Bhudagala mwanamalonja _innaga mp4

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 132

  • @user-bp9uo3zq4k
    @user-bp9uo3zq4k 6 месяцев назад +6

    Ngoma nzur my brother from dar pande za chamazi

  • @user-sm2bw7dg8r
    @user-sm2bw7dg8r 4 месяца назад +1

    kaka your the king of them akiwemo chizi wa ndagalu

  • @AmanPascal-ws7nn
    @AmanPascal-ws7nn 6 месяцев назад +7

    Nyimbo safi San wasukuma tujuane nipen like zangu

  • @MsobiAmos
    @MsobiAmos 6 месяцев назад +2

    Kaka unajuwa kuelimisha Sana Mungu aendelee kukuweka huna baya kabisa tunakuombea kila ukicha Asante Kwa nyimbo zuri❤️❤️❤️

  • @ImmanueliSitta
    @ImmanueliSitta Месяц назад +1

    Nimekumbuka hom brother mim nipo Zanzibar natamaan hm kwamda huu hatar nyimbo Zur sana inausia mzur mno

  • @MachoMacho-vu6xj
    @MachoMacho-vu6xj 3 месяца назад

    Ngoma yenyekujenga sana dah"" good job my brother toka pande za moshi town

  • @martinemaganga5253
    @martinemaganga5253 6 месяцев назад +3

    Daaaaaa,naisikiliza hii nikiwa wilaya ya kondoa mkoa wa Dodoma, hongera sana bhudagala kwani nyimbo zako huwa hazina matusi kabisa hivyo endelea kutupa raha,na unatakiwa ufahamu kuwa nyimbo zako zinasikilizwa mpaka nje ya Tanzania.

  • @josephchikongoye2812
    @josephchikongoye2812 6 месяцев назад

    Hongera mwanangu Budhagala, piga kazi

  • @MussaMolani
    @MussaMolani 6 месяцев назад +1

    Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu

  • @patriceeliasspatriceeliass7424
    @patriceeliasspatriceeliass7424 6 месяцев назад +1

    oyeeee hongela sana budagala endelea kutoa ujumbe kwa wadogo zako uko sawa wanwise

  • @JoshuaShambuli
    @JoshuaShambuli 27 дней назад

    Nakubari pande za mbeya elimisha kama kioo cha jamii wambie

  • @MasanjaSamweli-b3r
    @MasanjaSamweli-b3r 6 месяцев назад +5

    Safiii sana bms

  • @nelemimbasando.ibhesh.9105
    @nelemimbasando.ibhesh.9105 6 месяцев назад +2

    Fundisha jamiii braza tuko pamoja welcome majimoto 🔥🔥🔥🔊🔊🔊

    • @mageletz
      @mageletz 6 месяцев назад

      kahayaga kati zaga, kakwiza kapye 🤣🤣🤣

  • @sukumatv8564
    @sukumatv8564 6 месяцев назад +6

    Nyimbo nzuri

  • @kisulafabian4350
    @kisulafabian4350 6 месяцев назад +1

    KISULA PHABIAN MNYETI
    Budagala vzr sana shule zinasaidia uzr na shule ulipita ndo maana unatoa vyuma bomba

  • @DaudLazaro-n2c
    @DaudLazaro-n2c 3 месяца назад

    daah hii ngoma imegusaa hisia nyingi Kwa upande wa wafatiliajii wa nyimbo za asiri, ujumbe umefika

  • @MasanjaSamweli-b3r
    @MasanjaSamweli-b3r 6 месяцев назад +1

    Mfalme wisee hongeraa san

  • @JoycerobertRobert
    @JoycerobertRobert 6 месяцев назад

    Kaka nakukumbal sana ❤❤❤❤❤

  • @ngasasospeter6899
    @ngasasospeter6899 6 месяцев назад +3

    Mmeniwahi na leoo duuuh, lakin Choppa hiyo

  • @JOHNNY..TZ..
    @JOHNNY..TZ.. 6 месяцев назад +1

    Sahihi kabisa mjomba mtoto wa mwamba dendei hapa nyambureti nakufatilia nikiwa iringa mjomba ❤❤❤❤

    • @bhudagalamwanamalonja9582
      @bhudagalamwanamalonja9582  6 месяцев назад

      Pamoja sana mjomba

    • @stevenjoshua5866
      @stevenjoshua5866 6 месяцев назад

      Hujawahi niangusha kwenye nyimbo zako kaka unajua Sana asanteee tupe mzik mzuri mungu aendelee kukupa weledi wa kutunga vzr zaidi mwanamalonja🔥🔥🔥by prince from mtwara tz

