HOUSE GIRL EP 51 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 801

  • @PrimitivaPriscus-hb7yj
    @PrimitivaPriscus-hb7yj Месяц назад +196

    Waliopenda chisa anachokifanya gonga like hapaa👍👍

  • @user-sk7un6ls2t
    @user-sk7un6ls2t Месяц назад +204

    Kama umeiona jumapili njema ya leo yeye baraka tele gonga like ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ut8xc6es8c
    @user-ut8xc6es8c Месяц назад +120

    Wanaofikiria chisa na masozi watamgeuka candy tujuane

    • @aishajuma7128
      @aishajuma7128 Месяц назад +9

      Huyo masozi pia ataachwa mataan😂

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana Месяц назад +2

      Jaman hiinyimbo ya mapenzi nzr kaimba nani

    • @MwaliSuleih
      @MwaliSuleih Месяц назад +1

      Kabxaa 😂😂😂😂😂😂 ajipange maan atakosa vyote

  • @glorynamwenje5816
    @glorynamwenje5816 Месяц назад +15

    Daaaah yaani hii movie inauzika kimataifa kabisa!!
    Nimeshawishi marafiki zangu kama wanne wote wanaifuatilia na wameipenda!!
    Hongereni sana team Busati

  • @isabellahchuma
    @isabellahchuma Месяц назад +39

    Wenye wanaunga chsa mkono mko wapi jamani 😅😅😅

  • @nurumgaya1620
    @nurumgaya1620 Месяц назад +68

    Jamani cjachelewa sana team zuli na team Kai mpo!? Naombeni like na mimi

  • @DahuMatata
    @DahuMatata Месяц назад +47

    jamn huy Tasha anajifanya yeye ni magumu sana tunao Amin hakuna mkate mgumu mbele ya chai gonga like

  • @sarahrashidabdallah3109
    @sarahrashidabdallah3109 Месяц назад +314

    Walikuwa wanaona chisa atawazunguka candy na masosi gonga like hapa 😅😅😅yule marekanii 😅😅😅

  • @ugenny125
    @ugenny125 Месяц назад +51

    Eeeeeeee nyie hii movie ni Kali uvumilivu umenishinda imenibidi tu niwaomb like hata 10 japo najuwa nawakosea

    • @user-zc1qh6ti2p
      @user-zc1qh6ti2p Месяц назад +2

      Haya ila ukumbuke na kuoga

    • @ugenny125
      @ugenny125 Месяц назад

      Hahaaah​@@user-zc1qh6ti2p

    • @user-dn3sn2fk9v
      @user-dn3sn2fk9v Месяц назад

      ​@@user-zc1qh6ti2pndoapo siyo kuomba like kuoga aaah😂😂😂😂😂 nimecheka kifala sana 😂😂😂😂😂

  • @user-hf7pk2lx4v
    @user-hf7pk2lx4v Месяц назад +35

    Kwa kweli kendi hana akili wenye wanakubaliana na mm tujuane kwa likes

    • @SadamuLyuma
      @SadamuLyuma Месяц назад

      Ni kwer kendi Hana hakil

  • @GENzRevolution-s2u
    @GENzRevolution-s2u Месяц назад +91

    Wanaoamini kwamba chisa atafaulu kui-uza nyumba nakuenda marekani gonga like hapa

  • @LoveYuda-h5z
    @LoveYuda-h5z Месяц назад +22

    Candy kapigwa na ktu kizto nyumba hana na mme hana 😂😂😂

  • @user-wu7ho7sx8q
    @user-wu7ho7sx8q Месяц назад +86

    𝐓𝐞𝐚𝐦 𝐳𝐮𝐮 𝐡𝐨𝐲𝐞𝐞𝐞𝐡

  • @etsareliza6687
    @etsareliza6687 Месяц назад +8

    Napenda hii familia ya mpumbavu mwenzangu 🎉

  • @user-xq5po1di7w
    @user-xq5po1di7w Месяц назад +26

    Mambo yanazidi kua moto napenda sana hii move

  • @edsonmakweta6347
    @edsonmakweta6347 Месяц назад +33

    mko vizuri sana busati tv chukueni maua yenu 🌺🌺🌺

    • @HidayaAbdallah-l2l
      @HidayaAbdallah-l2l Месяц назад +1

      Mbna bibi leo hna furah au amejua mjukuu ashatolewa usichana wake

    • @edsonmakweta6347
      @edsonmakweta6347 Месяц назад +1

      @@HidayaAbdallah-l2l ashajua tyr asali imelambwa 😁💔

  • @sharifanyumayo6314
    @sharifanyumayo6314 Месяц назад +11

    Candi utalia ww na chisa lazima awageuke TU , Na naona maisha ya Kai na zuu yatakuwa poa sana 🎉🎉

