Rais Ni kazi au Ni cheo..... Rais Ni taaluma au tuzo.... Rais Ni elimu au Ni baraka.... Inatafakurisha..... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Hongera Rais, wenye ufahamu ndo wataelewa mtu kuonesha maisha halisi aliyoishi ni fahari sana kwani wanataka uonyeshe Nini, wao waoneshe Yao, hayo ni yako hongera mama.
Sasa hayo mazingira yarekebishwe bila kuharibu kumbukumbu kwani kutakuwa na wageni wengi wa kualikwa na wakujipeleka wenyewe. Hata tukipita tutaonyeshana kwa mbali.
Hongea mama kwa usanii sasa hii nikwaajili ya wa Tanzanian au nibiashara zako na wazungu ? Mbona inaongea kingereza wakati sisi tunaogea kiswahi? Hapo ni koi mzungu aelewe biashara y'ako ? Au mtazania.(. )?
@@sanoureyaliwadoakaroyo1696 unajua najiuliza magufuri alivyoanzisha sijui mbuga sijui ni inaitwaje kule chato mbona sikuzisikia hizi kelele kwani Ina faida gani kubwa kwa Tanzania kushida hiki alichokifanya Samia jamani
@@hadijamandanje6189 ile mbuga haikuanzishwa ili kuwepo ila wanyama baadhi walikua wamepungu alafu badala kujibu hoja ww unaleta vioja kwel unajielewa ww au corona ingeingia lipindi hiki si angetufungia nje ya nchi mtu mweusi husaminika wakati wa raha tena kidogo wakati wa taabu wanakuona kama mavi ndomana corona ulaya weusi walitaabika na hata sasa Vita hao filam wako kibiashara tu
@@emmanuelsimon545 hoja gani nitakyojibu au wewe umrkurupuka na kisirani chako kwa Samia kwa hiyo Hilo aliloliendeleza magufuri ndo lilikuwa la maana kuliko hili alilolifanya Samia ndo maana nikamchagia kumuona mjinga alieona si la maana we mtafute au kumjubu sivyo andika comment yako si lazima ujibu usichokipenda
@@hadijamandanje6189 Achana nao hao Ujinga ndio Umewatawala Wengi waoo Yni Bdo wana Mfumo Dume Kuona Kwamba Mwanamke Awez Kuongoza. Yni Hiii Nchii Inawajinga wengi Yni Mama Wa Watu Hana Zuli Ata Moja kila Atakacho Fanya kwao ni Kibaya Wanachosha Sna Ssa Mama wa Watu Afanye Lipi liwe La Kumsifia Ama mridhike. YULE Yesu. Wenu wa Chato Alitumia Mabilioni Ya Pesa Za Watz kujenga Uwanja wa ndege Chato Je uwanja uwoo Unaingiza pato Lolote kwa Serkali Ama mnajisahaulisha
Hamna kitu hapa Bora ushoroba ya jokate mwegero hii n piter t anatamba nchi imekauka utadhani tna jangwa sa msikiti nao n kt Cha ktuonyesha Bora hata mngewaonyesha Miradi mikubwa inayoendelea vingereza t vmepamba moto utadhan hatuna lugha yetu
Rais Ni kazi au Ni cheo.....
Rais Ni taaluma au tuzo....
Rais Ni elimu au Ni baraka....
Inatafakurisha..... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
Mm nimepeleke tukaongee kimalila changu siyo kuleta huyo chizi hata kula hakutoa
Hongera Rais, wenye ufahamu ndo wataelewa mtu kuonesha maisha halisi aliyoishi ni fahari sana kwani wanataka uonyeshe Nini, wao waoneshe Yao, hayo ni yako hongera mama.
Ingependeza akitengeneza Documental yake
Waoooooh president kazi nzuri
It is Very hard TEACHING HATE Than LOVE; As LOVE IS VERY Natural!.
Hadi hasira
Awajawafundishwa kusalimia kwa kusimama duhh aibu sana jamani
Saana wametia aibu mnoo🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
hapo mama umejikanyaga ulimwengu wa Kislam haukubali urais
Tunatakiwa tuwasomeshe watoto ili na Sisi tujekufanya hayaa sio tuyaone kwa wenzetu tu
Mnamharibia Millard kwa kutokuwa weledi wa lugha katika Tittle.Eti MWENYEJI badala MGENI WAKE
Uko Vizuri Mama.
Wee Peter weee..haaya
Yuko na mama mbona unawasiwasi Salim
2.32... ah Huyu milard huyu ..
