RAIS SAMIA HOI KWA VITUO VYA MPOKI NA MSANJA, AMPUNGIA MKONO MPOKI "MAMA ALINIPIGIA SIMU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 75

  • @WilbertMalula-vv7ml
    @WilbertMalula-vv7ml 11 месяцев назад +1

    BAHATI NZURI MAMA ANAWAJUA KUWA MNAMSIFU TU

  • @Omosak
    @Omosak Год назад +2

    Watanzania shida yenu muko wanafiki sana kusema ukweli

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Год назад +6

    Inaumaaaa saaaana pesa zinaishia kwenye sherehe warsha makongamano

  • @jacobmenganyi7830
    @jacobmenganyi7830 Год назад +5

    Kujipendekeza huku Hadi boss anajua unamnafikia

  • @divaimafuru6844
    @divaimafuru6844 Год назад +1

    Mama Samia nakupenda mpaka naumwa

  • @valentinoswenya748
    @valentinoswenya748 Год назад +22

    Njaa mbaya sana watu tunashida adi tunahisi mwisho wa dunia unachelewa kutimia lakini leo watu tuliowapa dhaman wanatuletea maigizo mikoani uku wakiwa na tabasam lote

  • @MahonaNkinda
    @MahonaNkinda Год назад +3

    Hamna kila ki2.nataman sana kushuhudia mwisho wa dunia..eee Mungu tuokoe waja wako

  • @edesaron9070
    @edesaron9070 Год назад +6

    Wakati mataifa mengine vijana wao wanaonyesha ubunifu kwa kazi za kulijenga TAIFA lao vijana wetu wanashindana mbele ya rais kwa vitu vya hovyo

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Год назад +3

    Mdomo hauwezi kuusemea moyo 😂😂

  • @EmmaFrancis-uo1zz
    @EmmaFrancis-uo1zz Год назад

    Emma Francis

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz Год назад +3

    Wapunguze bei ya vifaa vya ujenzi 😭😭🙌

    • @pienciakoku2739
      @pienciakoku2739 Год назад

      Kweli kabisa vifaa vya ujenzi wanazingua sana

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 Год назад

    Mbona mmesahau kumsifia kwakutokuwatumbua wapiga dili kushindana kujenga maghorofa namaa apartment kwapesa zamiradi

  • @GeofreyMtensacollection
    @GeofreyMtensacollection Год назад

    Daaah pepo ngumu sana, uyu Masanja si anajiita mchungaji au..? Je kila sifa aloitoa apo lwa Mama ni kweli au na unafiki umo...?

  • @chrisjacob4057
    @chrisjacob4057 Год назад

    Mhuuuuuuuu njaaa jmn njaaa tena wengne ni watumishi wa Mungu duh

  • @jastinmodest8073
    @jastinmodest8073 Год назад

    Utakula steki yeye zenye mifupa muachie wacheni vijamaa vichukue noti kwani nani anafaidika hapo😂😂😂

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Год назад +7

    So sad 💔

  • @seifmbembe95
    @seifmbembe95 Год назад +2

    Hawana ndio kazi Yao wewe hata uongee vp utabakia hivyo hivyo

  • @DamianoCostantine-bn3rl
    @DamianoCostantine-bn3rl Год назад

    Mhhh kwenye midia sawa

  • @allysogoo9631
    @allysogoo9631 Год назад

    Singeli

  • @colenaswile5846
    @colenaswile5846 Год назад +1

    Acheni kumpambia maskini uku tunaumia vitu kila siku vinapanda bei

  • @Gody360
    @Gody360 Год назад

    Sawa💯

  • @cavinjohn-9648
    @cavinjohn-9648 Год назад +2

    Wameongwa Hao mbuzi pori

  • @nelsonmgaya1490
    @nelsonmgaya1490 Год назад

    "Chawa kama chawa!"

