URUSI NDIYO NCHI YENYE JESHI BORA ZAIDI DUNIANI KULIKO MAREKANI
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.
Wanakwita eti mwalimu wa Neno LA mungu we we we unamdhiaki mungu wewe unasapoti mauaji yanayo fanyika u ko alafu unajiita mwalimu wa Neno LA mungu pumbavu sana
Hakuna mwalim humo
Nyie wachoma mkaa tu
Kama unawaonea huruma anza nyumbni congo sudani somali Ethiopia mali bukinafaso Haiti mbona huwaonei huruma
Pumbavu ww uso na akili ww mbona una furahia shetani israel kuuwa wa palestina chizi ww uchizi wako pereka Israel kwama chizi wenzio
Mwalimu uko vizuri , 👍🙏
Hongera mwalim tunakupenda sn tunapendatukusikie unavyochambu upovizuri big up mwamba.
Mwalimu Asante Kwa somo tuwekee namba zako ubarikiwe sana
Chambua kwa hikima maswala ya kudhani eti zerensiki anatumia unga sio vzr na usiweke hisia zako kwahilo eti unga urimuona anatumiaunga au na we mwenyewe unatumia
Ni kweli anatumia madawa uko sana mwalim
Salute wakulungwa mpoki na Benson
Niwashukuru wachambuzi ila mtu kukataa asili yake hususani kwenye vyakula nimitindo maisha nikutokua na elimu ya ulaji pia wengine niulimbukeni mana ulaji wa asili hata kwenya mahoteli yetu kunavyakula vya asili tusaidieni watu wapete elimu ili tuepukane na magonjwa yasiokua ya lazima kutokana naulaji🙏🙏
Huwa nakuelewa sana. Upo safi.
Thank you my brother kwa kutuchambulia mambo ya vita na vyakula ubarkiwe
MAneno yako mwalimu wa neno la mungu uko sawa mkweli mwaminifu mungu akubariki
tunakubali sana uchambuzi wenu kuhusu vita vinavyo endelea
Uchambuzi wako safi sana🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Ubarikiwe mmno mwalimu
Mwal Isaya àaaaa.
Maswali na majibu.
Storyyý unaniangusha uzalendo umekujaa umefoka.
Pole sana
Hongerasa mchambuzi umebobea
Ahsante kwa uchambuzi hizi mbegu GMO tutazitambaje hasa
Yees yees nimekuelewa vizuri mchambuzi urusi iko juu
Sahihi sana urusi ndio inayongoza kuwa na jeshi imara hao wengine matapel
Nimekupta vivr sana ulivyo nichambulia kwaumakini 🙏
Wafrika nitawasifu. Hawana viwanda vya kutengeneza mabomu bunduki makombora
Ila kutunga nyimbo za mziki wafrika wanafaa ,sana
Nakubali 🙌🙌
Asante sana Mwalimu wetu
Nimekukubari sana sana marekani kwangu ni shetani mwenye kerere....
Asante kwa uchambuzi mzuri
Magharib wahuni sana
Daa nimekuerewa ukosahihi balaa
Nashukuru kutoa mchanganuo huo.Wengi hawaelewi haya yote. Tafathali usichoke.
