Me Biba e a Asma são melhores actores,sou moçambicano de cabo delgado,mas sou fã desses tanzanianos, ou melhor,sou fã desses actores tanzanianos, meus parabéns.
Waigizaji Msipende kuiga vitu ambavyo haviendani na hitajio la Tamthilia....Nini Maana ya kuto sauti.....wenzenu hufanya kwa kipande kifupi sana cha sekunde...na mana yake utaipata mbele....nyie heeee...??!!!!!
Imani na nguvu za mungu umueka mtu huru,asante sana babu kidume cha kijiji pamoja na mjukuu wako Rita.
Me Biba e a Asma são melhores actores,sou moçambicano de cabo delgado,mas sou fã desses tanzanianos, ou melhor,sou fã desses actores tanzanianos, meus parabéns.
Mariam unaweza udugu Wang mungu akubariki katika kazi yako
Kuna mafunzo meng sana ndan ya filam hii, hongeren sana.
Asante Kwa kuokoka mzee kindume
Daar asanten kwa move nzur mungu awasaidie
Mazingira yak pow so ile bit ndiy inabow I'll mpo vizuri
Pwahahaaa Ati ndizi na maparachichi aah wee Mzee weee nimecheka yangu yote
Kaaaaaaa babu noma eti nimalizie naww
ndizi na maparachichi😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮 jaman huyu bàbu100%
Muko godi kabisa dah na mm ninaweza kupata nafasi ya kujiunga na kikundi hicho Mana na mm najuwa kuigiza
Tena akome akomaeeh kweli🤣🤣🤣🤣🤣aende kwa mama yake😁😁😁
Nimempenda sana huyu binti Asma na binti Ngoma
😂😂😂😂😂😂 babuu umevunja rekodi aky
Na mm naomben nafasi ya kuigiza
Kwa ni huyu mzee ana madawa ya kushawishi wasichana simuelewi
Movie smart sana napenda kufatilia hii team inavyo act,, wanaact vizuri sana na kimaisha halisia ya sasa. Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ry5y
😂😂😂😂Asifunge məkanda ama zipu duuuh 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kime umana duuh🤭🤭🤭🤭
🤣🤣🤣🤣🤣et ndiz na marachichi
Mtu na babu yake wakutan
Muve Zur San + Lushoto hiy
Yaan movie zote saut tatizo mnanini lakin
Munaigiza fresh lakini maelezo malefu mno Hadi tunachoka kusubilia
Ila movie Kama hizi huwa sipendi mnavyokata sauti
Sina uhakika ila kama huku sio kwetu sambaani lushoto ni bahat sana kunu naghamba ni lushoto du hata muemee
Yeah iyo ni Lushoto
MUNGU aibariki kazi ya mikono yenu.
Sasa move gani hii inaanza hata sauti haipo nn mbaya na nyinyi kila mara ndoo hivoshida haswa ni nn?
Ninacho kishangaa kuna maneno mengine hayasikiki nasikia biti 2
Mhhhh
Noma san
Mko vzuri aise
NATAMANI KUJUA HAYA MAZINGIRA NI WAPI
Ni pazuri sanaaa
je naweza pata kiwanja huko lushoto?
Hata mmezidi ayiii kila mara ni sauti hakuna hamjui SS tuna follow move??
Mazingira ya lushoto vijijini
Waigizaji Msipende kuiga vitu ambavyo haviendani na hitajio la Tamthilia....Nini Maana ya kuto sauti.....wenzenu hufanya kwa kipande kifupi sana cha sekunde...na mana yake utaipata mbele....nyie heeee...??!!!!!
Mov zenu nimzuri hata mazinhira yake ya kijijini ikop
YANAGUSA KWELI HAYO
Sauti jameni hakuna
Mko vizuliiiii ila vinanda vingiii
🔥🔥🔥
Kwetu kaya😂👌
Mchukuwaaji shooting hodar .rangi sauti balance .
Subira nababu yke😅
Nenda ukakutane nawazee wa vilainishi
Kimarosafisana
Mukovizur
. .. .
Mnanikosha
XXX
Jamani maeneo mazuri sana huko niwapi!!?
Muni ungeni n'a mm😊😊😊
Huko ni lushoto tanga milima ya usambara
Lushoto
Kumbe kuna kakangu uku🤗🤗
@@salmarashid3492 maashallah dadake mie
Aaaa
Mhhh