Daaaah yaani hii movie inauzika kimataifa kabisa!! Nimeshawishi marafiki zangu kama wanne wote wanaifuatilia na wameipenda!! Hongereni sana team Busati
Kosa limeshafanyika basi wazazi wate mshirikiane zuu aolewe maisha yaendelee wakipata baraka naamini watafanikiwa maisha na nyumba inauzwa watu marekaniii patamu hapo😂😂😂
Kai na zuu kai ameumia mbavi😂😂😂zuu mguu tena asisahau kukanda na maji ya moto kweli hii nikikubuka pia mimi mara ya kwanza nilivo shindwa kutembea we acha tu inaumiza kweli
Waliopenda chisa anachokifanya gonga like hapaa👍👍
🎉🎉🎉
Nimependa sana🤭
Nimeipenda hiyo
Kendy kendy umeyakanya nikp pole
Kama umeiona jumapili njema ya leo yeye baraka tele gonga like ❤❤❤❤❤❤❤
Amin
@@user-qq6mv6vh3e ubarikiwe sana ❤️🥰
Yannn na mwonea macho candy maana 🎉🎉🎉
@@ViannaFransisco yaani
Aisee umuonee to but iyo nd dawa ya mtu mjinga siku zote wajinga nd waliwao😂😂
Wanaofikiria chisa na masozi watamgeuka candy tujuane
Huyo masozi pia ataachwa mataan😂
Jaman hiinyimbo ya mapenzi nzr kaimba nani
Kabxaa 😂😂😂😂😂😂 ajipange maan atakosa vyote
Daaaah yaani hii movie inauzika kimataifa kabisa!!
Nimeshawishi marafiki zangu kama wanne wote wanaifuatilia na wameipenda!!
Hongereni sana team Busati
Wenye wanaunga chsa mkono mko wapi jamani 😅😅😅
Jamani cjachelewa sana team zuli na team Kai mpo!? Naombeni like na mimi
Kuomba like tu kuoga aka
jamn huy Tasha anajifanya yeye ni magumu sana tunao Amin hakuna mkate mgumu mbele ya chai gonga like
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂hamna
Walikuwa wanaona chisa atawazunguka candy na masosi gonga like hapa 😅😅😅yule marekanii 😅😅😅
Wakome
Kabla sijaangalia yaan nilijua awezi kubadili maamuzi na pesa anatokomea nazo😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
😂 nlijua ii itakuja kutokea, candy kitamramba
Niliwaza toka mwanzo
Eeeeeeee nyie hii movie ni Kali uvumilivu umenishinda imenibidi tu niwaomb like hata 10 japo najuwa nawakosea
Haya ila ukumbuke na kuoga
Hahaaah@@user-zc1qh6ti2p
@@user-zc1qh6ti2pndoapo siyo kuomba like kuoga aaah😂😂😂😂😂 nimecheka kifala sana 😂😂😂😂😂
Kwa kweli kendi hana akili wenye wanakubaliana na mm tujuane kwa likes
Ni kwer kendi Hana hakil
Wanaoamini kwamba chisa atafaulu kui-uza nyumba nakuenda marekani gonga like hapa
Candy kapigwa na ktu kizto nyumba hana na mme hana 😂😂😂
𝐓𝐞𝐚𝐦 𝐳𝐮𝐮 𝐡𝐨𝐲𝐞𝐞𝐞𝐡
Oyeeeeeee🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌👌👌🏻👌🏻👌🏻💃💃💃💃💃💃💃💃
❤❤
❤❤❤🎉🎉
Tuko😅😅😅😅😅
Napenda hii familia ya mpumbavu mwenzangu 🎉
Mambo yanazidi kua moto napenda sana hii move
Kabisaa
mko vizuri sana busati tv chukueni maua yenu 🌺🌺🌺
Mbna bibi leo hna furah au amejua mjukuu ashatolewa usichana wake
@@HidayaAbdallah-l2l ashajua tyr asali imelambwa 😁💔
Candi utalia ww na chisa lazima awageuke TU , Na naona maisha ya Kai na zuu yatakuwa poa sana 🎉🎉
Candy Candy Candy nimekuita mara tatu umezulumiwa😂😂😂😂🎉🎉🎉
Kwa kweli Kai maelezo yko kwa bibi n mfano kumsukuma mlevi kwenye simo😂😂😂juu yy ashajua kila kitu,nawapenda snaa ❤big up sna mko fit
😅😅😅😅😅
Weekend inapaswa tuwe tunapewa hata vipande vinne
Umeongea point sana
Nikweli
Umeongea point mkubwa 👊
Iyo kweli kabisa
Kweli kabisa
Kila kipande nnachomuona mke wa Kiramba bs nafurah yaan nampenda nampenda nampenda huyu dada❤
Leo mi ndo mekuwa wa mwisho enewei like kwen bc wadau wanguu❤❤❤❤❤
Yaani chisa ana tamaa sana hadi watu alokua amepanga nao pia anataka kuwalaghai daah 😮😮
