SONG:SAYUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024
  • Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz. Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
    Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
    Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupako_tz.

Комментарии • 63

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 Год назад +2

    MUNGU akumbuke kazi zako

  • @calvinchaula5941
    @calvinchaula5941 8 месяцев назад +1

    I like this song❤❤

  • @egason2591
    @egason2591 5 лет назад +5

    SIJAWAHI KUFIKA KANISANI KWAKE WALA KUMUONA KWA MACHO LAKINI MZEE WA UPAKO NDIO MCHUNGAJI WANGU TANGU 2013 SIKOSI VIPINDI VYAKE..MUNGU MTUNZE MCHUNGAJI WANGU

  • @lwitikoasa6899
    @lwitikoasa6899 Год назад

    Uyu Mzee ananguvu ya MUNGU sana na hekima kubwa

  • @danielpatrickrobert125
    @danielpatrickrobert125 5 лет назад +8

    Nyimbo zenu nzuri ,wekeni zote aise....Mutengeneze CD tutanunua

    • @maureenmusa8292
      @maureenmusa8292 5 лет назад

      Nikweli maana ni nyimbo ambayo nikiisikiliza sayuni sayhni ninabalikiwa sana

  • @leonceprosper389
    @leonceprosper389 5 лет назад +3

    Amen barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @kambiyusufu5217
    @kambiyusufu5217 5 лет назад +4

    Nakupenda sana mzee wa upako waga nikiskia tu sauti yako moyowangu unatulia sana yani

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim5884 3 года назад +1

    Mzee wa upako , ninakukubali sana , Mungu akubariki sana ........uendelee kutumika katika shamba la Bwana

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 Год назад +1

    MUNGU akuinue akutie nguvu Mtumishi wa Mungu 🙏🙏💪

  • @ainonlinetv8863
    @ainonlinetv8863 5 лет назад +2

    Jaman naitafta Kwa Imani mbona hamuilushiiii???

  • @visentimofoeli328
    @visentimofoeli328 2 года назад

    mkovizul kwa nyimbo

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 2 года назад

    napenda hii🙇🙇🙇

  • @emeliahenry5765
    @emeliahenry5765 2 года назад

    Sayuni nickia huu mwimbo moyo wangu unafarijika Sanaa ubarikiwe mchungaji Mungu akuweke daima

  • @gwamakamartin7090
    @gwamakamartin7090 4 года назад +2

    Daaah yani nikisikilizaga nyimbo za huyu mchungaji radha inatokea moyoni yaaani......hadi na sinzia
    #zina bariki saaaaana....

  • @johnfrancis1826
    @johnfrancis1826 2 года назад +1

    nyimbo zako ni hatare

  • @subiranganyagwa8274
    @subiranganyagwa8274 5 лет назад +1

    Naupenda sana huu wimbo

  • @gemamwakyusa6100
    @gemamwakyusa6100 Год назад

    Oooh Sayuni! Asante Mungu kwa uvuvio wa wimbo huu! Hallellujah

  • @sosthenessnyagabona6057
    @sosthenessnyagabona6057 3 года назад +1

    Na barikiwe sana na mzee wa upako

  • @abuumwichumu5520
    @abuumwichumu5520 2 года назад

    Sayuni , bado tuko pamoja tunapata tulizo la moyo kwa nyimbo zako mtumish

  • @floramigamba8911
    @floramigamba8911 5 лет назад +1

    Oooh sayuni ...mungu ni mwema na anatuwazia mema

  • @isaacsamwelsamwel1957
    @isaacsamwelsamwel1957 5 лет назад +1

    Huu wimbo ni mzuri naupenda sana sana

  • @juliusnyonyi7394
    @juliusnyonyi7394 4 года назад

    Twendeni pamoja wanafunzi wa Yesu tusikate tamaa Mwaka 2020 tuendelee kuhubiri Injili watu wazidi kuokoka

  • @novatuskalafya7048
    @novatuskalafya7048 2 года назад

    Nampenda sana mzee wa upako akiimba naelewa sana,Mungu akubariki

  • @edickot.mfyagisa4797
    @edickot.mfyagisa4797 2 года назад

    Ameeee Ubalikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 5 лет назад +2

