West Hollywood After 12 AM- Midnight After Hours
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- This was filmed in West Hollywood on Saturday Night
Join this channel to get access to perks:
/ @jackwausa
Please SUBSCRIBE so that you won't miss any new uploads, Thank you for watching!
My previous video;
• Video
🔸FOLLOW ME ON;
INSTAGRAM: / jacchalz
TikTok: www.tiktok.com...
My Other Channel: / @jackchalz
#jackwausa #losangeles #irl
Jack,you are very polite one,God bless you
Amen, God bless you!
Thanks dude you are an awesome person God bless u from India
Amen
Jack# napenda sana video unazofanya kwa kingereza,kwan zinanifanya nijue zaid lunga....lakin pia unakua comfortable katika kazi zako..... keep doing brother.
Double kick + Hennessy=??😂😂
You did a good job my brother. That's how Tanzanian we live by helping one another.
I'm glad to hear that. Lets keep spreading love!
Jack sorry siku hz unawek kingerez weng wanaoangalia kipind chako sio wote wamesoma pls ongea kama mwanzo kiswahil changany
Tanzanians dont understand english😂😂😂😂😂😂
Yeye sasa ni international, na watazamaji wake wengi ni wa kutoka US kwa hivyo lazma azungumze na kiingereza.
Noble work.
🙏🏾
😂😂 umeikataa denda una akili boy good man 🤛🤛💪💪
oh my, she's drunk ako juu ya maji kama feri!!!! be careful watching from Nairobi, Kenya
Great job brother
Oya jack mambo yakishtuwana ayo aisee duuh
Naona mzee wa kahama unafanyooosha sana mzee baba kula bata kabla hujja
😂😂😂 jack i think you an assistant. Where do i apply?
Daaa unakazi kweli kaka 😂😂😂
Bro umekuwaje xaiv ongeah kiswahili kama mwanzo unaniweka kwenye wakati mgumu niko kahama
Shabiki yako namba Moja
Inaonekana hiyo mizigo niya kujibebea tu huko😂
Kaswede kupata nije nje😂😂😂
@@gnaivasha uhakikaa kabisa yaani
Yani inaonekana sio wagumu
@@philemonmagesa5548 tena hasa wakilewa pombe 😆😆
Ukimla huyo na wewe unaliwa na kesi ya ubaakaji ndugu😂😂
Duu kaka ilikua noma
Nakubaliiii kaka.....its Great 💪
Hy Jack❗ Ain't bealivin how that beautiful Angel was Smashed, plastered and tanked with lica like Sh****t...kinda got me gawked n twitching 😍😍😍😍🤣🤣
Jack uko sawa,u don't have any mistake there, You have only assist that lady of which if it was me,I would have take to my 🏠 h💪😊
KALewa balaaaaa
Mtoto mlevi kupitiliza 😂😂
❤❤❤
Like
Sure bro 🎉
Kama vile yuko maji 😅
Kk unatuktsh tamaa sahivi coz huongei kiswahili,na wataazamaji wengi ni ss waswahili ongea kingereza paia tafsiri
Dah you guys mnasema gharama hela ya guest house or lodge? You can’t be serious,kesho yake jack anaweza kujikuta jela kwa kumbaka Mtu ambae alikuwa kalewa,pili anaweza daiwa gharama kubwa Itakayofanya akimbie marekani! Hiyo nchi sio kama huku guys
Watu Hawajui Kama huo ni mtego. Jichanganye uone Marekani inavyogeuka chungu kwako😂😂
How are you, brother Jack I see today you have found a friend but he is very drunk as if his mind has really flown. I am very sorry bro
Bruh advice yangu kwako, hii ni marekani kua makini na hao wasichana wasije kukuletea kesi ambayo hutoweza kujakujitoa ndani, stop putting your life in danger and think it's fun.
yoh he just helped her
@@reinhardshammah6027 I know he helped her but in this country sometimes is good to mind your business coz if something happened; they don't say you was helping, I'm just saying, bryh need to be careful before he put him self in hot water
Stop being negative. The reason bad things happen it's because cowards like you are scared of doing the right things. If you see something, say something. And if you can help someone, then do it. Don't let the enemy take advantage. Always strive to do good to anyone you meet regardless of the consequences!!
@@samkg6337 wewe mwenyewe Ni Marekani gani unajua zaidi ya jack mwenye ako huko?
@@lucksonomari4999 naishi Virginia 🇺🇸 brother
Hi Jack what's up l needed to understand one thing from you unapoenda kuweka mafuta sheli Ile credit card unapo ichomeka unaiacha au unaitoa
Unaitoa
Jack demu karewa au
😂😂😂
What is this ?whoni wmwazedi
😮
Ushaanza umalaya we jama, juzi tu apa umetoka kuombewa
umaalaya gani unaona vile unafikiria
@@user-wh7tc5xn1w Jack amenielewa, we ndo hujaelewa
Kiswahili kijn
Skuiz umekua kamalaya jmn😂
Asa hapo umalaya upo wapi? Sikujua kama ukitenda jema unaitwa malaya pia
Oy jack
Weka kiswahili
mshenzi
kabisa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂this is enough for today
I wish it was me,anyway, much love from Kenya 🇰🇪 peace ✌️
Apo ghalama pesa ya gest
Unazingua siku hizi unatuwekea kiingereza au sasa hivi umepata watazamaji wa huko huko
Reo umetuboa tusio soma unge tuereza mtoto arikua ana taka nn
inaonyesha mtoto kama vireee
demu mkali.. mpeleke ghetto
Hahahah mtego huo kaka, jichanganye baadae upewe kesi ya ubakaji. Nchi za huko usithubutu kubeba demu akiwa kalewa hata kama mmeelewana utakuja ozea jela 😂😂😂
mpeleke geto
Sio tabia njema hiyo
Dude now your hand to the big boot
What does that mean
@@jackwausathose bitches will land you in jail
Bro malaya ume patiya in gabi
Dogo unafeli sana mwanzo ulianza vizuri sana ila sahivi unafeli wengine hatujui kingereza kuwa mzalendo
Uzalendo haupimwi kwa lugha dogo. Rudi shule kwanza ukajifunze kabla ya kuja hapa!
@@jackwausa😂😂😂😂😂😂
mwache afanye anachofanya,Kwani dunia ni yetu?Keep doing You J
@@jackwausakumbe una majibu mabaya hivyo kwa hiyo mashabiki zako turudi shule tusio jua kingereza asante
@@jackwausakumbe una majibu mabaya hivyo kwa hiyo mashabiki zako turudi shule tusio jua kingereza asante
Naona mzee wa kahama unafanyooosha sana mzee baba kula bata kabla hujja
Apo ghalama pesa ya gest