Historia ya kusikitisha ya WHITNEY HUSTON,binadamu aliepewa SAUTI kama MALAIKA,mwisho wake UNATISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Whitney Huston alikuwa ni mwanamuziki na muigizaji maarufu kutoka nchini marekani,ambae kwa miaka ishirini,aliiburudisha dunia kupitia nyimbo na filamu zake,na hii ni historia yake kamili.

Комментарии • 131

  • @shusamaliy8656
    @shusamaliy8656 3 года назад +5

    Hakika Katika wanamuziki wanojiheshimu huyu kwangu ni namba moja.Usiache kutukuza kuhusu mwanamuziki huyu juu ya hali yake...Ahsante sana!

  • @henrygwalema1860
    @henrygwalema1860 3 года назад +13

    My all time Whitney Houston's song"I look to you".

  • @jesuitredbrigades8050
    @jesuitredbrigades8050 3 года назад +6

    Kazi nzuri kakini umesahau kugusia Kia Whitney alikua kwenye mapenzi ya jinsia Moja na mwana dada aitwae Robin Crawford...Kwa MDA mrefu hata waliishi kwenye nyumba Moja kabla ya Bobby brown kuja Kwa Maisha yake

  • @emanuelkasiano6934
    @emanuelkasiano6934 3 года назад +2

    Safi Sana hakika nafurahia kusikiliza simulizi zako

  • @ismailyismaily8072
    @ismailyismaily8072 3 года назад +2

    Daah nampendaga sanaa huyu mamaa Whitney Houston nikikumbuka hilesingle yake ya I will always love you

    • @mrsdeborahurio
      @mrsdeborahurio 3 года назад +1

      Wimbo wa Dolly Parton , yy alirudia tu kuuimba na aliuimba vizuri sn.

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo7584 3 года назад +6

    Haya madawa anaeyatengeneza mungu atamuona

  • @ellienially1130
    @ellienially1130 3 года назад +9

    "I will always love u" ..my song🌄😭😭

  • @amiltonmichael5377
    @amiltonmichael5377 3 года назад +4

    My best female singer

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 3 года назад +12

    Usalama uko kwa Mungu tu......TOA MAISHA YAKO KWAKE!

  • @macamezunguzungu5584
    @macamezunguzungu5584 3 года назад +3

    Sasa twende kazi 💪 Justin

  • @maulidisaidi8480
    @maulidisaidi8480 3 года назад +2

    I wanna dance with Melody, moja ya wimbo wake ninaoupenda sana🔥🔥🔥

  • @fatumaayubu645
    @fatumaayubu645 3 года назад +2

    Mungu atupe mwisho Mwema.

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 3 года назад +5

    Kuna mtu kule Uingereza alifikishwa mahakamani sababu aliisikiliza nyimbo ya I Will always love you kwa sauti kubwa sana masaa 24 mpaka majirani hawakuweza kulala usiku hii nyimbo inapendwa sana mpaka leo

    • @Swahili14
      @Swahili14 3 года назад

      Htr😭✨🥰 1B views

  • @NajmaAayan-rx1dc
    @NajmaAayan-rx1dc Год назад

    Mambo mmi nakupendasana unavyo simulia

  • @pracxedismathias5555
    @pracxedismathias5555 3 года назад +4

    yaani leo ndiyo nimejua kama na mtoto wake alikufa😭😭😭

  • @josephmwangi580
    @josephmwangi580 3 года назад +1

    Kazi nzuri bongo fasta

  • @emanuelmwaipaja2062
    @emanuelmwaipaja2062 3 года назад +3

    Sema kwa Mimi (1999nmezaliw)huyu mdada nilikuw simjui et lakin baadhi ya nyimbo zake kama nimewahi kuzisikia vile

  • @steveirungu3132
    @steveirungu3132 3 года назад +2

    I miss you 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗 Whitney Houston by Steve Irungu Jermaine

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale7271 3 года назад +1

    I will always love you! Sauti ya kumtoa nyoka pangoni!