Ila bibi kashajua asali ishaingiliea🎉❤❤😂 much love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂
Kwani jamani like mwazipeleka wapi haya na mi nipewe nione hio raha😂😂😂
Aiseeeee hii sauti ya zuuh kumita kai jmn mnaiyonaje😂😂😂😂😂 wezangu
Hatareee
Yoooo chisa anawazunguka sana kenthi nirofa
❤❤❤ mambo mazuri maji ya kimwagika ayazoleko bibi amsamehe zuu awape baraka wafunge ndoa baba bibi awasamehee awape baraka
Jamani leo nimewahi ebu nipatie like zangu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kuomba like tu kuoga aka
Nakubal team kai na zuu
Jmn kai na zuu mmemdharirish baba 😂😂😂😂
Hongera sana Kai huyo mtoto mlee vizuri maana umeanza wewe zuu mshike kabisa usimachilie Kai hongerani sana ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Leo wa pili jamani naomba like 10
Sawa ila usisahau kuoga
Wakwanza leo mimi nipeni like
Kai unalo 😂😂
Watazamaji wa hii movie weka like kwa wingi🎉🎉🎉
Pia Faraja ya Hii move wallah ni pambe kweli kwl🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌👌👌👌👌
Ewooo chisa namarecani tena candy kapigwa na kitu kizito kiburi chote kitamwishia mda si mrefu 😂😂😂
Umeonaee nimechka kabla movie kuisha wallah
Candy tufiakwa😂😂😂😂wacha kikurambe
Nakwambia kitamramba
Candy kitamramba weee subiri na uoneee@@HidayaMbodze
Ngoja hajauona kitu 😂😂
Wa pili mm leo jameni😂😂😂 like tano tu nitashimba nayo😢😢😢
Waaah 😂😂😂 aibu naona mm ches
😂😂😂
Yaan mtu akiomb like mna mwambia atoe maoni like hazisaidii na akitoa maoni hamumpi like 😢
😂😂😂 Kai bibi kajua kila kitu tyr 😂😂😂
🤣🤣
Bibi ana darubini utamwambia nini😂😂😂
@@aishahamis1609 apo ss yy ashajua tw alivyo waona na aata venye anajitetea uyo Kai bibi anajua tw anamuongopea 🤣
@@busatitv 🤣🤣🤣
Ndan ya penzi la dada wa kazi ❤❤🎉🎉njoon kit hewan
Hahaha hahaha bibi zuuh hanajuwa kapeyana hasali 😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉Bibi hila usijali Kai haezi lala Bila kuonza hasali
Leo nmewhi nipeni like hata moja tyu
ila nae masoz na iyo saut inaniboa😂😂😂😂😂😂😂 mbaya ataliiii kama chura kameza panz😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Nikajua mi peke angu ndo inaniboa kumbe ni wengi😂😂😂
c mlevi😂😂😂😂
@@NasibuAlly-wb9uv Duh!
Kaz nzur jmn na inatufundisha jmn 👏👏👏
Leo nimekua WA Kwanza nawpendasan❤❤❤❤
Mungu awabariki wote mnafuatilia house girl 🙏
Mpumbavu Mwenzangu Na wapenda sana Vraiment 😂😂
mashaallah kipindi kikonamafudzo kwelu🎉🎉🎉
Mzee kumbe kachukia zuu kuumizwa😲🤗🤗🤗🫢😁😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Teamu zuu mnipee habari vip bb hawezi jua
Nimewahi jaman laik kidogo
He jamani nimekua wà 31nipen like leo
Candy kimemramba nyumba yaenda 😂
😂😂 nilijuat candy kitamkuta kit kizitomisomisond amepigaje hapa😂😂😂😂
Wakwanza like jaman
Kosa limeshafanyika basi wazazi wate mshirikiane zuu aolewe maisha yaendelee wakipata baraka naamini watafanikiwa maisha na nyumba inauzwa watu marekaniii patamu hapo😂😂😂
Huyu Mzee nae vp kusikilza mikito ya mkwe wake zuu 😂
😂😂😂na Mimi nimefikilia hivyo
Watu wa marekani mko wapi ama hamtaki kwenda 😂😂😂😂candy uko wapi
Jamani sjawai comment tangu hii movie ianze,ila leo nmefurahi,wapi like za zuu na kai😅😅😅 bodaboda kila siku n wao tu
😂😂😂😂mm kama bibi😅haiya weh enda🤣🤣
Chisa nitaweza nika furai sana haki bini zuu amelisha tambua 😂😂😂
Wa kwanza jameni munipe like 10