  • @noeliddi82
    @noeliddi82 Месяц назад +4

    Candy Candy Candy nimekuita mara tatu umezulumiwa😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z Месяц назад +12

    Kwa kweli Kai maelezo yko kwa bibi n mfano kumsukuma mlevi kwenye simo😂😂😂juu yy ashajua kila kitu,nawapenda snaa ❤big up sna mko fit

  • @thomasmwaipale2621
    @thomasmwaipale2621 Месяц назад +44

    Weekend inapaswa tuwe tunapewa hata vipande vinne

  • @AweiyBeauty
    @AweiyBeauty Месяц назад +8

    Kila kipande nnachomuona mke wa Kiramba bs nafurah yaan nampenda nampenda nampenda huyu dada❤

  • @WinnieWisdom-u1l
    @WinnieWisdom-u1l Месяц назад +20

    Leo mi ndo mekuwa wa mwisho enewei like kwen bc wadau wanguu❤❤❤❤❤

  • @MwanamvuaNassoro
    @MwanamvuaNassoro Месяц назад +10

    Yaani chisa ana tamaa sana hadi watu alokua amepanga nao pia anataka kuwalaghai daah 😮😮

  • @ruxali4890
    @ruxali4890 Месяц назад +8

    Ila bibi kashajua asali ishaingiliea🎉❤❤😂 much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Aishabeiby
    @Aishabeiby Месяц назад +13

    Kwani jamani like mwazipeleka wapi haya na mi nipewe nione hio raha😂😂😂

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it Месяц назад +10

    Aiseeeee hii sauti ya zuuh kumita kai jmn mnaiyonaje😂😂😂😂😂 wezangu

  • @user-bg8qi9cx9w
    @user-bg8qi9cx9w Месяц назад +10

    Yoooo chisa anawazunguka sana kenthi nirofa

  • @Johar903
    @Johar903 Месяц назад +6

    ❤❤❤ mambo mazuri maji ya kimwagika ayazoleko bibi amsamehe zuu awape baraka wafunge ndoa baba bibi awasamehee awape baraka

  • @boynhanga4790
    @boynhanga4790 Месяц назад +51

    Jamani leo nimewahi ebu nipatie like zangu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @BekatheBoy-gd4oy
    @BekatheBoy-gd4oy Месяц назад +18

    Nakubal team kai na zuu

  • @AminaNgumba
    @AminaNgumba Месяц назад +8

    Jmn kai na zuu mmemdharirish baba 😂😂😂😂

  • @user-qx2qj1li4q
    @user-qx2qj1li4q Месяц назад +3

    Hongera sana Kai huyo mtoto mlee vizuri maana umeanza wewe zuu mshike kabisa usimachilie Kai hongerani sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @SharifuChala-iz4xj
    @SharifuChala-iz4xj Месяц назад +30

    Leo wa pili jamani naomba like 10

  • @mwl.hassanzanjabeel1621
    @mwl.hassanzanjabeel1621 Месяц назад +36

    Wakwanza leo mimi nipeni like

  • @user-ro1fg5ur9l
    @user-ro1fg5ur9l Месяц назад +78

    Watazamaji wa hii movie weka like kwa wingi🎉🎉🎉

    • @LamaribamJumbe
      @LamaribamJumbe Месяц назад +2

      Pia Faraja ya Hii move wallah ni pambe kweli kwl🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌👌👌👌👌

  • @kinananyuni9732
    @kinananyuni9732 Месяц назад +32

    Ewooo chisa namarecani tena candy kapigwa na kitu kizito kiburi chote kitamwishia mda si mrefu 😂😂😂

  • @MetrineKhisa
    @MetrineKhisa Месяц назад +10

    Wa pili mm leo jameni😂😂😂 like tano tu nitashimba nayo😢😢😢

  • @HellenDaniel-tq4gh
    @HellenDaniel-tq4gh Месяц назад +12

    Waaah 😂😂😂 aibu naona mm ches

  • @AdamZainab-mb7qj
    @AdamZainab-mb7qj Месяц назад +37

    Yaan mtu akiomb like mna mwambia atoe maoni like hazisaidii na akitoa maoni hamumpi like 😢