  • @erickphilipo6058
    @erickphilipo6058 3 года назад +2

    Nimeipenda

  • @xhampoza_25
    @xhampoza_25 3 года назад +3

    Mimi naitwa justin shedi sasa twende kazi

  • @sarakondo3844
    @sarakondo3844 3 года назад +6

    ,good job❤

  • @Swahili14
    @Swahili14 Год назад

    Her
    SO EMOTIONAL
    ALL THE MAN THAT I NEED
    GREATEST LOVE OF ALL
    ONE MOMENT IN TIME
    DIDN'T WE ALMOST HAVE IT ALL
    I HAVE NOTHING
    AMERICAN NATIONAL ANTHEM RENDITION (STAR SPANGLED BANNER) &
    I WILL ALWAYS LOVE YOU are definitely my BEST SONGS OF ALL TIME 🥇👑❤️

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 3 года назад +5

    Whitney alianza kutumia madawa kabla hajakutana na Bobby tena kaka yake whitney ndiyo alikuwa anampa whitney madawa ya kulevya

  • @danduwadandu5047
    @danduwadandu5047 3 года назад +1

    Thank you very much very much

  • @zershmohammed8820
    @zershmohammed8820 3 года назад +2

    Me sauti yako tu😍😍😍

  • @chancelebishopofficial2785
    @chancelebishopofficial2785 3 года назад +2

    If unapenda kujuwa true story fatilia the story of Bobby Brown, acha kudanganya please

    • @ayshahamud2625
      @ayshahamud2625 3 года назад +1

      Kuna na movie pia ya maisha yke

    • @manuelykimaro9995
      @manuelykimaro9995 Год назад

      I will Always loves you ni ya dolly parton yeye aliiirudiaa

  • @mussahassan2937
    @mussahassan2937 3 года назад

    Bongo fasta 👍nimekubal

  • @ajiryal-amin686
    @ajiryal-amin686 3 года назад +4

    Nampenda sana huyu dada

  • @dianaalfredy3305
    @dianaalfredy3305 2 года назад +1

    Tuletee historia ya diamond nasibu

  • @ellienially1130
    @ellienially1130 3 года назад +4

    Mungu ni MWEMA mda wote RIP 💚💚

  • @manuelykimaro9995
    @manuelykimaro9995 Год назад +1

    My love is your Love🔥 Nappy Rest in Peace

  • @officiallycyra6944
    @officiallycyra6944 3 года назад

    Daaah mapenzi bhana

  • @jafetmbele7165
    @jafetmbele7165 3 года назад

    Hongera

  • @stellahmhando430
    @stellahmhando430 3 года назад +1

    Inasikitisha sana😭😭

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 3 года назад +1

    Ila kifo chake ukifutila na move historia mwenyewe akiongea anaonesha ayuko happy kwenye mahusiano mwanaume anamcontrol sana ataki awe karibu na marafiki wala ndugu yan witney alimpenda sana mwanaume ila mwanaume alikuwa sio mtu wakujali yeye ni mali tu ukifuatilia inteview za Witney na historia na marafiki wanavyongea akuwa happy kwenye mahusiano ndio hapo kahanza madawa

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 3 года назад +3

    Duh staki mapenz yani chukulie kila kitu,

  • @brianontori8384
    @brianontori8384 3 года назад +3

    😭😭😭😭😭😭😭so sad

  • @user-ot2io4cy6w
    @user-ot2io4cy6w 3 года назад +4

    Mama na Mwana walikuwa na sauti tamu😑😑😑

  • @yusufuwadi4256
    @yusufuwadi4256 3 года назад +1

    Good broo

  • @ngolobulugu9525
    @ngolobulugu9525 3 года назад

    Dah imeniudhunisha sana

  • @fatmaahamad633
    @fatmaahamad633 3 года назад +1

    Asante

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious 3 года назад +3

    ✊✊

  • @dullahsamir1555
    @dullahsamir1555 3 года назад +4

    🔥🔥🔥

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 3 года назад +1

    Hatari

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад +7

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @dikodikson559
    @dikodikson559 3 года назад +1

