Hotuba ya Rais Magufuli katika Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli patika ufunguzi wa Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Julius Nyerere, Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, tarehe 10 Oktoba, 2019; iliyowasilishwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.

Комментарии • 14

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 2 года назад +1

    Hakika 🙏 mkuu wangu
    Mungu akubariki Sana 🙏
    Kwa kutuwlimisha kongole
    BABA yetu mungu akujalie Sana Sana Mzee 🙏🏿🙏🏿
    Nadhani WAMEKUELEWAA mzee asante Sana 🇹🇿✍️🙏🏿🙏🏿🇹🇿✍️"

  • @wekesaemanuelmasika6822
    @wekesaemanuelmasika6822 2 года назад +2

    Napenda hotuba zake profesa Kabudi. Ombi langu ni kwamba sikumoja apewe hatamu ya kuongoza nchi ya Tazanzia

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 11 месяцев назад

    The great leaders of Tanzania, Nyerere,maghufuli,and now kabudi

  • @carolihando6271
    @carolihando6271 Год назад

    This talented guy, God bless him.

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 11 месяцев назад

    Kabudi Rais mtarajiwa ❤ from Kenya

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 11 месяцев назад

    Njoo Kenya Uwe Rais wetu

  • @catherinechifebe5800
    @catherinechifebe5800 4 года назад +2

    Mheshimiwa Waziri umemwakilisha vyema Raisi wetu,,barikiwa sana

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 11 месяцев назад

    Mimi ni mkenya, lakini nimekubali Tanzania iko mbele ya Kenya,Kwa siasa Bora, viongozi Bora,Kwa kambumbu,Kwa muziki,Kwa wasani wa filamu,Kenya Yuko mbele Kwa ukabila Hasi Na viongozi wafisadi

  • @majaliwasmoshi774
    @majaliwasmoshi774 4 года назад +2

    Nyirere x magufuli x kabudi munawesa Sana kasi nawapenda asana

  • @josephkafumu3006
    @josephkafumu3006 2 года назад

    Mimi najivunia sana wewe maaana unajiamini vizuri

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk 4 месяца назад

    Fizi tupo tayari kuwapiga wanyanganyi tumesimama kama daudi mbele yagoli yati

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 11 месяцев назад

    Hapa kwetu Kenya viongozi walioko serikali I wakitoa hutuba,hutuba Yao ni kumwita Raila mzee wa kitendawili,mganga, wanamaliza hutuba

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vk 4 месяца назад

    Tuta pigana mpaka mwisho wadahari

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa9096 11 месяцев назад

    You're aleader worth to be.apresident