Bia tamuuu bia bia bia tamuuu
nice one❤
Safi mama
Watanzania tungeuia cd. Za royor tour
Sasa hayo mazingira yarekebishwe bila kuharibu kumbukumbu kwani kutakuwa na wageni wengi wa kualikwa na wakujipeleka wenyewe. Hata tukipita tutaonyeshana kwa mbali.
Ukraine vita inaisha lini bongo maisha yawe bomba 🌞🌞🌞🇮🇨🇵🇾
Who's ready to answer my question🤣
🔥🔥
Mbn tutakoma sisi
Hongea mama kwa usanii sasa hii nikwaajili ya wa Tanzanian au nibiashara zako na wazungu ? Mbona inaongea kingereza wakati sisi tunaogea kiswahi? Hapo ni koi mzungu aelewe biashara y'ako ? Au mtazania.(. )?
Mwenyeji wake au Mgeni wake ?
Wasting resources big time/uzinduzi - what a joke?
Tatizo la kuelewa ndio linawasumbua watu
She is lying, wot school taught rights? Big bullshit. It possible she will be president for life, wabongo akili zetu sawa na mbu
Kwani Hakuna Mambo mengine ya muhimu zaidi.. Halafu huyo Peter Mbona anatamba Sana TZ?
Ujinga Umekutawala Sna Ingekuwa Si Ya Umuhimu Usinge yaona hpa
@@sanoureyaliwadoakaroyo1696 unajua najiuliza magufuri alivyoanzisha sijui mbuga sijui ni inaitwaje kule chato mbona sikuzisikia hizi kelele kwani Ina faida gani kubwa kwa Tanzania kushida hiki alichokifanya Samia jamani
@@hadijamandanje6189 ile mbuga haikuanzishwa ili kuwepo ila wanyama baadhi walikua wamepungu alafu badala kujibu hoja ww unaleta vioja kwel unajielewa ww au corona ingeingia lipindi hiki si angetufungia nje ya nchi mtu mweusi husaminika wakati wa raha tena kidogo wakati wa taabu wanakuona kama mavi ndomana corona ulaya weusi walitaabika na hata sasa Vita hao filam wako kibiashara tu
@@emmanuelsimon545 hoja gani nitakyojibu au wewe umrkurupuka na kisirani chako kwa Samia kwa hiyo Hilo aliloliendeleza magufuri ndo lilikuwa la maana kuliko hili alilolifanya Samia ndo maana nikamchagia kumuona mjinga alieona si la maana we mtafute au kumjubu sivyo andika comment yako si lazima ujibu usichokipenda
@@hadijamandanje6189 Achana nao hao Ujinga ndio Umewatawala Wengi waoo Yni Bdo wana Mfumo Dume Kuona Kwamba Mwanamke Awez Kuongoza. Yni Hiii Nchii Inawajinga wengi Yni Mama Wa Watu Hana Zuli Ata Moja kila Atakacho Fanya kwao ni Kibaya Wanachosha Sna Ssa Mama wa Watu Afanye Lipi liwe La Kumsifia Ama mridhike. YULE Yesu. Wenu wa Chato Alitumia Mabilioni Ya Pesa Za Watz kujenga Uwanja wa ndege Chato Je uwanja uwoo Unaingiza pato Lolote kwa Serkali Ama mnajisahaulisha
Mume mzungu hkuna lolote
Hamna kitu hapa Bora ushoroba ya jokate mwegero hii n piter t anatamba nchi imekauka utadhani tna jangwa sa msikiti nao n kt Cha ktuonyesha Bora hata mngewaonyesha Miradi mikubwa inayoendelea vingereza t vmepamba moto utadhan hatuna lugha yetu
Hujui ukubwa wa mskiti
Ndio ukaongea mradi na mskiti kikubwa ni gani huna akili
@@nassirmohamed8492 mpuuzi ww ndo huna akili Kwan kusema msiki aliosal una umuhim gan
@@musason1680 hahahahaha Yani hapoo Inakuwa kama Historia Yake .siyo kama Kuwa Katangaza tour kupitia kupitia Ikokipengele 😀😀😀😀😀
Nahisii Ajakufaham umemaanisha Nini??
Hapo nani ndo mwenyeji wa mwenzake?
OIvyoooo
Too much islam
What are you talking about….!!
7
Mwamba
Kamti pombe💿ruclips.net/video/EoUNzHZowFY/видео.html