SONG:SAYUNI
HTML-код
- Опубликовано: 6 окт 2024
- Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz. Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupako_tz.
MUNGU akumbuke kazi zako
Amina
I like this song❤❤
SIJAWAHI KUFIKA KANISANI KWAKE WALA KUMUONA KWA MACHO LAKINI MZEE WA UPAKO NDIO MCHUNGAJI WANGU TANGU 2013 SIKOSI VIPINDI VYAKE..MUNGU MTUNZE MCHUNGAJI WANGU
Uyu Mzee ananguvu ya MUNGU sana na hekima kubwa
Nyimbo zenu nzuri ,wekeni zote aise....Mutengeneze CD tutanunua
Nikweli maana ni nyimbo ambayo nikiisikiliza sayuni sayhni ninabalikiwa sana
Amen barikiwa mtumishi wa Mungu
Nakupenda sana mzee wa upako waga nikiskia tu sauti yako moyowangu unatulia sana yani
Mzee wa upako , ninakukubali sana , Mungu akubariki sana ........uendelee kutumika katika shamba la Bwana
MUNGU akuinue akutie nguvu Mtumishi wa Mungu 🙏🙏💪
Jaman naitafta Kwa Imani mbona hamuilushiiii???
mkovizul kwa nyimbo
napenda hii🙇🙇🙇
Sayuni nickia huu mwimbo moyo wangu unafarijika Sanaa ubarikiwe mchungaji Mungu akuweke daima
Daaah yani nikisikilizaga nyimbo za huyu mchungaji radha inatokea moyoni yaaani......hadi na sinzia
#zina bariki saaaaana....
Ameni
nyimbo zako ni hatare
Naupenda sana huu wimbo
Oooh Sayuni! Asante Mungu kwa uvuvio wa wimbo huu! Hallellujah
Na barikiwe sana na mzee wa upako
Sayuni , bado tuko pamoja tunapata tulizo la moyo kwa nyimbo zako mtumish
Oooh sayuni ...mungu ni mwema na anatuwazia mema
Huu wimbo ni mzuri naupenda sana sana
Twendeni pamoja wanafunzi wa Yesu tusikate tamaa Mwaka 2020 tuendelee kuhubiri Injili watu wazidi kuokoka
Nampenda sana mzee wa upako akiimba naelewa sana,Mungu akubariki
Ameeee Ubalikiwe Mtumishi wa Mungu
Naupenda sana huu wimbo nilikuwa nautafuta mda mrefu..... Asanteni na mungu awabariki watanzania wenzangu
amina
Sante Sana mungu azidi kukutumia kwa upako wa juuu
Wimbo huu ni mzuri sana, mungu akubariki mzee wa upako
Ubalikiwe baba kwa wimbo mzuli sana
Amen amen
Amen baba yangu nabarikiwa sana kusikia sauti yako
Naipendasana hii !!
Super charg endelea kua hivo hivo
Maana hali ya baba ndio nawatoto hua hivohivo . Ameèn kubwaaaaa !!🙋🙏
Wimbo mzuri sana mbarikiwe
Nice song God bless More.🙏🙏🙏
Wimbo mzuri sana🙏♥️
Mzee wa upako wewe pekee ndo mchungaji ninayeweza kukaa na kusikiliza maubiri yako ata siku nzima bila kuyachoka
MUNGU AKUBARIKI SANA
Amina napenda Sana huu wimbo
Mzee wa upako Mungu akutunze! nyimbo zako zinaonesha usahihi wa nyimbo za Mungu
MUNGU wa mbinguni awabarik san kwa kaz nzuri na wimbo mzuri
Mbarikiwe Sana watumishi wa Mungu kwa nyimbo nzuri yenye upako
ubarikiwe mtumishi kupitia nyimbo zako mahubili yako mafundisho yako tunabarikiwa sana sana mungu akupe maisha malefu tuendelee kupata huduma yako
Ameni
Mungu Ni mwema 🙏🏼
Bado tunasonga..... Sayuni mahali pa maitiko ya roho.....
@Mzee wa Upako natamani kupata nyimbo zako zote,zinanibariki sana sana
Mungu akubariki
Ubarikiwe baba
kazi nzuri
Mji wa ibada sayuni 👼👼👼
How I love Tanzania
Amen
Ubarikiwe sana kwa wimbo huu
Naupenda Sana huo wimbo God bless you baba!!
Nimeupenda sana
SAYUNI MJI WA IBADA
MUNGU Azidi kukutumia
Hakika wimbo umetulia Sana Kiupako
Sayuni sayuni
mji WA MUNGU
HUU WIMBO NI IBADA TOSHA