Kilolo hadi Kidabaga na kuendelea ng'ang'ange,boma la ng'ombe,huko mtule ,kimara ,ndengisivili na kwingineko Kuna kilimo Cha hatari,Kuna mvua za mwaka mzima huko watu watengenezewe barabara kwa kiwango cha lami.kuna misitu mbao zinatoka huko Sana wawezesheni wananchi kwa barabara na mtaona maendeleo kwa sababu watu wa huko wanajituma Sana,Sana Tena Sana.
@@zuhuramuhanga5400 acha japo siishi huko Ila kaa kaa nyevayangu Hadi kwetu Kidabaga na kuendelea jamani like Kuna kilimo Cha mwaka mzima,mbao,matunda,mbogamboga hivi barabara ikiwa ya lami wananchi watasafirisha biashara zao kiurahisi na maendeleo yataonekana.
The next President in the making .umependwa bure mkuu wa mkoa
Kijana anapambana huyuuuuuuu piga kazi mkuu
Hapi mungu akupe hekima iyoiyo miaka ya mbeleni uko nafas ya urais unaweza ukaipata
Kilolo hadi Kidabaga na kuendelea ng'ang'ange,boma la ng'ombe,huko mtule ,kimara ,ndengisivili na kwingineko Kuna kilimo Cha hatari,Kuna mvua za mwaka mzima huko watu watengenezewe barabara kwa kiwango cha lami.kuna misitu mbao zinatoka huko Sana wawezesheni wananchi kwa barabara na mtaona maendeleo kwa sababu watu wa huko wanajituma Sana,Sana Tena Sana.
Safi sana
safi sana ali hapi
Kijiji chang kidika
Huyo ni mkuu wa mkoa hana mamlaka yeyote ya kuhusu bajeti na miradi ya maendeleo zaidi ya usimamiz
Umeona ehee
Ana ushawishi mkubwa kwa Mh Rais. Makonda amepewa zaidi ya bil 500 kwa ajili ya maendeleo ya Dar, huyu nae ni mtu Wa mh Rais, lolote linawezekana
Ali happi
Hiyo gari ukiuza unamaliza matatizo yote
Ingekuwa ni cheo chako gire hayo uliyoongea unawexa kuyafanya?hiyo ni Mali ya serikali nfug yangu
Wilaya kilolo tunataka barabara itengenezwe cyo kutia fusi tunataka lamiiii
Kuanzia ipogoro hadi mwatasi tunapata changamoto kusafirisha mazao na mbao zetu mkuu wabunge hawalifikishi hili bungeni
@@zuhuramuhanga5400 zuhura kweli kabisa ulongite unofu bee
@@zuhuramuhanga5400 acha japo siishi huko Ila kaa kaa nyevayangu Hadi kwetu Kidabaga na kuendelea jamani like Kuna kilimo Cha mwaka mzima,mbao,matunda,mbogamboga hivi barabara ikiwa ya lami wananchi watasafirisha biashara zao kiurahisi na maendeleo yataonekana.