Комментарии •

  • @yusuphahmedymngombe3706
    @yusuphahmedymngombe3706 8 месяцев назад +2

    Allah akuhifadhi shekhe Mselemu Ally,Hakika umejaaliwa elimu ya Tafsiri na Allah,Allah akupe kheri zote anazozijua yeye na akuepushe na Shari zote azijuazo yeye ALLAH, inshaa-allah

  • @mussakatawila9408
    @mussakatawila9408 Месяц назад +1

    Jazaakallah Khairan Sheikh!
    Allah akupe baraka ya umri na akuhifadhi Duniani na Akhera akukidhie haha zako.

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed Год назад +5

    Yaa ALLAH naomba utupe umakinifu kwenye ibada zetu Yaa rabil aalamiyn

  • @mussamfumo9241
    @mussamfumo9241 Год назад +2

    Allah akuzidishie umri mrefu tuendelee kuelimika kupitia kinywa chako cha maneno matamu inshallah.

  • @ramadhanbaraka6474
    @ramadhanbaraka6474 Год назад +3

    MashaALLAH.

  • @hidayarashid5263
    @hidayarashid5263 Год назад +2

    Shukran jazila

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed Год назад +3

    Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat shekhe wetu naomba usaidizi naomba dua zako nimepata mitihani na nipo safarin kurudi pia imekuwa vigumu kwa Sasa sijui ya ALLAH mbeleni inshaallah kheri

    • @user-jj8vq5qr9f
      @user-jj8vq5qr9f 3 месяца назад

      Pole sana mtihan gn

    • @Aminamuhamed
      @Aminamuhamed 3 месяца назад

      @@user-jj8vq5qr9f shukuran yaa shekhe alhamndullilah rabil aalamiyn namshukuru ALLAH amenitatuliya Mitihani tu ya kidunia ya kudhulumiwa

  • @aliy3303
    @aliy3303 Год назад +2

    Allah bless you

  • @timemasoud6893
    @timemasoud6893 Год назад +1

    Shukran shekhe msellem

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n 8 месяцев назад

    Shukran sana sheikh

  • @kadiffneyy8469
    @kadiffneyy8469 Год назад

    Shukran ya sheikh.

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 2 месяца назад

    Allah atupe umakinifu kwa swala zetu yarabil

  • @zowaina9946
    @zowaina9946 Год назад

    MANSHAALLAH tabaraka RAHMAN umengara na nuru ya ibada kweli

  • @zawadijumaziro
    @zawadijumaziro 3 месяца назад

    Shukrani jazila

  • @KassimuShany-zl7fj
    @KassimuShany-zl7fj Год назад

    Masha****Allah

  • @zawadijumaziro
    @zawadijumaziro 3 месяца назад

    Shukrani yarabi

  • @mgeniali2856
    @mgeniali2856 Год назад

    Shukran Allah akulipe kheri

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed Год назад

    Maashaallah shekhe wetu shukurani

  • @NiyibiziIsaWangyu
    @NiyibiziIsaWangyu 3 месяца назад

    Kila Sheikh anapotoa mawaidha yenye suratul fatiha akatanguliza bis'millahi Rahman Rahim ambayo wengine baadhi wanasema alhamdu lilahi rabul alamiyna ndiyo ayya ya kwanza na hiyi hadith wanapoisoma huanzia Kwa alhamdu Kwa hivyo Kwa vile mahaba yangu ni makubwa Kwa neno bis'millahi Rahman Rahim na anayeitumia kiukweli ninampenda na huwa mawaidha yake yote Mimi nikipenzi yake

  • @yahyamohd2573
    @yahyamohd2573 Год назад

    Asant shekh wangu

  • @yahyamohd2573
    @yahyamohd2573 Год назад

    Asant wangu