  • @jameschagu7580
    @jameschagu7580 6 месяцев назад +2

    Kazi nzuri mwamba

  • @MussaMolani
    @MussaMolani 6 месяцев назад +1

    Nimekubali sana budagala washauri wasini wakisasa wache kutukanana

  • @PhilipoMayunga-p4h
    @PhilipoMayunga-p4h 4 месяца назад

    Daima kaka dhidi kuwaelimisha watanzania kwa ujumla waelimishe jamii na si vingnevyo

  • @سعادةزنجبار
    @سعادةزنجبار 6 месяцев назад

    ❤❤❤ Nakumbuka nyumbani

  • @Director_Kitindi_Complete
    @Director_Kitindi_Complete 6 месяцев назад +1

    Bhudagala Safi Sana kazi kali ujumbe Bomba Respect Kwako

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 6 месяцев назад +2

    Hiyo do nilikuwa naisubili kwàhamu asante Kwa kazi zuli

  • @richardjuma828
    @richardjuma828 6 месяцев назад +2

    Mimi 1 ❤

  • @OnesmoAgustino-zn3ng
    @OnesmoAgustino-zn3ng 6 месяцев назад +2

    Kweli sikuizi Mambo ni kutukanana na mabifu Kama yote tuachane nayo hayana maana

  • @Yohanalubinza-t6r
    @Yohanalubinza-t6r 5 месяцев назад

    Da yani budagala wewe unanyimbo nzuri sana da unatamani kuuludia kila mda tu nakupa mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unaiheshimisha sana luga yetu mungu akupe uzma wa kutosha ubalikiwe sana tena sana

  • @ImmanueliSitta
    @ImmanueliSitta Месяц назад

    Mpaka nimelia haki ya mungu hii nyimbo ipewe tuzo mwamba amepiga kwenye mfupa

  • @Lugalilatv
    @Lugalilatv 6 месяцев назад +2

    Nakubali sana kaka

  • @maxmiliankadawiibalaja2198
    @maxmiliankadawiibalaja2198 6 месяцев назад

    Bwana mkubwa wewe ni zaidi ya Mwalimu kwenye Jamii yetu ya Tanzania Wasukuma tuna muwakilishi makini sana

  • @Jameskakola
    @Jameskakola 6 месяцев назад +2

    Kazi zur sana kaka

  • @PetroKimola-k2k
    @PetroKimola-k2k 28 дней назад

    Kaka kalaibu dar kaka

  • @DanielDaniel-gx2ou
    @DanielDaniel-gx2ou 6 месяцев назад +2

    Piga kaz kaka

  • @NdaturuMaduhu-do5yp
    @NdaturuMaduhu-do5yp 6 месяцев назад

    kweli kaka, wasinii ni sehemu ya shule lakn matusi yanasababisha tuamini wasanii ni wahuni tu!

  • @josephzachariah9771
    @josephzachariah9771 6 месяцев назад

    Nseyantemi ❤❤

  • @deusgamaya7763
    @deusgamaya7763 6 месяцев назад +1

    kazi nzuri mkuu npo mbeya apaa

  • @user-hc6qp6os2u
    @user-hc6qp6os2u 6 месяцев назад

    Niite tosha Kanda za manyoni nakukubali kaka

  • @TadeoAmos-rt1iu
    @TadeoAmos-rt1iu 6 месяцев назад +1

    Kazi nzuli sana kaka budagala mie nipo tabora konanne

  • @Moud-p7q
    @Moud-p7q 6 месяцев назад

    Makini sana 😢😢

  • @AtanasiaAsenga
    @AtanasiaAsenga 6 месяцев назад

    Waacheni t watukananee tupate hamasa kufuatilia ngoma zetu mnawazuia kwann

  • @Emma562
    @Emma562 6 месяцев назад

    Limela,,mama leti,shughuli na innaga,,, hahahaha hauboi kaka❤❤❤❤❤.

  • @MasanjaSamweli-b3r
    @MasanjaSamweli-b3r 6 месяцев назад +4

    Wakwanza Leo ndani ya BMS

  • @ngwanaedina9070
    @ngwanaedina9070 6 месяцев назад

    Kaka bhudaga unanitisha sana

  • @cosmasrobert2056
    @cosmasrobert2056 6 месяцев назад

    dah nyimbo hii nimeurudia mara nyingi sana nikisikiliza kwa makini kiukweli nikikumbuka enzi za malingika na bhudagala sijawai kusikia nyimbo kumsifia mganga wala kumtukana mtu yoyote
    aise nakukubali sana kaka pia unaheshima sana na sijawahi kusikia unagombana na wadogo zako kwenye mziki hongera sana kaka tupo mashabiki zako