    Naupenda sana huu wimbo nilikuwa nautafuta mda mrefu..... Asanteni na mungu awabariki watanzania wenzangu

  • @bampirenema9871
    @bampirenema9871 Год назад

    Amen amen

  • @felixpius3415
    @felixpius3415 5 лет назад +1

    Amen baba yangu nabarikiwa sana kusikia sauti yako

  • @josphatjobu9229
    @josphatjobu9229 5 лет назад +1

    Naipendasana hii !!
    Super charg endelea kua hivo hivo
    Maana hali ya baba ndio nawatoto hua hivohivo . Ameèn kubwaaaaa !!🙋🙏

  • @renatusmsafiri-nv9tl
    @renatusmsafiri-nv9tl Год назад

    Wimbo mzuri sana mbarikiwe

  • @Igwetz
    @Igwetz 3 года назад +1

    Nice song God bless More.🙏🙏🙏

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 Год назад

    Wimbo mzuri sana🙏♥️

  • @mawazomgassa6400
    @mawazomgassa6400 5 лет назад

    Mzee wa upako wewe pekee ndo mchungaji ninayeweza kukaa na kusikiliza maubiri yako ata siku nzima bila kuyachoka
    MUNGU AKUBARIKI SANA

  • @aishaseleselemani8992
    @aishaseleselemani8992 3 года назад

    Amina napenda Sana huu wimbo

  • @jamesedson7135
    @jamesedson7135 5 лет назад

    Mzee wa upako Mungu akutunze! nyimbo zako zinaonesha usahihi wa nyimbo za Mungu

  • @zawardwilbard1768
    @zawardwilbard1768 4 года назад

    MUNGU wa mbinguni awabarik san kwa kaz nzuri na wimbo mzuri

  • @uvccmbagamoyo2555
    @uvccmbagamoyo2555 2 года назад

    Mbarikiwe Sana watumishi wa Mungu kwa nyimbo nzuri yenye upako

    • @sundayyohana8527
      @sundayyohana8527 Год назад

      ubarikiwe mtumishi kupitia nyimbo zako mahubili yako mafundisho yako tunabarikiwa sana sana mungu akupe maisha malefu tuendelee kupata huduma yako

  • @humphreyswai1458
    @humphreyswai1458 3 года назад +1

    Ameni

  • @anoldsadick7730
    @anoldsadick7730 3 года назад

    Mungu Ni mwema 🙏🏼

  • @dicksonkalembo2376
    @dicksonkalembo2376 5 лет назад

    Bado tunasonga..... Sayuni mahali pa maitiko ya roho.....

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 5 лет назад

    @Mzee wa Upako natamani kupata nyimbo zako zote,zinanibariki sana sana

  • @timothkolowa2207
    @timothkolowa2207 2 года назад

    Mungu akubariki

  • @okoafungo338
    @okoafungo338 5 лет назад +1

    Ubarikiwe baba

  • @amosijosaphati4921
    @amosijosaphati4921 3 года назад

    kazi nzuri

  • @nicolelusekelo8329
    @nicolelusekelo8329 4 года назад

    Mji wa ibada sayuni 👼👼👼

  • @EvelyneChacha9
    @EvelyneChacha9 2 года назад

    How I love Tanzania

  • @Philipoupdates
    @Philipoupdates 5 лет назад +2

    Amen

  • @flavianmjuni8141
    @flavianmjuni8141 4 года назад

    Ubarikiwe sana kwa wimbo huu

  • @georgechosen2346
    @georgechosen2346 5 лет назад +1

    Naupenda Sana huo wimbo God bless you baba!!

  • @boscomuyinga2188
    @boscomuyinga2188 4 года назад

    SAYUNI MJI WA IBADA

  • @davidjbnyaonge3982
    @davidjbnyaonge3982 5 лет назад

    MUNGU Azidi kukutumia

  • @leyabdala994
    @leyabdala994 5 лет назад

    Hakika wimbo umetulia Sana Kiupako

  • @otavinamsigala7004
    @otavinamsigala7004 4 года назад

    Sayuni sayuni

  • @petronjowela369
    @petronjowela369 4 года назад

    mji WA MUNGU

  • @egason2591
    @egason2591 5 лет назад

    HUU WIMBO NI IBADA TOSHA