Imekuwa cku njema kwangu nyimbo imetoka Leo mwamba akiwa kwetu mwakitoryo no 5 ,ko Ngoja nijiandaee kwenda kuishudia live song la NZUNA WANE, HONGERA BRO BMS.
Bhudagala miongoni mwa wengi walio washabiki na wadau wako wanaokukubali mimi huwez kunitoa, mungu aendelee kujalia kazi ya mikono yako bro piga kazi nasi tuko nyuma yako kwa surpot.
Ndo mana wasukuma tukakwita king 👑 of traditional songs jina halikuja tu butebure hujawah poa miaka yote wa moto tu hii nayo kali nyingine pamoja sana 🎉🎉🎉🎉
Moto 🔥 ni ule ule punguza mwendo tuwaone na watoto wanasemaje maana kwa sipindi hii watakosa la kusema waachie japo miezi mi 3 uone wanasemaje kisha uje uwafungie mwaka mfalme budagala 👑 kingi wa kisukuma
Asante kaka bhudagala kwa kazi zako zenye mafundisho Ama kweli wewe ni kioo cha jamii na hakuna shoo yako mbaya yaani kiukweli Bhudagala ni legendary wa Kisukuma music
Waambie Kaka yangu make hawana shukurani binadam ila najua hawatasonga najua tabu tupu pia kuwa making na wanadam Kaka make hawana zul Salam sana my buradha
Kwa niaba ya watu wangu hapa ughaibuni, tafadhali Bhudagala nakuomba uweke ngoma yako ya @Bhujingi wanilabhula. Pls and pls kama uliifuta iyo nyimbo uirudie pls
@@bhudagalamwanamalonja9582 we jamaa bac tu, kiukweli mziki wa kisukuma umeukuta chini sana enzi za Malingita, ukaupambania na kuufikisha hapa ulipo leo. Hakika wewe ni mfalme wa #SukumaMusicKingdom. Chukua maua yako kaka. One day nikirudi ntakutafuta
Mwalimu Bora Kwenye Jamii 🙏 Tanzania tunajivunia wepo wako Wasukuma Wenzangu Tujuane Sasa
Imekuwa cku njema kwangu nyimbo imetoka Leo mwamba akiwa kwetu mwakitoryo no 5 ,ko Ngoja nijiandaee kwenda kuishudia live song la NZUNA WANE, HONGERA BRO BMS.
Bhudagala miongoni mwa wengi walio washabiki na wadau wako wanaokukubali mimi huwez kunitoa, mungu aendelee kujalia kazi ya mikono yako bro piga kazi nasi tuko nyuma yako kwa surpot.
🔥🔥
Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu big up sana mwana kang'wa
Ndo mana wasukuma tukakwita king 👑 of traditional songs jina halikuja tu butebure hujawah poa miaka yote wa moto tu hii nayo kali nyingine pamoja sana 🎉🎉🎉🎉
Tulikwelelwa gete mungu akulinde wendelee kulanga kubitila mimbo gako
Moto 🔥 ni ule ule punguza mwendo tuwaone na watoto wanasemaje maana kwa sipindi hii watakosa la kusema waachie japo miezi mi 3 uone wanasemaje kisha uje uwafungie mwaka mfalme budagala 👑 kingi wa kisukuma
Asante kaka bhudagala kwa kazi zako zenye mafundisho Ama kweli wewe ni kioo cha jamii na hakuna shoo yako mbaya yaani kiukweli Bhudagala ni legendary wa Kisukuma music
Nakukubali sna kaka yani kwenye asili ni wewe na bahat bugalama basi
Bhudagala heshima kwako bro mungu akuzidishie
Nakubali kaka nimeerewa sana nyimbo iyo mm madaha salala mwanza
Hongera bro karbu ulowa nasi tutazame ngoma kali
Huu wimbo unatukumbusha Wana ndugu kuwa kitu kimoja bigapu Sanaa mwalim wa wasanii wa nyimbo za kisuma wasukuma tunajivunia kuwa na msanii kama wewe
❤❤❤❤napenda Sana nyimbo zako
Hapo brother bhudagala umetoboa all the way from somalia
Kaka angu kipenzi mungu abariki kazi za mikono yako na akujalie ufike mbali sana
❤❤❤❤❤❤safi saana kaka nmeipenda
🎉🎉🎉chukua maua yako meamba wetu
🙏🥰👍😍🔥🔥🔥tupo pamoja Kaka yetu
