URUSI NDIYO NCHI YENYE JESHI BORA ZAIDI DUNIANI KULIKO MAREKANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

Комментарии • 358

  • @RurerekanaRichard
    @RurerekanaRichard Год назад +3

    Wanakwita eti mwalimu wa Neno LA mungu we we we unamdhiaki mungu wewe unasapoti mauaji yanayo fanyika u ko alafu unajiita mwalimu wa Neno LA mungu pumbavu sana

    • @AlexGwiha
      @AlexGwiha 10 месяцев назад

      Hakuna mwalim humo

    • @WadySaidi
      @WadySaidi Месяц назад

      Nyie wachoma mkaa tu

    • @KamardinTebe
      @KamardinTebe 18 дней назад

      Kama unawaonea huruma anza nyumbni congo sudani somali Ethiopia mali bukinafaso Haiti mbona huwaonei huruma

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 9 дней назад

      Pumbavu ww uso na akili ww mbona una furahia shetani israel kuuwa wa palestina chizi ww uchizi wako pereka Israel kwama chizi wenzio

  • @MichaelMollely
    @MichaelMollely Год назад +7

    Mwalimu uko vizuri , 👍🙏

  • @nafuutayb8452
    @nafuutayb8452 Год назад +7

    Hongera mwalim tunakupenda sn tunapendatukusikie unavyochambu upovizuri big up mwamba.

    • @abduljuma7807
      @abduljuma7807 Год назад +1

      Mwalimu Asante Kwa somo tuwekee namba zako ubarikiwe sana

    • @BenjaminiJoel
      @BenjaminiJoel Год назад

      Chambua kwa hikima maswala ya kudhani eti zerensiki anatumia unga sio vzr na usiweke hisia zako kwahilo eti unga urimuona anatumiaunga au na we mwenyewe unatumia

    • @DominickPaul-xd9wz
      @DominickPaul-xd9wz Год назад

      Ni kweli anatumia madawa uko sana mwalim

  • @SalehBwila-sj7rn
    @SalehBwila-sj7rn Год назад +8

    Salute wakulungwa mpoki na Benson

  • @KasalambaJuma-tc8yt
    @KasalambaJuma-tc8yt 25 дней назад +1

    Niwashukuru wachambuzi ila mtu kukataa asili yake hususani kwenye vyakula nimitindo maisha nikutokua na elimu ya ulaji pia wengine niulimbukeni mana ulaji wa asili hata kwenya mahoteli yetu kunavyakula vya asili tusaidieni watu wapete elimu ili tuepukane na magonjwa yasiokua ya lazima kutokana naulaji🙏🙏

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi Год назад +4

    Huwa nakuelewa sana. Upo safi.

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 Год назад +6

    Thank you my brother kwa kutuchambulia mambo ya vita na vyakula ubarkiwe

  • @sharifuhusseinally542
    @sharifuhusseinally542 Год назад +2

    MAneno yako mwalimu wa neno la mungu uko sawa mkweli mwaminifu mungu akubariki

  • @HAFIDHIMASANGA
    @HAFIDHIMASANGA Год назад +11

    tunakubali sana uchambuzi wenu kuhusu vita vinavyo endelea

  • @janmusquera
    @janmusquera Год назад +3

    Uchambuzi wako safi sana🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @FaustaPalermo
    @FaustaPalermo 2 месяца назад

    Ubarikiwe mmno mwalimu

  • @mfupakhamis9751
    @mfupakhamis9751 Год назад

    Mwal Isaya àaaaa.
    Maswali na majibu.
    Storyyý unaniangusha uzalendo umekujaa umefoka.
    Pole sana