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx Месяц назад +19

    😂😂😂 Kai bibi kajua kila kitu tyr 😂😂😂

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад +1

      🤣🤣

    • @aishahamis1609
      @aishahamis1609 Месяц назад +3

      Bibi ana darubini utamwambia nini😂😂😂

    • @zubedamae-ro1jx
      @zubedamae-ro1jx Месяц назад

      @@aishahamis1609 apo ss yy ashajua tw alivyo waona na aata venye anajitetea uyo Kai bibi anajua tw anamuongopea 🤣

    • @zubedamae-ro1jx
      @zubedamae-ro1jx Месяц назад

      @@busatitv 🤣🤣🤣

  • @victoriangasa
    @victoriangasa Месяц назад +10

    Ndan ya penzi la dada wa kazi ❤❤🎉🎉njoon kit hewan

  • @AminaKavuo-gj3oc
    @AminaKavuo-gj3oc Месяц назад +3

    Hahaha hahaha bibi zuuh hanajuwa kapeyana hasali 😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉Bibi hila usijali Kai haezi lala Bila kuonza hasali

  • @NuruSolomoni
    @NuruSolomoni Месяц назад +23

    Leo nmewhi nipeni like hata moja tyu

  • @ImeldaSamson-wm1iz
    @ImeldaSamson-wm1iz Месяц назад +12

    ila nae masoz na iyo saut inaniboa😂😂😂😂😂😂😂 mbaya ataliiii kama chura kameza panz😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @user-sr3gq1rl1y
    @user-sr3gq1rl1y Месяц назад +10

    Kaz nzur jmn na inatufundisha jmn 👏👏👏

  • @MupaMumbo-fi4gu
    @MupaMumbo-fi4gu Месяц назад +11

    Leo nimekua WA Kwanza nawpendasan❤❤❤❤

  • @yassatv2129
    @yassatv2129 Месяц назад +2

    Mungu awabariki wote mnafuatilia house girl 🙏

  • @MilanAnzuruni-gf6pz
    @MilanAnzuruni-gf6pz Месяц назад +1

    Mpumbavu Mwenzangu Na wapenda sana Vraiment 😂😂

  • @pilicharo4123
    @pilicharo4123 Месяц назад +6

    mashaallah kipindi kikonamafudzo kwelu🎉🎉🎉

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr Месяц назад +4

    Mzee kumbe kachukia zuu kuumizwa😲🤗🤗🤗🫢😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @veronicahmomanyi
    @veronicahmomanyi Месяц назад +5

    Teamu zuu mnipee habari vip bb hawezi jua

  • @Mbuyubiesha
    @Mbuyubiesha Месяц назад +14

    Nimewahi jaman laik kidogo

  • @husseinasiadmmbaga2683
    @husseinasiadmmbaga2683 Месяц назад +14

    He jamani nimekua wà 31nipen like leo

  • @HidayaMbodze
    @HidayaMbodze Месяц назад +9

    Candy kimemramba nyumba yaenda 😂

  • @AishaRamadhan-hh7ro
    @AishaRamadhan-hh7ro Месяц назад +5

    😂😂 nilijuat candy kitamkuta kit kizitomisomisond amepigaje hapa😂😂😂😂

  • @MauaSaid-t4b
    @MauaSaid-t4b Месяц назад +20

    Wakwanza like jaman

  • @Johar903
    @Johar903 Месяц назад +3

    Kosa limeshafanyika basi wazazi wate mshirikiane zuu aolewe maisha yaendelee wakipata baraka naamini watafanikiwa maisha na nyumba inauzwa watu marekaniii patamu hapo😂😂😂

  • @user-is4ts6gz6t
    @user-is4ts6gz6t Месяц назад +4

    Huyu Mzee nae vp kusikilza mikito ya mkwe wake zuu 😂

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula Месяц назад +6

    Watu wa marekani mko wapi ama hamtaki kwenda 😂😂😂😂candy uko wapi

  • @user-ml7uo8yg6z
    @user-ml7uo8yg6z Месяц назад +3

    Jamani sjawai comment tangu hii movie ianze,ila leo nmefurahi,wapi like za zuu na kai😅😅😅 bodaboda kila siku n wao tu