    Good job all over the 🌏🌏🌏

  • @mussakasela1937
    @mussakasela1937 3 года назад +4

    Inahuzunidha Sana😭😭

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 3 года назад +2

    Ndivyo makampuni makubwa ya kibeberu yanayoingia mikataba mikubwa na hawa wasanii yanavyofanya. Michael Jackson walimuua hivi hivi kwa kudai ameoverdose madawa. Whitney Houston nae kwa madawa. R.Kelly wanambambikia kesi za ubakaji kama Michael Jackson...

  • @onlyonetztv610
    @onlyonetztv610 3 года назад

    Nakukubali sana bro,,umekua kioo changu sasa

  • @kkutanzania5386
    @kkutanzania5386 3 года назад

    History mzur

  • @innocentboykid2442
    @innocentboykid2442 3 года назад

    Mimi naitwa Justin shed SASA Twende kazi

  • @MenejaCossie
    @MenejaCossie 3 года назад

    Nice try lkn next time usicopy na kupaste documentary nyingine they are all over in the net.., and waandishi wa hizi documentary wametwist sana story this is not clear at all🙌🏾🙌🏾

  • @mrshadow4395
    @mrshadow4395 3 года назад +2

    Hahahah! Hv huyu ndo kati ya wale wakina Yondo sister...

  • @collisbill8871
    @collisbill8871 3 года назад +1

    Maisha Ni Kipajii

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 3 года назад +1

    Huyu Dada alikuwa anaimba bwana na sauti yake sasa daah
    Boby Brown alimpoteza sana laiti in short Boby alikuwa mume mbaya na baba mbaya pia

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 3 года назад +2

    Sasa nafikiri wote hao waliuliwa watu watatu katika familia moja wafe hao waliuliwa na watu pia Michael Jackson na yeye aliuliwa na hao frimasson

  • @busindevyote3519
    @busindevyote3519 3 года назад

    Nilimpenda sana Whiteney H

  • @blueberrypotatogames7950
    @blueberrypotatogames7950 Год назад

    Ameuwawa.

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 3 года назад

    Mbona me simjui...

  • @TonyMkongo
    @TonyMkongo 3 года назад +3

    👏👏👏👏

  • @ajikanyenje1017
    @ajikanyenje1017 3 года назад +5

    Nikweli ukiwa Karibu na mwizi na wewe utakua mwizi?

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 3 года назад +1

    RIP 😭😭😭

  • @robertsimba5081
    @robertsimba5081 Год назад

    Love is blind

  • @emanuelmwaipaja2062
    @emanuelmwaipaja2062 3 года назад

    Justin hapo mwishoni underground ilikuwa high kuzid sauti yako

  • @LadyveenOfficial
    @LadyveenOfficial 3 года назад

    Can anyone tell me background ya huo wimbo mwishoni mwa hii Clip

  • @baltonmanjise7209
    @baltonmanjise7209 3 года назад

    Kiukweli imenisikitisha sana

  • @user-ot2io4cy6w
    @user-ot2io4cy6w 3 года назад +1

    😢😢😢

  • @faustapetro5051
    @faustapetro5051 3 года назад

    Ok

  • @mustakimukarimu5165
    @mustakimukarimu5165 3 года назад +1

    Majanga

  • @annwachiya6438
    @annwachiya6438 3 года назад

    Rilly love is blind Bobby uspoiled whitney

  • @hopehope5243
    @hopehope5243 3 года назад +1

    So sad

  • @user-qm2up2ly4b
    @user-qm2up2ly4b 3 года назад

    Kumbe malaika ndo wanasauti lama ya huyo dada

  • @maryamshuraim4163
    @maryamshuraim4163 3 года назад

    unajua malaika sauti yake

  • @dennisisrael2187
    @dennisisrael2187 3 года назад

    Duuuh baraka inageuka laana. Umarufu cio kosa, kosa n kuishi km unavyojickia kupitiliza pamoja n kampani mbovu

  • @vincentashiembi
    @vincentashiembi 3 года назад +2

    ongelea DMX nini kilitokea kwake

  • @mbarikiwambarikiwa6479
    @mbarikiwambarikiwa6479 3 года назад

    Tuwe makini ktk kuchagua marafiki.

