Daaaaaa,naisikiliza hii nikiwa wilaya ya kondoa mkoa wa Dodoma, hongera sana bhudagala kwani nyimbo zako huwa hazina matusi kabisa hivyo endelea kutupa raha,na unatakiwa ufahamu kuwa nyimbo zako zinasikilizwa mpaka nje ya Tanzania.
Hujawahi niangusha kwenye nyimbo zako kaka unajua Sana asanteee tupe mzik mzuri mungu aendelee kukupa weledi wa kutunga vzr zaidi mwanamalonja🔥🔥🔥by prince from mtwara tz
Da yani budagala wewe unanyimbo nzuri sana da unatamani kuuludia kila mda tu nakupa mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unaiheshimisha sana luga yetu mungu akupe uzma wa kutosha ubalikiwe sana tena sana
dah nyimbo hii nimeurudia mara nyingi sana nikisikiliza kwa makini kiukweli nikikumbuka enzi za malingika na bhudagala sijawai kusikia nyimbo kumsifia mganga wala kumtukana mtu yoyote aise nakukubali sana kaka pia unaheshima sana na sijawahi kusikia unagombana na wadogo zako kwenye mziki hongera sana kaka tupo mashabiki zako
Wambie Msanii ni mpelelezi wa kungundua nini hakipo sawa au nini wamesahau ukingundua unawakumbusha walipo sahau mashabiki wanasikiliza yani msanini ni mshauli pia ukiwa ni msanii mwenye heshima kama bundagala anatoa vitu vya kuaburudika ata ummekaa familia nzima seemu moja mavasi na maongezi yote safi
Wakubwa wanakulaumu wewe make wewe ndo kila kitu kwetu wasukuma tunakutegemea wewe bhudagara wewe ndo kila kitu kwetu wengne wanafata tu Nko Arusha ILA natamani Sana japo siku MOJA bhudagara nikuone tu Mimi kwako cjawahi kukuchoka ata siku MOJA bro nasikuliza Sana nyimbo zako
Bhudagala uko poa sana japo mimi sio MPENZI wa nyimbo za asili ilA wewe na kisima mpo juu sana kaka by mkolosai nzagamba from kagongwa KAHAMA shinyanga tanzania
Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu😅😅😅😅😅😅😅njoo geita utumbuize tunakusubili sana 11:57
Ngoma nzur my brother from dar pande za chamazi
kaka your the king of them akiwemo chizi wa ndagalu
Nyimbo safi San wasukuma tujuane nipen like zangu
Kaka unajuwa kuelimisha Sana Mungu aendelee kukuweka huna baya kabisa tunakuombea kila ukicha Asante Kwa nyimbo zuri❤️❤️❤️
Nimekumbuka hom brother mim nipo Zanzibar natamaan hm kwamda huu hatar nyimbo Zur sana inausia mzur mno
Ngoma yenyekujenga sana dah"" good job my brother toka pande za moshi town
Daaaaaa,naisikiliza hii nikiwa wilaya ya kondoa mkoa wa Dodoma, hongera sana bhudagala kwani nyimbo zako huwa hazina matusi kabisa hivyo endelea kutupa raha,na unatakiwa ufahamu kuwa nyimbo zako zinasikilizwa mpaka nje ya Tanzania.
budagala na shinje mmetukanana mno
Hongera mwanangu Budhagala, piga kazi
Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu
oyeeee hongela sana budagala endelea kutoa ujumbe kwa wadogo zako uko sawa wanwise
Nakubari pande za mbeya elimisha kama kioo cha jamii wambie
Safiii sana bms
Huo wimbo wa Innaga unaitwaje
Hongera san kak kalibu simiyu wilay meatu
Nakubali san huu mwimbo
Fundisha jamiii braza tuko pamoja welcome majimoto 🔥🔥🔥🔊🔊🔊
kahayaga kati zaga, kakwiza kapye 🤣🤣🤣
Nyimbo nzuri
KISULA PHABIAN MNYETI
Budagala vzr sana shule zinasaidia uzr na shule ulipita ndo maana unatoa vyuma bomba
daah hii ngoma imegusaa hisia nyingi Kwa upande wa wafatiliajii wa nyimbo za asiri, ujumbe umefika
Mfalme wisee hongeraa san
Kaka nakukumbal sana ❤❤❤❤❤
Mmeniwahi na leoo duuuh, lakin Choppa hiyo
Sahihi kabisa mjomba mtoto wa mwamba dendei hapa nyambureti nakufatilia nikiwa iringa mjomba ❤❤❤❤
Pamoja sana mjomba
Hujawahi niangusha kwenye nyimbo zako kaka unajua Sana asanteee tupe mzik mzuri mungu aendelee kukupa weledi wa kutunga vzr zaidi mwanamalonja🔥🔥🔥by prince from mtwara tz
Kazi nzuri mwamba
Nimekubali sana budagala washauri wasini wakisasa wache kutukanana
Daima kaka dhidi kuwaelimisha watanzania kwa ujumla waelimishe jamii na si vingnevyo
❤❤❤ Nakumbuka nyumbani
Bhudagala Safi Sana kazi kali ujumbe Bomba Respect Kwako
Hiyo do nilikuwa naisubili kwàhamu asante Kwa kazi zuli
Mimi 1 ❤
Kweli sikuizi Mambo ni kutukanana na mabifu Kama yote tuachane nayo hayana maana
Da yani budagala wewe unanyimbo nzuri sana da unatamani kuuludia kila mda tu nakupa mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unaiheshimisha sana luga yetu mungu akupe uzma wa kutosha ubalikiwe sana tena sana
Mpaka nimelia haki ya mungu hii nyimbo ipewe tuzo mwamba amepiga kwenye mfupa
Nakubali sana kaka
Bwana mkubwa wewe ni zaidi ya Mwalimu kwenye Jamii yetu ya Tanzania Wasukuma tuna muwakilishi makini sana
Kazi zur sana kaka
Kaka kalaibu dar kaka
Piga kaz kaka
kweli kaka, wasinii ni sehemu ya shule lakn matusi yanasababisha tuamini wasanii ni wahuni tu!
