MSAFARA WA MKUU WA MKOA IRINGA WASIMAMISHWA NJIANI NA MABANGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024

Комментарии • 17

  • @rastokapunji7191
    @rastokapunji7191 4 года назад +3

    The next President in the making .umependwa bure mkuu wa mkoa

  • @saidiselemani7786
    @saidiselemani7786 4 года назад +3

    Kijana anapambana huyuuuuuuu piga kazi mkuu

  • @mohamedsalum381
    @mohamedsalum381 2 года назад

    Hapi mungu akupe hekima iyoiyo miaka ya mbeleni uko nafas ya urais unaweza ukaipata

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад

    Kilolo hadi Kidabaga na kuendelea ng'ang'ange,boma la ng'ombe,huko mtule ,kimara ,ndengisivili na kwingineko Kuna kilimo Cha hatari,Kuna mvua za mwaka mzima huko watu watengenezewe barabara kwa kiwango cha lami.kuna misitu mbao zinatoka huko Sana wawezesheni wananchi kwa barabara na mtaona maendeleo kwa sababu watu wa huko wanajituma Sana,Sana Tena Sana.

  • @kpatrick8468
    @kpatrick8468 4 года назад +1

    Safi sana

  • @hadijahmwajombe9588
    @hadijahmwajombe9588 4 года назад

    safi sana ali hapi

  • @official_nillan9621
    @official_nillan9621 2 года назад

    Kijiji chang kidika

  • @gracesakila4395
    @gracesakila4395 4 года назад +1

    Huyo ni mkuu wa mkoa hana mamlaka yeyote ya kuhusu bajeti na miradi ya maendeleo zaidi ya usimamiz

    • @anjelkahilary6738
      @anjelkahilary6738 4 года назад

      Umeona ehee

    • @sylvestersanawa963
      @sylvestersanawa963 4 года назад +1

      Ana ushawishi mkubwa kwa Mh Rais. Makonda amepewa zaidi ya bil 500 kwa ajili ya maendeleo ya Dar, huyu nae ni mtu Wa mh Rais, lolote linawezekana

  • @officialngassama2539
    @officialngassama2539 4 года назад +1

    Ali happi

  • @gracesakila4395
    @gracesakila4395 4 года назад

    Hiyo gari ukiuza unamaliza matatizo yote

    • @helenadenis7234
      @helenadenis7234 4 года назад +2

      Ingekuwa ni cheo chako gire hayo uliyoongea unawexa kuyafanya?hiyo ni Mali ya serikali nfug yangu

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 4 года назад

    Wilaya kilolo tunataka barabara itengenezwe cyo kutia fusi tunataka lamiiii

    • @zuhuramuhanga5400
      @zuhuramuhanga5400 4 года назад +2

      Kuanzia ipogoro hadi mwatasi tunapata changamoto kusafirisha mazao na mbao zetu mkuu wabunge hawalifikishi hili bungeni

    • @samiramadenge953
      @samiramadenge953 4 года назад

      @@zuhuramuhanga5400 zuhura kweli kabisa ulongite unofu bee

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 4 года назад

      @@zuhuramuhanga5400 acha japo siishi huko Ila kaa kaa nyevayangu Hadi kwetu Kidabaga na kuendelea jamani like Kuna kilimo Cha mwaka mzima,mbao,matunda,mbogamboga hivi barabara ikiwa ya lami wananchi watasafirisha biashara zao kiurahisi na maendeleo yataonekana.