  • @KundelyaMasaka
    @KundelyaMasaka 6 месяцев назад

    Hakika wewe no mfalme wa nyimbo za asili,, mungu akuzidishie na kukulindaaa,,by msukuma kutoka arusha

  • @HENRYMATHIAS-h7e
    @HENRYMATHIAS-h7e 6 месяцев назад

    Wewe ushakuwa mzee wa kazi asante chukua maua Yako baba🎉

  • @japhetsahani7121
    @japhetsahani7121 6 месяцев назад +1

    karibu kwetu bariadi simiyu gambosi Tanzania 🎸🎸🎸

  • @AlliPo-21
    @AlliPo-21 6 месяцев назад

    leo mmeniovertake so mbaya nishafika kwa legend wetu na gomma limefika salama pande za sumbawanga kali sana big up sana

  • @zagalazabuinge3893
    @zagalazabuinge3893 6 месяцев назад

    Ushauri mzuri Sana kwa wasanii,matusi waache,waelimishe jamii,nikiwa Bukoba tz

  • @patriceeliasspatriceeliass7424
    @patriceeliasspatriceeliass7424 6 месяцев назад

    nikweli ujumbe umewafikia wale wasanii wasiokuwa na maono na mafundisho pia wajue usanii ni kalama na sio kalamu wajifunze kupitia huu wimbo

  • @gumadambiti4071
    @gumadambiti4071 6 месяцев назад

    Kaka mwanamalonja kz nzr saaana wafundash

  • @DafudaDotto
    @DafudaDotto 6 месяцев назад

    Ww ni Baba wa wawasanii ❤❤

  • @peterseleya-up9rw
    @peterseleya-up9rw 6 месяцев назад

    Uhakika kabisa wasanihi wengi wa mebaki kutukana good job banemhi moja❤❤

  • @JumamgemamatogoloMatogol-de8gx
    @JumamgemamatogoloMatogol-de8gx 6 месяцев назад

    Wambie Msanii ni mpelelezi wa kungundua nini hakipo sawa au nini wamesahau ukingundua unawakumbusha walipo sahau mashabiki wanasikiliza yani msanini ni mshauli pia ukiwa ni msanii mwenye heshima kama bundagala anatoa vitu vya kuaburudika ata ummekaa familia nzima seemu moja mavasi na maongezi yote safi

  • @balozimedia4891
    @balozimedia4891 6 месяцев назад

    🔥🔥

  • @deucdeucmathias3562
    @deucdeucmathias3562 6 месяцев назад

    Wakubwa wanakulaumu wewe make wewe ndo kila kitu kwetu wasukuma tunakutegemea wewe bhudagara wewe ndo kila kitu kwetu wengne wanafata tu Nko Arusha ILA natamani Sana japo siku MOJA bhudagara nikuone tu Mimi kwako cjawahi kukuchoka ata siku MOJA bro nasikuliza Sana nyimbo zako

  • @MKOLOSAIonlineTV-cn2vr
    @MKOLOSAIonlineTV-cn2vr 6 месяцев назад +2

    Bhudagala uko poa sana japo mimi sio MPENZI wa nyimbo za asili ilA wewe na kisima mpo juu sana kaka by mkolosai nzagamba from kagongwa KAHAMA shinyanga tanzania

    • @SilluMusic-dm4fg
      @SilluMusic-dm4fg 6 месяцев назад

      ruclips.net/video/kgZ99oElCf4/видео.htmlsi=sX54NPFf2_eD5bxd

  • @JumakwangulijaJumakwangulija
    @JumakwangulijaJumakwangulija 5 месяцев назад

    Nimekupata bhudagala nikiwa chunya mbeya

  • @amosnaqbarxanaabddallah2730
    @amosnaqbarxanaabddallah2730 5 месяцев назад

    👏👏👏👏👏🔥🔥🙏

  • @malugukidanha5670
    @malugukidanha5670 6 месяцев назад +1

    👍👍👍👍👍

  • @geitaasiliyetuvideosproduc8520
    @geitaasiliyetuvideosproduc8520 6 месяцев назад

    Bhudagala 🕺🕺🕺🕺🕺

  • @LupigiLugosha
    @LupigiLugosha 6 месяцев назад

    Master Ni Master Tu

  • @Pastorymasanyiwa1998tz
    @Pastorymasanyiwa1998tz 6 месяцев назад

    😂😂😂 ni kweli saiv mzk umekua wa matusi tu 😊😊😊

  • @RichardKidocha
    @RichardKidocha 6 месяцев назад

    waambie hao nyani

  • @SafariEdison-he7oe
    @SafariEdison-he7oe 5 месяцев назад

    Pamoja sana kakak

  • @MayengDulu
    @MayengDulu 6 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ReginaLifa-i6t
    @ReginaLifa-i6t 6 месяцев назад

    hongera

  • @ManotiMabanza
    @ManotiMabanza 6 месяцев назад

    Budaghala kazi nzur. Mkaguzi. Wa NYIMBO za asili

  • @MussaMolani
    @MussaMolani 6 месяцев назад

    Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu😅😅😅😅😅😅😅njoo geita utumbuize tunakusubili sana 11:57

