Historia ya kusikitisha ya WHITNEY HUSTON,binadamu aliepewa SAUTI kama MALAIKA,mwisho wake UNATISHA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Whitney Huston alikuwa ni mwanamuziki na muigizaji maarufu kutoka nchini marekani,ambae kwa miaka ishirini,aliiburudisha dunia kupitia nyimbo na filamu zake,na hii ni historia yake kamili.
Hakika Katika wanamuziki wanojiheshimu huyu kwangu ni namba moja.Usiache kutukuza kuhusu mwanamuziki huyu juu ya hali yake...Ahsante sana!
My all time Whitney Houston's song"I look to you".
Huu wimbo aliandikiwa na R Kelly
Kazi nzuri kakini umesahau kugusia Kia Whitney alikua kwenye mapenzi ya jinsia Moja na mwana dada aitwae Robin Crawford...Kwa MDA mrefu hata waliishi kwenye nyumba Moja kabla ya Bobby brown kuja Kwa Maisha yake
Kweli
Safi Sana hakika nafurahia kusikiliza simulizi zako
Daah nampendaga sanaa huyu mamaa Whitney Houston nikikumbuka hilesingle yake ya I will always love you
Wimbo wa Dolly Parton , yy alirudia tu kuuimba na aliuimba vizuri sn.
Haya madawa anaeyatengeneza mungu atamuona
"I will always love u" ..my song🌄😭😭
My best female singer
Usalama uko kwa Mungu tu......TOA MAISHA YAKO KWAKE!
Sasa twende kazi 💪 Justin
I wanna dance with Melody, moja ya wimbo wake ninaoupenda sana🔥🔥🔥
Mungu atupe mwisho Mwema.
Kuna mtu kule Uingereza alifikishwa mahakamani sababu aliisikiliza nyimbo ya I Will always love you kwa sauti kubwa sana masaa 24 mpaka majirani hawakuweza kulala usiku hii nyimbo inapendwa sana mpaka leo
Htr😭✨🥰 1B views
Mambo mmi nakupendasana unavyo simulia
yaani leo ndiyo nimejua kama na mtoto wake alikufa😭😭😭
Kazi nzuri bongo fasta
Sema kwa Mimi (1999nmezaliw)huyu mdada nilikuw simjui et lakin baadhi ya nyimbo zake kama nimewahi kuzisikia vile
I miss you 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗 Whitney Houston by Steve Irungu Jermaine
I will always love you! Sauti ya kumtoa nyoka pangoni!
Nimeipenda
Mimi naitwa justin shedi sasa twende kazi
,good job❤
Her
SO EMOTIONAL
ALL THE MAN THAT I NEED
GREATEST LOVE OF ALL
ONE MOMENT IN TIME
DIDN'T WE ALMOST HAVE IT ALL
I HAVE NOTHING
AMERICAN NATIONAL ANTHEM RENDITION (STAR SPANGLED BANNER) &
I WILL ALWAYS LOVE YOU are definitely my BEST SONGS OF ALL TIME 🥇👑❤️
Whitney alianza kutumia madawa kabla hajakutana na Bobby tena kaka yake whitney ndiyo alikuwa anampa whitney madawa ya kulevya
Thank you very much very much
Me sauti yako tu😍😍😍
If unapenda kujuwa true story fatilia the story of Bobby Brown, acha kudanganya please
Kuna na movie pia ya maisha yke
I will Always loves you ni ya dolly parton yeye aliiirudiaa
Bongo fasta 👍nimekubal
Nampenda sana huyu dada
Tuletee historia ya diamond nasibu
Ipo hyo labda ya kuzalisha
Mungu ni MWEMA mda wote RIP 💚💚
My love is your Love🔥 Nappy Rest in Peace
Daaah mapenzi bhana
Hongera
Inasikitisha sana😭😭
Ila kifo chake ukifutila na move historia mwenyewe akiongea anaonesha ayuko happy kwenye mahusiano mwanaume anamcontrol sana ataki awe karibu na marafiki wala ndugu yan witney alimpenda sana mwanaume ila mwanaume alikuwa sio mtu wakujali yeye ni mali tu ukifuatilia inteview za Witney na historia na marafiki wanavyongea akuwa happy kwenye mahusiano ndio hapo kahanza madawa
Na alikua akitumia bangi kabla hajakutana na bobby
Duh staki mapenz yani chukulie kila kitu,
mmmmmh!
