujalie mwisho mwema atusme sote twakuombea her na baraka sheikh wetu Allah akujalie umri mrefu wenye neema na baraka akujaliye shahad utakapo fikwa na umauti nakupend san kwajili ya Allah nataman nikuone wallh
Allah akulipe shekh othman maalim
Mashallah shehe wetu Allah akupe umri mrefu
Masha Allah shekh Othman maalim mungu akuzidishie akupe kheri duniani pamoja na kesho akhera
Umetupaeimukubwa nashukulu
ALLAH AKUJAZE MAJAZO MEMA SHEIKH OTHMAN MAALIM
Nampend kwajil ya allah mwenyezimung amuwem aweze kutuelimisha yarabii
mashaAllah mungu akuzidishie Kher inshll
Mashaa Allah
Mashaa Allah
Yaani mawaidha yako hufanya sikosi kitabu mkononi ili niandike points unazozitoa na sura pia na Aya zake.
Allah atuongoze sote katika njia ya kheri hadi Janna Aamiin thumma Aamiin.
Mashaa Allah, Allah amzidishie Shekh Othman Maalim, nawe piya Allah s.w.t akizidishie kutafuta ilmu na sisi waja wake waislamu Allah s.w.t atujaliye tuwe ni wenye kutafuta ilmu.
Yarrabi Mjalie Afya Sheikh Othman Maalim na familia yake aendelee kutupa dawa na pia unipe uzima na Afya nipate kukutana nae InshAllah. Hakika wewe ni Tunu katika dini yetu hii haki.
Uislam ni mzuri wallah nasikia raha Allahu Akbaru
MashaAllah ustadh Othmaan
akuna kama wewe...sheikh othman maalim....borausife mapema... mungu akuwke kwanza
Maashallah Maashallah Maashallah May Allah Grant Him And All Of Us Paradise!!!!!
Anyone in 2019...cchokii kuckilza tangu iwekwee laillahaillallah muhamamd rasul llah
Atuonye wote na mungu atufahamishe kwa mawaidha
Shekh wetu mungu amekuleta kwa makusudio haya haya.
Allah akujalie mwisho mwema
Yani huyu jamaa wallah napenda sana mawaidha yake hadi mume wangu anasikia wivu kisa tu siriziki kama sija msikia nikimsikiliza sihitaji kukerwa
MASHALLAH SHEGHE WETU ALLAH AKUPE MAISHA MAREFU
mungu akujalie umri mrefu akufugulie nehema kem kem
Mariam Suleiman mungu akupe umri uzidi kutuelimisa ulll
mungu akuzidishie
Masha'allah , cheikh nouri Othmane malim , Allah akulinde na akupe umri ndefu , kwa siku zote n'a fwata vidéo Yako , n'a ma rafiki yangu , masha'allah 🙏 qu'Allah t'accorde des ses bienfaits.
IN SHAALLAH ALLAH AWAPE AFYA NA UMRI NA MAKAAJI PEMA PEPONI,,ALLA HUMMA AMEEN,,
manshallah
Jazakallahu khaira shekh wetu Mungu akupe umri mrefu
Masha Allah jazakallah kheir
Huna baya shkhe letyu namuomba mungu atukutanishe peponi kwa huruma zake
Shekh allah akupe umri mrefu sanaaa
Jazzakallahu khery shekhe othman Maalim, shukran
Saumu Hassan asalaam aleykum walahuatulahi wabarakatuh
Allah akuzidishie kheri inshaalah
مشااللله
Masha Allah aukufanyie wepec uzidi kutupa elim
Mwenyezi Mungu akubariki na akuzidishie umri mrefu
allah give you more age to spread religion of allah
Mungu akujaze kheri nyingi
SHUKRAN yaa Shaikh
Allahumma sally Muhammad""'
mungu akuzidishie inshallwah sheikh wetu
جزاك الله خيرا شيخ عثمان معليم
Allah atujalie tupate pepo Allah
Ammiiin
Allah kareem
مشالله شيخ عثمن معلم
ماشاء الله شيخ جزاك الله خيرا
MashaaAllah shukran San
Masha Allah sheikh
Ensh allah
Nabbyla said
maasha allah sheikh napenda kuskiliza visa vya mitume na manabii
mashaallah Mungu akuweke sheikh wetu
Masha allah
Allah akujaE
Jazzakallah khayra
Mashaallah sheikhe Allah akuhifadhi
Maalim unavo ghaaniiiy mashallah
sheikh nauliza nabii issa alikutana na mtume s.a.w
I really love shekh Othman Maalim
Alihamduluh
Allah atuhifadhi na Shari za maadui zako
Mashallah
Shukran brother
mashable allah
mashaAllah mungu mzm
Lovely Queen mashallah
masha Allah jazakalahu keyril jaza
Hasbun llaa
Alhamdulillah
Mashallaw zajaqa llah
Ma sha Allah
Wallahi cmshi ham mie uyu
MaashAllah
Alhadulillah
Mashaallah
Subhanallah
Mwezimungu akujalie na akuzidishie
Mashaa allah
Swallallahu alayhi wasallam
Allah Akbar 🙏
Amiina yaarabbi
SUBHANALLAH
Maashaallhah
ALLWAHU AKBARU
Allah akbar
Mtumwa na babu yake Abu Talibul na alietangulia Luca. Mtume au Abu Twalbu