Mwalim wa asili Africa kaza mwendo
Hongera sana kaka bhudagala
Brother big up xana
Hatari sana
Ubulya mnumba 😂😂😂😂
Kaz nzur kk mung akusaidie
Nyimbo Kali sasa brother🎉❤😊
Bigger up Sana
Good music for bhudagala
Pamoja Sana mwana maronja
Waambie Kaka yangu make hawana shukurani binadam ila najua hawatasonga najua tabu tupu pia kuwa making na wanadam Kaka make hawana zul Salam sana my buradha
Safi sana omwamalonja
Sanaaaaaa🎉🎉🎉
Kazi kubwa sana
Hakuna wakishindana na wew
Kazi nzr
Kaka hakika wewe ni kioo kwa wasanii wote wa kisukuma na ndo maana hata kama anaanza leo anatamani kuwa kama wewe
Kazi kazi na kazi iendelee
Kaka uko vzr sana
k😍😍😍
Nipo morogoro ila huyu mwamba ni fundi wa Ngoma za asili
Kweli kabisa kazi ñzuli sana
Nagozunije nkolo wane bhudagala emilemo yako misomba gete
Hapo nimekubali
Hogera Sana kaka
nakukubali broo
Kaka unae jua music na ni music za kufundishaaa jaminiiii ng'wana makolo
Hongera kaka
B. Ww namba moja
Pamoja kaka ❤
Piga kaz wa ng'wa sugha
Watakusema lakini hauchuji kijana wangu
BMS motooooooooo
bhudagala umepigeje apo
Mpka wasemee
Uko vizuri kaka yani napenda sana nyimbo za kinyumbani jamani tupendane wapendwa
Namajungu tunaiomba
Lilisebusaana okohohonoka amakono
Naipata nikiwa itilima simiyu
Hongera sana kiongozi wewe Kimping wa wasukuma,karibu sana Kahama tumekumis Mwime
Legend
bado tupo pamoja ssna
Mwanaume ni mwanaume tu #bhudagala ukiamua nyimbo moja tu wanakaa
Nakubali sana Ng'wana Makolo,, karibu Dar es salaam
NOumaaaas Sana hapo sielewi nyinbo mzima lakin mdundo nakaa nyimbi zako nyingi ninazo nainjoy Sana wasukumaaaaa oyeeeeeeee
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯
Ikanzalenge ulinichanganya nkulu wane
Alibhuli nkoi
Iko vizuri,,,,,
Kidaganda tunakuomba uje tena,,,🎉
Mungu akujalie maisha malefu tasinia ya muziki wa asili isife hongera sanaaaaaaaaaaas
Kaka endelea kufundisha ulimwengu hatuna msanii mwingine mwenye ubunifu kama wako bigapu kwako kazi nzuri sana
Good🎉🎉🎉🎉
safi sanaa, Ngoma inafundisha na kuchezeka kwa uzuri
Nitumie bac kaka nyimbo ya recho
Kaka unatixha xana broo
❤❤❤ pamoja san bos wa nyimbo za jandi kaz nzuri san❤❤
❤
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kalb nyumbn nyangokolwa
🎉🎉❤❤
Unyama
Kaz nzr saaana brother yang mwanamalonja
❤❤❤❤❤
Pamoja kaka
Piga kazi mzee mungu akutangulie ❤
Bhudagala pamoja na umri kwenda bado ww ni mwamba
👊👊👊👊🙏🙏🙏🙏🙏
sana
Daaah aya bana kazi nzuri
Safi
Karibu kigoma mwalim wa jadi zetu
asili yetu inatamba Sana nimeipokea nyimbo nikiwa dar es salaam
bhudagala ww namba moja
Nice song bro bhudagala
Nimependa kutukagee ♥️
Kisima
2024
Nice
Hii kaz ni konk dir_mato
Oya
Nimelipata goma nikiwa dar es salaam tanzania
Kwa niaba ya watu wangu hapa ughaibuni, tafadhali Bhudagala nakuomba uweke ngoma yako ya @Bhujingi wanilabhula. Pls and pls kama uliifuta iyo nyimbo uirudie pls
Sawa ndugu yangu
@@bhudagalamwanamalonja9582 we jamaa bac tu, kiukweli mziki wa kisukuma umeukuta chini sana enzi za Malingita, ukaupambania na kuufikisha hapa ulipo leo. Hakika wewe ni mfalme wa #SukumaMusicKingdom. Chukua maua yako kaka. One day nikirudi ntakutafuta
Mfalme budagala hakuna kama wewe labda uwafundishe wawe kama wewe
SIMON DANGER is 🔥🔥🔥🔥