  • @edisonbayona-w8k
    @edisonbayona-w8k Год назад +2

    Hongerasa mchambuzi umebobea

  • @venancemsima3683
    @venancemsima3683 Год назад +2

    Ahsante kwa uchambuzi hizi mbegu GMO tutazitambaje hasa

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 Год назад

    Yees yees nimekuelewa vizuri mchambuzi urusi iko juu

  • @WadySaidi
    @WadySaidi Месяц назад

    Sahihi sana urusi ndio inayongoza kuwa na jeshi imara hao wengine matapel

  • @EdsonClement
    @EdsonClement Год назад

    Nimekupta vivr sana ulivyo nichambulia kwaumakini 🙏

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 11 месяцев назад

    Wafrika nitawasifu. Hawana viwanda vya kutengeneza mabomu bunduki makombora
    Ila kutunga nyimbo za mziki wafrika wanafaa ,sana

  • @muhammadmbaraka4515
    @muhammadmbaraka4515 Год назад +4

    Nakubali 🙌🙌

  • @omarisombi9284
    @omarisombi9284 Год назад

    Asante sana Mwalimu wetu

  • @RegiusMsabila-g4k
    @RegiusMsabila-g4k Год назад

    Nimekukubari sana sana marekani kwangu ni shetani mwenye kerere....

  • @damianmhagama4398
    @damianmhagama4398 Год назад

    Asante kwa uchambuzi mzuri

  • @naftalkihwelo3811
    @naftalkihwelo3811 11 дней назад

    Magharib wahuni sana

  • @AjudeKaluwa-bp1zz
    @AjudeKaluwa-bp1zz Год назад +1

    Daa nimekuerewa ukosahihi balaa

  • @WmareteMarete
    @WmareteMarete Год назад

    Nashukuru kutoa mchanganuo huo.Wengi hawaelewi haya yote. Tafathali usichoke.

  • @DanielMutinnda
    @DanielMutinnda Год назад +1

    If you want to know the strongest military check defence budget,hizi vifaru unaongelelea za kutoka Germany,uk,ni za zamani sana their technology is old school,hawataki kupeana zile mpywa

  • @RurerekanaRichard
    @RurerekanaRichard Год назад +1

    Vp bro we refali au maana umesimana katikati kama kahaba unataka bwana apo

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 2 месяца назад

    Safi sana mwalim

  • @hamzahuseni2555
    @hamzahuseni2555 Год назад

    Mwakilembe watu wanasema ww ununulia iv nikweli chapa kazi nakukubar sana

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Год назад

      Ukitaka kujua nikweli putin anamiliki eneo ukrein marekani anapambana kumtoa mrusi wanashindwa zaid ya mwaka

  • @hassanlwabudongo6437
    @hassanlwabudongo6437 Год назад +2

    Nimekukubali Mwakilembe

  • @AmidoJeni
    @AmidoJeni Год назад

    Unaweza kaka

  • @sionichaula1265
    @sionichaula1265 Год назад +2

    Uko upande mmoja eleza ukweli urus vita vimemshnda

    • @NovatusNgombo-zu2jh
      @NovatusNgombo-zu2jh Год назад

      😂😂kk Vita gani unaachia mateka wakivita iyo so Vita n operation

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Год назад +1

    Nani kakwabia numbers on USA marekani

  • @rabomunde3550
    @rabomunde3550 Год назад

    Shukran sana kaka

  • @drjohnkarithi4435
    @drjohnkarithi4435 Год назад +1

    Hajafanya utafiti wa kutosha! Jeshi la urusi huwa na kauli mbiu gani!? Training yao inakuwaje? Lengo lao la vita? N.k Wakati mwingine shetani huonekana kushinda vita mara nyingi kwa kuwa ni mkorofi wa kuvamia wasio na Mungu.... lakini Mungu akitokea .....shetani hujitenga/hunyamaza

  • @T-Fellow
    @T-Fellow Год назад

    Napenda ujumbe wako

  • @SelemaniMeena-oo3os
    @SelemaniMeena-oo3os Год назад

    Mimi naongea kirusi Kwa kupenda, na nakipenda sana kirusi

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 Год назад +1

    Mnajidanganya nyinyi,, hakuna ichi imepeleka silaha nzito zaidi Ukraine,,, pili, Usiongee kwa kujipendekeza mwenyewe, Umeichukia Marekani kwasababu haujui na hautajua ukweli wa mambo yalivyo, usidharau Marekani babu, fikiria vizuri na uelewe na uache upendeleo,, Muamerika c mjinga vyenye unafikiria