  • @Ogtydan
    @Ogtydan 3 года назад

    KUNA WIMBO WAKE UNAIMBWA
    wiiii ooloweeeisii yuuuuuu uuuu uhuuuuuuuu

  • @Ryoof-qo7if
    @Ryoof-qo7if 3 года назад +1

    Ushawahi sikiya sauti ya malalka we🤣🤣🤣

  • @officiallevyclassic1259
    @officiallevyclassic1259 3 года назад +1

    Sauti hata Ali kiba mfalme anayo

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 3 года назад +1

    Mbona Bobby anaishi mpaka leo

  • @JumaaNdululu
    @JumaaNdululu 3 года назад

    Siku hazirudi nyuma

  • @kasindejonathan978
    @kasindejonathan978 3 года назад

    Hivi malaika wanawake hakuna maana Kuna Michael Gabriel Rafael nk lakini majini mmhh maimuna na kuendelea why malaika wanawake nijuzeni wanaojua..

    • @philippeter198
      @philippeter198 3 года назад

      hawapo majini ndo wapo wanawake

    • @simontamba1285
      @simontamba1285 3 года назад

      Umenifumbua..

    • @FatimaFatima-wk1jk
      @FatimaFatima-wk1jk 3 года назад

      Malaika hawana jinsia maana wameumbwa Kwa nuru na ndio mana hawazaani mana sio viumbe hayo majina uliyo yataja sio majina Yao halisi

    • @kasindejonathan978
      @kasindejonathan978 3 года назад

      @@FatimaFatima-wk1jk Asante nilikuwa najiuliza hivyo nashukuru

    • @nilansaid2927
      @nilansaid2927 3 года назад

      Majini ni malaika waliohasi, Mungu akawatoa mbinguni na kiongozi wao shetani mpaka siku ya hukumu kuu

  • @navury9345
    @navury9345 3 года назад

    layers lol.

  • @salumsalum5712
    @salumsalum5712 3 года назад +1

    Mimi n Albert Einstein Sasa twende

  • @kari_ahmad06
    @kari_ahmad06 3 года назад

    P

  • @chancelebishopofficial2785
    @chancelebishopofficial2785 3 года назад

    Wewe ni muongo sana ,you don't know anything bro ,fatilia story vizuri,stop kudanganya people

  • @pendooscar9322
    @pendooscar9322 3 года назад

    Amekufa vibaya namtto wake pia kafa Yan wanaume wapuuzi

  • @togetherchristiansmedia3437
    @togetherchristiansmedia3437 3 года назад

    Unajuwa historia mbali mbali kaka

  • @dankankazimoto9210
    @dankankazimoto9210 3 года назад +1

    🙏💙

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 3 года назад

    Congratulations

  • @paulsheshe4839
    @paulsheshe4839 3 года назад

    Ni legend

  • @azizawadh5973
    @azizawadh5973 3 года назад

    Hawa kina Dada ni shida duniani ah

    • @magzakky2781
      @magzakky2781 3 года назад

      Kama ni shida Anza na mama Yako maana ni mwanamke ebu chunga mdogo wako kenge wewe hujafa hujaumbika

    • @evelynkilawe5379
      @evelynkilawe5379 3 года назад

      mwanaume ndo alisababisha wewe nasio wanawake boya ww wanaume nyie madawa ya kulevya apo ndo alisababisha kifo cha huyo dada