Nseyantemi ❤❤
kazi nzuri mkuu npo mbeya apaa
Niite tosha Kanda za manyoni nakukubali kaka
Kazi nzuli sana kaka budagala mie nipo tabora konanne
Makini sana 😢😢
Waacheni t watukananee tupate hamasa kufuatilia ngoma zetu mnawazuia kwann
Limela,,mama leti,shughuli na innaga,,, hahahaha hauboi kaka❤❤❤❤❤.
Wakwanza Leo ndani ya BMS
Kaka bhudaga unanitisha sana
dah nyimbo hii nimeurudia mara nyingi sana nikisikiliza kwa makini kiukweli nikikumbuka enzi za malingika na bhudagala sijawai kusikia nyimbo kumsifia mganga wala kumtukana mtu yoyote
aise nakukubali sana kaka pia unaheshima sana na sijawahi kusikia unagombana na wadogo zako kwenye mziki hongera sana kaka tupo mashabiki zako
Hakika wewe no mfalme wa nyimbo za asili,, mungu akuzidishie na kukulindaaa,,by msukuma kutoka arusha
Wewe ushakuwa mzee wa kazi asante chukua maua Yako baba🎉
karibu kwetu bariadi simiyu gambosi Tanzania 🎸🎸🎸
leo mmeniovertake so mbaya nishafika kwa legend wetu na gomma limefika salama pande za sumbawanga kali sana big up sana
Ushauri mzuri Sana kwa wasanii,matusi waache,waelimishe jamii,nikiwa Bukoba tz
nikweli ujumbe umewafikia wale wasanii wasiokuwa na maono na mafundisho pia wajue usanii ni kalama na sio kalamu wajifunze kupitia huu wimbo
Kaka mwanamalonja kz nzr saaana wafundash
Ww ni Baba wa wawasanii ❤❤
Uhakika kabisa wasanihi wengi wa mebaki kutukana good job banemhi moja❤❤
Wambie Msanii ni mpelelezi wa kungundua nini hakipo sawa au nini wamesahau ukingundua unawakumbusha walipo sahau mashabiki wanasikiliza yani msanini ni mshauli pia ukiwa ni msanii mwenye heshima kama bundagala anatoa vitu vya kuaburudika ata ummekaa familia nzima seemu moja mavasi na maongezi yote safi
🔥🔥
Wakubwa wanakulaumu wewe make wewe ndo kila kitu kwetu wasukuma tunakutegemea wewe bhudagara wewe ndo kila kitu kwetu wengne wanafata tu Nko Arusha ILA natamani Sana japo siku MOJA bhudagara nikuone tu Mimi kwako cjawahi kukuchoka ata siku MOJA bro nasikuliza Sana nyimbo zako
Bhudagala uko poa sana japo mimi sio MPENZI wa nyimbo za asili ilA wewe na kisima mpo juu sana kaka by mkolosai nzagamba from kagongwa KAHAMA shinyanga tanzania
ruclips.net/video/kgZ99oElCf4/видео.htmlsi=sX54NPFf2_eD5bxd
Nimekupata bhudagala nikiwa chunya mbeya
👏👏👏👏👏🔥🔥🙏
👍👍👍👍👍
Bhudagala 🕺🕺🕺🕺🕺
Master Ni Master Tu
😂😂😂 ni kweli saiv mzk umekua wa matusi tu 😊😊😊
waambie hao nyani
Pamoja sana kakak
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
hongera
Budaghala kazi nzur. Mkaguzi. Wa NYIMBO za asili
Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu😅😅😅😅😅😅😅njoo geita utumbuize tunakusubili sana 11:57
Wambie wakusikie mimi nakusikiliza kutoka mukoa siminyu bariadi mutaaa wa budeka hogera sana bhudagala kwakweri inauminza dungu tunako rekeewapi kwahalihii
Nakubaliana na wewe mkuu ❤
Ujumbe mzur
Hongera sana bhudagara kwa nyimbo nzr kaka
Chamazi moja
Uko sawa brother barikiwa kwa kumbuka hilo Aman itawale
uhakika kaka 🙏
Pongezi kubwa sana obaba kaza roho tu mungu atusaidie
Kweli bro
Kaka adi Zanzibar ngoma yako inatimba.
Unazidi kuwa wa moto 🔥🔥🔥🔥
Nyimbo zuri saaaaaana nipo malya seneta kamanda
huna kazi mbovu legend bhudagala
Ww wakuache tu mwamba ni hatari Sana nakukubari sana
Blood kazi njema sana aminia sana kaka mkuu
Tarh 5/3/2024 tunakusubiri kabila karibu sana!!!
Poa poa
Tupo pamoja kiongozi
Saf. Sana
Ngoma nzuri sanaaa hii
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯
Nyanda wakanya nadekeleka kwa wiza
Namba 8 naombeni like 🙏🙏🙏
Keep it up! Hadi Tz nzima ijue kuna mziki huu upo
bora hvy ww utukani mtu
Bhudagala ukabehaga njemu
Nyimbo ni nzuri inao ujumbe
Kaz nzur sana nipo dar pande za Kigamboni hapa
Katinga dj faida kutoka bulige
Nzuri Sana👍