    • @AlexGwiha
      @AlexGwiha 10 месяцев назад

      Et mwlim wa neno la mung anaye weza akakusikiliza ww huna uelewa wowote.broo America hakutaka kupeleka silaha nzito. Kama ni hizo Tu za majalibio Tu. Halafu kumbuka u.s.a Hana masilah uclen

  • @NelsonNelson-h5u
    @NelsonNelson-h5u Год назад

    Kska nitumie namba yako nikutumie chocho ww nikeweli nakukubali nakufatilia sana

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 2 месяца назад

    Hukuna mwalimu hapo marekani namba moja mpumbavu wewe urusi vimelipuliwa vifaru vingi sana vyake

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Год назад +6

    Bila marekani hakuna vita na magonjwa

  • @nelsonjastin2601
    @nelsonjastin2601 Год назад +1

    Nawakubali sana

  • @joelyjosiah
    @joelyjosiah Год назад +2

    Tumieni akili alisema wiki moja alafu mnamsifia Kama angemueza angesha mjibu mchambuzi uyu anadanganya wasio jua kitu chochote

  • @RameckMbilinyi
    @RameckMbilinyi 3 месяца назад +2

    Kaa

  • @thomasmsamikikowe2485
    @thomasmsamikikowe2485 Год назад +1

    Mmmmh haihitaji elimu kubwa kujua uchambuzi wako unapendelea wapi kwa sababu tuliambiwa ni operation ndogo lkn mpaka leo............

  • @wakandaboy9846
    @wakandaboy9846 Год назад

    Hamna mchambuzi hapa .tayari kachagua upande

  • @AmonBahati-nh1nu
    @AmonBahati-nh1nu Год назад +1

    Wewenimsemakweri nakubari

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Wariishiwa urusi sinabiwiya urusi niwizi waibia bifavyayirenci

  • @tulinaboamani1421
    @tulinaboamani1421 Год назад +1

    bro unasema uongo sana

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Год назад +1

    Si kweli.USA is the best Military in the world.

  • @josephatmbilinyi8947
    @josephatmbilinyi8947 8 месяцев назад

    jeshi hodari duniani,,=1Marekani2,Urusi3china acha uwongo brother.

    • @WadySaidi
      @WadySaidi Месяц назад

      Umebiwa urusi unafikili muko kanisani hapo

  • @emmanuelkayuni7615
    @emmanuelkayuni7615 Год назад

    Yaaap anatengeneza vifaaa mwenyewee

  • @germainpennant6439
    @germainpennant6439 Год назад +2

    uyo mchambuzi ni mwehu au mzima kweli? Uyo bwana anachambua kitu hakijui mbona?

  • @OmarySaid-n1z
    @OmarySaid-n1z Год назад

    Asante

  • @shukurulazaro8688
    @shukurulazaro8688 Год назад

    Malekani

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Год назад +2

    Wewe. Mtangazaji. Ni. Muongo. Na. Mpumbavu. Mkubwaa

  • @josephmuchangi3674
    @josephmuchangi3674 Год назад

    Nyinyi mnatetea urusi wachokozi

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 11 месяцев назад

    Kesho Lilo Bora Duniani Ni kanisa linalopambana na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho, Hilo ndilo jeshi Bora Huwezi kusema urusi nijeshi Bora linalouwa watu, Vita vya Damu na nyama havina ubora wowote maana wanauwa Binadamu Vita Kati ya shetani na kanisa la Bwana yesu jeshi la Bwana yesu ndilo lilobora Duniani shetani anavyopigwa na kanisa la Mungu anataka kutoroka kuzimu Kama alivyotoroka mbinguni ,Sasa anatorokea sehemu ya jehanamu ya Moto maana huko anajua kanisa la Bwana yesu kristo haliwezi kufika ,

