MFUNGWA ALIYEFUNGWA MIAKA 30 JELA KWA KUMBAKA BOSS WAKE ASIMULIA MAISHA YA GEREZANI&YOTE ALIYOFANYA

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 11

  • @tonitodd1922
    @tonitodd1922 2 месяца назад +3

    Mh! Hyo mama katili Sana. Pole kaka Kwa Yale yaliyokupata Mungu atakuinua Kwa wakati wake 😭

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 17 дней назад

    Jamaa Mungu atakulipa. Unaonekana mtu poa sana ningekua na hela ningekupa acha nikuombee Mungu atakupa.

  • @jafalkutika879
    @jafalkutika879 Месяц назад +1

    Tafadhari, ile story ya NILIMSOMESHA MCHUMBA WANGU AKANIGEUKA, mwendelezo tafadhari

  • @eliaspaul9028
    @eliaspaul9028 2 месяца назад +2

    Haki ipo kwa mungu

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 2 месяца назад +1

    Karibu tena yasn

  • @reubenmgen5656
    @reubenmgen5656 2 месяца назад +2

    Bora huyo mama alikufa kwa roho mbaya

    • @tonitodd1922
      @tonitodd1922 2 месяца назад +1

      Yaani ana roho mbaya hatari

  • @AbdulmajidHyder
    @AbdulmajidHyder 2 месяца назад +1

    Serikali kwanza Yafaa ikulipe kwa kukupotezea mda wako Gerezani Kuzembea kwa Mahkama Juu ya kuhukumu pasi na Ushahidi Sahihi.

  • @AudaxKami
    @AudaxKami 2 месяца назад +1

    Together 🤝💯

  • @tututz100
    @tututz100 2 месяца назад +1

    J.B.B.1999

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 2 месяца назад +1

    Sheby tuletee yule dada mwenye utajiri wa nyoka