😭😭😭😭😭😭😭so sad
Mama na Mwana walikuwa na sauti tamu😑😑😑
Good broo
Dah imeniudhunisha sana
Asante
✊✊
Nakubali sana kaka
🔥🔥🔥
Hatari
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Good job all over the 🌏🌏🌏
Inahuzunidha Sana😭😭
Ndivyo makampuni makubwa ya kibeberu yanayoingia mikataba mikubwa na hawa wasanii yanavyofanya. Michael Jackson walimuua hivi hivi kwa kudai ameoverdose madawa. Whitney Houston nae kwa madawa. R.Kelly wanambambikia kesi za ubakaji kama Michael Jackson...
Nakukubali sana bro,,umekua kioo changu sasa
History mzur
Mimi naitwa Justin shed SASA Twende kazi
Nice try lkn next time usicopy na kupaste documentary nyingine they are all over in the net.., and waandishi wa hizi documentary wametwist sana story this is not clear at all🙌🏾🙌🏾
Hahahah! Hv huyu ndo kati ya wale wakina Yondo sister...
Hapana
Maisha Ni Kipajii
Huyu Dada alikuwa anaimba bwana na sauti yake sasa daah
Boby Brown alimpoteza sana laiti in short Boby alikuwa mume mbaya na baba mbaya pia
Sasa nafikiri wote hao waliuliwa watu watatu katika familia moja wafe hao waliuliwa na watu pia Michael Jackson na yeye aliuliwa na hao frimasson
Nilimpenda sana Whiteney H
Ameuwawa.
Mbona me simjui...
👏👏👏👏
Pamoja sana Tony
Nikweli ukiwa Karibu na mwizi na wewe utakua mwizi?
RIP 😭😭😭
Love is blind
Justin hapo mwishoni underground ilikuwa high kuzid sauti yako
Can anyone tell me background ya huo wimbo mwishoni mwa hii Clip
Song.happy life
Artist.sherma Andrew
@@umojamedia4167 asanteee Sana
Kiukweli imenisikitisha sana
😢😢😢
Ok
Majanga
Rilly love is blind Bobby uspoiled whitney
So sad
Kumbe malaika ndo wanasauti lama ya huyo dada
unajua malaika sauti yake
Duuuh baraka inageuka laana. Umarufu cio kosa, kosa n kuishi km unavyojickia kupitiliza pamoja n kampani mbovu
ongelea DMX nini kilitokea kwake
Tuwe makini ktk kuchagua marafiki.
Hakika
KUNA WIMBO WAKE UNAIMBWA
wiiii ooloweeeisii yuuuuuu uuuu uhuuuuuuuu
Ushawahi sikiya sauti ya malalka we🤣🤣🤣
Nami pia nashangaaaa mwenzetu kaisikia sauti ya malaika
🤣🤣🤣🤣lakini you guys🤣🤣🤣
Sauti hata Ali kiba mfalme anayo
😂😂😂Tunamzungumzia huyu sio alikiba ata ww saut unayo
Sauti ya kuimba wewe huna
Mbona Bobby anaishi mpaka leo
🙄
Siku hazirudi nyuma
Hivi malaika wanawake hakuna maana Kuna Michael Gabriel Rafael nk lakini majini mmhh maimuna na kuendelea why malaika wanawake nijuzeni wanaojua..
hawapo majini ndo wapo wanawake
Umenifumbua..
Malaika hawana jinsia maana wameumbwa Kwa nuru na ndio mana hawazaani mana sio viumbe hayo majina uliyo yataja sio majina Yao halisi
@@FatimaFatima-wk1jk Asante nilikuwa najiuliza hivyo nashukuru
Majini ni malaika waliohasi, Mungu akawatoa mbinguni na kiongozi wao shetani mpaka siku ya hukumu kuu
layers lol.
Mimi n Albert Einstein Sasa twende
Hahahaha🤣🤣
P
Wewe ni muongo sana ,you don't know anything bro ,fatilia story vizuri,stop kudanganya people
Amekufa vibaya namtto wake pia kafa Yan wanaume wapuuzi
mh!
Unabisha au
Nyamaza
Unajuwa historia mbali mbali kaka
🙏💙
Congratulations
Ni legend
Hawa kina Dada ni shida duniani ah
Kama ni shida Anza na mama Yako maana ni mwanamke ebu chunga mdogo wako kenge wewe hujafa hujaumbika
mwanaume ndo alisababisha wewe nasio wanawake boya ww wanaume nyie madawa ya kulevya apo ndo alisababisha kifo cha huyo dada