    • @mpokimwakaje8178
      @mpokimwakaje8178 11 месяцев назад

      Hawa wazungu wanatengeneza mabomu bunduki za Hatar makombora kwajili ya kupiga Binadamu walioumbwa na Mungu, Hawatengemesi siraha ili kuuwa nyoka au fisi siraha kwajili ya kuangamiza Binadamu niatari Sana hao wazungu, Hata Mungu Hawamuogope,Mimi siwezi kuwasifia hata kidogo,

  • @kigesomichael8061
    @kigesomichael8061 2 дня назад

    C kwel

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Год назад +1

    Mbona. Mpaka. Leo. Mrusi. Hajafanikiwa. Uko. Ukrein. Izo. Nguvu. Za. Urusi. Zikowaapiii. ??

  • @josephatnyambeya876
    @josephatnyambeya876 Год назад +1

    Mkiwa mnadanganya watu kwenye hizi channel zenu uchwara muwe na data sahihi. Wengine tunawachora tu

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Nyinyi amnakiri mkifanyiwa kavire mtafanyaje mbonamunasapoti urusi mubaya ikijakwenu munashuru

  • @alexandermbijima7737
    @alexandermbijima7737 Год назад +1

    Ndugu yangu ww ni mpotoshaji na mwongo mkubwa

  • @alisonlewis-kr5qv
    @alisonlewis-kr5qv Год назад +1

    Kichwa Chake Kina Maji ya Betri,

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 Год назад

    Si kweli.Marekani ili ipiga Iraq kwa wiki 3.Urusi mpaka amedoda Ukraine

    • @mwengejames9182
      @mwengejames9182 9 месяцев назад

      Hakupiga bali alifanya maangamizi umeelewa maana yangu urusi haifanyi uwo upuuzi

  • @abeliantony7085
    @abeliantony7085 Год назад +1

    Kuna Iziraeli hiyo nihatali

  • @sifankubana1697
    @sifankubana1697 Год назад +6

    Urusi ninoma Dunian. Marekan kashindwa kuingia pekeyake hata hapo libya kawashirikisha Ufaransa, Ujeruman, Uingereza na nchi zingine za Nato

  • @RaiymekDeLaRose
    @RaiymekDeLaRose Год назад

    Mengi ana ongea ni owongo sana. Hauongele secret weapon kati ya hizo taifa mbili

  • @BahatiKazibake
    @BahatiKazibake Год назад

    Get courage mwalimu

  • @joelyjosiah
    @joelyjosiah Год назад

    uyo sio mwalim ajui mnapoteza sifa

  • @kulwamgaya
    @kulwamgaya Год назад

    Ww ujui kitu

  • @digonzakeimbe8435
    @digonzakeimbe8435 Год назад

    Rekebisha saut Mzee..

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Год назад +1

    Kashindwa Ukraine mbwa uyo

  • @GilbertGombeye
    @GilbertGombeye Год назад

    Inchi yenye jeshi bora ni marekani hakuna ubishi urusi hakuna kitu hata ukimtukuza mrusi bado hajui mungu kwakuwa anatafuta vinchi vidogo ndoo vipiga

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Год назад +6

    Jeshi la Putini ni Bora zaidi duniani

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Nyinyi mumekosa firiji kamahamunafiriji akunakitu

  • @muskrilcardo9372
    @muskrilcardo9372 Год назад +1

    Acha uvivu China iko ndani

  • @narrissajackson3869
    @narrissajackson3869 Год назад +1

    Nani aliwadanganya

  • @KaluKadheinge
    @KaluKadheinge Год назад +1

    Ndoto za muchana mwalimu, kama urusi ingekuwa Bora basi haingechukua mpaka Sasa vita inaendelea

