Mimi uyu mdada brenda nilikua namkubali sana kutokana na nyimbo zake kalbia ya nyimbo zake zote nazipenda ata ukiniamsha usingizini ukiniambia nitaje majina ya wasanii kumi bora kwangu uyu mdada brenda akosi katika list hiyo ya kumi bora
stay positive tu, unajua nn, kifupi unapata stor nzur bila kulipia chochote, so kuna mbinu nying waandaaji wanafanya ili kujipatia kipato cha kusogeza maisha yao pia
Vumbile kama nimekosea nakuomba unisahihishe tumeucheza sana mwaka 2000 kwenye maarusi mwingi na ubarikio tusimuukumu kwa Matendo yake inawezekana kwa kuachika mama yake kupoteza maisha akakosa mtu wa kumshauri na kumpa ujasiri ndo akajikuta amepata msongo wa mawazo ukampelekea kufanya vitendo vichafu sodoma na gomora na uraibu wa drags tumuombee apumzike kwa amani Amina
Mimi uyu mdada brenda nilikua namkubali sana kutokana na nyimbo zake kalbia ya nyimbo zake zote nazipenda ata ukiniamsha usingizini ukiniambia nitaje majina ya wasanii kumi bora kwangu uyu mdada brenda akosi katika list hiyo ya kumi bora
Mambo yakutuma salamu yananikera mno binafsi, ndiyo maana nasogezaga mbele ukifika kwenye hizo salamu zako!!!
😂😂😂😂
Salamu ziwe mwisho wa video
Wazamin jamani
stay positive tu, unajua nn, kifupi unapata stor nzur bila kulipia chochote, so kuna mbinu nying waandaaji wanafanya ili kujipatia kipato cha kusogeza maisha yao pia
So lazma uangalie kama hutak acha watu wanatfta hela
Mm nakubali sana VUNDLELA
I just love the way talk I love voice those two things they made me to follow you
Vumbile kama nimekosea nakuomba unisahihishe tumeucheza sana mwaka 2000 kwenye maarusi mwingi na ubarikio tusimuukumu kwa Matendo yake inawezekana kwa kuachika mama yake kupoteza maisha akakosa mtu wa kumshauri na kumpa ujasiri ndo akajikuta amepata msongo wa mawazo ukampelekea kufanya vitendo vichafu sodoma na gomora na uraibu wa drags tumuombee apumzike kwa amani Amina
Vullindela wena mangiyabiza msubanoomona eee ujongile this time Maghadifelle usenzo see ezemshwaden
Ninaomba story inayoeleweka na ya ukwel kuhusu RKELLY
Salamu jiwekee mwenyewe, ni za upuzi
Jamani mars didas ndio mimi, nimezipokea salam
Soon very soon ndo wimbo wangu pendwa
Bongofasta sichokiii kuisikiliza Ishi Sana Justin shed
ag a shame lovely , nomakanjani ngoma nazikubali sana hzo kutoka kwa malkia brenda fassie Mungu aendelee kumrehemu
Justine is a beast
Usihukumu watu, you never know watu wanapitia nini, comments comments
Nice✌
❤❤❤❤❤❤❤❤
Dah! Jaman huyu dada ndio amekuwa hivyo
Jastin uwe unaweka kionjo chochote cha wimbo wake unaposimlia story ya msanii ili kuweza kumjua kiurahisi ,,
Naombaaaa salamu ziongezewe mudaaaaa 😂😂
KERO NI MATANGAZO NA KUTUMA SALAM MKUU HAYO HATUANGALII NIKEROTU
Nice
Sas twende kazi 🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉
Maranyingi nikikuomba utengeneze marlezo kuusu movie yalimbali unanilenga kama nimalipo twambiyr
Kweli na mimi napenda nijuwe kuusu filamu ya Limbali.
👊✌👍.
f1
Mimi naupenda nyimbo yake ya baby ukiusikiliza uwo wimbo bado ni wa moto mpka sasa
Madawa ya kulevya yamekuwa tatizo jamani
Hivi kwanini uliamua hivyo mrembo
Vulindlela
Vulindella inatisha sana
Wewe usio penda salam basi imekula kwako
VULINDLELA
Daah kwa maon yangu salamu ingewekwa mwishon kabisa mwa story
Uliona wapi kwenye harusi mnaanza kula kwanza
Sawa sawa
Ndoo faida ya dawa bado chidi benz
Astaghafirullah wew
Sogea nikupambe
Ninaomba utafute stori kuhusu jastini kalikawe
yaan huyu mwamba hakuwa na bahati kabisa hazungumzwi wala nyimbo zake hazpigwi wala hamulikwi
Ni kwel kabc yan ndug
Me natafuta sana nyimbo zake
Km unanyimb zake naomb unitumie kaka
@@innocentkomba243 Nipe no ya wasap nikupe- ningekuwa na mabawa ningeruka kama ndege......