    • @puritytatu4249
      @puritytatu4249 Месяц назад

      😂😂😂😂mm kama bibi😅haiya weh enda🤣🤣

  • @user-sc5gt6gs3s
    @user-sc5gt6gs3s Месяц назад +3

    Chisa nitaweza nika furai sana haki bini zuu amelisha tambua 😂😂😂

  • @DegraceMuvunga
    @DegraceMuvunga Месяц назад +12

    Wa kwanza jameni munipe like 10

  • @HopeMmbando-wb8ci
    @HopeMmbando-wb8ci Месяц назад +3

    Hahah aisee ndugu zangu mmeuwa kazi nzuri saana jmn jmn eeeeee

  • @user-nz9zb7gu7t
    @user-nz9zb7gu7t Месяц назад +3

    Nilikuwa najuwa ivo chosi ata wazunguka candy na ma sozi , ya’ naipenda iyo 🎉🎉🎉🎉❤😂😂😂

  • @AshuraKigoma-vf7wb
    @AshuraKigoma-vf7wb Месяц назад +1

    Whuwiii chisaa anaenda kumpiga cand kitu kizito whuwiii

  • @SalmaBakari-z8l
    @SalmaBakari-z8l Месяц назад +1

    Ila Kai mchokozi ww umefanyaje zuu😂😅😅

  • @MICKEYBOYHB
    @MICKEYBOYHB Месяц назад +7

    Wote waliowahi sema nami nimo😂😂😂

    • @glorykadzo
      @glorykadzo Месяц назад

      😂😂😂😂😂uko ndani

  • @JenifaSilvester
    @JenifaSilvester Месяц назад +1

    Waooooo chisa umeuwa😂😂😂😂

  • @FrolanceAsajilemwasumbi
    @FrolanceAsajilemwasumbi Месяц назад +7

    Kandi anatapeliwa nyumba jamani duu kimemlamba kandi

  • @HalimaAthuman-us8gi
    @HalimaAthuman-us8gi Месяц назад +4

    Kazi nzur ❤❤❤

  • @rajaYohana
    @rajaYohana Месяц назад

    Hy familia ya mpumbavu mwenzangu ni nzuri kwl wanaume wote mngekua hv tungelilia ndoa wengi

  • @JoyceKayombo-y3g
    @JoyceKayombo-y3g Месяц назад +1

    Zuu na Kai mmemuona Bibi ni mjinga Hana akili eeh naona anawazoom tu na uongo wenu 😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @JoyceKayombo-y3g
      @JoyceKayombo-y3g Месяц назад +1

      Boda boda which 😂😂😂 bodaboda were bodada whom 😅😅😅

  • @MissVeelight
    @MissVeelight Месяц назад

    Pole sana zuu mtalalaje jinsia mbili tofauti kwenye chumba kimoja na sio ndgu

  • @BINTmohammed-fu9gp
    @BINTmohammed-fu9gp Месяц назад +3

    bwana chisa amekua tsajiri ....uyooooo marekani🤣🤣🤣🤣much love from Kenya 🇰🇪

    • @busatitv
      @busatitv  Месяц назад

      🤣🤣🤣🤣

  • @Eunicemakokha-gc9ss
    @Eunicemakokha-gc9ss Месяц назад

    Kai na zuu actually you both are vibes 😂😂😂😂 u made me love at the gate holding zuu kai 😂😂😂😂

  • @fatmahraseid7019
    @fatmahraseid7019 Месяц назад +1

    Msichokijua huyo bibi hadanganyiki😂😂😂

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf Месяц назад

    Eishy kai😂😂😂just wow this is the really love story na iko interesting ❤❤❤love you guys bila kusahau wapumbafu wenzangu

  • @user-qv7dm4ok6g
    @user-qv7dm4ok6g Месяц назад +13

    Jamani kila siku nachelewa ebu leo muniachie likes mashabiki wenzangu

    • @maysaghjii5058
      @maysaghjii5058 Месяц назад

      Kilamba 😂😂hongera

    • @maysaghjii5058
      @maysaghjii5058 Месяц назад

      Candy shikamooooo nmeamini mkemjinga uvunja ndoayake kwa mikono yake mwnywe

    • @user-qv7dm4ok6g
      @user-qv7dm4ok6g Месяц назад

      😂😂😂​@@maysaghjii5058

    • @user-qv7dm4ok6g
      @user-qv7dm4ok6g Месяц назад

      ​@mays😂😂😂aghjii5058

  • @zainabuomary9085
    @zainabuomary9085 Месяц назад +1

    Jicho la bibi zuuu😢ashagundua

  • @helleneghwa3998
    @helleneghwa3998 Месяц назад +1

    Wenye mwaunga candy atapoteza kila kitu gonna like hapa

  • @ZabibuMaulid
    @ZabibuMaulid Месяц назад +4

    🎉🎉 candy anageukwaaa huyo

  • @esterester3628
    @esterester3628 Месяц назад +2

    Kai Kwa hapo ulikosea kaka😢ungeifatilia taratibu ndio muoane na Zuu lkn yote Kwa yote hope Bibi ataridhika na kuwasamehe

