#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 49

  • @janesuma-is4wc
    @janesuma-is4wc 5 дней назад +2

    Nakubaliana na wewe Baba Askofu nawapenda nyote hapo studio Mungu awabariki zaidi ya zaidi

  • @sylvestermhojaaron9659
    @sylvestermhojaaron9659 6 дней назад +2

    MUNGU IBARIKI ISRAEL MILELE DAIMA

  • @alfredkisuda785
    @alfredkisuda785 День назад +1

    Waisraeli ni wale waliomwamini Yesu,na sio hawa unaowaongelea wewe rudini shule mkasome Tena mana mmepimwa mmepungua,

  • @hubman6780
    @hubman6780 2 часа назад

    Unaesema ni taifa la Mungu umepotosha.Angalieni na mjiulize Israel inayoua ni ipi?Je kwa Nini Tel aviv ni makao makuu ya mashoga?

  • @hubman6780
    @hubman6780 2 часа назад

    Wanacontrol operating software za simu ambazo ni android

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 4 дня назад +1

    Israel taifa la sheitan

  • @rashidikhalfani-qt8rp
    @rashidikhalfani-qt8rp 16 часов назад

    Akuna taifa la Israel bali nimradi wa marekani wakuwaibia warabu mafuta Yao mmezoea kuiba mutauna moto safari hii.

  • @SiwemaSeif-g2w
    @SiwemaSeif-g2w 2 часа назад

    😂😂😂😂😂😂😅 say it again viva iran😅😅😅

  • @EvaJames-n5o
    @EvaJames-n5o 6 дней назад +2

    Mungu awabariki watumish wamungu

  • @ElisafiMkojera
    @ElisafiMkojera 5 дней назад

    Mungu awabariki kwa haya mnayofundisha maa a hatuwezi kuyapata pengine popote

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 5 дней назад

    Very Good 👍 discussion.
    "Whoever has ears, let them hear"
    God help us!

  • @alfredkisuda785
    @alfredkisuda785 День назад

    Tupe mistari toka kwenye biblia turejeelee,

  • @AhimidiweJoseph
    @AhimidiweJoseph 2 дня назад

    Amina Mungu atuhurumie atulehemu sisi wenye zambi

  • @ombenimmbando3205
    @ombenimmbando3205 День назад

    Asante kwa taarifa inatusaidia kujua litupasalo kwa sasa.

  • @omarnicesang5507
    @omarnicesang5507 3 дня назад

    Hizo simu waliingiza wenyewe angalia uchambuzi wa sky

  • @ellymwakyando1385
    @ellymwakyando1385 4 дня назад

    Arusha redio yenu airushi matangazo tena, atuwasikii

  • @pendosailo1989
    @pendosailo1989 6 дней назад

    Mungu azidi kuwabariki watumishi...

  • @GOLDENWISE-n2u
    @GOLDENWISE-n2u День назад

    We're Blessing indeed

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 2 дня назад

    Mmmm!

  • @sultanbakary4292
    @sultanbakary4292 2 дня назад

    Upuuuzi mtupu

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 4 дня назад

    Sema

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 4 дня назад

    Weeeeee

  • @novatusmwikola742
    @novatusmwikola742 6 дней назад

    Mungu awabariki sana pia leo mmeweka kichwa cha somo la leo❤❤

  • @YassinMahonda
    @YassinMahonda 6 дней назад

    MBARIKIWE SANA MNACHAMBUA VIZURI SANA

  • @JamesJastin-bg1rx
    @JamesJastin-bg1rx 5 дней назад

    Hawa jamaa waongo sana cheki pua zao kama mboo za nguruwe poli

  • @willenmtafungwa1920
    @willenmtafungwa1920 6 дней назад

    😂😂😂😂

  • @kessyhyasinta
    @kessyhyasinta 6 дней назад

    🙏🙏

  • @MaduuAthumani
    @MaduuAthumani 3 дня назад

    Yanyie sion chamaana hapo hakuna hamnacho kijuwa njaa kali nakutaka tuu muonekane hapo

  • @willenmtafungwa1920
    @willenmtafungwa1920 6 дней назад

    Acha upuuzi wa kutukuza vitu ambavyo huvijui😅 Israel hawana uwezo wowote zaidi wanasaidiwa na Marekani na Uingereza

    • @EafBunjuSales
      @EafBunjuSales 6 дней назад

      Soma history ya Palestine na israel utaelewa zaidi kabla ya kukosoa

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 6 дней назад +1

      Usiyoyajua ni usiku wa giza..endelea kujifunza...usikurupuke na kuwaita watumishi wa Mungu tena wasomi waache upuuzi...

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 6 дней назад +2

      Ngoja nikusaidie kidogo... ni hivi asilimia 70 ya uchumi wa Marekani unamilikiwa na Waisrael...so ukiiona Marekani pale ujue waisraeli wanaimiliki kwa kiwango kikubwa...

    • @boscomhenusi7844
      @boscomhenusi7844 4 дня назад

      Wewe zuzu hujui kuwa Mungu akiwa na wewe kila kitu kinakusaidia au kinakupigania,,,, kwani musa yeye ndiye aliye wazamisha misri , ( mafalao )

    • @boscomhenusi7844
      @boscomhenusi7844 4 дня назад +1

      Yaani ujanja ni kumbariki Israel ukigoma utapigwa tu na usiye mjua😂😂

  • @willenmtafungwa1920
    @willenmtafungwa1920 6 дней назад

    Mbona hakuna busara yoyote unawasifia bure😂 Israel kwanza haina uhalali wa kuwepo hapo ilipo kwasababu hao ni Wamarekan na waingereza hakuna Myahudi halisi. Wapalestina wanaonewa sana halafu mtu analeta stori za pwagu na pwaguzi 😊

    • @marcodavid4183
      @marcodavid4183 6 дней назад +2

      Wewe endelea na misimamo yako. Waache na wengine waendelee kuifundisha kweli ya biblia.

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 6 дней назад

      Pole inaonekana wanakuudhi 😂 pole sana...mwangalie yule mkuu wa dunia hii asikuchanganye kabisa.

    • @kilianmtotowamungu3885
      @kilianmtotowamungu3885 6 дней назад

      Umeingia mlango wa kutokea

    • @phestostanley4019
      @phestostanley4019 6 дней назад

      Palestine ndo walichoka oct 7 kama walijua hilo kwani hawakujiepusha

    • @yohanakombi1403
      @yohanakombi1403 6 дней назад +1

      Hii internet yenyewe anayoitumia kuikosoa ISRAEL ni mali ya ISRAEL! Afu pia huyu anayewakosoa hawa Walimu ana limited theological understanding, hivyo mwacheni abaki na ujinga wake