🔴 LIVE: UZINDUZI WA KITABU CHA MUFTI "MMONYOKO WA MAADILI NANI ALAUMIWE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Leo Tarehe 3/07/2024 ni Uzinduzi wa kitabu cha Mufti "Mmonyoko wa maadili nani alaumiwe?", inayofanyika Bakwata Makao makuu Kinondoni Jijini Dar Es salaam.
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    RUclips: / @babdeomiladu

Комментарии • 13

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc 2 месяца назад +1

    Mmomonyoko mwingine wa maadili ni kuhusu baadhi ya walimu wa kike wanavaa mavazi ya nusu uchi kabisa hayo mavazi ya baadhi ya walimu wa kike yanachochea wanafunzi kwenye uziinzi uzinifu

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc 2 месяца назад +1

    Mavazi ya nusu uchi au mavazi ya uchi Rio mazuri kabisa kwenu Dada zetu hawa wasanii wa kike hawawezi kuvaa mavazi mengine mpaka mavazi ya nusu uchi tu

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc 2 месяца назад +1

    Na Rio Tanzania peke take hata wasanii wa huko marekani utawaona wasanii wote wa kiume wamevaa mavazi ya stara wamevaa mavazi ya heshima lakini cha kushangaza wasanii wote wa kike wako uchi kabisa wako nusu uchi kabisa

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc 2 месяца назад +1

    Kwa mfano kuna baraza LA filamu na baraza LA muziki wanapoletewa muziki au filamu hawakagui zile nyimbo za wasanii hawaangalii maadili ya hizo nyimbo na maadili ya hizo filamu kuhusu mavazi ya wasanii hasa ya wasanii wa kike unakuta wasanii wote we kiume wamevaa vizuri lakini cha kushangaza na kustaajabisha na kuhuzunisha Sana na kusikitisha sana Dada zetu wa kike wako uchi kabisa au wamevaa nusu uchi

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc 2 месяца назад +1

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh alhamdulillah wasswalaatu wassalaam alaa ashrafil ambiyaai wall mursalina waalaa aalhi waswahbihi wassalam ammaa baada kuhusu suala LA mmomonyoko was maadili sababu kubwa no sisi wanaadamu kukosa khofu ya Allah sw na vilevile sababu nyingine no serikali ya Tanzania kuruhusu nyimbo za wasanii wanaoimba nyimbo za kuhamasisha ngono wakiwa wamevaa mavazi ya nusu uchi au wakiwa uchi kabisa site tunaambiwa ya kwamba wasanii no kioo cha jamii sasa wasanii wetu wengi wanaimba nyimbo chafu nyimbo za kuhamasisha ngono NASA wasanii was like ndio wanavaa uchi kabisa na Rio wasanii was muziki was kizazi kipya peke yake Bali pia hata wasanii was filamu pia wanahamasisha ngono pamoja na mavazi yao ya uchi shukran

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤

  • @MujaahidHamad-s2t
    @MujaahidHamad-s2t 2 месяца назад

    Masha Allah

  • @abdulazizjeizan-vx1mc
    @abdulazizjeizan-vx1mc 2 месяца назад

    Mavazi ya nusu uchi au mavazi ya uchi Rio mazuri kabisa kwenu Dada zetu hawa wasanii wa kike hawawezi kuvaa mavazi mengine mpaka mavazi ya nusu uchi tu

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 3 месяца назад

    Mashallah