  • @AliceCharo-wz9oz
    @AliceCharo-wz9oz Месяц назад +3

    Candy kfanyiwa bonge la suprise i say😂😂yote hya ni malipo alivyokua akimtesa zuu

  • @mwanashemwanashe
    @mwanashemwanashe Месяц назад +1

    Utapeli upooo😂😂😂😂kashabigwa tukiyo😢😢😂😂😂

  • @susanchebet3298
    @susanchebet3298 Месяц назад +1

    Mm Zuu na Kai wameichekesha 😂😂😂😂😂

  • @user-vn6xi4tk2u
    @user-vn6xi4tk2u Месяц назад +3

    Kendi atateseka vibay san😂😂😂😂😂

  • @user-dp3fv2kh4l
    @user-dp3fv2kh4l Месяц назад

    Yani movie ndio yaanza yani utamu mpaka ndani ya roho busati tv nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @ignitiussilungwe7930
    @ignitiussilungwe7930 Месяц назад +7

    Assalam alaykumu walhama tullahiwa barakatuh! Mnahaligani vpenzi vyetu vya Busati TV? Nyihoazma? Kwakweli kilaku kicha Movie inazdi kunoga hongleni sana na Mungu akawe kalibu nanyii.
    Candy! Mungu akutetee maana faidayako anachukua uliee mwamini kamandugu yako anataka achane musamba aende Marcan!
    Kay! Uwongo mubaa muogope Mungu hamna cyaajali walacya baba wajali Zuu kashalia Bikla na Kay . yeyeka jiandaae kutoa Posaa kwabibi Zuu . mushakua muwili umja Asante🎉🎉❤❤

  • @SaquinaMinrage-m4o
    @SaquinaMinrage-m4o Месяц назад +1

    Jamni napenda maneno ya Kandi ❤

  • @user-jg5xb4kp6e
    @user-jg5xb4kp6e Месяц назад

    Hahaha cendi umengia cho chakike shem wako Ana taka kwenda marekani😂😂😂❤

  • @LighySteven-gd8wo
    @LighySteven-gd8wo Месяц назад +3

    Mi naisubiri sana ndoa ila bado jamn...ila kendy tayar naona ashatapeliwa na masozi na chisa kimemramba😂😂😂

    • @nurumwinyi796
      @nurumwinyi796 Месяц назад

      Masosi mwenyewe pia kawekwa square......yye na candy wake watajipanga cku sio nyngi😂😂

  • @CatherineJohn-co7lw
    @CatherineJohn-co7lw Месяц назад +3

    Wao unajua Tena ukimtaperi huyo kendi akili itamkaa vzr😂😂

  • @user-of8mb1zb1i
    @user-of8mb1zb1i Месяц назад +3

    New tajiri in town 😂😂😂😂nacheka km mazuri wallah

  • @masikamarcelline8140
    @masikamarcelline8140 Месяц назад +1

    Good😊

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he Месяц назад +6

    Kazi tamu

  • @user-uz3dx6io7l
    @user-uz3dx6io7l Месяц назад

    Hii muv jaman imefika pahali patamu sana mbarikiwe sana nimewapenda sana❤❤❤

  • @khayraatabdool2286
    @khayraatabdool2286 Месяц назад +1

    Wangapi tunaamini Zuu alivokutana na Kai itakuwa kapata ujauzito

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j Месяц назад

    Kai na zuu kai ameumia mbavi😂😂😂zuu mguu tena asisahau kukanda na maji ya moto kweli hii nikikubuka pia mimi mara ya kwanza nilivo shindwa kutembea we acha tu inaumiza kweli

  • @MR_RAMSATZ
    @MR_RAMSATZ Месяц назад +2

    oya japo kua nimechelewa lakini nawakubali sana team Kai tuendele kuisapoti hii ganga yetu jamani naikubali sana

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk Месяц назад +2

    Ehee Visa Hisome Mereni Chisa Umecheze Sana Achatuone Je Masosi Utambena Au Yeye Na Kend Watakiona Chamtamakuni 😂