Hahah aisee ndugu zangu mmeuwa kazi nzuri saana jmn jmn eeeeee
Nilikuwa najuwa ivo chosi ata wazunguka candy na ma sozi , ya’ naipenda iyo 🎉🎉🎉🎉❤😂😂😂
Whuwiii chisaa anaenda kumpiga cand kitu kizito whuwiii
Ila Kai mchokozi ww umefanyaje zuu😂😅😅
Wote waliowahi sema nami nimo😂😂😂
😂😂😂😂😂uko ndani
Waooooo chisa umeuwa😂😂😂😂
Kandi anatapeliwa nyumba jamani duu kimemlamba kandi
😂😂😂😂akule kiburi😊
Kazi nzur ❤❤❤
Hy familia ya mpumbavu mwenzangu ni nzuri kwl wanaume wote mngekua hv tungelilia ndoa wengi
Zuu na Kai mmemuona Bibi ni mjinga Hana akili eeh naona anawazoom tu na uongo wenu 😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤
Boda boda which 😂😂😂 bodaboda were bodada whom 😅😅😅
Pole sana zuu mtalalaje jinsia mbili tofauti kwenye chumba kimoja na sio ndgu
bwana chisa amekua tsajiri ....uyooooo marekani🤣🤣🤣🤣much love from Kenya 🇰🇪
🤣🤣🤣🤣
Kai na zuu actually you both are vibes 😂😂😂😂 u made me love at the gate holding zuu kai 😂😂😂😂
Msichokijua huyo bibi hadanganyiki😂😂😂
Eishy kai😂😂😂just wow this is the really love story na iko interesting ❤❤❤love you guys bila kusahau wapumbafu wenzangu
Jamani kila siku nachelewa ebu leo muniachie likes mashabiki wenzangu
Kilamba 😂😂hongera
Candy shikamooooo nmeamini mkemjinga uvunja ndoayake kwa mikono yake mwnywe
😂😂😂@@maysaghjii5058
@mays😂😂😂aghjii5058
Jicho la bibi zuuu😢ashagundua
Wenye mwaunga candy atapoteza kila kitu gonna like hapa
🎉🎉 candy anageukwaaa huyo
Kai Kwa hapo ulikosea kaka😢ungeifatilia taratibu ndio muoane na Zuu lkn yote Kwa yote hope Bibi ataridhika na kuwasamehe
Candy kfanyiwa bonge la suprise i say😂😂yote hya ni malipo alivyokua akimtesa zuu
Umeona eeeh
@@busatitv ndio
Utapeli upooo😂😂😂😂kashabigwa tukiyo😢😢😂😂😂
Mm Zuu na Kai wameichekesha 😂😂😂😂😂
Kendi atateseka vibay san😂😂😂😂😂
Yani movie ndio yaanza yani utamu mpaka ndani ya roho busati tv nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉❤❤
Assalam alaykumu walhama tullahiwa barakatuh! Mnahaligani vpenzi vyetu vya Busati TV? Nyihoazma? Kwakweli kilaku kicha Movie inazdi kunoga hongleni sana na Mungu akawe kalibu nanyii.
Candy! Mungu akutetee maana faidayako anachukua uliee mwamini kamandugu yako anataka achane musamba aende Marcan!
Kay! Uwongo mubaa muogope Mungu hamna cyaajali walacya baba wajali Zuu kashalia Bikla na Kay . yeyeka jiandaae kutoa Posaa kwabibi Zuu . mushakua muwili umja Asante🎉🎉❤❤
Jamni napenda maneno ya Kandi ❤
Hahaha cendi umengia cho chakike shem wako Ana taka kwenda marekani😂😂😂❤
Mi naisubiri sana ndoa ila bado jamn...ila kendy tayar naona ashatapeliwa na masozi na chisa kimemramba😂😂😂
Masosi mwenyewe pia kawekwa square......yye na candy wake watajipanga cku sio nyngi😂😂
Wao unajua Tena ukimtaperi huyo kendi akili itamkaa vzr😂😂
New tajiri in town 😂😂😂😂nacheka km mazuri wallah
Good😊
Kazi tamu
Hii muv jaman imefika pahali patamu sana mbarikiwe sana nimewapenda sana❤❤❤
Wangapi tunaamini Zuu alivokutana na Kai itakuwa kapata ujauzito
Kai na zuu kai ameumia mbavi😂😂😂zuu mguu tena asisahau kukanda na maji ya moto kweli hii nikikubuka pia mimi mara ya kwanza nilivo shindwa kutembea we acha tu inaumiza kweli
oya japo kua nimechelewa lakini nawakubali sana team Kai tuendele kuisapoti hii ganga yetu jamani naikubali sana
Ehee Visa Hisome Mereni Chisa Umecheze Sana Achatuone Je Masosi Utambena Au Yeye Na Kend Watakiona Chamtamakuni 😂