If you want to know the strongest military check defence budget,hizi vifaru unaongelelea za kutoka Germany,uk,ni za zamani sana their technology is old school,hawataki kupeana zile mpywa
Vp bro we refali au maana umesimana katikati kama kahaba unataka bwana apo
Safi sana mwalim
Mwakilembe watu wanasema ww ununulia iv nikweli chapa kazi nakukubar sana
Ukitaka kujua nikweli putin anamiliki eneo ukrein marekani anapambana kumtoa mrusi wanashindwa zaid ya mwaka
Nimekukubali Mwakilembe
Unaweza kaka
Uko upande mmoja eleza ukweli urus vita vimemshnda
😂😂kk Vita gani unaachia mateka wakivita iyo so Vita n operation
Nani kakwabia numbers on USA marekani
Shukran sana kaka
Hajafanya utafiti wa kutosha! Jeshi la urusi huwa na kauli mbiu gani!? Training yao inakuwaje? Lengo lao la vita? N.k Wakati mwingine shetani huonekana kushinda vita mara nyingi kwa kuwa ni mkorofi wa kuvamia wasio na Mungu.... lakini Mungu akitokea .....shetani hujitenga/hunyamaza
Napenda ujumbe wako
Mimi naongea kirusi Kwa kupenda, na nakipenda sana kirusi
Nifundishe kirusi jama
Mnajidanganya nyinyi,, hakuna ichi imepeleka silaha nzito zaidi Ukraine,,, pili, Usiongee kwa kujipendekeza mwenyewe, Umeichukia Marekani kwasababu haujui na hautajua ukweli wa mambo yalivyo, usidharau Marekani babu, fikiria vizuri na uelewe na uache upendeleo,, Muamerika c mjinga vyenye unafikiria
Et mwlim wa neno la mung anaye weza akakusikiliza ww huna uelewa wowote.broo America hakutaka kupeleka silaha nzito. Kama ni hizo Tu za majalibio Tu. Halafu kumbuka u.s.a Hana masilah uclen
Kska nitumie namba yako nikutumie chocho ww nikeweli nakukubali nakufatilia sana
Hukuna mwalimu hapo marekani namba moja mpumbavu wewe urusi vimelipuliwa vifaru vingi sana vyake
Lipumbav
Bila marekani hakuna vita na magonjwa
Nawakubali sana
Tumieni akili alisema wiki moja alafu mnamsifia Kama angemueza angesha mjibu mchambuzi uyu anadanganya wasio jua kitu chochote
Kaa
Mmmmh haihitaji elimu kubwa kujua uchambuzi wako unapendelea wapi kwa sababu tuliambiwa ni operation ndogo lkn mpaka leo............
Hamna mchambuzi hapa .tayari kachagua upande
Wewenimsemakweri nakubari
Wariishiwa urusi sinabiwiya urusi niwizi waibia bifavyayirenci
bro unasema uongo sana
Si kweli.USA is the best Military in the world.
jeshi hodari duniani,,=1Marekani2,Urusi3china acha uwongo brother.
Umebiwa urusi unafikili muko kanisani hapo
Yaaap anatengeneza vifaaa mwenyewee
uyo mchambuzi ni mwehu au mzima kweli? Uyo bwana anachambua kitu hakijui mbona?
Asante
Malekani
Wewe. Mtangazaji. Ni. Muongo. Na. Mpumbavu. Mkubwaa
Nyinyi mnatetea urusi wachokozi
Kesho Lilo Bora Duniani Ni kanisa linalopambana na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho, Hilo ndilo jeshi Bora Huwezi kusema urusi nijeshi Bora linalouwa watu, Vita vya Damu na nyama havina ubora wowote maana wanauwa Binadamu Vita Kati ya shetani na kanisa la Bwana yesu jeshi la Bwana yesu ndilo lilobora Duniani shetani anavyopigwa na kanisa la Mungu anataka kutoroka kuzimu Kama alivyotoroka mbinguni ,Sasa anatorokea sehemu ya jehanamu ya Moto maana huko anajua kanisa la Bwana yesu kristo haliwezi kufika ,
Hawa wazungu wanatengeneza mabomu bunduki za Hatar makombora kwajili ya kupiga Binadamu walioumbwa na Mungu, Hawatengemesi siraha ili kuuwa nyoka au fisi siraha kwajili ya kuangamiza Binadamu niatari Sana hao wazungu, Hata Mungu Hawamuogope,Mimi siwezi kuwasifia hata kidogo,
C kwel
Mbona. Mpaka. Leo. Mrusi. Hajafanikiwa. Uko. Ukrein. Izo. Nguvu. Za. Urusi. Zikowaapiii. ??
