Uwe angalisho, usijali ingiliwa na tamaa kama baba yako aalicho kifanya na kumuuwa mama yako , uwe angalisho katikati musaada maana shetani yako kazini, na tutakusaidiya kwa maombi , cha mwisho unaitaji vifaa gani kwa akili ya kanisa la kristo, utafunguwa kanisa sio la kwako bali ni kazini ya Mungu, nitafute kwa ushauri zaidi, amen
Hallelujah hallelujah YESU KRISTO NI BWANA
Amen
Amazing 👏
Barikiwa mtumishi
Hallelujah YESU ni BWANA
3:15
Yaani km move vile!, MUNGU MKUBWA❤❤
Kijana hongeza Muda
Hiyo itakuwa nzur zaidi ukimreta na mama yetu kipenzi waoooooooooh!!
Usipunguze muda,at least ifike dk 30
Uwe angalisho, usijali ingiliwa na tamaa kama baba yako aalicho kifanya na kumuuwa mama yako , uwe angalisho katikati musaada maana shetani yako kazini, na tutakusaidiya kwa maombi , cha mwisho unaitaji vifaa gani kwa akili ya kanisa la kristo, utafunguwa kanisa sio la kwako bali ni kazini ya Mungu, nitafute kwa ushauri zaidi, amen
Aletewee mama , kweli ushuhuda utakamilika!
Aaaahhhh Davistar hii imekua fupi sana😭😭
Na mimi mtumishi niunge kwenye group nipate kujifunza zaidi...
Hiyo namba yake mchungaji tafathali
Niunge kwenye group ili nipatemafundisho
Mlete mama please.
Waoooooo usisahau na mtoto ulisema utamleta atusalimie
Watt hawaruhusiwi katka media
Dah afadhali 😅
Hallelujah hallelujah YESU KRISTO NI BWANA
Napenda nijifunze mafundisho yako niunge kama unagrop