  • @elishajoseph8291
    @elishajoseph8291 Год назад +1

    unapiga miguu yote fafanua na uelezee😂

  • @edinamkubwa2629
    @edinamkubwa2629 Год назад +4

    🤣🤣🤣 uchawa tu huo Ila cwezi laumu mpo kazini kenge nyie

  • @jifunzekuongeakiarabu
    @jifunzekuongeakiarabu Год назад

    Big up Masanja & Mpoki

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Год назад

    So elimu ni majengo🤣🤣

  • @denisngoinde3693
    @denisngoinde3693 Год назад +4

    Mama anapga miguu yote😂

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 Год назад

    Heri mimi sikukaa barazani pa wenye mizaha je km mtumishi wa mungu unaipimaje hyo

  • @deborahcharles4916
    @deborahcharles4916 Год назад

    Nilikuwepo jana paje hiyo sio kizimkazi

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx Год назад

    Mh uchawa huo

  • @imanimbwaga7005
    @imanimbwaga7005 Год назад +1

    Upumbavu ukizidi watu wanaleta ujinga kwenye mambo serious

  • @richardsawe7010
    @richardsawe7010 Год назад

    Asee Hawa Jamaa wanazingua, acheni makelele. Makelele hayana Ishu.. mwambie tunataka katiba mpya

  • @onesmofrank2416
    @onesmofrank2416 Год назад +3

    😢😢😢

  • @ElibarikiMzena
    @ElibarikiMzena Год назад

    Chawa nyie

  • @fidelissayejo5856
    @fidelissayejo5856 Год назад

    Taifa letu hili ni Kama kituko

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Год назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️❤️❤️

  • @lilgicky484
    @lilgicky484 Год назад

    Duuuuh kazi ipoo

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 Год назад

    Naona mnatafuta njia ya kutupumbaza tusahau

  • @samludo5435
    @samludo5435 Год назад +1

    Achen unafki....

  • @allywilson4155
    @allywilson4155 Год назад

    Acheni unafki mbele ya camera,cameras life is fake

  • @georgembise7234
    @georgembise7234 Год назад

    Upumbau mtupu!

  • @VENANCEAUGUSTINO
    @VENANCEAUGUSTINO Год назад

    Mmh

  • @JacklineMponela
    @JacklineMponela Год назад

    Jaman had Raha ❤

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @RuvannyTz
    @RuvannyTz Год назад

    🎉

  • @lastsimbatv1497
    @lastsimbatv1497 Год назад

    Vit vinapanda bei hamsemii

  • @kdazzy9967
    @kdazzy9967 Год назад

    Wapambe wanazidi kumiminika

  • @LidyaAlbat
    @LidyaAlbat Год назад

    Yani huyu malaya mtupu...Badala apambne kusaidia wagonjwa,wajane,wakimbiz na wasikuwa na uwezo ako kufanya ujinga....wakusifie hao wajinga tuu....Rais alikuwa baba wa Taifa na maguful....ww ni mtalii wa nchi....Ila ndo madhara ya kuongozwa na mtu ambae akiki ziko matakon,nakuchukia

  • @morganyiskaka815
    @morganyiskaka815 Год назад

    Nimeona msaidiz akicheka

  • @ebeniezeri
    @ebeniezeri Год назад

    Mkumba chausiku

  • @africanasplumbing
    @africanasplumbing Год назад

    Typing error

  • @JoramSimion
    @JoramSimion Год назад

    Nakuambia babab

  • @elizabethjeremiah8323
    @elizabethjeremiah8323 Год назад

    Sasa wasemeje

  • @maikomzee
    @maikomzee Год назад +1

    Wee subiri tuu umesikia yaliyo tokea Gabon huko kazi anayo

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970

    🎉🎉🎉🎉🥸🥸🥸

  • @Rodgers_01
    @Rodgers_01 Год назад

    🤐

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Год назад

    😂😅🤣imecheka

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius Год назад

    😢😢😢 no vibe no what yaan yote mnayompongeza it's like mnamsingizia Hana future na taifa huo

    • @qaisarmohammed7531
      @qaisarmohammed7531 Год назад

      Tukupe ww nchi mwenye future?? Au ulishawahi kuongoza nn ukafanikiwa?? 2025 gombea uraisi ntakupa kura yangu

    • @anselmoonolius
      @anselmoonolius Год назад

      @@qaisarmohammed7531 mwenyew Sina maono na hili taifa, lkn Rais hakuwah hata kufikiri hata siku moja Kama atakuja kua Rais

  • @EdgarLema-qi9or
    @EdgarLema-qi9or Год назад

    Ujingaujinga mwingi

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul2171 Год назад

    😢😢😢

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Год назад

    😭😭😭😭