  • @daudkhatib-qn5tr
    @daudkhatib-qn5tr Год назад

    Urusi. Hana. Jeshi .Kali. Duniani. Munadanganyana. Tuu. Wabongo. Mnajipendekeza. Kwa. Warusi. Musitudanganyee

  • @sionichaula1265
    @sionichaula1265 Год назад

    Nyie wanafiki muko upande mmoja

  • @SimbaM2kufu
    @SimbaM2kufu Год назад

    Urusi inashikilia asilimia 28% ya Ukraine, pia Urusi ndio inapngoza kwa vifaa vingi zaidi vya Ardhini kuliko nchi yoyote duniani. Marekani inavifaa vingi vya anga na maji. Vifaa vya Marekani ni vifaa vya mashambulizi, yaani offensive military equipments. Vifaa vya Urusi vingi ni vifaa vya ulinzi, yani Defensive military equipments.

    • @josephatmbilinyi8947
      @josephatmbilinyi8947 8 месяцев назад

      kweli mwalimu yupo yaani uwongo A tu Z .uwingi wa nyuklia usikutishe 🎉 unaweza pigwa na nyuklia unazo .vita ni akili.mtu uko dunia ya 3 ya huko utajuaje.

  • @MarcelTundwa-bd9cc
    @MarcelTundwa-bd9cc Год назад

    Mimi msikilizaji manenoyenu mengine siyasikii sababu sautiyenu iko nakatika unasema marekani wamekutana n'a urusi vitani Mara Tano n'a marekani wakashindwa nikatika inchi gani?

  • @brunokidasi7750
    @brunokidasi7750 Год назад

    Ngoja tukusaidie

  • @teddydeo8460
    @teddydeo8460 Год назад

    URUS number one THE TOP RANk in the WORLD

  • @raphaeljickson9476
    @raphaeljickson9476 Год назад +1

    Urusi ni noma

  • @davidmaina797
    @davidmaina797 Год назад +1

    Waisrael mashabulizi kila wakati Syria, kwa nini na mrusi ako pale

  • @sionichaula1265
    @sionichaula1265 Год назад

    Acha uongo kama ana nguvu si azitwange marekeni anakuja Africa kufanya nini mrus in demu

  • @joelyjosiah
    @joelyjosiah Год назад +2

    Marekani anatumia akili so akulupuki

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад

    Mujuwe urusi nacina nikitukimoja

  • @BaruwanWilison
    @BaruwanWilison Месяц назад

    Esaf ndifu alaaf uchambuz unaelewekaa nakukubali mwamba

  • @Hasnspop
    @Hasnspop Год назад +5

    Urusi tomba woote hao

    • @AlexGwiha
      @AlexGwiha 10 месяцев назад

      Oya ?hakuna kamchapee wamchape huyo mwehu.anakela anachokichambua havieleeew ki.au tukitombe.utimu no mwingi

  • @zainulabideen6955
    @zainulabideen6955 Год назад

    VERDADE MWALIMU RUSSIA NAO COLONIZOU NENHUM PAIS DA AFRICA

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Urusi rakini tanzania ariwapanini mbonamunamutetea

  • @jkmproduction5594
    @jkmproduction5594 Год назад

    Mwalimu wa neno la Mungu,
    Wewe mutafwiti ajabu !

  • @NovatusNgombo-zu2jh
    @NovatusNgombo-zu2jh Год назад

    Google imetualibia vijana we uliona wapi marekani anaingia vitani hana uo uwezo

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Год назад +1

    Mwalimu tuko pamoja....

  • @alexjaddu377
    @alexjaddu377 Год назад

    America

  • @ibrahimnaftar9037
    @ibrahimnaftar9037 Год назад

    Huyu mwalimu anaongea kweli kweli tupu nimemuelew san aje aelezee na dola kupigwa chini na brics

  • @ecibakechabilombele5139
    @ecibakechabilombele5139 Год назад

    Pale mwalimu iko sahihi.