Mkiwa mnadanganya watu kwenye hizi channel zenu uchwara muwe na data sahihi. Wengine tunawachora tu
Nyinyi amnakiri mkifanyiwa kavire mtafanyaje mbonamunasapoti urusi mubaya ikijakwenu munashuru
Ndugu yangu ww ni mpotoshaji na mwongo mkubwa
Kichwa Chake Kina Maji ya Betri,
Si kweli.Marekani ili ipiga Iraq kwa wiki 3.Urusi mpaka amedoda Ukraine
Hakupiga bali alifanya maangamizi umeelewa maana yangu urusi haifanyi uwo upuuzi
Kuna Iziraeli hiyo nihatali
Urusi ninoma Dunian. Marekan kashindwa kuingia pekeyake hata hapo libya kawashirikisha Ufaransa, Ujeruman, Uingereza na nchi zingine za Nato
Mengi ana ongea ni owongo sana. Hauongele secret weapon kati ya hizo taifa mbili
Get courage mwalimu
uyo sio mwalim ajui mnapoteza sifa
Ww ujui kitu
Rekebisha saut Mzee..
Kashindwa Ukraine mbwa uyo
Inchi yenye jeshi bora ni marekani hakuna ubishi urusi hakuna kitu hata ukimtukuza mrusi bado hajui mungu kwakuwa anatafuta vinchi vidogo ndoo vipiga
Marekani ameshawai pigana vita peke yake
Jeshi la Putini ni Bora zaidi duniani
Nyinyi mumekosa firiji kamahamunafiriji akunakitu
Acha uvivu China iko ndani
Nani aliwadanganya
Ndoto za muchana mwalimu, kama urusi ingekuwa Bora basi haingechukua mpaka Sasa vita inaendelea
Ile ni vita sio harusi
Urusi ayuko vitani ni operation
Urusi. Hana. Jeshi .Kali. Duniani. Munadanganyana. Tuu. Wabongo. Mnajipendekeza. Kwa. Warusi. Musitudanganyee
Nyie wanafiki muko upande mmoja
Urusi inashikilia asilimia 28% ya Ukraine, pia Urusi ndio inapngoza kwa vifaa vingi zaidi vya Ardhini kuliko nchi yoyote duniani. Marekani inavifaa vingi vya anga na maji. Vifaa vya Marekani ni vifaa vya mashambulizi, yaani offensive military equipments. Vifaa vya Urusi vingi ni vifaa vya ulinzi, yani Defensive military equipments.
kweli mwalimu yupo yaani uwongo A tu Z .uwingi wa nyuklia usikutishe 🎉 unaweza pigwa na nyuklia unazo .vita ni akili.mtu uko dunia ya 3 ya huko utajuaje.
Mimi msikilizaji manenoyenu mengine siyasikii sababu sautiyenu iko nakatika unasema marekani wamekutana n'a urusi vitani Mara Tano n'a marekani wakashindwa nikatika inchi gani?
Ngoja tukusaidie
URUS number one THE TOP RANk in the WORLD
Urusi ni noma
Waisrael mashabulizi kila wakati Syria, kwa nini na mrusi ako pale
Acha uongo kama ana nguvu si azitwange marekeni anakuja Africa kufanya nini mrus in demu
Marekani anatumia akili so akulupuki
Wewe inaonekana ni kibaraka wa marekani mashoga
Angekuwa na akili angemjua mungu
Mujuwe urusi nacina nikitukimoja
Esaf ndifu alaaf uchambuz unaelewekaa nakukubali mwamba
Urusi tomba woote hao
Oya ?hakuna kamchapee wamchape huyo mwehu.anakela anachokichambua havieleeew ki.au tukitombe.utimu no mwingi
VERDADE MWALIMU RUSSIA NAO COLONIZOU NENHUM PAIS DA AFRICA
Urusi rakini tanzania ariwapanini mbonamunamutetea
Mwalimu wa neno la Mungu,
Wewe mutafwiti ajabu !
Google imetualibia vijana we uliona wapi marekani anaingia vitani hana uo uwezo
Mwalimu tuko pamoja....
America
Huyu mwalimu anaongea kweli kweli tupu nimemuelew san aje aelezee na dola kupigwa chini na brics
Pale mwalimu iko sahihi.