PART1:MAMA ALIETEMBEA NA MWANAE NA KUZAA KISHA KUCHUKULIWA MSUKULE NA SASA UWA ANARUDI NA KUMTOKEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 39

  • @ksamastrio6246
    @ksamastrio6246 2 года назад +4

    pamoja all the way from kenya mr facts mimi najifunza mambo mengi sana shukran

  • @Mazoea
    @Mazoea 2 года назад +8

    🤣😂🤣😂🤣 mtu makinii kusikia tukafanya mapenzi eti ngoja kwanza

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 2 года назад +3

    We dada mwongo! Uamue kutembea na mwanao au ndugu afu useme haujui kilicho tokea!

  • @aminabhitalio8143
    @aminabhitalio8143 2 года назад +5

    Davi unaonekana unapenda ayo mambo🤣🤣

  • @josephmaganga1931
    @josephmaganga1931 2 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣ngoja kwanza mbona unakua una rukaruka davistar bana🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti

  • @temiadammaswali8045
    @temiadammaswali8045 2 года назад +1

    Hahaha haha kiwango gani nimeipenda hiyoo

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 9 месяцев назад

    Davistar bhana... Eti "Ngoja kwanza usiruke ruke kwanza"😂😂😂😂

  • @shamilakalinga437
    @shamilakalinga437 2 года назад +1

    Tukiachana na simulizi ya dada joyce bac na hii simulizi kali mno🙌🙌

    • @aggiephen
      @aggiephen 2 года назад

      Hiyo ya dada joyce inaitwaje

  • @honestema
    @honestema 2 года назад

    Davistar kayakubali haya mapenzi mpaka kasema hayo mapenzi yalikuwa kiwango Cha juu sana🤗😀😅🙌

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 2 года назад +2

    ivi hii dunia kumbe iko bize mambo ni mengi sana na ya ajabu mungu atulinde jaman

  • @catherinejames6714
    @catherinejames6714 Год назад

    Part 2 please

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 9 месяцев назад

    Daftari la mathe😂😂😂

  • @jameskuzwa8675
    @jameskuzwa8675 2 года назад +1

    Mr everything hapo pa kushikiana kisu ulikua unapatamani🤣🤣 watu wanavyokulana mzigo

  • @temiadammaswali8045
    @temiadammaswali8045 2 года назад

    Eti kweli hayo yalikuwa mapenzi ya kiwango cha juu sanaaa😂

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 2 года назад

    Ngoja na mm nitFte kisu

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 2 года назад +1

    Mkuje Huku mambo ni moto🔥🔥🔥

  • @latifajabil1707
    @latifajabil1707 2 года назад +1

    Davista umekazia hapo alivyosema ikawa siku ya kwanza kukutana 😆😆 eti taratibu twende

  • @hamisjangala6759
    @hamisjangala6759 2 года назад

    Davista kazingua ameshadindisha mbona anakunja 4

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 2 года назад

    Mmmmmmh Dada anahuruma huyu alimpa aweke charge 🙆‍♀️🤭

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 2 года назад

    Dah atari sana

  • @husnaseph9476
    @husnaseph9476 2 года назад

    Davista baada ya kusikia tukafanya mapenzi kaanza kujiweka vizuri kwanza nimecheka jaman

  • @abdimohamed3953
    @abdimohamed3953 2 года назад

    Blue nakumbuka nilifua shati lashule nikaiweka mbwa wetu ajikuja kunywa maji yale yenye blue alikua namimba iliharibika nayule mbwa hakuwahi kubeba tena ujauzito, hii nihatar niliiogopa sana

  • @macamezungu7031
    @macamezungu7031 2 года назад

    Pamoja saana Mr everything 🔥💯

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 5 месяцев назад

    Wewe ulikuwa nanyeje tu hunalolote

  • @Mazoea
    @Mazoea 2 года назад

    Mmmm kiapo cha Damu 😂😆😂😂😆

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641 2 года назад

    👍

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah6641 2 года назад

    Safi sana

  • @salmasalma8203
    @salmasalma8203 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣🤣 davistr broo tbsam hilo

  • @martinmaryogo3676
    @martinmaryogo3676 2 года назад

    hahahahahaaaaaa yan hawa walikuwa wanajarbu maisha yao jmn

  • @shadyabdallah7247
    @shadyabdallah7247 2 года назад

    😂Ila davistar anampenda hy mambo

  • @happymchomvu6766
    @happymchomvu6766 2 года назад

    Nafuatiliaga story zako nyingi ila ndo naishia njian haya part two iko wapi jaman

  • @fabshad1979
    @fabshad1979 2 года назад

    Ndio nini mr fact mr hata mr upuuzi hivyo ndivyo mnavyo introduce program serious

  • @saadahiddy8789
    @saadahiddy8789 2 года назад

    Nimewahiiii

  • @dotosalim5090
    @dotosalim5090 2 года назад

    Wa 8

  • @jamesmbogela4710
    @jamesmbogela4710 2 года назад

    😃😃😃 kwamba labda ni masumbuko

  • @fabshad1979
    @fabshad1979 2 года назад

    Mr facts 😡mr everything ??ndio nini sasa /

  • @jeniphaledaschali4594
    @jeniphaledaschali4594 2 года назад

    Kwani we Davista unapenda jehanam kwann usihoji mambo yaufalme wamungu,nashuhuda zamungu