  • @MadelekenghundyaTambi-qs1jd
    @MadelekenghundyaTambi-qs1jd 6 месяцев назад

    Wambie wakusikie mimi nakusikiliza kutoka mukoa siminyu bariadi mutaaa wa budeka hogera sana bhudagala kwakweri inauminza dungu tunako rekeewapi kwahalihii

  • @NTEMI-OBURUDANI
    @NTEMI-OBURUDANI 6 месяцев назад +1

    Nakubaliana na wewe mkuu ❤

  • @officialpaulmabula8346
    @officialpaulmabula8346 6 месяцев назад +2

    Ujumbe mzur

  • @LimiKishosha
    @LimiKishosha 6 месяцев назад

    Hongera sana bhudagara kwa nyimbo nzr kaka

  • @user-us5su2th9w
    @user-us5su2th9w 6 месяцев назад

    Chamazi moja

  • @SamwelMatonange-hj1or
    @SamwelMatonange-hj1or 6 месяцев назад

    Uko sawa brother barikiwa kwa kumbuka hilo Aman itawale

  • @mageletz
    @mageletz 6 месяцев назад

    uhakika kaka 🙏

  • @MaigeSitta-f2k
    @MaigeSitta-f2k 6 месяцев назад

    Pongezi kubwa sana obaba kaza roho tu mungu atusaidie

  • @NyandaGatambe-jb6fo
    @NyandaGatambe-jb6fo 5 месяцев назад

    Kweli bro

  • @MosesMaduhu-y2s
    @MosesMaduhu-y2s 6 месяцев назад

    Kaka adi Zanzibar ngoma yako inatimba.

  • @JumamgemamatogoloMatogol-de8gx
    @JumamgemamatogoloMatogol-de8gx 6 месяцев назад

    Unazidi kuwa wa moto 🔥🔥🔥🔥

  • @user-rw2ux3my6x
    @user-rw2ux3my6x 6 месяцев назад

    Nyimbo zuri saaaaaana nipo malya seneta kamanda

  • @richardkabega7090
    @richardkabega7090 6 месяцев назад

    huna kazi mbovu legend bhudagala

  • @MhojaAtanas
    @MhojaAtanas 5 месяцев назад

    Ww wakuache tu mwamba ni hatari Sana nakukubari sana

  • @justinkadonya3434
    @justinkadonya3434 6 месяцев назад

    Blood kazi njema sana aminia sana kaka mkuu

  • @jamesgerald7192
    @jamesgerald7192 6 месяцев назад +1

    Tarh 5/3/2024 tunakusubiri kabila karibu sana!!!

  • @bulugunhandi
    @bulugunhandi 5 месяцев назад

    Tupo pamoja kiongozi

  • @mgemamakina2604
    @mgemamakina2604 3 месяца назад

    Saf. Sana

  • @TanganyikaChakupewa
    @TanganyikaChakupewa 4 месяца назад

    Ngoma nzuri sanaaa hii

  • @Emmanuel-j9k7n
    @Emmanuel-j9k7n 6 месяцев назад +1

    🔥🔥🔥🔥🔥💯💯

  • @PhilipoNyanzado
    @PhilipoNyanzado 6 месяцев назад

    Nyanda wakanya nadekeleka kwa wiza

  • @AliphonceMartina
    @AliphonceMartina 6 месяцев назад +4

    Namba 8 naombeni like 🙏🙏🙏

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 6 месяцев назад

    Keep it up! Hadi Tz nzima ijue kuna mziki huu upo

  • @ReginaLifa-i6t
    @ReginaLifa-i6t 6 месяцев назад

    bora hvy ww utukani mtu

  • @smartboytztz6921
    @smartboytztz6921 6 месяцев назад

    Bhudagala ukabehaga njemu

  • @EliasShilungu-rs6fc
    @EliasShilungu-rs6fc 6 месяцев назад

    Nyimbo ni nzuri inao ujumbe

  • @jumastephano2688
    @jumastephano2688 6 месяцев назад

    Kaz nzur sana nipo dar pande za Kigamboni hapa

  • @Dj_faida
    @Dj_faida 6 месяцев назад +3

    Katinga dj faida kutoka bulige

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 6 месяцев назад

    Nzuri Sana👍